text
stringlengths 248
630k
| id
stringlengths 47
47
| metadata
dict |
---|---|---|
Nadhani sauti yake inaweza ikakuhadaa… na kudhani labda Geez ana mwili mkubwa kama Goliath. Wale ambao hawajapata nafasi ya kumuona, basi huyu ndio Geez Mabovu!
Achana na mambo ya mwili — yeye yupo kwenye harakati na sauti yake ndio kombeo (kama la Daudi) la kuangusha propaganda za Goliath.
[Underground/Real] Hip Hop haiwezi kupewa nafasi kwenye vituo vya redio, hata vipindi vya usiku? Hip Hop haiuzi? Jamii ya Tanzania haihitaji kusikia mitazamo ya emcees wa Hip Hop?
Na hoja nyingine ya Geez: Je, mashabiki mnaridhishwa na vitu vinavyoendelea? Tafadhali, tupe maoni kwa ajili ya kijenga Hip Hop ya Tanzania.
Bofya hapa kusikiliza nyimbo nyingine za Geez:
|
<urn:uuid:cdb2176e-8bd3-4327-a9fc-9061474d2970>
|
{
"date": "2013-05-24T11:50:17Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368704645477/warc/CC-MAIN-20130516114405-00024-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9956198334693909,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 5,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9956198334693909}",
"url": "http://cheusidawa.tv/2011/10/28/fidsyle-friday-week-12-with-geez-mabovu/"
}
|
LEO safu hii ina hadithi fupi kuhusu uhuru na kujitegemea. Ni hadithi niliyotunga kuenzi nusu karne ya uhuru wa nchi za Afrika. Hadithi hii ni ya kutunga. Lakini endapo itatokea majina ya wahusika, maeneo na matukio yakafanana na hali halisi kokote kule barani kwetu basi ninakiri kwamba itakuwa imetokea tu bila kudhamiriwa (coincidence).
Siku moja wanyama waliokuwa utumwani walipewa uhuru kutoka kwa madhalimu waliokuwa wakiwamiliki na kuwatumikisha. Siku hiyo walifurahia mno na kwa kipindi cha juma zima walifanya karamu ya kula na kunywa na kushangilia. Wote walijiona wamoja na kwamba walikuwa sawa. Baada ya sherehe za uhuru wakadhamiria kuanza safari ndefu ya kurejea nyumbani kwao ili kule wakajitawale na kujitegemea.
Ilikuwapo meli kubwa ya kutosha kuwabeba wote ili kuwarejesha ng’ambo ya bahari ambako ndiko asili yao. Ilikuwa ni safari muhimu sana ambayo kwa hakika kila mnyama aliyekuwa na akili timamu alitamani kuifanya.
Lakini siku ya safari ikafika. Likatolewa tangazo la kuwataka wanyama wote kuingia melini. Ghafla wakatimka nguruwe kwa kasi zote na kuingia melini kwanza. Na kule wakaelekea kila pahala palipoonekana nyeti. Katika chumba cha nahodha wakajaa. Kule chumba cha injini wakajaa. Katika stoo ya melini wakajaa. Katika jiko la melini wakajaa. Katika chumba cha mawasiliano ya simu wakajaa. Katika jukwaa la kupigia muziki wakajaa. Katika chumba cha mitambo ya sinema wakajaa. Na katika chumba cha madaktari wakajaa. Nguruwe nguruwe kila pahala.
Wanyama wengine wakaanza kuuliza: “inakuwaje nguruwe wamejaa maeneo yote nyeti ya meli hadi chumba cha nahodha kana kwamba wao wanajua kila kitu ikiwamo kuendesha meli?” Nguruwe wakakaa kimya. Na kila walipoulizwa jambo wao wakazidi kukomaa pale walipo. Walipoambiwa haya basi washeni meli tuanze safari, wao wakawa wanaguna tu. Ikafika wakati nguruwe wakaona kelele za wanyama wengine ni karaha na kadhia kwao.
Wakaanza kujibu mashambulizi. “Hapa hatutoki. Tunajua mna wivu sana. Na bado.” Wanyama wakatumia kila njia ya ushawishi wa maneno lakini wakakwama. Ikafika pahala madhalimu wakawasogelea na kuwauliza: “Kulikoni, mbona meli haiondoki? Au mmeghairi safari ya kurudi kwenye ukombozi wenu?”
Wanyama wale wakawashitakia nguruwe kwa madhalimu: “Mkuu si mnawaona nguruwe wamegomea katika vitengo vyote nyeti, ikiwamo chumba cha nahodha na wanyama wanaojua unahodha wameshindwa kuingia mle ndo maana tumeshindwa.” Basi madhalimu wakawashauri wanyama wale kwamba waanzishe mfumo wa kukalia maeneo nyeti kwa zamu. Na kwamba madhali nguruwe walikwishawahi vitengo, basi ilikuwa hawana budi kumalizia vipindi vyao. Na kwamba baada ya zamu ya nguruwe basi ingelikuja zamu ya wanyama wengine kama nyani au sokwe ambao walikuwa na uwezo wa kuendesha meli. Lakini amkani si shwari tena. Kumbe madhalimu wale baada ya kuona wanyama wenyewe wanahadaika mara moja wakaanza mawasiliano na nguruwe. “Nguruweee, hakikisheni mnakomaa hapo hapo hata zamu yenu ikiisha; tutawalinda.” Nao nguruwe kusikia hivyo wakafurahi kweli kweli.
Lakini kipo kitu kimoja walichokisahau nguruwe wale. Kwamba kila mnyama alikuwa na faida na umuhimu wake kutokana na kipaji chake tofauti na wengine. Ilikuwa ni suala la wanyama wote kukaa pamoja na kufanya majadiliano ili kufikia makubaliano ni mnyama gani atoe mchango gani kwa kadiri ya kipaji chake na hatimaye safari ianze na wote wasafiri kwa starehe hadi katika ng’ambo ya ukombozi wao.
Kwa kifupi tu ni kwamba walichokihitaji nguruwe wale ilikuwa ni raha binafsi; hawakujua injini inawashwaje, hawakujua meli inaendeshwaje au kuongozwaje, hawakujua chakula kinapikwaje, hawakujua muziki unapigwaje, hawakujua sinema inawashwaje, hawakujua wagonjwa wanatibiwaje, hawakujua mawasiliano ya simu melini yanafanywaje. Matokeo yake maisha yakaanza kuwa magumu kwa wanyama wote, wakiwamo nguruwe wenyewe.
Mara nguruwe wale wakaanza kuguguna chochote kilichokuwa mbele yao. Wale waliokuwa katika chumba cha rubani wakaanza kuguguna usukani. Wakaguguna vikorombwezo vya kuongozea meli. Wakaguguna makochi. Mwisho, walipomaliza kuguguna kila kitu, wakaanza kuguguna meli yenyewe.
Waliokuwa stoo wakatafuna chakula chote kule. Walipokimaliza, wakaanza kuguguna vyombo. Vilipomalizika wakaanza kuguguna ukuta wa meli. Waliokuwa jikoni wakaanza kuguguna sufuria. Wakaguguna jiko. Wakaguguna vyombo na walipomaliza; wakaanza kuguguna meli yenyewe. Waliokuwa chumba cha madaktari wakaanza kuguguna dawa. Wakaguguna vifaa vya maabara. Wakaguguna mashuka. Wakaguguna magodoro. Walipomaliza, wakaanza kuguguna ukuta wa meli.
Waliokuwa chumba cha injini wakaanza kunywa mafuta yakaisha. Wakahamia katika vikorombwezo vya injini wakaguguna wakamaliza. Wakaguguna kila kigugunika na walipovimaliza vyote, wakahamia katika ukuta wa meli.
Muda wote nguruwe walipokuwa wakiguguna kila kilichokuwa chini yao wanyama wengine walikuwa wakiwasihi kuacha kufanya hivyo ili walau zamu ya nguruwe ya kukaa katika vitengo itakapomalizika, wanyama wengine wenye ujuzi wakiingia katika vitengo husika safari ianze rasmi.
Kadiri nguruwe walivyozidi kukaa katika vitengo vile bila ujuzi uliohitajika na huku njaa ikiongezeka, sambamba na hamu ya kuguguna, ndivyo walivyozidi kuwa wakali. Matokeo yake kila mnyama aliyehoji kulikoni, nguruwe walipata kisingizio cha kumtafuna na yeye.
Matokeo yake, badala ya wanyama kuendelea kukosoa, nao taratibu wakaacha: wakawa wabeuaji. Nao wakaanza kutafuna au kuguguna kilichokuwa mbele yao. Na wanyama wakubwa kama simba wakaona sasa ipo haja ya kuwatafuna wanyama wadogo walio jirani nao. Wanyama kama nyati ikabidi watafune manyoya ya nyani wakiyafananisha na nyasi. Wanyama wengine wakajiunga na nguruwe katika kushambulia ukuta wa meli. Panya na fuko wao kwa vile walikuwa wadogo kiumbile wakaanzia kuguguna sakafu ya meli.
Wakati huo huo nguruwe wale kwa vile walikwishatengeneza matumbo makubwa sana na kwa vile walichokijua kuliko kingine chochote ni kuguguna na kugugunisha wakaanza kurejea tena kwa madhalimu kuwaomba japo vigugunio. Na kwa vile walikwishaweka nadhiri nao kwamba wataendelea kukalia vitengo, wakawa wakiwadondoshea makombo ambayo nguruwe walikula kwa kujificha.
Mara meli ile ikaanza kuegemea upande na wakati huo maji yakawa yakiingia ndani kwa wingi. Madhalimu wakaingilia kati. Dhalimu mkuu akawaambia wanyama: “Tuliwaambia katu hamuwezi kujitawala nyie. Angalieni sasa si tu kwamba mmeshindwa kuwasha meli na kusafiri zenu, mmeshindwa hata namna ya kushauriana na kutumia vipaji vyenu ili mfanikiwe katika jambo dogo tu la kuwasha meli na kuondoka hapa pwani ya utumwani.” Dhalimu mkuu akameza fundo la mate kisha akaendelea:
“Angalia kwa mfano. Nguruwe yeye uwezo wake mkubwa ni kuzalisha samadi ya kutosha kwa ajili ya kupata gesi na nishati ya kutumia katika meli, akang’ang’ania katika vitengo asivyovimudu. Mwangalie sokwe, hodari wa kuendesha meli lakini kajibanza kule kwenye deka. Haya nyani ilibidi akwee katika mlingoti wa meli kupandisha bendera lakini angepita wapi? Mwangalie sungura na masikio yake hodari kweli kwa mawasiliano ya simu lakini yule kalaliwa na nguruwe anapumua kwa taabu. Nguruwe nguruwe kila pahala.
“Mwangalie kiboko yeye bingwa wa mambo ya stoo lakini hakupata pa kupenya kabakia mguu mmoja ndani ya meli mwingine nje. Mwangalie simba; yeye ndiye bingwa wa kuwasha na kuhudumia mitambo yote ya injini lakini alishindwa kabisa kushuka kule chumba cha injini.” Mara Dhalimu mkuu akatizama juu, kisha akashusha uso wake na kuendelea:
“Mwangalie nyoka pale, yeye ni daktari bingwa wa mabingwa lakini kakosa kabisa pa kujipenyeza kwa vile nguruwe wamekwishajaa mle dispensari. Mwangalie chui, ni bingwa wa kupika na kuhakikisha kila aliye katika meli anapata chakula. Lakini yuuule kwenye deki kule. Mwangalie tembo ni kiongozi mwenye busara sana na angeliwasaidia mno katika majadiliano kufikia mwafaka lakini yeye ndo hata hiyo meli yenyewe ameshindwa kupanda. Nguruwe nguruwe kila pahala! Mmeshindwa kutumia vipaji vyenu katika uhuru na sasa tunawarejesha utumwani tukawasimamie. Sasa itabidi mteremke katika meli ile mrejee nchi kavu kwa sababu kama mnavyoona inaweza kuzama muda wowote nanyi mkiwamo.”
Ndipo wanyama wale wakalia na kusaga meno kwa sababu tu eti waliponzwa na ulafi na ubinafsi wa nguruwe. Nguruwe nguruwe kila pahala, meli yawezaje kwenda?
|
<urn:uuid:0491088e-c283-4670-b14c-4ac48dee1f20>
|
{
"date": "2013-05-24T18:42:05Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368704943681/warc/CC-MAIN-20130516114903-00029-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.977325439453125,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 3,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.977325439453125, \"swc_Latn_score\": 0.012405053712427616}",
"url": "http://www.raiamwema.co.tz/?q=comment/957"
}
|
MWINGIZAJI wa filamu nchini, Sajuki alidondoka jukwaani juzi wakati akijaribu kuwasalimia mashabiki wake waliofurika kumtazama kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Sajuki ambaye jina lake halisi ni Juma Said Kilowoko alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya kupungukiwa dawa na kulazimika kwenda kutibiwa nchini India.
Mwingizaji huyo alipanda jukwaani katika tamasha la lililowahusisha wasanii wa filamu na muziki, lakini ndoto yake ya kusalimia mashabiki wake hakuwezekana.
Mara baada ya kukabidhiwa kipaza sauti Sajuki alitamka neno moja ”ahhh" na kudondoka chini na wasanii wenzake walimsaidia kuinuka na kumuondoa jukwaani hapo. Akizungumza na gazeti hili muda mfupi mara baada ya kushuka jukwaani Sajuki alisema hali yangu si nzuri kwani nahishiwa nguvu na anahitaji matibabu zaidi.
”Kaka hali yangu si nzuri kabisa naumwa, sijisikii vizuri,” alisema Sajuki huku akionekana mnyonge zaidi
Hata hivyo, mashabiki wamefurika uwanjani hapo walionyeshwa kustushwa na hali hiyo na kushutumu wasanii walioamua kumtumia ili wapate fedha ihali mwenzao ni mgonjwa.
“Hawa watu wa Bongo movie ni watu wa ajabu huyu mtu anaumwa, badala ya kumwacha apumzike wenyewe wanamzungusha bila ya kujali afya yake,” walisema mashabiki hao.
|
<urn:uuid:c639079f-0283-4eec-a1a8-2915e6916242>
|
{
"date": "2013-06-19T08:51:26Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368708145189/warc/CC-MAIN-20130516124225-00029-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9911924600601196,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 49,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9911924600601196}",
"url": "http://mrokim.blogspot.com/2012/12/sajuki-alipoanguka-jukwaani-arusha.html"
}
|
Usistaduu, ubrazameni na mapenzi ya kichina
Mapenzi yamekuwa magumu. Ni mzigo mzito kuubeba. Yanendelea kujeruhi wengi, bado ni mateso kwa wengine. Sasa hivi, asilimia kubwa ya watu, inaamini kwamba kupata mwenzi sahihi wa maisha ni ndoto za alinacha. Ni kamari, ni bahati nasibu.
Maendeleo yamekuja na mambo leo. Kile kinachoonekana ni uzungu, kimeathiri kwa kiasi kikubwa ustaarabu wetu. Mila na desturi zetu, vimepokwa na utandawazi uliotujia. Hii inamaanisha kwamba uhusiano wa kimapenzi wa sasa, hauendani na sura ya utamaduni wetu.
Vijijini kuna unafuu japo na kwenyewe fujo zimeshaingia na mambo yameshabadilika. Mijini ndiyo matatizo yenyewe. Ulimwengu wa digitali na fursa za mitandao zinatutia wazimu. Tunataka kuiga mitindo ya maisha ya wenzetu, matokeo yake tunageuka watumwa wa mapenzi.
Hayakuletwa mapenzi ili yawaumize watu, yapo kwa ajili ya kutoa faraja ndani ya jamii. Yalivyo ni kwamba baada ya misukosuko ya kimaisha, vurugu mechi za kusaka riziki na mihangaiko mingine ya kimaisha, angalau unaweza kusahau yote unaporejea kwa mwenzi wako.
Hata hivyo, mapenzi hugeuka matatizo pale ambapo kazini umeondoka pakiwa moto, unarudi nyumbani nako pia unakuta moto. Unakosa sehemu ya kwenda kujishikiza. Faraja inaota mbawa. Hapa ndipo tafsiri ya mapenzi inapokosa mashiko. Jitazame, muangalie na mwenzako!
Japo ni ukweli usiopingika kuwa mapenzi siku zote hayapo tambarare hata kwa wenza waliostaarabika, ila katika kundi la mabrazameni na masistaduu ni mtihani. Kuna usemi kwamba glasi hugongana kabatini, nakubaliana nao lakini kwa makundi hayo ni pasua kichwa.
Mabrazameni na masistaduu ni zao la mapenzi ya kichina, yaani uhusiano bandia. Inawezekana akiwa kwako akajilegeza kama amefika, kumbe anao wengine wengi. Hili ni janga zito kwa maisha ya sasa. Uaminifu haupo, uzinzi na usaliti vimekuwa fasheni ya kutukuzwa.
Wengine siyo masistaduu wala mabrazameni, wapo kawaida au pengine wana muonekano wa heshima mno. Hata hivyo, ukichimbua hulka zao ndiyo utachoka. Ni wakali wa kuwapanga foleni, akitoka kwa huyu anakwenda kwa yule. Mapenzi yametawaliwa na rangi ya Shetani.
Wapo wanaobadili wapenzi kwa sababu za tamaa, lipo kundi linaloamini miili yao ni mtaji wa kupata fedha, wengine shida za maisha, zikasababisha uamuzi huo wa kujidhalilisha, wapo ambao ni tabia. Bila kugusa huku na huko hatosheki. Makundi yote hayo yamezingirwa na Ibilisi.
Mume wa mtu, anapewa sifa ya ‘uchapaji’ wa vidosho. Kwamba anajua kuwapanga kila kona. Nyumba za kulala wageni, anaingia kama nyumbani kwake. Yaani wanamjua, ni mteja wao hodari. Akifika, wanampeleka kwenye chumba anachokipenda.
Wapo wanaopiga simu, yaani namba za nyumba za kulala wageni zimejaa kwenye simu yake. Akijibiwa kwamba Sinza Kumekucha hakuna vyumba, anapiga Vatican, nako akikosa anajaribu Mori. Inahitaji sala na dua kuishi na mtu wa aina hiyo. Kuna mawili, kama hatakupa maradhi, omba usijue tabia yake, atakuua kwa presha.
Mke wa mtu mkali wa mafiga matatu mpaka matano. Anaita vidumu. Anaingia hoteli na gesti bila woga. Wapo wanaodiriki kuwaingiza wanaume ndani ya nyumba zao, wakati waume zao wakiwa hawapo. Balaa likamkuta yule mwanamke wa Kenya, akagandiana na mwanaume aliyemuingiza chumbani kwake, juu ya kitanda anacholala na mumewe.
Wengine ni ujasiri wa asili, wapo wanaofanya hivyo kwa sababu wanaona fasheni. Katika kundi hili wanaorukaruka, wakijiona ni fasheni ndiyo shabaha yangu kubwa. Itapendeza zaidi mapenzi yakikaa kwenye mstari wake ulionyooka. Maana halisi isipindishwe.
Kama ambavyo Jennifer Lopez, anavyobadili wanaume Marekani, eti na hapa Bongo, Wema Sepetu naye hajambo. Nimeshazungumza mara nyingi na Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006-07, hata siku moja hajawahi kuonesha kujuta kwa safari yake ya kubadili wanaume ovyo.
Naseeb Abdul ‘Diamond’, Jumanne Kihangala ‘Mr. Chuz’ na wengine mfano wao, kama Sean Combs ‘P. Diddy’, Christiano Ronaldo na wengineo. Ni mwendo wa kimagharibi. Hakuna mapenzi, ila kupozana haja. Wakitamaniana, wanamalizana leoleo tu. Ameimba Ali Kiba kwenye wimbo Single Boy.
KIINI CHA MAPENZI YA KICHINA
Kuna ulimbukeni uliwaingia watu. Ghafla, kuna tabaka fulani (wakiwemo hawa mastaa wetu), wakaanza kuona mapenzi kama mchezo. Yaani, mtu anaweza kuhusika kimapenzi na mwenzake hata kama hawapendani. Angalia skandali za Wema, Diamond, Jokate Mwegelo, Irene Uwoya na wengineo.
Ni mtindo wa kuyabeba mapenzi kama mchezo wa kujifurahisha. Masistaduu na mabrazameni, hawayabebi kwa uzito wake unaostahili. Wewe msomaji wangu, unayeamini maadili na unathamini moyo wako, utakosea kupita kiasi endapo utaacha njia inayopendeza na kushika mtindo huu wa kimapenzi.
Jaribu kutafakari: Leo inazungumzwa kwamba Diamond anatoka kimapenzi na Aunt Ezekiel. Hapohapo, tambua kuwa Wema alikuwa mchumba wa staa huyo wa Bongo Fleva. Ongeza lingine kuwa Jokate naye kapita kwa kijana huyohuyo. Halafu nakupa siri moja kuwa wote hao ni washiriki wa Miss Tanzania mwaka 2006.
Inamaanisha kuwa walikaa kambi moja lakini wamediriki kuchangia mwanaume mmoja. Wema na Aunt ni marafiki, kwa hiyo hawana wivu. Hata kama ulikuwepo ila sasa umwekwisha. Na hii ndiyo tafsiri ya mapenzi ya Kichina. Mwendo wa kuzungukana, leo kwako, kesho kwa mwingine.
Akina Wema, Jokate na Diamond, kwao inakuwa rahisi kujulikana kutokana na umaarufu wao. Waandishi wa habari wanawafuatilia kila kona, hivyo wanaripotiwa na jamii inajua nyendo zao. Kundi hilo ndilo linatajwa kwamba wahusika wake hawajatulia.
Hata hivyo, upo ukweli uliotimia kuwa mitaani kwa jamii ya watu wa kawaida, wapo wachafu kuliko. Mwanamke mmoja anaweza kuwapanga wanaume watano kwa siku. Akitoka huyu anakwenda kwa mwingine. Anabadili nyumba za kulala wageni.
Huyu, hajitambulishi kama changudoa. Atasimama pembeni na kwamba yeye ni mtu mwenye heshima zake. Akiwaona machangudoa usiku wa manane wakiwa wamejipanga mawindoni na mavazi yao ya nusu uchi, atawalaani. Ni msemo wa nyani haoni makalioni kwake!
Huko nyuma nilishawahi kueleza mfano wa wanandoa kusaliti. Nikabainisha kwamba baadhi ya wanaume hufanya makosa pale wanapowakataza wanawake wao kufanya kazi. Eti wanataka wakae tu nyumbani. Hapa ndiyo kuna jambo, kwani mtu anapokaa bila kazi, hukaribisha hisia za karibu.
Hii ikanifanya nijenge hoja kutokana na muongozo wa kisaikolojia kwamba akina mama wa nyumbani, ni kundi hatari mno kusaliti ndoa. Mara nyingi wanakuwa hawapo bize, kwa hiyo hisia za kimapenzi zinakuwa karibu na matokeo yake hujikuta wakifanya zinaa na watu wa kushangaza.
Hujawahi kusikia mke wa mtu katembea na ‘houseboy’ wake? Vipi mwanamke kufanya zinaa na mdogo wa mume wake? Je, muuza bucha kujilia vyake nyakati za mchana kwa ofa za robo ya nyama anayomuongezea mke wa mtu aliyekwenda kununua kilo mbili? Hayo yapo kwenye mazingira yetu ya kila siku.
Kila siku wauza magenge na maduka, wanaingilia ndoa za watu. Nafasi hizo wanazipata kwa sababu ya kutokuwepo ubize kwa wanawake hao. Asili yetu tunapenda utani, hivyo wakitaniana mara mbili, mwanamke anahama kihisia. Keshokutwa asubuhi mume akiondoka, huyu anakimbilia gengeni.
Huu ni mfano katikati ya mada yetu. Mtu wa aina hii akiwaona machangudoa barabarani, atawalaani kupita kiasi. Hata hivyo, mtindo wa maisha yake hauna tofauti na changudoa kutokana na ukweli kwamba mtu mwenye staha na heshima, hawezi kujilimbikizia vidumu. Mume usiku, mchana muuza bucha au houseboy, haijakaa vizuri.
Hapa nifafanue kuwa yule ambaye anajiona yupo kwenye uhusiano salama, basi aendelee hapohapo kwa sababu ndipo kwenye bahati yake. Kwa wale wenye maumivu pale walipo, basi wajiangalie mara mbilimbili. Maisha yanaendelea. Maisha bora yanajengwa na mtu mwenye akili iliyotulia.
Huwezi kuwa na matatizo, akili haitulii kwa sababu ya misukosuko ya kimapenzi, ukadhani kwamba utajenga maisha imara. Hapo utakuwa unajidanganya. Tibu kwanza janga lako la mapenzi ili maisha yako yanyooke. Ikiwezekana, jipe muda wa kukaa ‘singo’. Inawezekana.
Beba zingatio kuwa lipo kundi la watu wanaowachezea wenzi wao lakini maisha yao ya kimapenzi bado ni imara. Japo anayetendwa ni maumivu kwake, ila mtendaji ni sawa tu. Haumii, anamnyanyapaa mwenzi wake na anaendelea kupendwa. Ni bahati tu.
Wewe unasaga miguu na kuumiza kichwa. Kila siku unajitahidi kumtafuta mwenzi bora wa maisha yako lakini hujampata. Badala ya furaha, unavuna machungu mtindo mmoja. Usijione una bahati mbaya, badala yake endelea kuitazama mbele kwa matumaini.
Huyo huelewani naye kwa sababu siyo wa bahati yako. Wako yupo na bahati mbaya hujamfikia. Jambo la kufanya si papara, kuwa mtulivu, utampata kwa urahisi. Ukijifanya bingwa wa kuwapanga na kuwapangua, hutafanikiwa, matokeo yake utampita na mwenzi bora wa maisha yako bila kujua.
Penda kutazama mifano kwa walio karibu yako. Je, wanaishi vipi na wenzi wao? Kama nao picha haziendi, tambua kwamba wanalazimishana. Watu wanaopenda, haiwezekani kila siku wakawa wanasumbuliwa na migogoro. Kuna mawili, moja litakuwa sahihi.
Mosi; wote hawapendani ila walijikuta wapo pamoja kwa mvuto wa tamaa za mwili, nao wakajidanganya ni mapenzi, hivyo wakawa pamoja. Pili; kama mosi haikuwa sahihi, basi itakuwa mmoja anapenda, mwingine analeta utani, hivyo kufanya misuguano isiyoisha.
Itaendelea wiki ijayo.
|
<urn:uuid:a96ba3f8-e4c1-4b93-9c19-da19b2d3f2c8>
|
{
"date": "2013-05-18T11:11:32Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368696382360/warc/CC-MAIN-20130516092622-00019-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9667946100234985,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9667946100234985, \"swc_Latn_score\": 0.02708468586206436}",
"url": "http://www.deiwakaworld.com/index.php?option=com_content&view=article&id=888:usistaduu-ubrazameni-na-mapenzi-ya-kichina&catid=38:loverelationships&Itemid=149"
}
|
Vita kubwa ya kuwania uenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeonekana dhahiri, baada ya vigogo wawili wenye nguvu kuchukua fomu za kuwania kiti hicho.
Kuwepo kwa vita kali katika kinyang’anyiro hicho kunatokana na kujitokeza kwa Mbunge wa Same Mashariki, Anne-Kilango Malecela, kuchukua fomu hizo jana.
Mwenyekiti wa sasa wa UWT Taifa, Sophia Simba, juzi alikuwa wa kwanza kuchukua fomu hizo kutetea nafasi yake katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
Kilango ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, alichukua fomu hizo akiwa ameongozana na mumewe ambaye ni mwanasiasa mkongwe nchini na ndani ya CCM, Mzee John Malecela.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana baada ya kukabidhiwa fomu na Katibu Msaidizi Mkuu wa UWT, Martha Kanakamfumo, Kilango alisema ameamua kugombea nafasi hiyo ya juu kisiasa ndani ya CCM kwa kuwa ana uwezo wa kuwaandaa wanawake kiuchumi na kisiasa.
“Wanawake katika ngazi ya wilaya wanapaswa kuandaliwa wawe kuwa na nguvu za kiuchumi na kisiasa ili wapate na uwezo kutembea nyumba hadi nyumba nyakati za uchaguzi na kukiletea chama chetu ushindi,” alisema Kilango.
Kuhusu uzoefu wake ndani ya UWT, Kilango alisema amewahi kuwa mwenyekiti wa umoja huo katika ngazi ya wilaya.
“Uwezo wangu wa kisiasa umetokana na uongozi wa Mwenyekiti wa UWT ngazi ya wilaya, Wilaya ya Kinondoni. Kwa kifupi nguvu yangu ya kisiasa inatoka ndani ya tumbo la UWT,” alisema Kilango.
Simba ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, alichukua fomu hizo juzi asubuhi katika ofisi za UWT mjini hapa.
Akizungumza baada ya kuchukua fomu hizo Simba, alisema ameamua kutetea nafasi hiyo kwa mara nyingine ili amalizie mambo aliyoyaanza wakati wa uongozi wake, ikiwemo ujenzi katika viwanja mbalimbali vya umoja huo nchini.
“Kutokana na uzoefu nilioupata miaka minne iliyopita, tumekuwa kitu kimoja katika kipindi chote, wanawake wenzangu wamenipa ushirikiano mzuri wakati wa utekelezaji wa majukumu yangu ndiyo umenihamasisha kugombea kwa mara nyingine nafasi hii,” alisema Sophia.
Sophia alisema katika kipindi chake cha uongozi, anajivunia kutembelea mikoa yote nchini na kuzungumza na wanawake kuhusiana na mambo mbalimbali ya maendeleo.
Sophia alisema iwapo atachaguliwa kuongoza kwa mara nyingine jumuiya hiyo, ataendeleza waliyoyaanzisha ikiwemo Chama cha Ushirika wa Kuweka na Kukopa (Saccos) ambacho kitazinduliwa Septemba, mwaka huu.
Ingawa bado vigogo zaidi hawajajitokeza kuchukua fomu kuwania nafasi hiyo, lakini kujitokeza kwa Sophia kutetea nafasi yake na Kilango kujaribu kwa mara ya kwanza, ni sababu tosha za kukifanya kinyang’anyiro hicho kuwa na ushindani wa hali ya juu.
Hali hiyo inatokana na Sophia kuwa na ushawishi kwa wajumbe wengi akiwa kama mwenyekiti na vile vile kuungwa mkono na vigogo wa juu wa chama hicho akiwa mjumbe wa Kamati Kuu (CC).
Kwa upande wake, Kilango siyo mtu wa kupuuzwa kwa kuwa pia kama mbunge na mjumbe wa NEC, ana ushawishi mkubwa na vile vile anaweza kunufaika kutokana na umaarufu wa mumewe ambaye ni Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu, Makamu Mwenyekiti Bara na mjumbe wa kudumu wa NEC na CC.
Katika uchaguzi uliopita uliomwingiza madarakani, Sophia alimshinda Janeth Kahama, mke wa mwanasiasa mkongwe nchini, George Kahama, huku ukiwemo ushindani mkali.
Kimsingi, nafasi ya uenyekiti wa UWT ni nyeti sana ndani ya chama hicho kwa kuwa mwenyekiti anakuwa mjumbe wa NEC na CC moja kwa moja, ambavyo ni vikao vya kufanya mamuzi makubwa ya chama.
Kwa mfano, kinyang’anyiro hicho kitakuwa ni mwelekeo wa kupanga safu za uongozi wa chama na dola kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2012.
Kwa kujibu wa ratiba ya uchaguzi huo, uchukuaji wa fomu kwa ajili ya uchaguzi huo utaendelea hadi Agosti 6, mwaka huu.
|
<urn:uuid:5fa20c1b-fd6d-494b-ac68-f5f322424cf5>
|
{
"date": "2013-05-26T05:33:47Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368706631378/warc/CC-MAIN-20130516121711-00019-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9840530753135681,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 8,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9840530753135681, \"swc_Latn_score\": 0.012888025492429733}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/oi.poc/Il=2389=170migrant.ie/%C2%B0_%C3%860?l=44360"
}
|
Serikali imehusika katika kesi 4,380, tafadhali soma zaidi hapa chini:
Source: IppMedia.Serikali imehusika katika jumla ya kesi 4,381
2007-11-08 16:17:30
Na Radio One Habari
Serikali imehusika katika jumla ya kesi 4,381 kati ya mwaka 2000 hadi 2007 zikiwa ni mashauri ya madai ya kawaida na maombi ya kupinga maamuzi ya mamlaka mbalimbali za serikali.
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Mathias Chikawe ameliambia bunge kuwa katika kesi 54 kati ya hizo, serikali ilikuwa mdai na kesi 4,227 ilikuwa mdaiwa.
Akijibu swali la Mbunge wa Wawi Mhe. Hamad Rashid Mohamed, Naibu waziri, amesema serikali ilishinda kesi 1,922 kati ya kesi 2, 327 zilizotolewa maamuzi na kushindwa katika kesi 400.
Kuhusu kiasi cha fedha kilichotumika kugharimia kesi hizo, Mhe. Chikawe amesema kwa kesi za kawaida na kesi za maombi ya kupinga maamuzi ya mamlaka mbalimbali, serikali huwatumia mawakili wake ambao ni waajiriwa kwa ajili ya kuendesha kesi hizo.
Amesema katika baadhi ya kesi, hasa za upatanishi, serikali hutumia mawakili binafsi kwa kuzingatia mkataba.
Ametaja sababu ya kutumia mawakili binafsi katika mashauri ya upatanishi kuwa ni pamoja na uhaba wa watalaam hao wenye cheti cha Kimataifa cha Upatanishi.
--Kwenye kipengele cha mwisho hapo juu, je huu ni uhalalisho wa malipo ya kiajabu kwa Wakili Nimrod Mkono kwa niaba ya BoT?!
--Ule utata alio uzua Waziri Magufuli nao malipo yake kwa wahusika wadai ya billion 15 (kama sijakosea) yakiidhinishwa nayo yatatoka kwenye hazina kuu?!
Naomba maelekezo wana JF tafadhali. Lakini muhimu hapa mimi naona ni wahusika wadaiwa kufungwa kama si kuachishwa kazi mara moja.
SteveD.
|
<urn:uuid:18092cf2-d805-4765-b7db-b95862a2425b>
|
{
"date": "2013-05-26T05:39:39Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368706631378/warc/CC-MAIN-20130516121711-00019-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9936354160308838,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9936354160308838}",
"url": "http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/7048-serikali-na-kesi-zake-mpaka-sasa-ni-kesi-4-380-toka-mwaka-2000-and-counting.html"
}
|
MCHUNGAJI Ambilikile Mwasapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu huko Samunge Loliondo, juzi jioni aliondoka hapa kwenda Babati, Manyara kuhudhuria mazishi ya mtoto wake huku safari yake hiyo ikiratibiwa na Serikali na akipewa ulinzi mkali wa maofisa usalama na polisi.
Aliondoka Samunge saa 12:20 jioni na gari la Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro akiwa na maofisa hao wa usalama, polisi na wasaidizi wake.
Kabla ya kuondoka Samunge, watu mbalimbali walikuwa wamejitolea kumpatia usafiri mchungaji huyo lakini walizuiwa kutokana na sababu za kiusalama.
"Tulikaa kama kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, tukaona ni busara tuchukue jukumu la kumsafirisha Mchungaji hasa kutokana na sababu za kiusalama," alisema ofisa mmoja mwandamizi wa serikali wilayani hapa.
Alisema mchungaji huyo atalindwa akiwa msibani na atakaporejea Samunge.
Warundi, Wakenya, Waganda wakwama
Zaidi ya raia 100 kutoka Kenya, Burundi na Uganda, wamekwama Samunge kutokana na kusitishwa kwa tiba hiyo hadi Ijumaa.
Licha ya hatua hiyo ya kusitishwa kwa huduma kutangazwa mapema, maelfu ya watu, wakiwamo raia hao wa kigeni, waliendelea kumiminika Samunge kupata matibabu hayo.
Profesa Hakizimana Godefroid kutoka eneo la Muyumba, Burundi akiwa na ujumbe wa watu saba alisema wametumia siku saba kufika hapa na kwamba hatua hiyo imewasikitisha."Gari hili tumekodi kutoka Burundi hadi hapa, tunasikitika sana kukuta hakuna huduma na tunaambiwa ilitangazwa hapa Tanzania pekee kitu ambacho si kizuri," alisema Godefroid.
Alisema kutokana na taarifa ya tiba ya Mwasapila kusambaa karibu nchi zote za Afrika na nje ya bara,Serikali ilipaswa kutoa taarifa za kusitishwa kwa huduma hiyo katika balozi zake zote zilizopo nchini."Tumeondoka Burundi tukijua kuwa huku Tanzania tiba inatolewa tena tulijua hata siku za Pasaka tiba inaendelea. Taarifa zingesambazwa mapema tusingekuja sasa," alisema Godefroid.
Ofisa Uhamiaji ambaye yupo Samunge, Suleiman Saanane akishirikiana na polisi, juzi na jana walitumia muda mwingi kuwaelimisha raia hao wa nchi jirani juu ya kusitishwa kwa tiba hiyo na namna Serikali inavyoisimamia. Raia wa Kenya na Uganda, Peter Kimath na Joram Batengi, walishauri Serikali ya Tanzania kuipa hadhi tiba inayotolewa na Mchungaji Mwasapila wakisema, inawaponya watu na inavyoonekana, maelfu ya watu watafika Samunge.
"Hatuoni kama huyu mzee anapewa usaidizi ila tunachoona ni Serikali kukusanya kodi tu hapa ya magari na helikopta. Sasa kama wanapata fedha nyingi waitambue rasmi hii tiba na kuweka utaratibu mzuri," alisema Kimath. Batengi aliishauri Serikali kuboresha mazingira ya Samunge hasa barabara na eneo la tiba ili watu wanaotoka nchi za nje waamini kwamba tiba hiyo inaponya.
"Uganda wengi wanajua tiba hii na kuna ambao wanasema kuwa wamepona ila ukifika hapa huwezi kuamini kama tiba hii ni nzuri kwani mazingira ya hapa siyo mazuri na hata njia za kufika hapa ni mbaya sana," alisema Batengi.
Raia hao wanalazimika kubaki Samunge hadi Ijumaa siku ambayo Mchungaji Mwasapila atarejea na kuendelea kutoa tiba. Mchungaji Mwasapila anatarajiwa kurejea Samunge leo baada ya kushiriki katika mazishi ya mtoto wake Jackson (43), yaliyofanyika jana.
Msaidizi wa Mchungaji huyo, Frederick Nisajile aliliambia gazeti hili jana kuwa baada ya kurejea, wataanza maandalizi ya kuchemsha dawa ambayo itatumika Ijumaa.
|Wednesday, 27 April 2011 21:50|
0diggsdigg
|
<urn:uuid:93369c6c-efe3-4d15-9bef-808292ce4d29>
|
{
"date": "2013-05-20T05:27:17Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368698354227/warc/CC-MAIN-20130516095914-00035-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9923602938652039,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 16,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9923602938652039}",
"url": "http://jesusislord4all.blogspot.com/2011/04/babu-wa-loliondo-aenda-msibani-chini-ya.html"
}
|
Milima ya Lebanoni ndogo
Lebanoni Ndogo (pia: Antilebanon) ni safu ya milima katika Lebanoni, Syria na Israel inayoelea sambamba na milima ya Lebanoni yenyewe upande wa mashariki. Kati ya safu hizi mbili liko bonde la Beka'a. Upande mwingine iko Dameski mji mkuu wa Syria.
Mpaka wa Syria na Lebanoni hufuata sehemu za juu za Lebanoni Ndogo.
|
<urn:uuid:811a73da-575b-4d42-9954-702d34aac917>
|
{
"date": "2013-05-20T05:40:14Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368698354227/warc/CC-MAIN-20130516095914-00035-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9976105093955994,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 28,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9976105093955994}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Milima_ya_Lebanoni_ndogo"
}
|
Academy Ushauri Document, baadhi ya ukweli muhimu. Sisi tunasema, wanasema
Fedha:
Wao Sema: The Academy bila kuboresha huduma hutoa kwa kununua kwao moja kwa moja.
Sisi Sema: Wangekuwa kununua kutoka sawa na duka kona. Mamlaka za Mitaa hununua kutoka sawa sawa na jumla, ambako bei ni nafuu sana kama wanaweza kununua bidhaa na huduma kwa kiasi kiasi kikubwa.
Mahitaji ya Elimu Maalum (Sen)
Wao Sema: The Academy bado kupokea ruzuku moja kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum ya kielimu na bado ingekuwa kufuatiliwa kwa lea.
Sisi Sema: Mamlaka za Mitaa ingekuwa hakuna mamlaka ya kutekeleza na ya Academy. Ingekuwa kurejesha haki ya kufuatilia sen utoaji bali itakuwa kisheria hawawezi kuingilia katika tukio la mgogoro au tatizo. Wazazi tena kuwa na uwezo wa ushauri kwa lea lazima kitu kwenda vibaya, wangeweza kuwasiliana na Serikali.
waliolazwa na Muda Tarehe:
Wao Sema: The Academy bado ingekuwa zifuatazo lea mwongozo juu ya waliolazwa na itakuwa na uwezo wa kuweka yake mwenyewe tarehe mrefu.
Sisi Sema: Academy The (katika kubwa, bidhaa ujenzi wa jengo jipya) itakuwa karibu shaka kuwa oversubscribed ambayo kumweka inakuwa kisheria na haki ya marekebisho ya waliolazwa ni utaratibu na kuanza uteuzi. Watoto kuonekana kama ‘ngumu’ inaweza kuwa alikataa uandikishaji. Tofauti mrefu tarehe ya familia na watoto katika shule zaidi ya moja itakuwa chaotic.
Utawala Bora:
Wao Sema: The Academy itakuwa na jukumu la kuteua ni watawala wenyewe.
Sisi Sema: Academy watawala si kuwajibika kwa wazazi, Mamlaka za Mitaa, au ya umma. Makubwa ya wadhamini wa Chuo, ambayo inaweza kuwa binafsi biashara, ni moja kwa moja kutokana na wengi udhibiti wa uongozi.
Majengo:
Wao Sema: The Academy bila kuwa na zaidi udhibiti wa majengo ni occupies na itakuwa bure kwa kusimamia na kulipa kwa ajili ya matengenezo.
Sisi Sema: The Academy bila kuwa na kuchukua umiliki wa mali kulipwa kwa pamoja na fedha za walipa kodi. Ya shule mpya ni sehemu ya maendeleo kubwa kulipwa kwa umma, kuhamisha umiliki wa sehemu ya tovuti ingeweza kusababisha matatizo makubwa ya kisheria, kifedha na vitendo.
Pendekezo Academy ina faida NO elimu kwa watoto. shule ni nguvu kwa pamoja katika familia LOCAL YA SHULE YA kusimama peke yake SHULE OUT kwa ajili ya faida na ushindani.
|
<urn:uuid:5a218885-5112-459f-abb1-a05c04856b8c>
|
{
"date": "2013-06-20T01:24:54Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368709337609/warc/CC-MAIN-20130516130217-00035-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9314937591552734,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9314937591552734, \"swc_Latn_score\": 0.0609733909368515}",
"url": "http://sayingno.org/cms/consultation/academy-consultation-document-some-important-facts-they-say-we-say/swahili/"
}
|
Daniel Nathans
Daniel Nathans (30 Oktoba 1928 – 16 Novemba 1999) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya Marekani. Hasa anajulikana kwa kuchunguza mfumo wa kijenetiki wa virusi mbalimbali. Mwaka wa 1978, pamoja na Werner Arber na Hamilton Smith alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
|Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Daniel Nathans kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:fd4fba7d-f07b-4d33-8288-b0b1d19fbc63>
|
{
"date": "2013-06-19T22:17:40Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-20",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-20/segments/1368709337609/warc/CC-MAIN-20130516130217-00035-ip-10-60-113-184.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9761671423912048,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 63,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9761671423912048, \"swc_Latn_score\": 0.021115915849804878}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Daniel_Nathans"
}
|
Yangon
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yangon (pia:Rangun) ni mji mkubwa wa Myanmar. Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi 2005.
Kuna wakazi zaidi ya milioni 4. Mji uko kando la mto Hlaing karibu na bahari.
Picha za Rangun[hariri]
|Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Yangon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:43cc8875-1c91-4abf-9d6c-4ed9d870fa85>
|
{
"date": "2013-12-08T12:07:19Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386163065342/warc/CC-MAIN-20131204131745-00008-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9980852603912354,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 81,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9980852603912354}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Yangon"
}
|
Matokeo ya mapema ya upasuaji wa maiti ya mpenzi wa mkewe waziri wa zamani Raphael Tuju, Tony Ogunda yanadhihirisha kuwa kuhusiana na kitendawili kinachozingira kifo cha aliyedaiwa kuwa mpenzi wa mkewe waziri huyo wa zamani, Tony Ogunda alikuwa amepigwa na silaha butu kabla ya kufariki.
Ripoti kamili ya upasuaji aidha inatarajiwa kuwekwa peupe mnamo kwa muda wa majuma mawili yajayo
Anavyoarifu mwanahabari wetu, marehemu ogunda atazikwa mnamo tarehe kumi na tatu mwezi Julai kwao kaunti ya Homabay.
|
<urn:uuid:7fd47405-1b9b-4840-abef-b81459a04bbc>
|
{
"date": "2013-12-10T18:26:40Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164023039/warc/CC-MAIN-20131204133343-00046-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9710755348205566,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9710755348205566, \"swc_Latn_score\": 0.01950426585972309}",
"url": "http://k24tv.co.ke/?p=6913"
}
|
Jumatano shirikisho la soka nchini (TFF) lilitiliana saini mkataba na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro kwa ajili ya udhamini wa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, kwa miaka mitano.
Udhamini huo, kwa mujibu wa mkataba, utagharimu dola za Marekani milioni 10, ikiwa ni zaidi ya mara tatu ya mkataba uliomalizika chini ya kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) ambao walianza kuidhamini Stars mwaka 2006 kwa Sh. milioni 700 kwa mwaka.
Katika udhamini mpya, Stars itapatiwa basi la kisasa la kukaa watu 40, wachezaji watakaa katika hoteli za kuanzia nyota tatu zenye bwawa la kuogelea, posho za wachezaji zitaongezeka kwa zaidi ya mara tatu, timu itatafutiwa mechi nyingi za kujipima ndani na nje ya nchi, wachezaji watapatwa vifaa vya kisasa vya michezo vikiwemo viatu, jezi, suti za michezo, suti za kawaida na kadhalika.
Udhamini huo utagusa pia mafunzo kwa wafanyakazi wa TFF ndani na nje ya nchi, semina na mikutano ya utawala bora pamoja na uendeshaji wa tovuti ya TFF ambayo kwa sasa ukiifungua taarifa zake nyingi utakazokutana nazo ni za zamani.
Ni jambo kubwa na la kupongezwa limefanywa na TBL kwa sababu kukosekana kwa morari ya wachezaji katika kambi ya timu ya taifa ilikuwa ni moja ya matatizo makubwa.
Tumewasikia wachezaji wakilalamika kichini chini, na mmojawapo, Athumani Machuppa, amewahi kuandika kilio cha wachezaji katika ukurasa wake Facebook aliposema kwamba posho ya Sh.15,000 kwa wachezaji wa taifa inashusha morari ya wachezaji kambini.
Mlengwa mkubwa katika udhamini wa Stars anapaswa kuwa mchezaji mwenyewe kwa sababu yeye ndiye anayeingia uwanjani kupambana na wadhamini wanapaswa kulitazama hilo .
Inakuwa jambo kwa timu kufanikiwa ikiwa timu imedhaminiwa kwa vifaa na kadhalika lakini mchezaji mwenyewe anaingia uwanjani akiwa ananung'unika kwamba kambi ya Stars inamuumiza kwa sababu hajaacha hata senti nyumbani kwake.
Ndio. Ataacha kiasi gani nyumbani kama amepewa Sh. 15,000 kwa maisha ya sasa?
Hauwezi kufananisha maisha ya wachezaji wa timu za taifa za Ulaya kwa mfano, ambao tayari wana mishahara mikubwa katika klabu zao hivyo posho katika timu ya taifa inaweza isiwe 'ishu' sana .
Kwa soka letu changa la ridhaa, ambapo wachezaji kwenye klabu zao, wengi wanalipwa pesa ndogo ukilinganisha na ukubwa wa majina yao ama klabu wanazochezea, mazingira mazuri kwa mchezaji wa taifa ni jambo muhimu sana .
Hii haimaanishi kwamba wachezaji wetu si wazalendo ambao ni lazima walipwe vinono ndio wacheze 'jihad'. Uzalendo upo, lakini nyumbani watoto wanalia njaa, kutakuwa na umakini kweli katika kudumisha uzalendo hapo?
Tunawapongeza TBL kwamba wameliona hilo katika mkataba wao na TFF. Mchezaji anayelala katika hoteli ya hadhi ya juu, anayevaa kiatu kizuri, jezi yenye ubora na posho ya kuridhisha, hakika anaongezeka kujiamini akutanapo na wapinzani wenye majina makubwa uwanjani. Ni suala la kisaikolojia zaidi.
Tunaamini kwamba kwa udhamini huu, wachezaji watapigania zaidi nafasi ya kuchezea Stars.
Na watakaopata fursa hiyo watapambana zaidi kutafuta matokeo uwanjani, jambo ambalo ni manufaa kwa maendeleo ya soka la Tanzania , ambayo kwa sasa kila viwango vya ubora vya FIFA vinapotolewa sisi tunazidi kupiga hatua za kurudi nyuma.
Wachezaji kadhaa wamewahi kutangaza kutoichezea tena taifa pengine kwa kuona kwamba hakuna anayewajali wanapojitoa kuipigania nchi yao .
Beki wa Yanga, Stephano Mwasika, aliwahi kutangaza kutoichezea tena Stars baada ya kuumia wakati akiwa na timu ya taifa na kulazimika kwenda kutibiwa na klabu yake iliyomsafiri kwenda India kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa goti.
Kwa udhamini huu, tunatarajia kwamba, matukio kama haya hayatakuwa na nafasi.
Na tunatarajia kwamba kwa kuwa ni mkataba wa taifa, hakutakuwa na mambo ya kufichana-fichana, kila kitu kitakuwa wazi. Kwamba kwamba kiasi gani kinakwenda wapi na watu wapewe nafasi ya kuhoji kama ni kweli thamani ya kitu hicho inalingana na kilichoandikwa kwenye makaratasi?
Kumekuwepo na malalamiko kuhusiana wadhamini kujipa wenyewe majukumu yote ya kufanya manunuzi na kisha vifaa vinavyonunuliwa kuwa havilingani na thamani ya pesa iliyotajwa.
Tunapenda kuamini alichokisema wakili wa TFF, Alex Mgongolwa, ambaye alikuwepo wakati wa maafikiano hadi kusainiwa kwa mkataba huo kwamba jukumu la manunuzi litaachwa kwa TFF, kwamba hata pesa ya kununulia basi hilo la kisasa itakabidhiwa kwa TFF na kwamba vifaa vitasambazwa na Adidas. Hivi ndivyo vilivyokuwa vilio vikubwa Stars.
|
<urn:uuid:ac7005c9-204e-47c3-a353-d6fff05e4b2a>
|
{
"date": "2013-12-10T18:16:53Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164023039/warc/CC-MAIN-20131204133343-00046-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.988908588886261,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 156,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.988908588886261}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/=INSuR6&ses/tabin&i5d/function.fopen?l=41539"
}
|
Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo inatarajia kutoa tamko lake baada ya kukutana jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika, aliyasema hayo jana alipozungumza na NIPASHE na kuongeza kuwa tamko la kamati hiyo litatolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.
Alisema tamko hilo litatolewa katika kikao cha Baraza Kuu la chama hicho leo.
|
<urn:uuid:1555f384-d58e-4e16-b4f9-1a52b6403da0>
|
{
"date": "2013-12-10T01:43:12Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164004057/warc/CC-MAIN-20131204133324-00012-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9977799654006958,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 25,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9977799654006958}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=50601"
}
|
Algiers
|Jiji la Algiers|
|
|
|Nchi||Algeria|
|Jimbo||Jimbo ya Algiers|
Algiers (Kiarabu مدينة الجزائر, madīnat al-djazā'ir ("mji wa visiwa"), Kifaransa Alger) ni mji mkuu pia mji mkubwa kabisa wa nchi Algeria ikiwa na wakazi milioni 2 (mwaka 2005), pamoja na mitaa ya nje takriban milioni tano. Iko mwambaoni wa Mediteranea. Algiers ni makao ya serikali na kitovu cha uchumi, biashara, utamaduni na mawasiliano nchini.
Historia[hariri]
Mji ulianzishwa kama koloni ya Wafinisia katika karne ya 4 KK. Mahali palifaa kutokana na visiwa vinne vidogo vilivyokuwepo karibu na mwambao (lakini katika karne ya 17 BK viliunganishwa na bara). Baada ya kuenea kwa Dola la Roma ikawa mji wa Icosium na kuvamiwa na Waarabu Waislamu mwaka 702. Waberber wa kabila la Beni Mezghenna walikaa katika eneo hili. Mwaka 960 kiongozi wa Kiberber Buluggin ibn Ziri aliyekuwa gavana ya makhalifa wa Fatimiya wa Misri aliteua mahali pa Icosium na kujenga boma hapa. Mji uliitwa sasa "Al-djazair-Mezghenna" yaani "visiwa vya Beni Mezghenna". Hapa ndipo asili ya jina la leo "Al djaza'ir (الجزائر)" yaani "visiwa". Katika karne zilizofuata mji ulivamiwa na watawala Wamurabitun na Wamuwahidun kutoka Moroko. Baadaye mji ukawa chini ya masultani wa Algeria ya Kaskazini.
Mnamo mwaka 1302 Hispania ilifaulu kushika visiwa vidogo mwambanoni kwa miaka kadhaa hadi kufukuzwa tena na mharamia Barbarossa aliyeteka mji kwa niaba ya Sultani wa Uturuki. Tangu karne ya 16 BK Algiers ikawa mji wa kujitawala ndani ya Dola la Uturuki. Imekuwa mara kwa mara makao makuu ya maharamia ya Mediteranea ya magharibi. Maharamia hawa walishambulia jahazi za Wakristo kama Waitalia, Wafaransa, Wahispania na kadhalika na kuteka abiria pamoja na mabaharia. Waliuzwa kama watumwa au kurudishwa kwao baada ya kulipa pesa. Maharamia waliweza pia kushambulia miji ya Wakristo mwambaoni wa Mediteranea na kutwaa wakazi kama watumwa. Hali hiyo ilisababisha tena na tena majaribio ya nchi za Ulaya kuvamia Algiers lakini bila kufaulu hadi karne ya 19. Mwaka 1815 Marekani ilishambulia Algiers baada ya kupotea meli na raia kwa maharamia wa mji; mwaka 1816 Waingereza pamoja na Waholanzi walishambilia tena kwa kusudi ya kulinda meli na raia zao. Walifaulu kumlazimisha mtawala wa Algiers atie sahihi kwenye mkataba wa kutochukua tena Watumwa kutoka nchi za Ulaya ingawa biashara hii iliendelea kwa siri hata baadaye.
Mwaka 1830 Wafaransa walivamia mji na kuanzisha utawala uliokuwa mwanzo wa ukoloni wa Kifaransa katika Algeria.
Wafaransa walipanusha na kubadilisha mji wa Kiarabu na Kiberber. Katika karne ya 19 Wafaransa wengi walihamia Algeria hadi Algiers ilikuwa mji mwenya wakazi wengi Wafaransa kuliko wenyeji asilia waliokaa hasa katik mji wa kale ulioitwa "Kasbah". Wafaransa waliozaliwa Algeria walijiita "pieds noir" (miguu meusi). Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia Alegria ilikuwa chini ya serikali ya Kifaransa katika maeneo yasiyovamiwa na Ujerumani hadi kuingiliwa na wanajeshi Waamerika na Waingereza mwaka 1942. Baadaye ikawa mji mkuu wa "Ufaransa Huru" hadi mwisho wa vita.
Tangu uhuru wa Algeria 1962 Algiers imekuwa mji mkuu wa Algeria. Akina pieds noir walio wengi waliondoka wakihofia uchungu baada ya vita ya ukombozi.
Marejeo[hariri]
|Makala hii kuhusu maeneo ya Algeria bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Algiers kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:2871c6c5-adbf-4817-9b67-0ab860431107>
|
{
"date": "2013-12-09T13:22:26Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386163973624/warc/CC-MAIN-20131204133253-00049-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.998347282409668,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 48,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.998347282409668}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Algiers"
}
|
Wasanii machachari Bongo Move Wema Sepetu (kushoto) na Aunt Ezekiel wakicheza muziki wa bongo Fleva uliokuwa ukishushwa na Msanii wa Bongofleva,Ferooz katika uzinduzi wa Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 Bhaaaaass! katika Uwanja wa Chuo cha Ushirika Mjini Moshi usiku huu. Tamasha hilo limebamba ile mbaya.Ferooz akiwa na mmoja wa mashabiki wake wakilishambulia jukwaa vilivyo.Sehemu ya wakazi wa mji wa Moshi wakiendelea kushuhudia makamuzi ya wasanii mbalimbali wanaotumbuiza usiku huu kwenye uzinduzi wa tamasha la
Prezoo akiwarusha mashabiki kibao (hawapo pichani) waliojitokeza jioni ya leo kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012
Pichani juu na chini ni mwanamuziki kutoka nchini Kenya na mmoja wa shiriki wa shindano la Big Brother Stargame,CMB Prezoo akitumbuiza jukwaani usiku huu kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 ndani ya uwanja wa chuo cha ushirika mjini Moshi.Mmoja wa wasanii wa hip hop Joh Makini akikamua vilivyo usiku huu mbele ya umati mkubwa wa watu uliojitokeza kwenye uzinduzi wa tamasha la Fiesta.Msanii mahiri wa bongofleva,Lina akiwa na densaz wake wakilishambulia jukwaa vilivyo.Lina akiimba wimbo wake YalaitiMkali mwingine wa hip hop Mwana FA akishusha mitindo huru.Pichani juu na chini Mwana FA akilishambulia jukwaa vilivyo kwa mitindo yake huru iliyokuna vilivyo mashabiki wake,waliofika kwa wingi kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012.Wasanii wa nyota wa Filamu hapa nchini nao walijumuika kwa pamoja kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012,pichani jukwaani ni Wema Sepetu,Jacob Steven a.k.a JB,pamoja na Aunt Ezekiel wakilisakata sebene.Ray nae akilisakata sebene vilivyo.
|
<urn:uuid:e7322261-cd5c-4350-9933-38c70212865c>
|
{
"date": "2013-12-11T02:05:48Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164029048/warc/CC-MAIN-20131204133349-00049-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9948898553848267,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 41,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9948898553848267}",
"url": "http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2012/08/picha-11-za-ukweliraywemaprezoofank.html"
}
|
Vyombo vya habari matatani BurundiKusikiliza /
Nchini Burundi, serikali imepitisha sheria mpya ya vyombo vya habari. Mengi yameibuka baada ya Rais Pierre Nkurunzinza kutia saini sheria hiyo kutokana na kile kinachoelezwa kuwa kinabana vyombo vya habari na kuweka vikwazo kwa uhuru wa kujieleza na kupata habari ambavyo ni moja ya haki za msingi za binadamu.
Tayari Umoja wa mataifa kupitia katibu Mkuu Ban Ki-Moon umetaka Burundi kuangalia upya hatua hiyo kwani ni ya kusikitisha. Mathalani yaelezwa waandishi wa habari kwa mujibu wa sheria mpya wanapaswa kufichua vyanzo vyao vya habari na kubwa zaidi faini kwa makosa ya uandishi wa habari imeongezwa kwa asilimia Mia Mbili.
Je kulikoni? Basi ungana na mwandishi wetu wa maziwa makuu kutoka mjini Bujumbura, Ramadhani Kibuga.
(MAKALA NA RAMADHAN KIBUGA)
|
<urn:uuid:834d028e-f862-4165-96f8-6bc314f5201f>
|
{
"date": "2013-12-12T12:24:05Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164583115/warc/CC-MAIN-20131204134303-00049-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9877122044563293,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9877122044563293, \"swc_Latn_score\": 0.010476821102201939}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/06/vyombo-vya-habari-matatani-burundi/"
}
|
MJUMBE KAMATI YA UTENDAJI YANGA AFARIKI DUNIA
MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Wakili Theonist Rutashoborwa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, nyumbani kwake, Dar es Salaam.
Ofisa Habari wa Yanga, Louis Sendeu ameaimbia bongostaz asubuhi hii kwamba bado wanawasiliana na familia ya marehemu ili kujua zaidi na saa 5:00 asubuhi watafanya Mkutano na Waandishi wa Habari.
Rutta ni mwanachama ambaye alichangia kwa kiasi kikubwa klabu hiyo kupata ufadhili wa Yussuf Manji mwaka 2006, kutokana na harakati alizoanzisha za Harambee ya Yanga kufuatia hali mbaya ya kifedha ndani ya klabu hiyo chini ya uongozi wa Francis Mponjoli Kifukwe enzi hizo.
|
<urn:uuid:69d5108a-9974-426a-a08d-487d9121b858>
|
{
"date": "2013-12-10T05:36:43Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164009894/warc/CC-MAIN-20131204133329-00021-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9676163792610168,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 54,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9676163792610168, \"swc_Latn_score\": 0.02915976196527481}",
"url": "http://rumaafrica.blogspot.com/2012/04/mjumbe-kamati-ya-utendaji-yanga-afariki.html"
}
|
NA MBEYA YETU
MAKAMANDA wa polisi wa Mikoa ya Kikanda, wamekutana leo Jijini Mbeya, kujadili hali ya uhalifu ikiwa na kuweka mikakati itakayosaidia kuwabana askari watakaobainika kukiuka sheria na taratibu za kazi. Mkutano huo unafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, lengo kuu likiwa ni kujadili hali ya usalama na uhalifu wa maeneo katika Mikoa ya Morogoro, Iringa, Ruvuma, Njombe na Mbeya .
Akizungumzia mikakati hiyo, Mwenyekiti wa Mkutano Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Morogoro, Ndugu Faustine Shilogile alisema katika kikao hicho agenda kuu itakuwa ni kujadili matukio ya uhalifu wa unyang’anyi wa kutumia silaha, matukio ya ajali pamoja na kujadili nidhamu kwa watendaji wa jeshi hilo.
Amesema Wahalifu wamekuwa na tabia ya kuhama hama mara wanapofanya tukio, hawakai sehemu moja hivyo mkutano huu utasaidia kwa wajumbe kubadilishana na kupeana uzoefu wa kazi,’alisema Aidha, amefafanua kuwa jeshi la polisi hivi sasa kupitia baadhi ya askari limekuwa likikumbwa na matukio ya ukiukwaji wa maadili kwa kukutwa na tuhuma mbalimbali za uhalifu.
Kwa upande wake, Kamanda wa polisi wa mkoa wa mbeya, Ndugu Diwani Athumani ambaye ni mwenyeji wa Mkutano huo , alisema kikao hicho kinatarajia kutoka na mikakati itakayosaidi kupunguza wimbi la uhalifu pamoja na ajali barabarani.
Amesema mara nyingi Wahalifu wamekuwa wakitumia njia nyingi kufanya uhalifu na kukimbilia mikoa ya jirani hivyo mkutano huu ambao unahudhuriwa na Makamanda pamoja na wakuu wa upelezi utasaidia kuwabaini ikiwa na kusambaratisha mtandao uliopo Mkutano huo ni watatu baada ya mkutano wa kwanza kufanyika Mkoani Iringa na wa pili ulifanyika Mkoani Morogoro na kwamba wajumbe wanatarajia kutoka na maadhimio mapya.
|Kamanda wa polisi wa mkoa wa mbeya, Ndugu Diwani Athumani ambaye ni mwenyeji wa Mkutano huo , amesema kikao hicho kinatarajia kutoka na mikakati itakayosaidi kupunguza wimbi la uhalifu pamoja na ajali barabarani.|
|Baadhi ya maafisa wa jeshi hila la Polisi wakiwa makini kusikiliza mwenyekiti wao katika kikao hicho|
|Baadhi ya makamanda wa polisi wakiwa maetulia kwa umakini kumsikiliza mwenyekiti wa kikao hicho|
|Picha ya pamoja|
|
<urn:uuid:ae3fe5c3-6749-43f7-8b3d-16b90ef9e949>
|
{
"date": "2013-12-09T17:24:50Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386163992191/warc/CC-MAIN-20131204133312-00067-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9856253862380981,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 31,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9856253862380981}",
"url": "http://issamichuzi.blogspot.com/2013/05/makamanda-wa-polisi-wa-mikoa-ya-kikanda.html"
}
|
Unyanyasaji wa kingono katika jimbo la kivu kaskazini, DRC umeongezeka:UNHCRKusikiliza /
Mapigano ya mara kwa mara katika jimbo la Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC yanawalazimu raia wengi zaidi kuhama makwao na kuwatia wanawake, wasichana na hata wanaume katika hatari ya kubakwa, kwa mujibu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi katika Umoja wa Mataifa, UNHCR. Joseph Msami na taarfia zaidi. (TAARIFA YA JOSEPH MSAMI)
Uchunguzi uliofanywa na timu ya wataalamu kutoka UNHCR umebaini kuwepo ongezeko kubwa la matukio ya unyanyasaji wa kingono na kwamba katika kipindi cha kuanzia mwezi Januari mwaka huu jumla ya visa 705 zimerekodiwa ikiwemo matukio 619 ya ubakaji.
UNHCR inasema kuwa waathirika wa matukio hayo ni pamoja na makundi ya watoto wapatao 288, na wanaume 43 na kuongeza watendaji wa matukio hayo ni askari wenye silaha. Fatoumata Lejeune-Kaba ni msemaji wa UNHCR
(SAUTI YA FATOUMATA)
|
<urn:uuid:14c2b632-b087-4a89-88e9-a0865739a2b6>
|
{
"date": "2013-12-09T01:24:41Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386163839270/warc/CC-MAIN-20131204133039-00030-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9788896441459656,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 31,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9788896441459656, \"swc_Latn_score\": 0.018403086811304092}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/07/unyanyasaji-wa-kingono-katika-jimbo-la-kivu-kaskazini-drc-umeongezekaunhcr/"
}
|
Gottfried Leibniz
|Gottfried Wilhelm von Leibniz
|
|
|
|Alizaliwa||1 Julai 1646 Leipzig|
|Alikufa||14 Novemba 1716 Hannover|
|Nchi||Ujerumani|
|Kazi yake||balozi na mtaalamu wa falsafa,
|
hisabati, historia na sheria
Gottfried Wilhelm Leibniz (pia Leibnitz au von Leibniz; 1 Julai 1646 - 14 Novemba 1716) alikuwa mwanasayansi na mwanafalsafa Mjerumani aliyeandika hasa kwa Kilatini na Kifaransa. Aliandika vitabu na insha nyingi kuhusu mada za siasa, sheria, historia, isimu na mengineyo. Anasemekana alikuwa mtu wa mwisho aliyeweza kushika ujuzi wote wa ustaarabu wake.
Alisoma mwenyewe sharia na falsafa. Akahudumia familia mbili za kitemi nchini Ujerumani, kwanza katika Bavaria na baadaye katika Hannover. Katika utumishi wa watemi hao alisafiri kote Ulaya kama mbalozi wao. Sehemu ya mwisho wa maisha yakke alikaa Hannover alipounda maktaba kubwa.
Alibuni hisabati ya kalkulasi na pia hisabati ya binari ambayo ni msingi wa teknolojia ya kompyuta. Alitengeneza pia mashine ya mahesabu.
Katika falsafa alitoa jibu la swali la theodisea au jinsi gani Mungu mwenye haki anaweza kuruhusu mabaya. Alisema ya kwamba dunia yetu jinsi ilivyo si baya lakini ni dunia bora iliyoweza kuumbwa na Mungu.
Alishughulika mambo mengi sana pamoja na
- mipango ya kutengeneza nyambizi
- kuboresha kufuli za milango
- kifaa cha kupima mwendo wa upepo
- ushauri kwa waganga wapime homa mara kwa mara
- aliunda bima la yatima na wajane
|Makala hii kuhusu mtu bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Gottfried Leibniz kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:4620c7b6-1bf9-4e93-baef-1f6cbd042418>
|
{
"date": "2013-12-10T09:44:46Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164014852/warc/CC-MAIN-20131204133334-00030-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.977328360080719,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.977328360080719, \"swc_Latn_score\": 0.01594788394868374}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Gottfried_Leibniz"
}
|
Lagos
Lagos ni mji mkubwa wa Nigeria. Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi 1991. Ikiwa na wakazi takriban milioni 9 katika eno la jiji na milioni 12 - 15 katika rundiko la mji ni kati ya miji mikubwa zaidi ya Afrika; inaweza kuwa na nafasi ya pili baada ya Cairo.
Jiografia[hariri]
Historia[hariri]
Lagos ilianzishwa kama kijiji cha Wayoruba ikaendelea kukua kutokana na na biashara, bandari yake na kipindi kama mji mkuu wa Nigeria. Nafasi ya mji mkuu ilichukuliwa na Abuja lakini hadi leo Lagos inaendelea kuwa mji mkuu wa biashara na uchumi nchini.
Inaaminiwa ya kwamba Kisiwa cha Lagos kilikaliwa na wavuwi na wakulima Wayoruba tangu karne ya 14. Katika karne ya 15 eneo lilikuwa kwa muda chini ya ufalme wa Benin. Wakati ule lilitwa "Eko".
Mwaka 1472 mbaharia Mreno Ruy de Sequeira alifika Eko akaanzisha kituo cha biashara lililoitwa "Lagos" - kwa Kireno neno hili lamaanisha "maziwa" ni pia jina la mji Lagos katika Ureno ya kusini. Katika karne zilizofuata Lagos pamoja na utajiri wa Oba ilikua kutokana na bishara ya watumwa.
Katika karne ya 19 Waingereza walijaribu kukandamiza biashara hii ya watumwa katika Afrika ya Mashariki . 1841 Oba mpya aliyeitwa Akitoye alipiga biashara ya watumwa marufuku lakini alipinduliwa kwa sababu ya upinzani wa wafanyabiashara wenyeji. Akitoye aliomba usaidizi wa Uingereza. Manowari za kiingereza walishambulia Lagos tar. 26 na 27 Desemba 1852 na kumrudisha mfalme. Matatizo ya biashara ya watumwa yaliendelea na Waingereza walichukua kisiwa cha Lagos na kuifanya kwanza eneo lindwa halafu koloni. Oba alibaki na madaraka machache.
|Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Lagos kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:ae97ac9b-01ee-4ffd-a3c4-9b2da44182d7>
|
{
"date": "2013-12-10T09:58:29Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164014852/warc/CC-MAIN-20131204133334-00030-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9971529841423035,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 38,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9971529841423035}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Lagos"
}
|
Usalama na haki za binadamu bado changamoto Sudan Kusini: UMKusikiliza /
Mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani huko Sudan Kusini, UNMISS Hilde Johnson amesema mwaka mmoja na nusu wa taifa la nchi hiyo umekumbwa na changamoto mbali mbali ikiwemo ukosefu wa usalama na ukiukwaji wa haki za binadamu.
Katika mahojiano maalum na radio ya Umoja wa Mataifa, Bi. Johnson ambaye pia ni mwakilishi maalum wa katibu mkuu huko Sudan Kusini, ametolea mfano kuwa jeshi la polisi la nchi hiyo licha ya kwamba ni kubwa lakini bado halina uwezo wa kudhibiti usalama wa raia.
(SAUTI YA HILDE-Police)
Halikadhalika Mkuu huyo wa UNMISS amesema visa ukiukwaji wa haki za binadamu na unyanyasaji ikiwemo wa waandishi wa habari na wanaharakati vimeongezeka na wamepinga vikali na tayari Rais wa Sudan Kusini amesema hilo si sahihi na wahusika wajirekebishe.
(SAUTI YA HILDE-Rights)
|
<urn:uuid:a259e05c-bc7b-4758-a1f9-19968be2032f>
|
{
"date": "2013-12-13T09:37:03Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164923389/warc/CC-MAIN-20131204134843-00030-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9974923729896545,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9974923729896545}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/02/usalama-na-haki-za-binadamu-bado-changamoto-sudan-kusini-um/"
}
|
Tarehe 10 Julai 2013, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilitangaza matokeo ya kupangwa Kidato cha 5 wanafunzi waliohitimu kidato cha 4 mwaka 2012. Katika tangazo hilo Wizara iliwahimiza wanafunzi kuripoti katika shule zao walizopangwa kabla ya tarehe 29 Julai 2013. Baada ya tangazo hilo, Wizara imepokea maombi ya wanafunzi wanaotaka kubadili shule au machaguo (combinations) walizopangwa kwa sababu mbalimbali. Wizara imetafakari maombi hayo na kufanya mabadiliko ya shule/machaguo kwa wanafunzi wenye sababu zifuatazo:
Waliopangwa shule za kutwa mahali ambapo hawana pa kuishi;
- Waliopangwa mbali sana kutoka sehemu wanazoishi;
- Walio wagonjwa wanaohitaji kuwa karibu na hospitali;
- Walioomba kuhamia shule za kutwa kwa sababu za kiuchumi;
- Walioomba kubadili ‘combinations’ ambazo hazipo katika shule walizopangwa awali
Wakuu wa shule wanaelekezwa kuwapokea wanafunzi hawa katika shule hizo mpya na kuwasiliana na wakuu wa shule walizopangwa awali ili wawatumie ‘Sel form’ za wanafunzi hawa. Aidha, mnatakiwa kuhakiki uhalali wa kila mwanafunzi mnayempokea kwa kutumia orodha ya majina yaliyomo katika tovuti pamoja na Result Slip za wanafunzi hao.
Wizara inawaagiza wanafunzi wote waliokubaliwa kubadilishiwa shule/combinations ambao taarifa zao zipo kwenye tovuti waripoti mara moja katika shule hizo. Wizara haitatoa barua kwa mwanafunzi yeyote. Aidha kuanzia sasa Wizara haitapokea maombi yoyote ya kubadilisha shule/combinations. Endapo yatakuwepo maombi yo yote yafuate utaratibu wa kawaida wa uhamisho kupitia kwa wakuu wa shule.
Imetolewa na
KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
|
<urn:uuid:7c657063-b48c-471b-bf50-3b0990a88645>
|
{
"date": "2013-12-12T04:13:28Z",
"dump": "CC-MAIN-2013-48",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2013-48/segments/1386164452243/warc/CC-MAIN-20131204134052-00036-ip-10-33-133-15.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.976470410823822,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.976470410823822, \"swc_Latn_score\": 0.019641751423478127}",
"url": "http://www.wavuti.com/4/post/2013/08/majina-ya-wanafunzi-wa-kidato-cha-tano-waliobadilishiwa-shulemachaguo-2013.html"
}
|
Pasta
Aina ya pasta inayofahamika zaidi ni spaghetti. Lakini kuna aina nyingi za pasta.
Chanzo cha pasta hufanana kiasi na ugali yaani unga (wanga) unakorogwa na maji isipokuwa maji ni baridi. Kinyunga kinachotokea ni imara sana hukatwa kwa vipande vidogo venye maumbo mbalimbali na kupikwa kama vipande vya pekee. Kama pasta imekauka inatunzwa kwa muda mrefu hauozi na inapikwa haraka. Madukani inauzwa kama pasta kavu.
Kuna namna nyingi za kubadilisha kinyungo asilia kwa kuongeza mayai, mafuta, jibini na vingine ndani yake.
Utamu wa chakula cha pasta unakuja pamoja na mchuzi au supu zake.
Chanzo cha pasta iko katika Italia lakini zimeenea kote duniani. Ila tu hadi leo Italia ni nchi yenye aina nyingi za pasta hizi. Tambi za kufanana lakini kwa namna tofauti zinatoka katika Asia ya Mashariki.
Zinazojulikana kimataifa ni kwa mfano:
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- www.archimedes-lab.org :: Pasta shapes – history and a pasta shapes list
- www.food-info.net :: Pasta shapes – a well-illustrated list
- www.lifeinitaly.com :: History of Pasta – includes pictures of how pasta is made.
- Information about Italian Pasta
|Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Pasta kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:bb2fcd84-22db-478c-9dc8-40477b8d0b9c>
|
{
"date": "2014-03-07T11:34:18Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999642306/warc/CC-MAIN-20140305060722-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9924490451812744,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 70,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9924490451812744}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Pasta"
}
|
Hollywood, Florida
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
- Tazama pia Hollywood, California
|Hollywood|
|Anwani ya kijiografia:|
|Nchi||Marekani|
|Jimbo||Florida|
|Wilaya||Broward|
|Idadi ya wakazi|
|-||141,740|
|Tovuti: http://www.hollywoodfl.org/|
Hollywood ni mji wa Marekani katika jimbo la Florida. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao 141,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 3 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 71 km².
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|Makala hii kuhusu maeneo ya Florida bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Hollywood, Florida kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:2f914f34-57d2-4c70-b150-21ebee12e7f6>
|
{
"date": "2014-03-09T13:04:25Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999678556/warc/CC-MAIN-20140305060758-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.996301531791687,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.996301531791687}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Hollywood,_Florida"
}
|
Kitibea
Kitibea ni lugha ya Kibantu nchini Kamerun inayozungumzwa na Watibea. Mwaka wa 1992 idadi ya wasemaji wa Kitibea imehesabiwa kuwa watu 1400 katika vijiji vitatu tu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kitibea kiko katika kundi la A50.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
|Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Kitibea kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:3a5a2b9b-baaa-4244-b453-3dace04c371c>
|
{
"date": "2014-03-10T11:50:42Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394010776091/warc/CC-MAIN-20140305091256-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9970126748085022,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 82,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9970126748085022}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Kitibea"
}
|
Siku ya watu asili yaadhimishwa BurundiKusikiliza /
Agosti 9 ulimwengu huadhimisha siku ya kimataifa ya watu asili. Watu hao wamekuwa wanakumbana na changamoto nyingi za kuwa staawisha katika jamii wanamoishi na kukubalika kama wananchi katika mataifa yao asili. Moja mwa sehemu ambako wanashuhudiwa kwa wingi watu hao asili ni katika eneo la maziwa makuu.Wawakilishi wa jamii hizo za watu asili wamekutana wiki hii mjini Bujumbura kupaza sauti kushinikiza uwakilishi katika taasisi za maongozi ya taifa, kama sehemu ya jitihada ya kutaka kusikilizwa kero zao.
Ili kujua mengi zaidi kuhusiana na watu hao asili, Muandishi wetu wa Maziwa Makuu Ramadhani KIBUGA ametuandalia makala haya akiwa mjini Bujumbura. Karibu ungana naye.
|
<urn:uuid:6fdbb965-95a9-4206-a217-cc6c0cde0dc3>
|
{
"date": "2014-03-11T02:06:12Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394011090254/warc/CC-MAIN-20140305091810-00088-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9840752482414246,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9840752482414246, \"swc_Latn_score\": 0.010125690139830112}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/08/siku-ya-watu-asili-yaadhimishwa-burundi/"
}
|
LE MUTUZ LIVE WITH MABEBS WA UKWELI AT THE CH ..
LE MUTUZ LIVE WITH MABEBS WA UKWELI AT THE CHURCH KIBOROLONI/MOSHI!!
LE MUTUZ with Mabebs wa Ukweli few minutes ago at Kiboroloni Church in Moshi: From left is Super Star Bea John from USA, Super Loveness Iron Lady DMV\' CCM Chairman Super Star Clara from South Africa!! Kama vipi ni Mabebs wa Ukweli hapajatosha leo hapa!! cause walikuja wamejipanga!!
|
<urn:uuid:9e5e0437-382f-418c-97bd-7603811c9fbe>
|
{
"date": "2014-03-12T13:04:09Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021767149/warc/CC-MAIN-20140305121607-00091-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.8676866292953491,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.8676866292953491, \"eng_Latn_score\": 0.031161077320575714, \"ssw_Latn_score\": 0.026456834748387337, \"run_Latn_score\": 0.021345308050513268}",
"url": "http://m.gushit.com/viewbookmark/le_mutuz_live_with_mabebs_wa_ukweli_at_the_church_kiboroloni_moshi_.html"
}
|
Aaron Ciechanover
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aaron Ciechanover (amezaliwa 1 Oktoba 1947) ni mwanabiolojia kutoka nchi ya Israel. Hasa alichunguza kuyeyusha kwa protini. Mwaka wa 2004, pamoja na Avram Hershko na Irwin Rose alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
|Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Aaron Ciechanover kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:ef20777d-dbf8-47ea-b7bc-0352f0848f7a>
|
{
"date": "2014-03-07T14:59:33Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999645327/warc/CC-MAIN-20140305060725-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9881908893585205,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 76,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9881908893585205}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Aaron_Ciechanover"
}
|
Jina limetokana na Vitus Bering aliyekuwa Mdenmark katika urumishi wa Kaisari wa Urusi aliyevuka mlnago huu mwaka 1728.
Maeneo kando la mlango Bering pande zote mbili yana watu wachache kwa sababu ya mazingira baridi.
Kufuatana na nadharia za wataalamu wa historia hapa palikuwa mahali pa kuvuka kwa watu wa kwanza kutoka Asia kwenda Amerika. Inafikiriwa ya kwamba wakati wa Enzi ya Barafu miaka 10,000 iliyopita mlango ulikuwa kavu ukapitika kwa miguu.
|
<urn:uuid:1997b0bc-dd2a-4c24-9f7f-ee661d8290b9>
|
{
"date": "2014-03-12T12:14:22Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021762714/warc/CC-MAIN-20140305121602-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9871470928192139,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 47,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9871470928192139, \"swc_Latn_score\": 0.010902932845056057}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Mlango_wa_Bering"
}
|
18 February 2013
Serikali kuboresha TBS
Na Grace Ndossa
SERIKALI imesema kuwa inaangalia uwezo wa kuboresha Shirika la viwango Tanzania ili waweze kufanya kazi kwa ubora na umahiri unaotakiwa.
Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS)Bw.Leandri Kinabo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari wakati Maseneta na Wawakili wa bunge la Nigeria walipotembelea TBS.
Alisema kuwa lengo la masenata hao pamoja na wawakili ni kujifunza sheria mpya ya TBS inapofanyakazi na namana wanapodhibiti bidhaa ambazo hazina viwango.
"Masenata na wawakilishi wa bunge la Nigeria walikuja kwa lengo la kubadilishana uzoefu pamoja na kujifunza njia mbali mbali wanazotumia katika kudhibiti viwango vya ubora wa bidhaa hapa nchini,"alisema Bw. Kinabo.
Naye Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la viwango wa Nigeria Dkt.Joseph Odumodu alisema kuwa lengo la ziara ya siku tatu ya masenata na wabunge wa nigeria ni kujifu7nza pamoja na kuimarisha ushirikina baina ya nchoi moja na nyingine.
Pia alisema Tanzania ni nchi mojawapo inayofanya vizuri katika kudhibiti viwango vya ubora na nchi nyingine ni Ethiopia pamoja na Kenya ambazo watatembelea na kupata mbinu mbali mbali za kudhibiti bidhaa feki zinazoingizwa nchini.
Hata hivyo alisema kuwa wanaangali ni kwa jinsi gani watashirikiana katika kufanya biasahara na kudhibiti uborawa viwango vya bidhaa zinazozalishwa ili ziwezekuwa na viwango sawa.
|
<urn:uuid:b26cc955-5821-4876-aba4-c9fe81d3a1a2>
|
{
"date": "2014-03-12T03:39:40Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021278114/warc/CC-MAIN-20140305120758-00089-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9946208000183105,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 38,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9946208000183105}",
"url": "http://majira-hall.blogspot.com/2013/02/serikali-kuboresha-tbs.html"
}
|
ajira mpya
Ajira mpya za walimu 2014\2015, Walimu kumwagiwa ajira 26,000 januari serikali imetangaza kutoa ajira mpya 26,000 za walimu kuanzia januari mwakani [2014], ikiwa ni mpango endelevu wa kupunguza. Ajira mpya jeshi la polisi - jamiiforums, Jeshi la polisi latangaza nafasi za mafunzo kwa undergraduate wanaomaliza mwaka huu anayejisikia anatakiwa ku download fom na kutuma. Document details | tangazo kuhusu ajira mpya ya walimu, Property: value: name: tangazo kuhusu ajira mpya ya walimu awamu ya pili: description: filename: tangazo kuhusu ajira mpya ya walimu awamu ya pili.pdf.
Matukio na wanavyuo: ajira mpya za walimu katika ngazi, Bofya hapa kutazama matokeo ya kidato cha nne bofya hapa kutazama matokeo ya kidato cha nne bofya hapa kutazama matokeo ya kidato ch. Jobs in tanzania - pata ajira in tanzania, Search and apply for the latest jobs in tanzania. new job listings posted daily. explore pata ajira with top companies recruiting in tanzania.. Nafasi mpya za kazi tanesco - ajira zetu, The tanzania electric supply company (tanesco) is focusing on increasing the outreach and service quality of its energy products for tanzanian people..
|
<urn:uuid:b3b5726a-2678-452f-b273-e726f7b3c08c>
|
{
"date": "2014-03-16T04:43:30Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394678701207/warc/CC-MAIN-20140313024501-00091-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9940254092216492,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9940254092216492}",
"url": "http://unladylikebehavior.com/2012/09/21/ajira-mpya/"
}
|
Hawthorne, California
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|Hawthorne|
|Anwani ya kijiografia:|
|Nchi||Marekani|
|Jimbo||California|
|Wilaya||Los Angeles|
|Idadi ya wakazi|
|-||100,754|
|Tovuti: http://www.hermosabch.org/|
Hawthorne ni mji wa Marekani katika jimbo la California. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao 100,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 22 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 16 km².
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|Makala hii kuhusu maeneo ya California bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Hawthorne, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:60338a93-eecc-4b30-b3ed-c487d3846cb3>
|
{
"date": "2014-03-07T18:41:27Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999650254/warc/CC-MAIN-20140305060730-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9938328266143799,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 66,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9938328266143799}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Hawthorne,_California"
}
|
Nadhani itakuwa kwa manufaa ya wasomaji kutizama kwa umakini hadithi isemayo kwamba vita ya Marekani ya wenyewe kwa wenyewe ilitokea kwa lengo la kuwakomboa watumwa. Ni ngano ambayo iliyobuniwa na haina uhusiano wowote na hali halisi ya ukweli. Nina nukuu hapa kutoka kwenye sura ya 22 ya “Lincoln, the Unkown” kilichoandikwa na mwandishi wake maarufu Dale Carnegie.1 Anaanza na maneno haya: - “Muulize raia wa kawaida wa Kimarekani leo kwa nini Waamerika walipigana vita ya wenyewe kwa wenyewe, atakacho kuambia ni kwamba, ‘Kuwakomboa watumwa.’ “Ni kweli hivyo?”
“Hebu tuangalie. Hapa ni sentenso ambayo imechukuliwa kutoka kwenye hotuba ya kwanza ya Lincoln ya kuzindua urais wake. ‘Sikusudii kuingilia kati, taasisi ya utumwa, moja kwa moja au kuzunguuka kwenye majimbo ambayo utumwa bado upo. Nina amini sina haki ya kisheria kufanya hivyo, na sipendelei kufanya hivyo.”
Ukweli ni kwamba mzinga ulikuwa unanguruma na majeruhi wanatoa sauti ya kulemewa kwa takribani miezi kumi na nane kabla Lincoln hajatoa tangazo la “Ukombozi wa watumwa.”
Wakati wote huo watu wenye msimamo Mkali na Watetezi wa kukomesha utumwa walimsihi achukue hatua haraka, walimshambulia kupitia kwenye magazeti na kumshutumu kwenye majukwaa ya mikutano.
“Wakati mmoja ujumbe wa mawaziri wa Chicago ulikwenda Ikulu ya Marekani na kile walichokitangaza kwamba ilikuwa ni amri ya moja kwa moja kutoka kwa Mungu Mweza wa Yote kuwaachia watumwa kuwa huru haraka sana. Lincoln aliwaambia kwamba alidhani kwamba kama Mweza wa Yote alikuwa na ushauri wowote wa kutoa, Angekuja moja kwa moja makao makuu na ushauri huo, badala ya kuwasilisha kwa mzunguuko wa kupitia Chicago.”
Zaidi ya hayo, Dale Carnegic anaendelea kunukuu kutoka kwenye jibu la Lincoln alipojibu makala ya Greedy, ‘The Prayer of Twenty million.’(‘Sala ya milioni ishirini).
“Kusudio langu kubwa katika mapambano haya ni kuokoa Muungano, na wala si kuokoa au kukomesha utumwa. Kama ningeokoa Muungano bila kumpa uhuru mtumwa hata mmoja, ningefanya hivyo; na kama ningeokoa Muungano kwa kuwapa uhuru wa watumwa wote ningefanya hivyo, na kama ningeuokoa Mungano kwa kuwapa uhuru baadhi yao na kuwaacha wengine, pia ningefanya hivyo.
Ninachofanya kuhusu watumwa na machotara, ninafanya hivyo kwa sababu ninaamini inasaidia kuokoa Muungano, na kile ninachovumilia, ninavumilia kwa sababu siamini kama ingesaidia kuokoa Muungano. Sitafanya yote wakati wowote nitakapoamini kile ninachokifanya kitadhu- ru lengo; na nitazidisha juhudi nitakapoamini kufanya hivyo itasaidia lengo.”
Akifafanua jibu hilo Dale Carngie anaandika: “Majimbo manne yamebakia na watumwa pamoja na Kaskazini, na Lincoln alitambua kwamba kama angetoa tangazo la “ukombozi wa watumwa” mapema mno katika mzozo huu, angewafukuzia kwenye Shirikisho, kuimarisha kusini, na pengine kuvunja Muungano daima milele. Palikuwepo na methali wakati huo ambayo Lincholn angependa kuwa na Mungu Mweza wa Yote upande wake, lakini lazima aipate Kentucky.
“Hivyo alisubiri wakati mzuri, na kufanya mambo kwa tahadhari”
“Lincoln mwenyewe alioa kwenye familia yenye kumiliki watumwa, ya Jimbo la mpakani. Sehemu fulani ya fedha ambayo mke wake Lincoln alipokea ilitoka kwenye urithi wa shamba la baba yake ambayo ilitokana na mauzo ya watumwa. Na rafiki mmoja tu wa karibu sana na wa kweli ambaye Lincoln alikuwa naye, alikuwa Joshua Speed ambaye alitoka kwenya familia yenye watumwa. Lincoln aliwahurumia watu wa Kusini kwa maoni yao. Kwa upande mwingine, alikuwa na desturi ya kumshehimu mwanasheria Mkuu kuhusu Katiba na sheria na rasilimali. Hakutaka kusababisha shida kwa mtu yeyote. (ila kwa watumwa)
“Lincoln aliamini kwamba majimbo ya kaskazini yalistahili kulaumiwa sana kwa kuendelea kuwepo kwa utumwa “Marekani (U.S.A)” kama ilivyo huko kwenye majimbo ya Kusini; na kwamba kuliondoa tatizo hilo, sehemu zote lazima zivumilie mzigo sawa kwa sawa. Kwa hiyo hatimaye alitengeneza mpango ambao ulikuwa karibu sana na moyo wake. Kwa mujibu wa mpango huo, wamiliki wa watumwa waliokuwa kwenye mipaka ya majimbo yenye uaminifu walipewa dola mia nne kwa kila Mtu Mweusi. Watumwa walitakiwa kuachiwa huru polepole, polepole sana.
Mlolongo wa mambo haya haukutakiwa kumalizika kikamilifu hadi Januari 1, 1900. Lincoln aliwaita wawakilishi kutoka kwenye Majimbo ya mipaka wamuone huko Ikulu White House, akawasihi wakubali pendekezo lake.
“Lincoln alihoji na kusema, mabadiliko yaliyomo kwenye pendekezo lake, yanakusudiwa kuja polepole kama umande unavyo dondoka kutoka mbinguni, bila kupokonya au kuvunja matarajio ya watu. Kwa nini msikubali pendekezo hili? Mambo mengi sana mazuri bado hayajafanyika kwa jitihada moja, katika wakati wote uliopita, kama ilivyo katika upaji wa Mungu sasa hivi ni upendeleo wenu wa juu kutekeleza. Muda mwingi ujao na upana wake usije ukalalamika kwamba ulipuuzia jambo hili.”
Msomaji angekumbuka kwamba mpango huu wa kuwapa watumwa uhuru “kwamba ulikuwa karibu mno na moyo wake Lincoln” ulikuwa sawa na mpango ambao tayari ulik- wisha wekwa na kutekelezwa miaka 1300 iliyopita katika Uislam na ambao ulitoa matokeo ya kushangaza katika ulimwengu wa Kiisilamu. Kama mpango huo ungekubaliwa na ndugu zake Lincoln, hapange kuwepo na chuki kubwa baina ya mataifa, migongano ya ndani, mageuzi ya kijamii na udhaifu wa hisia ambao bado unaendelea kuwepo nchini Marekani (U.S.A.) karne moja baada ya kile kilichoitwa Ukombozi wa watu weusi (Emancipation of Negroes).
Bahati mbaya, wawakilishi wa Majimbo hayo yaliyokuwa yanapakana walikataa mpango huo. Carnegie anasema, “Lincoln mara moja alikasirika sana. Lazima niiokoe serikali hii, kama inawezekana, alisema na inaweza ikaeleweka, kwa mara zote, kwamba sitakubali kuacha mchezo huu, na kuacha kadi yoyote ile ipatikanayo iwe haijachezwa….Ninaamini kwamba kuwapa uhuru watumwa na kuwapa silaha watu weusi sasa imekuwa jambo la msingi na muhimu kivita. Nimesukumwa kwenye uchaguzi ama kutekeleza hilo au kuuwachia) Muungano (usambaratike).
“Ilibidi Lincoln ashughulike haraka, kwani Ufaransa na Uingereza walibakia kidogo watambue Shirikisho. Kwanini? Sababu zilikuwa rahisi. Tuchukue mfano wa Ufaransa kwanza.”
Napoleon wa III alikuwa mfalme wa Ufaransa. Alikuwa na shauku kubwa ya kutaka utukufu wa mamlaka ya utawala, kama alivyokuwa ami yake mtukufu, Napoleon Bonaparte, alivyo fanya. Kwa hiyo, alipoona majimbo yanapigana, na alitambua kwamba walikuwa na shughuli nyingi mno kuweza kufikiria kuhusu utekelezaji wa sheria ya “Momoe Doctrine,” aliamuru jeshi kwenda Mexico, huko likaua wazalendo elfu kadhaa, likashinda nchi, ikaitwa Mexico iliyo chini ya himaya ya Ufaransa, na likamweka Archduke Maximilian kukalia kiti cha enzi.
“Napoleon aliamini na si bila sababu, kwamba kama kundi linalotaka shirikisho lingeshinda, lingependelea ufalme wake mpya; lakini kama kundi linalotaka shirikisho lingeshinda, United States ingechukua hatua za haraka za kuifukuza Ufaransa huko Mexico. Kwa hiyo, ulikuwa ni upendeleo wake Napoleon, kwamba Kusini ifaulu kujitenga, na alitaka kuisaidia kutekeleza kujitenga huko kwa kadiri ya uwezo wake.
Mwanzoni mwa vita, jeshi la majini la Kaskazini lilifunga bandari zote za Kusini, bandari 189 zikawa chini ya ulinzi wao na walifanya doria kwenye eneo la maili 9,614 za uwanda wa pwani, njia nyembamba za maji zinazounganisha bahari na zinazounganisha bahari na maziwa, vinamasi na mito. Hiki kilikuwa kizuizi kikubwa mno ambacho ulimwengu haujapata kuona. Kundi lililotaka Muungano lilikuwa lina haha.
Halikuweza kuuza pamba yake, wala kuweza kununua bunduki, risasi, viatu, madawa au chakula. Watu hawa walianza kuchemsha karanga na mbegu za pamba kuwa mbadala wa kahawa, na walianza kuchemsha majani ya miti ya matunda mithili ya mibuni na kuchuja maji yake na kuwa mbadala chai. Magazeti yalianza kuchapishwa kuwekwa kwenye matangazo. Nyumba zenye sakafu za udongo na zenye kufuka moshi, zililoweshwa dabwa dabwa kwa mafuta ya wanyama, zikachimbuliwa na kuchemshwa ili kupata chumvi.
Kengele za makanisa ziliyeyushwa na kutiwa katika mizinga. Reli za magari madogo mitaani katika mji wa Richmond zilikatwa katwa na kufanywa silaha katika mashua za kivita zenye bunduki.
Watu wa Muungano hawakuweza kuzifanyia matengenezo reli zao au kununua vifaa vipya, kwa hiyo usafiri ulibakia kidogo sana; nafaka ambayo ilinunuliwa kwa dola mbili, pishi tisa huko Geogia, ilinunuliwa kwa dola kumi na tano Richmond. Watu waishio Virgini walikuwa wanashinda na njaa.
Ilibidi utaratibu fulani ufanywe haraka sana. Kwa hiyo, Kusini walikubali kumpa Napoleon wa III dola milioni 12 kama angeutambua Muungano na atumie meli za Kifaransa kuondoa kizuizi. Kwa upande mwingine, waliahidi kumzidishia nguvu kwa amri ambayo ingeanzisha moshi kwenye kila kiwanda huko Ufaransa usiku na mchana.
Kwa hiyo Napoleon akazisihi Urusi na Uingereza kuungana naye katika kuutambua Muungano. Utawala wa makabaila uliokuwa madarakani, wahusika wake waliweka sawa miwani zao, wakanywa toti kadhaa za Scotch Whisky, na wakasikiliza kwa hamu kubwa mazungumzo ya awali ya Napoleon. Marekani (U.S.A.) ilianza kutajirika sana na kuwa na uwezo mkubwa wa kuwaridhisha, Walitaka kuona taifa linagawanyika, Muungano unavunjika. Kwa upande mwingine, walitaka pamba ya Kusini. Viwanda kadhaa vya Uingereza vilifungwa, na watu milioni moja hawakuwa tu hawana kazi, bali pia kuwa fukara na kushuka chini kuwa omba omba halisi.
Watoto walikuwa wanalia njaa, mamia ya watu walikuwa wanakufa kwa sababu ya njaa. Michango ya raia kwa ajili ya kununua chakula cha wafanya kazi wa Uingereza ilichukuliwa na kupelekwa kwenye vijiji vya ndani kabisa ya dunia hata India ilioko mbali sana na China ambayo ilibanwa na umasikini. Palikuwepo na njia moja, na njia moja tu, kwamba Uingereza ingeweza kupata pamba na hiyo ilimaanisha waungane na Napoleon III katika kuutambua Muungano na kuondoa kizuizi.
“Kama hilo lingefanyika, nini kingetokea Marekani? Kusini wangepata bunduki, baruti, mkopo, chakula vifaa vya njia ya reli, na msaada mkubwa sana wa hali na mali.
“Na Kaskazini wangepata nini? Wangepata maadui wawili wapya na wenye nguvu. Hali hiyo kuwa mbaya kiasi hicho sasa, hapangekuwepo na matumaini.
“Hakuna aliyejua hilo vizuri zaidi kumzidi Abraham Lincoln. “Ni kama vile tumecheza kadi yetu ya mwisho’, aliungama hivyo katika mwaka 1892. Ama lazima tubadili mbinu zetu au tukubali kushindwa mchezo.’
Kama ilivyoona Uingereza, makoloni yote yalikwisha jitoa kutoka kwenye utawala wake tangu mwanzo. Sasa makoloni ya Kusini nayo yamekwishajitoa kutoka makoloni ya Kaskazini; na Kaskazini ilikuwa inapigana kuilazimisha na kuitiisha Kusini. Je, pangekuwa na tofauti gani kwa mtu wa kawaida huko London au mwana mfalme huko Paris kama Tenessee na Texas zingetawaliwa kutoka Washington au Richmond? Hakuna. Kwao vita haikuwa na maana yoyote na yenye kuleta hatari bila madhumuni ya maana.
‘Nilikuwa sijapata kuona vita imepamba moto kama hiyo katika uhai wangu’, aliandika Carlyle, ‘iliyokuwa inaonekana zaidi kama ya kipumbavu.
Lincoln aliona kwamba msimamo wa Ulaya kuhusu vita hiyo lazima ubadilike, na alijua jinsi ya kufanya. Watu milioni moja huko Ulaya walikwisha soma “Uncle Toms Cabin” walikisoma kisa hicho na wakalia na wakajifunza kuchukia michomo ya moyo na udhalimu wa utumwa. Kwa hiyo Abraham Lincoln alitambua kwamba kama angetoa tangazo lake la “ukombozi wa watumwa”, watu wa Ulaya wangeiona vita kwa namna tofauti. Haingekuwa tena ugomvi wa kumwaga damu kwa sababu ya kudumisha Muungano ambao haukuwa na maana yoyote kwao. Badala yake, ingetukuzwa kuwa vita takatifu ya kutokomeza utumwa. Serikali za Ulaya hazingeitambua Kusini. Maoni ya watu hayangestahamili kuwasaidia watu ambao wanapi- gana kwa lengo la kuendeleza utumwa wa kibinadamu.
Hatimaye, kwa hiyo, mnamo Julai, 1862, Lincoln akiwa amedhamiria kutoa tangazo lake, lakini McClellan na Papa mnamo siku chache za nyuma waliliongoza jeshi la Kusini kwenye fedheha ya kushindwa mara kadhaa. Seward alimwambia Rais kwamba muda huo haukuwa mwafaka, hivyo angelazimika kungoja na kutoa tangazo kwenye kilele cha ushindi wao.
“Ushauri huo ulionekana wa hekima. Kwa hiyo Lincoln akangojea na miezi miwili baadaye ushindi ukapatikana.”
Na kwa hiyo, kuendeleza Vita ya Muungano, tangazo la “Ukombozi wa Watumwa” lilichapishwa mnamo Septemba 1862, ambalo lilitakiwa lianze kutekelezwa tarehe Moja, Januari 1863.
Ninampa Abraham Lincoln heshima ya juu sana na amekuwa mmoja wapo wa mashujaa ninao wapenda tangu nilipokuwa mdogo. Lakini heshima hiyo msingi wake ni kwenye ukweli na hali halisi, si kwenye mambo ya kubuniwa. Lincoln alikuwa na ubinadamuna, na yeye, kutoka ndani ya moyo wake alikuwa dhidi ya utumwa. Lakini haina maana kwamba tumtukuze kwa propaganda za uwongo. Uhalisi wa jambo hili ni kwamba hakupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe kwa lengo la kuwapa watumwa uhuru, kwa usahihi zaidi aliwapa watumwa uhuru kwa lengo la kushinda vita na kuokoa Muungano.
|
<urn:uuid:54ad2d40-3af7-4ff1-abd6-6620b43ad3d6>
|
{
"date": "2014-03-10T17:39:13Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394010916587/warc/CC-MAIN-20140305091516-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.914442241191864,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 116,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.914442241191864, \"swc_Latn_score\": 0.07468147575855255}",
"url": "http://www.al-islam.org/sw/print/book/export/html/25013"
}
|
|
||
|
Ni kwa nini niamini katika ufufuo wa kristo?
Swali: "Ni kwa nini niamini katika ufufuo wa kristo?"
Jibu:
Ni jambo linalofahamika vizuri sana kuwa hakika kwamba Yesu Kristo alikuwa alinyongwa hadharani katika Uyahudi, katika karne ya 1 Baada ya Yesu kuzaliwa, chini ya Pontio Pilato , kwa njia ya mateso, kwa amri ya Baraza ya Wayahudi. Maelezo ya kihistoria yasiyo ya Mkristo ya Flavius Josephus, Cornelius Tacitus, Lucian wa Samosata, Maimondes na hata Baraza la Wayahudi yanathibitisha ushahidi wa hawali wa Wakristo waelezea tukio hili muhimu ya kihistoria la kifo cha Yesu Kristo.
Kuhusu ufufuo wake, kuna mistari kadhaa ya ushahidi ambayo inatulazimisha kuuamini. Hayati waziri wa kimataifa Bwana Lionel Luckhoo (wa kitabu cha umaarufu cha matukio ya kimataifa jambo lisilo la kawaida mara 245 mfululizo wa tetezi zake za kuachilia huru watuhumiwa wa kesi za mauaji) kwa ufupi shauku Mkristo na kujiamini katika nguvu ya kesi kwa ufufuo wakati yeye aliandika, "Nimetumia zaidi ya miaka 42 kama mwanasheria wakili wa kesi katika mahakama kuu, huku nikionekana katika sehemu nyingi za dunia na bado ninaendelea katika taaluma ya uwakili. Nimekuwa na bahati ya kupata idadi ya mafanikio katika majaribio ya kuwa katika kile kikao cha Mahakama ya rufaa na mimi ninasema bila utata wowote kuwa ushahidi wa ufufuo wa Yesu Kristo ni kweli na wa kukubalika ambao hauachi na nafasi ya shaka."
Jamii ya kidunia yajibu kuhusu ushahidi huo kuwa ule hauna haja ya ahadi zao thabiti kulingana na mbinu ya mtazamo wa hoja. Kwa wale wasio na ufahaamu wa kawaida kuhusu; mbinu yay a vitu vinavyo onekana ni jitihada za binadamu kwa kueleza kila kitu katika suala la sababu za asili na sababu za asili tu. Kama madai ya tukio ya kihistoria yanahitilafiana na maelezo ya asili (kwa mfano, ufufuo wa kimiujiza), wasomi wa kidunia kwa ujumla hulichukulia swala kwa tashwishwi, mbali na ushahidi, bila kujali lazimisha nzuri litakalo kuwepo.
Kwa mtazamo wetu, kama vile utii kwa sababu ya asili bila kujali ushahidi halisi ushahidi mkubwa kinyume na sizo nzuri kwa upendeleo (na hivyo kutosha) uchunguzi wa ushahidi. Tunakubaliana na Daktari Wernher von Braun na wengine wengi ambao bado wanaamini kwamba kulazimisha falsafa maarufu ya maelekezo juu ya ushahidi unaozuia usawa. Au katika maneno ya Daktari von Braun, "Kwa kulazimishwa kuamini hitimisho moja tu ... utakiuka ule usawa wa sayansi yenyewe."
Baada ya kusema hayo, hebu sasa tuchunguza mistari kadhaa ya ushahidi ambao waungua mkono ufufuo.
Mstari wa kwanza wa Ushahidi wa ufufuo wa Kristo
Kwa kuanzia, tumeonyesha ukweli wa shuhuda za ushahidi. Watume Wakristo wa kwanza walitoa mamia ya ushahidi waliouona kwa macho, ambao baadhi yao walinakili kumbukumbu ya uzoefu wao wenyewe. Wengi wa mashahidi hawa kwa makusudi na uthabiti walivumilia mateso ya muda mrefu na kufa kuliko kukataa ushahidi wao. Ukweli huu washuhudia uaminifu wao, wakifutilia mbali uongo kwa upande wao. Kwa mujibu wa rekodi ya kihistoria (kitabu cha Matendo 4:1-17; Barua ya Pliny kwa Trajan wa kumi, 96, nakadhalika) Wakristo wengi wanaweza kukomesha mateso yao tu kwa kukana imani yao. Badala yake, inaonekana kwamba wengi wamechagua kuvumilia mateso na kutangaza ufufuo wa Kristo hadi kifo chao.
Kule kuuawa kwa ajili ya imani, sio jambo la kulazimisha. Haihalalishi imani sana kama inavyo mtibitishia muumini imani yake (kwa kuonyesha uaminifu wake katika njia inayoonekana). Kinachowafanya mashahidi wa kale wa Kikristo kuwa mashujaa ni kwamba walijua kamba kile walichokuwa wanakikiri ni kweli. Wao aidha walimwona Yesu Kristo akiwa hai na baada ya kifo chake au hawakumwona. Hii ni ajabu. Kama hayo yote ni uongo, kwa nini wengi kuuendeleza ingawa mazingira yao hayakuwa mazuri? Kwa nini wao wote huku wakijua kushikamana na uongo usio na faida katika hali ya mateso, kufungwa jela, mateso na kifo?
Mwezi wa tisa (Septemba) 11, 2001, watekaji nyara wa kujitolea muhanga wa mauaji bila shaka waliamini chenye walicho kikiri (kama inavyothibitishwa na nia yao ya kufa kwa ajili yake), lakini hawakuweza kujua kama ni kweli. Wao huweka imani yao katika mila walizozirithid kutoka kwa vizazi vingi. Kwa ulinganisho mwingine, mashujaa wa imani wa zamani wa Kikristo walikuwa kizazi cha kwanza. Aidha wao walikiona chenye walichokitangaza, au wao hawakukiona.
Miongoni mwa ushahidi tukufu uliokiriwa ni wa Mitume. Wao kwa pamoja walipitia mabadiliko yasiyo kataliwa kufuatia madai ya kuonekana kwa Kristo baada ya ufufuo. Mara tu baada ya kusulubiwa kwake, walijificha kwa sababu ya hofu ya kupoteza maisha yao. Kufuatia ufufuo huo waliingia mitaani, kwa ujasiri kutangaza ufufuo licha ya kuongezeka kwa mateso. Ni nini kinachangia mabadiliko yao makubwa na ya ghafla? Hakika hailikuwa faida ya kifedha. Mitume walitoa kila kitu walichokuwa nacho ili wahubiri ufufuo, ikiwa ni pamoja na maisha yao.
Mstari wa pili wa Ushahidi kwa ufufuo wa Kristo
Mstari wa pili wa ushahidi kuhusu kuoka kwa baadhi wasioamini, hasa Paulo na Yakobo. Paulo alikuwa mtekeleshaji wa mateso na vurugu ya kanisa la kwanza. Baada ya kile anachokieleza kuwa kukutana na Kristo aliye fufuka, Paulo alipitia ubadilisho wa haraka kutoka kutesa Kanisa na kuwa mmoja wa watetezi wake. Kama Wakristo wengi wa kwanza, Paulo alipitia mateso umaskini, mateso, kupigwa, kufungwa jela, na kunyongwa kwa ahadi yake imara kwa ufufuo wa Kristo.
Yakobo alikuwa na wasiwasi, ingawa si adui kama Paulo. Kule kukutana na Kristo kunao tuhumiwa baada ya kufufuka kulimgeusha na kuw muumini mwenye msimamo usiotingizika, na kuwa kiongozi wa kanisa la Yerusalemu. Bado tuna kile wasomi kwa ujumla hukubali kuwa mojapo wa nyaraka zake kwa kanisa la kwanza. Kama Paulo, Yakobo kwa hiari aliteswa hadi akafa kwa ajili ya ushahidi wake, ukweli ambao washuhudia uaminifu wa imani yake (angalia kitabu cha Matendo Ya Mitume na Josephus ' Mambo ya Kale ya Wayahudi XX, ix, 1).
Mstari wa Tatu na wa Nne wa Ushahidi kwa ufufuo wa Kristo
Mstari wa tatu na mstari wa nne wa ushahidi kuhusu tangazo la uadui la kaburi tupu na ukweli kwamba imani katika ufufuo alichukua mizizi katika Yerusalemu. Yesu alinyongwa hadharani na kuzikwa katika Yerusalemu. Ingekuwa jambo lisilowezekana kwa imani katika ufufuo wake kuchukua mzizi katika Yerusalemu wakati mwili wake ulikuwa bado katika kaburi ambapo Baraza kuu lingeweza kuufukua, na kuuweka mahali unaweza kuonekana na umma, na hivyo kufunua uongo. Badala yake, baraza kuu waliwatuhumia wafuasi wa Yesu kuwa waliuiba mwili wake, hii inaonekana ni jitihada katika kueleza kupotea kwa mwil wake (na kwa hivyo na kuacha kaburi tupu). Je, sisi tunaelezaje ukweli wa kaburi tupu? Hapa kuna maelezo matatu ya kawaida:
Kwanza, wanafunzi waliuiba mwili. Kama hii ndio kesi, wangejua ufufuo ulikuwa wa uongo. Basi wao hawangekuwa tayari kuteseka na kufa kwa ajili yake. (Angalia mstari wa kwanza wa ushahidi unao onyesha ukweli kuhusu mashahidi wa moja kwa moja.) Wote wanaodai mashahidi waliona matukio kwa macho yao, wangejua kwamba hawakumwona Kristo na hivyo wamstarina uongo. Kwa pamoja wengi wa wanaoshirikiana, hakika mtu angekiri kwamba, ikiwa si kwa kukomesha mateso yake mwenyewe basi angalau kukomesha mateso ya marafiki zake na familia. Kizazi cha kwanza cha Wakristo walifanyiwa ukatili, hasa kufuatia ule moto katika mji wa Roma katika miaka ya 64 Kabla Yesu azaliwe (moto ambayo Niro aliamrisha ali apanue makzi yake kwa ajili ya upanuzi wa nyumba yake, lakini yeye mwenye akawalaumiwa Wakristo wa Roma katika jitihada ya kujiondolea lawama yeye mwenyewe). Cornelius Tacitus kama mwanahistoria ya Kirumi alielezea katika kumbukumbu yake ya Roma (iliyochapishwa tu na kizazi baada ya moto):
"Niro akakazia Wakristo hatia na kuachilia mateso zaidi juu kile kikundi kilichochukiwa kuwa katili, kwa jina walilojulikana kwalo sana na watu ni Wakristo. Kristo, asili ya jina lao, walipata adhabu kubwa mno wakati wa utawala wa Tiberio kwa mikono ya mmoja wa maliwali, Pontio, mkatili mbaya zaidi, kwa muda alikoma kidogo, tena kukatokea maovu katika Uyahudi pekee, chanzo cha kwanza na ubaya, bali hata katika Roma, ambapo mambo yote maovu na ya aibu kutoka kila sehemu ya dunia yalipata kituo na kuwa maarufu. Vile vile, kukamatwa kwa mara ya kwanzakulifanyika kwa wote ambao walikiri, na kisha, juu ya habari zao, umati mkubwa wa watu ulipatikana na hatia, si eti ni kwa ajili ya uhalifu wa kuuchoma mji, kama chuki dhidi ya mwanadamu. Kejeli ya kila aina iltunikwa kwa vifo vyao. Kufunikwa kwa ngozi za wanyama, waliliwa na mbwa na kuuwawa, au walisulubiwa msalabani, au kuangamizwa kwa moto na kuteketezwa, ili watumike kama mwanga wa usiku, wakati mwanga wa mchana uliisha. "(Kumbukumbu, XV, 44)
Niro aliwateketeza Wakristo wakikwa hai ili watumike kama mwanga wa bustani. Hakika mtu angeweza kukiri ukweli chini ya tishio la maumivu kama hilo. Ukweli ni kwamba, ingawa, hatuna rekodi ya Mkristo yeyote wa awali aliyekaana imani ili akomeshe mateso yake. Badala yake, tuna kumbukumbu nyingi za baada ya ufufuo zamamia ya mashahidi walio ona kwa macho yao wakiwa tayari kuteseka na kufa kwa ajili yake.
Kama wanafunzi hakuiba mwili wa Yesu, ni namna gani tunawelezea kaburi tupu? Baadhi ya watu wamependekeza kwamba Kristo alijidai amekufa na baadaye alitoroka kutoka kaburini. Hili ni jambo la kusikitisha. Kwa mujibu wa shuhuda za ushahidi, Kristo alipigwa, aliteswa, na kukwaruzwa, na kupigwa. Alipata uharibifu wa ndani, akapoteza damu, kukosa hewa, na kuchomwa mkuki kwa moyo wake. Hakuna sababu nzuri ya kuamini kwamba Yesu Kristo (au mtu mwingine yeyote kwa sababu ya jambo hili) kuwa Yesu anaweza kuishi kwa tatizo kama hilo la bandia kwa kifo chake, kukaa kaburini kwa siku tatu mchana na usiku bila matibabu, chakula wala maji, kuondoa jiwe kubwa ambalo lilifunika kaburi yake, kuepuka bila kujulikana ( bila kuacha nyuma ya uchaguzi tone la damu ), kushawishi mamia ya mashahidi kwamba alifufuka kutoka wafu, na katika afya njema, na kisha kutoweka bila kuwaeleza. Dhana kama hiyo ni ya kukanganya.
Mstari wa tano wa Ushahidi kwa ufufuo wa Kristo
Hatimaye, mstari wa tano wa ushahidi maalumu wa wale walioshuhudia. Katika hadidhi simulizi zote kuu za ufufuo wanawake wemetunukiwa sifa kama mashahidi wa kwanza na wa msingi. Hii itakuwa uvumbuzi usio wa kawaida jinsi katika tamaduni za kale za Wayahudi na Warumi wanawake walidunishwa sana. Ushuhuda wao ulichukuliwa kuwa si wa maana na kutupiliwa mbali. Kutokana na ukweli huu, kuna uwezekano mkubwa kwamba wahusika wowote wa uongo katika karne ya 1 katika Yudea bila kuchagua wanawake kuwa mashahidi wao wa msingi. Wanafunzi wake wote wa kiume ambao walidai kumwona Yesu akiwa amefufuka, kama wote walikuwa wanadanganya na ufufuo ulikuwa wa kashfa, ni kwa nini wao waliupokea ushuhuda potovu usioweza kuaminika ambao wangeweza kupata?
Daktari William Lane Craig anaeleza, "Wakati unaelewa jukumu la wanawake katika jamii ya karne ya kwanza katika jamii ya Wayahudi, kilicho cha ajabu ni kwamba hii hadithi ya kaburi tupu lazima iwahusishe wanawake kuwa wa kwanza wenye walioigundua kaburi tupu. Wanawake waliwekwa kitika kiwango cha chini sana cha ngazi ya kijamii katika karne ya kwanza ya Wapalestina. Kuna medhali za kirabi ambayo inasema, 'Heri maneno ya Sheria yachomwe kwa moto badala ya kutolewa kwa wanawake ' na ' heri ni mtu yule ambaye watoto wake ni wa kiume, lakini ole wake mtu ambaye watoto wake ni kike.' Ushahidi wa wanawake alichukuliwa kuwa sio wa maan kiwango kwamba hawakuruhusiwa kutumika kama mashahidi wa kisheria katika mahakama ya Sheria ya Wayahudi. Katika mwanga wa hili, ni ajabu kwamba mashahidi wakuu wa kaburi tupu ni hawa wanawake ... kumbukumbu yoyote ile ya baadaye bila shaka ingehuzisha wanafunzi wa kiume kama ndio wa kugundua kaburi - Petro au Yohana, kwa mfano. Ukweli kwamba wanawake ndio mashahidi wa kwanza wa kaburi tupu kwa uwezekano mwingi inaelezwa kwa ukweli kwamba – kama huo au sio - kuwa wao ndio waligundua kaburi tupu! Hii inaonyesha kwamba waandishi wa Injili kumbukumbu kwa uaminifu walinakili kile kilichotokea, hata kama ilikuwa aibu. Hii yazungumza kinyume na historia ya mila hii badala ya hadhi yake ya hadithi." (Daktari William Lane Craig , alinukuliwa na Lee Strobel , Uchunguzi kihusu Kristo, Grand Rapids. Zondervan, 1998, p 293)
Kwa Ufupi
Mistari hii ya ushahidi: usafi unaodhihirishwa na mashahidi wa moja kwa moja (na katika kesi ya Mitume, kulazimisha, mabadiliko yasiyo elezeka), badiliko la ukweli liwezalo thibitishwa la maadui wakuu - na la wenye shaka liliwabadilisha mashujaa wa imani, ukweli wa kaburi tupu, kataa la adui kwa kaburi tupu, ukweli kwamba haya yote yalifanyika katika Yerusalemu, mahali ambapo imani katika ufufuo alianza na ilinawili, ushahidi wa wanawake, umuhimu wa ushahidi kama huo uliotolewa katikia mazingira ya kihistoria; yote haya kwa nguvu yanashuhudia historia ya ufufuo. Tunawahimiza wasomaji wetu kufikiri kwa umakini shuhuda hizi. Je, wao wanapendekeza nini wewe? Baada ya sisi wenyewe kuyatafakari, sisi kwa uthabiti tunathibitisha tamko la msomi Lionel:
"Ushahidi kwa ajili ya ufufuo wa Yesu Kristo ni wa kufutia mno na walazimisha kukubalika kwa ushahidi ambao kwamwe hauaji kabisa hakuna nafasi ya shaka."
Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili
Ni kwa nini niamini katika ufufuo wa kristo?
|
||
|
|
<urn:uuid:a987ed4c-3cf1-4ed1-87a0-0daa27f2ff9f>
|
{
"date": "2014-03-11T16:17:22Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394011221943/warc/CC-MAIN-20140305092021-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9334717392921448,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 66,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9334717392921448, \"swc_Latn_score\": 0.04902201518416405, \"ssw_Latn_score\": 0.010141733102500439}",
"url": "http://www.gotquestions.org/Kiswahili/kwa-nini-uamini-ufufuo.html"
}
|
Mlima Meru
mlima Meru ni mlima wa volkeno na una urefu wa mita 4565(futi 15064) kutoka usawa wa bahari. Mlima huu ni wa tano kwa urefu katika bara la Afrika.
Mlima Meru unapatikana ndani ya Hifadhi ya Arusha ambayo ilianzishwa mwaka 1960 ambapo wanyama pori kuzunguka Maziwa ya Momella na Volcano ya Ngurudoto (Ngurudoto crater) walihifadhiwa na kulinwa katika eneo hili.
Vivutio katika hifadhi hii vinajumuisha volkeno, maziwa, Misitu na wanyama pori kama twiga, tembo, pundamilia, nyati na wengine wengi. Pia kuna ndege wa aina nyingi wakiwemo flamingo, pia misitu katika mlima Meru ni makazi ya nyani.
Kupanda Mlima Meru inachukua siku tatu hadi nne na wakati mzuri wa kupanda mlima ni kuanzia mwezi Juni hadi Februari ambapo mvua zinaweza kunyesha katika mwezi wa Novemba. Na wakati mzuri wa kuona Kilimanjaro kutokea Meru ni mwezi kati ya Desemba na Februari.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Majarida ya Utalii na maliasili za Tanzania
|
<urn:uuid:17984f27-74b7-423b-a3fb-5197e88e2b71>
|
{
"date": "2014-03-12T15:04:41Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021889832/warc/CC-MAIN-20140305121809-00084-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9988340735435486,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 40,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9988340735435486}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Mlima_Meru"
}
|
Uhifadhi wa maji
Uhifadhi wa maji unahusu kupunguza matumizi ya maji na kuchakata maji taka kwa malengo tofauti kama kusafisha, viwanda, kilimo nk
Yaliyomo
Maskani[hariri | hariri chanzo]
Teknolojia ya kuokoa maji ya nyumbani ni pamoja na:
- Vichwa vya mifereji ya kuoga vyenye viwango vya chini vya mtiririko(Low-flow shower heads) (wakati mwingine huitwa vichwa vyenye ufanisi wa kinishati kwani pia zinatumia nishati kidogo, kutokana na kiasi kidogo cha maji kuchemshwa).[onesha uthibitisho]
- Vyoo visivyohitaji nguvu nyingi kusafisha (Low-flush toilets) na vyoo vya kuhifadhi(composting toilets). Hivi vina makubwa katika ulimwengu uliyoendelea, kwani kwa kawaida vyoo vya Magharibi hutumia maji kwa wingi.
- Maji chumvi (maji ya bahari) au maji ya mvua yanaweza kutumika kwa kusafisha vyoo.
- Vipulizi vya faucet, ambayo huvunja mtiririko wa maji kuwa matone faini ili kudumisha "ufanisi wa unyevu" wakati huo ukitumia kiasi kidogo cha maji. Faida ya nyongeza ni kwamba zinapunguza kuruka kwa maji wakati wa kuosha mikono na kuosha sahani.
- Marudio ya matumizi ya maji taka (reuse)) au mifumo ya kuchakata, huruhusu:
- Kuchota maji ya mvua
- Mashine za kusafisha nguo zenye ufanisi wa hali ya juu
- Vifaa vinavyosimamia unyunyi
- Midomo ya mifereji inayojifunga wakati haitumiwa, badala ya kuruhusu a hose kukimbia.
Maji pia inaweza kuhifadhiwa kwa kupanda mimea asili na kwa kubadilisha tabia, kama kufupisha muda bafuni na kutoachilia maji yakitiririka wakati unasafisha meno.
Kibiashara[hariri | hariri chanzo]
Vifaa vingi vya kuokoa maji (kama vyoo vya kusafishwa na maji kidogo) ambayo ni muhimu katika makaazi pia inaweza kufaa katika kuokoa maji katika biashara. Teknolojia zingine za kuokoa maji kibiashara ni pamoja na:
- Sehemu za mkojo zisizo na maji
- Usafishaji magari bila maji
- Faucet za Infrared au zinazoendeshwa na mguu- , ambazo zinaweza kuokoa maji kwa kutumia mitiririko fupi ya maji katika kuosha jikoni au bafuni
- Vifagiomaji vyenye presha, ambavyo vinaweza kutumika badala ya mifereji kusafisha mapito.
- Mifumo wa kurudia mizunguko ya kutengeneza filamu za X-ray
- Vifaa vya kusimamia uenezaji katika minara ya kupoesha
- Vifaa vya kuokoa maji ya mvuke, kwa matumizi ya hospitali, nk
Kilimo[hariri | hariri chanzo]
Kwa unyunyizaji wa mazao ufanisi wa juu kwa maji unamaanisha upunguzaji wa hasara kutokana na uvukizi, mtiririko au kumwagika kwa maji chini ya ardhi. Sahani ya Uvukizi inaweza kutumiwa kubaini kiasi cha maji ya kinachohitajika kunyunyiza ardhi. Unyunyizaji wa gharika, iliyo kongwe na aina ya kawaida, kwa mara nyingi sana hukosa usawa katika usambazaji, kwani sehemu ya shamba hupokea kiasi kinachozidi cha maji ili kutoa wingi wa kutosha kwa maeneo mengine. Unyunyizaji wa kutoka juu, unaotumia mzunguko wa katikati au mifereji inayosonga-upande, inatoa ruwaza sawa zaidi na usambazaji unaweza kudhibitiwa. Unyunyizaji wa drip(tone) ni ghali sana na hautumiwi sana, lakini unatoa matokeo bora katika kufikisha maji kwa mizizi ikiwa na hasara ndogo.
Kama vile kubadilisha mifumo ya unyunyizaji inaweza kuwa ghali kutekeleza, juhudi za uhifadhi mara nyingi hulenga kuongeza ufanisi wa mfumo uliopo. Hii ni pamoja na kutawanya ardhi iliyoshikamana, kujenga kingo za mitaro kuzuia mtiririko, na kutumia unyevu wa udongo na vifaa vya kuhisi mvua kuongezea ratiba ya unyunyizaji.[1]
- Mashimo, ambayo yanachota maji ya mvua inayotiririka na kuitumia kuongezea maji ya ardhini. Hii inasaidia katika malezi ya visima vya maji vya ardhini nk na hatimaye hupunguza mmomonyoko wa udongo unaosababishwa na maji inayotiririka.
- Upunguzaji wenye manufaa yoyote katika upotezaji wa maji, matumizi, au taka;
- Upunguzaji katika matumizi ya maji unawezekana kwa kutekeleza uhifadhi wa maji au hatua za kuongeza ufanisi wa maji; au,
- Mazoea ya usimamizi wa maji ambayo yanapunguza au kuboresha matumizi ya manufaa ya maji. Hatua ya uhifadhi wa maji ni tendo, mabadiliko ya kitabia, kifaa, teknolojia, au kuboreshwa kwa muundo au mchakato unaotekelezwa ili kupunguza hasara, taka, au matumizi ya maji. Ufanisi wa maji ni chombo cha uhifadhi wa maji. Inayopelekea ufanisi zaidi katika matumizi ya maji na hivyo kupunguza mahitaji ya maji. Thamani na ufanisi wa gharama ya hatua ya ufanisi wa maji lazima utathminiwe katika uhusiano wake na madhara yake kwa matumizi na gharama ya maliasili nyingine (kama nishati au kemikali).[2]
Ufanisi wa maji[hariri | hariri chanzo]
Ufanisi wa maji unaweza kuelezwa kama uhitimishaji wa kazi, mchakato, au matokeo na kiasi kidogo cha maji yakinifu, au kiashirio cha uhusiano kati ya kiasi cha maji kinachohitajika kwa kusudi maalumu na kiasi cha maji kinachotumika, kinachochukuliwa au kinachofikishwa.[2]
Lengo na Muundo wa Mtandao wa Chini Kabisa wa Maji[hariri | hariri chanzo]
Ufanisi kigharama wa mtandao wa maji ya chini ni mwongozo wa kiujumla kwa ajili ya kuhifadhi maji ambayo husaidia katika kuamua kiasi cha chini cha maji safi na shabaha ya maji taka katika mfumo wa viwanda au mijini kwa kuzingatia mpangilio wa usimamiaji wa maji yaani inaangazia mbinu zote za kuokoa maji. Mbinu hii inahakikisha kwamba taka kipindi cha kurudisha malipo kilichotamaniwa na aliyeunda kimeridhishwa kwa kutumia mbinu ya Systematic Hierarchial Approach for Resilient Process Screening (SHARPS).
Mbinu nyingine iliyoanzishwa kwa upeo wa kuokoa maji ni mbinu ya uchambuzi wa maji wa pinch. Hata hivyo, mbinu hii inalenga tu kuongeza maji safi na kupunguza maji taka kupitia marudio ya matumizi na uzalishaji upya.
Angalia Pia[hariri | hariri chanzo]
- Amri za Berlin Kuhusiana na Raslimali za Maji
- Biolojia ya uhifadhi
- Maadili ya uhifadhi
- Harakati za uhifadhi
- Ufanisi kigharama wa mtandao wa maji ya chini
- Unyunyizaji naksi
- Harakati za Ecolojia
- Ulinzi wa mazingira
- Uhifadhi wa Makaazi
- Uvukizi wa Sahani
- Upeo wa juu wa kiwango cha maji
- Kilimo endelevu
- Kipimo cha matumizi
- Uchambuzi wa kuteleza kwa maji
- Mita ya maji
- Upimaji wa maji
- Pinch ya maji
- Mpangilio wa usimamizi wa maji
- WaterSense
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Asili[hariri | hariri chanzo]
- Helmle, Samuel F., "Water Conservation Planning: Developing a Strategic Plan for Socially Acceptable Demand Cont Programs" (2005). Applied Research Projects. Chuo Kikuu cha Jimbo la Texas Karatasi ya 2.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Nakala ya Ufanisi wa Maji, Nakala ya Wataalam wa Uhifadhi wa Maji
- Njia Rahisi za kuhifadhi maji Nyumbani
- Kuhifadhi Maji ndani na Nje ya Nyumba
- Ukame na Njia za Kuokoa maji kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu la Uingereza
- Uhifadhi wa Maji ( eneo la mada ya WQIC)
- Muungano kwa Ufanisi wa Maji (AWE)
- H2O Conserve Kihasibu cha Maji
- Water Conserve: Tovuti ya Uhifadhi wa Maji
- maji "Ukame"
- Blue Gold na Maude Barlow
- Maji-itumie vyema
|
<urn:uuid:d84b318a-2389-4c21-b92a-9daa03a273a7>
|
{
"date": "2014-03-08T22:50:35Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999665917/warc/CC-MAIN-20140305060745-00085-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9956693053245544,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9956693053245544}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Uhifadhi_wa_maji"
}
|
NI sahihi kuamini kwamba kasi ya viongozi na wanawachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamia upinzani hususani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inaongezeka.
Kitendo cha wana-CCM kukikimbia chama hicho kilichoanzishwa Februari 5, 1977 hakijaanza kwenye uongozi Rais Jakaya Kikwete. Ni muendelezo uliokuwepo husasun baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa.
Itakumbukwa kwamba wakati wa ukoloni, Tanganyika na Zanzibar zilizoungana Aprili 26, 1964 na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zilikuwa katika mfumo wa vyama vingi.
Hata Tanganyika na Zanzibar zilipoungana kuiunda Tanzania iliyopo, vyama vingi vikiwa na sera, dira, malengo na mwelekeo tofauti, vilikuwepo katika pande mbili hizo.
Mwaka mmoja baada ya Muungano, yaani 1965, mfumo wa vyama vingi ‘uliuawa’ kwa mujibu wa sheria, ikiaminishwa kwamba vilishindwa kutekeleza wajibu wake kwa umma.
Hapo Tanzania ikaendelea kuwa yenye mfumo wa chama kimoja cha siasa, hadi ilipofika 1992, hali ikabadilika na kuruhusiwa (kwa mujibu wa sheria) kuanzishwa vyama vingi vya siasa.
Kuanzishwa kwa mfumo huo kuliwafanya viongozi na wanachama wengi wa CCM hasa waliokuwa wanasigana ndani yake kuhusu namna tofauti za uendeshaji na utekelezaji wa majukumu yake, walijiengua na kujiunga ama kuanzisha vyama vya siasa.
Hapo utaona kwamba sehemu kubwa ya walio katika upinzani walitoka CCM. Wakifuata sheria, taratibu na kanuni zilizohalalisha uwepo na utendaji kazi wa vyama hivyo.
Kwa hali hiyo, wimbi la viongozi na wanachama wa CCM wanaokikimbia chama hicho na kujiunga Chadema si la kwanza, lakini kwa namna ya pekee, linafanyika katika taswira inayoonyesha mwelekeo hasi wa chama tawala.
Ikumbukwe pia kwamba hata mwaka 1992 baada ya kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi, viongozi na wanachama mahiri wa CCM, wakiongozwa na aliyewahi kuwa Naibu Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani na Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Vijana ya Vijana, Augustine Mrema.
Mrema alijiengua CCM na kujiunga NCCR-Mageuzi, hali iliyoonekana kama ‘tsunami’ kwa chama tawala. Mrema hakukaa sana NCCR-Mageuzi kutokana na mgogoro mkubwa wa kisiasa uliobuka ndani ya chama hicho.
NCCR-Mageuzi ikameguka makundi mawili, moja likimuunga mkono Mrema na jingine likiwa upande wa aliyekuwa Katibu Mkuu, Mabere Nyaucho Marando.
Hatimaye Mrema ‘alibwaga manyanga’ akakimbilia TLP, huko pia alifuata na watu ingawa kwa uchache ikilinganishwa na alipotoka CCM na kujiunga NCCR-Mageuzi.
Wimbi la wana-CCM kukihama chama hicho lilikuwa upande wa Zanzibar, wengi wao wakijiunga Chama cha Wananchi (CUF), wakakipa nguvu zaidi na sasa kimebaki kuwa kinara wa upinzani visiwani humo.
Wimbi la kuelekea Chadema
Je, hatua ya wana-CCM kuhamia Chadema hivi sasa, ina maana gani kwa uhai wa chama tawala?
Tangu kundoka kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Arusha, James Ole Millya kujiunga Chadema, moto huo umesambaa maeneo mengine nchini.
Millya ameondoka na sasa madiwani na wanachama wengine katika maeneo tofauti ya nchi, wanajiengua.
Jambo lililo miongoni mwa yenye msingi wa tofauti kati ya kuhama kulikotokea awali na sasa, ni kwamba CCM ya sasa imegawanyika. Ni chama kimoja chenye makundi mengi yakiwa na malengo na matamanio yanayotofautiana.
Hivyo wanapotokea wanachama wanahama, CCM inakosa uhalali wa kubuni mkakati wa pamoja wa kuwarejesha ama kukomesha hali hiyo. Kwa maana inategemea zaidi mtu ama ofisi inayopaswa kuidhibiti hali hiyo.
Mwenye mamlaka hayo anaweza kuwaona walioondoka na wanaoendelea kuondoka ‘si watu wetu’ bali watu wa kundi lile. Kuondoka kwao kunakuwa faida kwa kundi lake kwa maana ‘kundi adui’ ndani ya chama ndilo limepata pigo.
Upepo wa mageuzi
Mabadiliko ya upepo wa kisiasa yanayoifanya CCM izidi kupoteza udhibiti wa wanachama na viongozi wake, ni miongoni mwa sababu ya kukua kwa wimbi la kukihama chama hicho na kukimbilia Chadema.
Ikumbukwe kwamba awali, kulikuwa na dhana potofu kwamba mafanikio yoyote ya kisiasa hayawezi kupatikana isipokuwa kupitia CCM.
Dhana hiyo ilisakafiwa na matumizi ya nguvu za dola, vitisho na hujumu dhidi ya haki za kidekrasia, kuwafanya watu wabaki ndani ya CCM hata kama hawakipendi chama hicho, hawaguswi na sera ama uongozi wake.
Hapo ndipo yanapokumbukwa matukio kama ya waraka wa aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM, Laurence Gama, alipoandika akitaka majina ya watu waliosaidia upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 1995 ili washughulikiwe.
Kama vile haikutosha, aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Tluway Sumaye, akimkampenia aliyekuwa mgombea ubunge wa Moshi Vijijini (CCM), Elizabeth Minde, akatangaza kuwa mtu yeyote anayetaka mambo yake yamnyookee, atundike bendera ya CCM.
Wafanyabiashara tofauti zikiwemo za nyumba za wageni, baa, migahawa ya chakula hata kama ziliendeshwa kinyume cha sheria, kanuni na taratibu, walitundika bendera za CCM!
Wasafirishaji kwa njia za barabara na majini, hata kama walibeba bidhaa haramu na zinazohujumu uchumi ama kuhatarisha amani na usalama nchini, walipeperusha bendera za CCM, hawakukuguswa.
Kwa sababu Waziri Mkuu alishantangaza, kwamba anayetaka mambo yake yamnyokee, apeperushe bendera ya CCM.
Lakini hiyo haikuwa katika kuiimarisha CCM, ilikiangamiza chama hicho kwa maana kila jambo ovu na lenye nia ovu, lilifanyika kupitia mgongo wa CCM.
Pengine hata kuimarisha kwa kundi la mafisadi waliojipenyeza hadi ndani ya Baraza la Mawaziri, ni matokeo ya mfululizo wa vitendo hasi vya viongozi wa CCM na serikali.
Hapo ndipo kinapotokea chama mbadala kama Chadema, kikazungumza lugha ya Watanzania, kikawaunganisha Watanzania, kikakemea wanaowahujumu Watanzania na kuahidi kuipigania Tanzania huru itakayowanufaisha Watanzania wote, kinaaminika kwa urahisi.
Ndio maana unapoisoma historia ya mageuzi nchini, Chadema ni chama pekee cha upinzani upande wa Tanzania Bara ambapo mafanikio yake yamekuwa yakiongezeka mwaka baada ya mwaka.
Wameongezeka kwa idadi ya viongozi wa serikali katika ngazi za vitongoji, vijiji na mitaa, wameongezeka kwa viti vya madiwani na ubunge, wameongezeka kwa kuaminiwa na wananchi, wameongezeka kwa ushawishi unaougusa umma mpana.
Hali hiyo umebomoa uwezo wa CCM kuhodhi na kuudhibiti umma, kwamba umma sasa haupo katika kuamini kwamba ili mambo yako yakunyookee, upeperushe bendera ya CCM!
Kwamba ili ushinde katika ngazi ya kitongoji, kijiji, mtaa, kata ama jimbo, lazima uwe umetokana na CCM, si hivyo tena! Kasi ya madaliko imekuwa kubwa, inaonekana kuzidi uwezo wa CCM iliyobaki katika makundi kinzani.
Inapofikia hatua hiyo, busara pekee kwa waliopewa dhamana ya umma kama wabunge na madiwani, ni kuyaelekeza macho na masikio yao kwa umma, kuutambua umma unataka nini na si chama kinataka nini.
Kama chama kinakuwa sehemu ya vikwazo katika kuyafikia matarajio ya umma, haina maana ya kuendelea kuwemo ndani yake, ndio maana wimbi la kuondoka linaongezeka, na watazidi kuondoka.
Wataondoka kama wanaotangaza kuondoka sasa, wakiwa katika nafasi mbalimbali ambazo si rahisi kuushawishi umma uamini kwamba kuhama huko ni kwa sababu ya ‘njaa zao.’
Migogoro isiyofikia ukomo
Tangu wakati na baada ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 ambapo Rais Jakaya Kikwete aliingia madarakani kwa mara ya kwanza, CCM ilipata mpasuko mkubwa.
Waliokuwa wagombea, wafadhili na washauri wao, walitumia mbinu chafu ya kueneza uongozi wenye kukigawa chama hicho, ili watimize matakwa yao.
Walizusha mambo hata yasiyostahili kuzushwa, kwa maana hayakuwa na ukweli hivyo kukosa uhalali wa kimaadili, isipokuwa kukigawa na kukiangamiza chama hicho.
Mgawanyiko huo ukakua hadi kufikia hatua ya kuundwa Kamati ya Wazee, ikiwa na Mwenyekiti wake, Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, Abdurrahman Kinana na Pius Msekwa.
Taarifa ya kamati hiyo iliyolenga kubaini chanzo cha mgawanyiko na kupendekeza suluhu yake, haijulikani kama ilitolewa ama imehifadhiwa kwenye makabati ya nyumbani kwa wajumbe ama ofisi za CCM.
Aidha dhana ya kujivua gamba iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete, inaendelea kuwa mwiba dhidi ya umoja na mshikamano ndani ya CCM.
Lakini yote kwa ujumla wake, CCM imepoteza nguvu ya udhibiti wa wanachama wake, imepoteza nguvu ya mvuto na kuaminika kwa wananchi, inakimbiwa na huenda ikaendelea kukimbia hasa ifikapo 2015.
|
<urn:uuid:995f4d7b-28e6-4961-9a76-5108db201855>
|
{
"date": "2014-03-09T21:36:31Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394010355709/warc/CC-MAIN-20140305090555-00085-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9932640194892883,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 124,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9932640194892883}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/2main/frontend/functions/send_email.php?l=40903"
}
|
Soko la Hisa la Dar-es-Salaam
Soko la Hisa la Dar es Salaam ni liko Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi nchini Tanzania. Liliunganishwa mnamo Septemba 1996 na ununzi ulianza Aprili mwaka wa 1998; soko hili ni mwanachama wa Shirika la Masoko ya Hisa ya Afrika. Kwa sasa lina makampuni 11 yaliyoorodheshwa. Ununuzi hufanyika kwa muda wa chini ya saa moja kwa kila juma[0].
Orodha ya kampuni zilizorodheshwa[hariri | hariri chanzo]
|Kifupisho||Kampuni||Maelezo|
|1.DAHACO||Dar es Salaam Airports Handling Company||Shughuli za uchukuzi wa angani na majini|
|2.EABL||East African Breweries||Bia, Gin, mvinyo|
|3.KQ||Kenya Airways||Usariri wa ndege|
|4.SIMBA||Tanga Cement||Saruji|
|5.TBL||Tanzania Breweries||Inashirikiana na shirika la South African Breweries|
|6.TCC||Tanzania Cigarette Company||Bidhaa za tumbaku, Sigara|
|7.TOL||Tanzania Oxygen||Oksijeni, Nitrojeni, asetilini, gesi za dawa, vifaa vya kulehemu|
|8.TATEPA||Tanzania Tea Packers||Chai na Kahawa|
|9.TWIGA||Twiga Cement||Saruji|
|10.NICOL||Taifa Investments Company Limited||Uwekezaji|
|11.KCB||Kampuni ya Kenya Commercial Bank||Benki|
- Kampuni za East African Breweries na Kenya Airways zimeorodheshwa kwenye soko la hisa la Uganda Securities Exchange na Soko la Hisa la Nairobi.
- Kampuni ya Kenya Commercial Bank imeorodheshwa pia kwenye soko la hisa la Nairobi, soko la hisa la Uganda Securities Exchange na soko la hisa la Rwanda[1]
Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]
- Uchumi wa Tanzania
- Orodha ya masoko ya hisa
- Orodha ya masoko ya hisa barani Afrika
- Masoko ya hisa ya nchi za uchumi mdogo
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti rasmi ya Soko la Hisa la Dar es Salaam
- Tovuti rasmi ya Soko la Hisa la Dar es Salaam -vidokezo na utafiti wa kampuni zilizoorodheshwa
- Shirikisho la Masoko ya Hisa ya Africa
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
|Makala about stock exchanges bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari.|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Soko la Hisa la Dar-es-Salaam kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|Makala African corporation or company bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari.|
|
<urn:uuid:cd227931-72cc-443d-aa6e-27154a5e85d0>
|
{
"date": "2014-03-12T17:53:55Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394023862701/warc/CC-MAIN-20140305125102-00085-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9981142282485962,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9981142282485962}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Soko_la_Hisa_la_Dar-es-Salaam"
}
|
Jana Baraza la Mitihani la Taifa lilitangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha sita wa mwaka 2012 yakionyesha kiwango cha kufaulu ni cha juu, yaani asilimia 87.58 sawa na watahiniwa 46,499 ya watahiniwa 53,255 waliofanya mtuhani huo.
Matokeo hayo yanaonyesha kuwa idadi ya waliofaulu haitofautiani sana mwaka jana ambayo matokeo yalionyesha kuwa waliofaulu walikuwa asilimia 87.24 sawa na wanafunzi 49,653.
Kama ambavyo imekuwa ikidhihirika katika miaka ya hivi karibuni, shule binafsi zimeendelea kufanya vizuri zaidi kuliko shule za serikali, hali inayoonyesha kuwa bado juhudi za serikali kuziwezesha shule za umma hazijazaa matunda ya kutosha.
Mathalan, katika wanafunzi bora watano wa mcheopuo wa sayansi, wanne wanatoka shule binafsi za Marian Girls wanafunzi wawili, Feza Boys’ wanafunzi wawili na mwanafunzi mmoja kutoka Minaki, ambayo ni shule ya serikali.
Hata hivyo, matokeo hayo pia yanaonyesha kuwa katika kundi la shule bora kumi zenye wanafunzi zaidi ya 30, shule za serikali zimefanya vizuri kidogo kwa kutoa shule sita wakati za binafsi zikiingiza shule nne, wakati katika kundi la wanafunzi chini ya wanafunzi 30, hakuna hata shule moja ya serikali, inawezekana ni kwa sababu hakuna shule ya umma yenye wanafunzi wachache.
Kwa ujumla matokeo hayo yanaonyesha kuwa kiwango cha ufaulu kwa masomo ya sayansi ya fizikia, kemia, elimu viumbe na hisabati ni wa chini ikilinganishwa na masomo ya saana ya historia, lugha (Kiingereza na Kiswahili), Jiografia na yale ya biashara, uchumi na uhasibu.
Tunachukua fursa hii kupongeza wananfunzi na shule zao kwa ufaulu huu wa kutia moyo, tunawapongeza tukiamini kwamba wanatambua wajibu wao katika kuendeleza taifa hili katika nyanja za elimu ili kutoandoa katika janga linalotuandama la kuyumba kwa elimu yetu kwa muda mrefu sasa.
Tunazipongeza kwa njia ya kipekee shule zote za binafsi ambazo zimeendelea kung’ang’ania kileleni mwaka baada ya mwaka, lakini pia tunazipongeza kwa njia ya kipekee shule zote za umma ambazo nazo zimekataa kumezwa na wimbi na juhudi za shule binafsi na kuonyesha ushindani wa dhati katika kiwango cha ufaulu.
Tunaamini matokeo ya mwaka huu yana nafuu kubwa kwa sababu kiwango cha ufaulu kati ya darajala kwanza na la tatu kimeongezeka hadi asilimia 79.48 kutoka asilimia 79.41 mwaka jana.
Kiwango hili ni cha juu sana hasa kinapolinganishwa na hali ilivyokuwa kwa matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne mwaka jana kwani waliofaulu kati ya daraja la kwanza hadi la tatu walikuwa ni takribani asilimia 10 tu.
Tunaamini kufaulu huku ni changamoto. Ni changamoto kwa sababu katika mazingira ya kawaida kwa kuwa waliovuka kidato cha nne na kujiunga na kidato cha tano ni wale waliofaulu vizuri ingelikuwa ni matarajio ya Watanzania kuwa walau kiwango cha kufaulu kingekuwa si chini ya asilimia 90.
Tunasema haya kwa kuwa tunaamini kwamba hakuna anayevuka mtihani wa kidato cha nne kwa bahati, ni matokeo ya juhudi na kujituma kwa bidii.
Kadhalika, tunachukua fursa hii kupongeza uamuzi wa Baraza wa kupunguza adhabu iliyotolewa kwa wanafunzi wa kidato cha nne wapatao 3,000 waliopatikana na udanganyifu na sasa adhabu yao imepunguzwa kutoka miaka mitatu hadi mwaka mmoja, tunaamini kuwa nafuu hii itatumiwa vizuri na wanafunzi hawa ili kujipanga upya kurejea darasani kwa sababu ni kweli tupu kwamba bila elimu vijana hawa hawatakuwa na lolote la maana maishani mwao.
Ni matarajio yetu kwamba hali iliyojidhihirisha mwaka huu kwa kupungua kwa kiwango cha udanganyifu katika mtihani huo kwa kuwa ni watahiniwa sita tu wamekamatwa, watatu wa shule na watatu wa kujitegemea, hali hii inaonyesha kuwa tatizo linazidi kupungua mwaka hadi mwaka.
Tungeomba Baraza lizidishe juhudi ili udanganyifu utoweke kabisa katika sekta ya elimu, hususan katika mitihani.
|
<urn:uuid:fa6b608f-a149-435b-974b-8c4c86bd5095>
|
{
"date": "2014-03-09T10:13:12Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999677208/warc/CC-MAIN-20140305060757-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9769691824913025,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 140,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9769691824913025, \"swc_Latn_score\": 0.01973636820912361}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/2m=0/12/10/modules/poll/css/css/function.fopen?l=41138"
}
|
MINUSMA yasaidia usafirishaji wa nyaraka za matokeo ya uchaguzi MaliKusikiliza /
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kusimamia kurejea kwa utulivu nchini Mali, MINUSMA inasaidia mamlaka za uchaguzi nchini humo kuharakisha mchakato wa kuhesabu kura kufuatia awamu ya pili ya uchaguzi iliyofanyika Jumapili. MINUSMA imesema kuwa hakuna jambo kubwa lililojitokeza wakati wa upigaji kura ingawa mvua kubwa zilikwamisha kwa kiasi fulani upigaji kura kwenye sehemu nyingi nchiniMali. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa Eduardo Del Buey alipozungumza na waandishi wa habari mjiniNew York, Marekani.
(SAUTI YA DEL BUEY)
“Kwa mujibu wa mamlaka yake, MINUSMA imetoa misaada ya kiufundi na vifaa kwa awamu zote mbili za uchaguzi pamoja na kusaidia mamlaka za ulinzi. Katika kuharakisha mchakato wa kuhesabu kura, MINUSMA kwa kutumia ndege inasaidia mamlaka za uchaguzi n chini Mali kurejesha nyaraka za matokeo ya uchaguzi huo kutoka Gao, Timbuktu na Kidal."
Awamu ya kwanza ya uchaguzi wa Rais nchiniMaliilifanyika tarehe 28 mwezi uliopita ikiwa ni jitihada za kumaliza mgogoro wa kisiasa ulioanza mwaka jana baada ya askari kupindua serikali. Mgogoro huo ulisababisha kuibuka kwa mapigano kati ya majeshi ya serikali na vikosi vya waasi wa Tuareg na sehemu ya kaskazini mwaMalikushikiliwa na waislamu wenye msimamo mkali.
|
<urn:uuid:c908a383-9e57-4c14-a987-67c0b450a706>
|
{
"date": "2014-03-09T10:13:37Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999677208/warc/CC-MAIN-20140305060757-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9947393536567688,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9947393536567688}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/08/minusma-yasaidia-usafirishaji-wa-nyaraka-za-matokeo-ya-uchaguzi-mali/"
}
|
Wilaya ya Kaliro
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|Wilaya ya Kaliro|
|Nchi||Uganda|
|mji mkuu||Kaliro|
|Eneo|
|- Wilaya||904 km²|
|Idadi ya wakazi (2010 Makadirio)|
|-||228,600|
|Tovuti: http://www.kaliro.go.ug|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kaliro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
|
|
<urn:uuid:df695e36-74a7-46d0-b7fc-e89296f9dc25>
|
{
"date": "2014-03-12T06:30:10Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1394021425440/warc/CC-MAIN-20140305121025-00083-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.993931770324707,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 42,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.993931770324707}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Wilaya_ya_Kaliro"
}
|
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeongeza mshahara wa kima cha chini kwa sekta binafsi kutoka shilingi elfu 70 hadi shilingi laki moja na elfu 45 kwa mwezi sawa na ongezeko la asimia 107.14.
Akitangaza ongezeko hilo kwa wandishi wa habari, waziri wa kazi, uwezeshaji wananchi kiuchumi na ushirika Harouna Ali Suleiman amesema wafanyakazi wa vibarua kwa siku watalipwa shilingi elfu 10 kutoka shilingi 4,500 ya malipo ya zamani.
Aidha amesema wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi watalipwa shilingi elfu saba kwa siku kutoka shilingi 3,500 na wafanyakazi wa mjumbani watalipwa shilingi elfu 60 kutoka shilingi elfu 30 kwa mwezi sawa na ongezeko la asilimia 100.
Waziri Suleiman amesema mishahara hiyo mipya itaanza kulipwa kuanzia tarehe mosi mwezi ujao na kuwataka wajiri kutekeleza agizo hilo la serikali la kuanza kulipa mishahara mipya.
Hata hivyo amesema wajiri wanaweza kuowaongezea mishahara wafanyakazi wao kulingana na hali ya uzalishaji itakavyoruhusu kwenye sekta zao.
Kuhusu suala la mikataba kwa wafanyakazi wa sekta binafsi hasa kazi za majumbani amewataka wananchi wasikubali kufanya kazi kabla ya kufunga mktaba.
Mara ya mwisho serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ilipandisha mishahara ya watumishi wa sekta binafsi kwa shilingi elfu 70 kima cha chini mwaka 2008.
|
<urn:uuid:ba8bfbe6-aa2a-4357-ad5d-ddb53c3ddc4b>
|
{
"date": "2014-03-08T01:29:47Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-10",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-10/segments/1393999651919/warc/CC-MAIN-20140305060731-00086-ip-10-183-142-35.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9918825030326843,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 34,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9918825030326843}",
"url": "http://zanzibarislamicnews.wordpress.com/2012/01/20/smz-yangeza-mishahara-ya-watumishi-wa-sekta-binafsi-kwa-zaidi-ya-asilimia-100/"
}
|
Şemdinli
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
|
|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Şemdinli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:d14a5b18-c637-4994-8831-a6a278e24dc5>
|
{
"date": "2014-04-20T05:52:11Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609538022.19/warc/CC-MAIN-20140416005218-00448-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9926347136497498,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 244948,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9926347136497498}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/%C5%9Eemdinli"
}
|
Sapporo, Hokkaido
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|Sapporo|
|
|
|Nchi||Japani|
|Kanda||Hokkaido|
|Mkoa||Hokkaido|
|Idadi ya wakazi|
|-||1,884,939|
|Tovuti: www.city.sapporo.jp/city/|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Sapporo, Hokkaido kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:feb3c004-a685-42f3-95ca-78bb8bb0f8e7>
|
{
"date": "2014-04-18T14:00:32Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609533689.29/warc/CC-MAIN-20140416005213-00072-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9847532510757446,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 83,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9847532510757446}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Sapporo,_Hokkaido"
}
|
Mfumuko wa bei kwa mwezi Aprili umepungua kutoka asilimia 19.0 Machi hadi kufikia asilimia 18.7 huku thamani ya Shilingi ya Tanzania ikiendelea kuporomoka.
Taarifa ya kila mwezi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), inaonyesha kwamba thamani ya fedha ya Tanzania imeendelea kuporomoka thamani kutokana na gharama za bidhaa kupanda kila wakati.
"Thamani ya Shilingi ya Tanzania inapima badiliko la uwezo wake katika kununua bidhaa na huduma zilezile za mlaji ambazo Shilingi ya Tanzania itaweza kununua katika vipindi tofauti, ikiwa wastani wa farihisi za bei za taifa unaongezeka, thamani ya fedha hupungua," ilieleza sehemu ya taarifa ya NBS iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa ofisi hiyo.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa bei za vitu mbalimbali zimeongezeka kutokana na kupanda kwa bei za vyakula, vinywaji baridi, nishati na mafuta.
Ilieleza kwamba kwa kipindi cha Aprili mwaka jana hadi Aprili mwaka huu, bidhaa hizo zimekuwa na mwenendo wa bei usio imara ikilinganishwa na bidhaa nyingine.
Hata hivyo, taarifa hiyo ilifafanua kuwa mfumuko wa bei za nishati umepungua kutoka asilimia 29.4 Machi hadi asilimia 24.9 Aprili.
Kwa upande mwingine, ilieleza kuwa mfumuko wa bei ambao haujumuishi vyakula na nishati imeongezeka hadi asilimia 9.0 Aprili, kutoka asilimia 8.8 Machi.
Iliongeza kuwa bei za vyakula vimechangia mfumuko wa bei ikiwemo mchele ambao umeongezeka kwa asilimia 3.0 na unga wa mahindi kwa asilimia 0.5.
Baadhi ya vyakula vingine vilivyoongeza mfumuko wa bei na asilimia zake kwenye mabano ni punje za mahindi (1.6), vitafunwa (7.3), unga wa mihogo (6.7), mayai (2.1), siagi (2.9), machungwa (6.8) na maembe (12.8).
|
<urn:uuid:c8abdef4-60c9-42d7-b130-0e1097b7e490>
|
{
"date": "2014-04-23T23:02:07Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223203841.5/warc/CC-MAIN-20140423032003-00168-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9961662888526917,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9961662888526917}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/o/nightlife/ba/?l=41612"
}
|
Rocky Mountains
Rocky Mountains (Kiing. kwa Milima ya Miamba), kifupi pia "Rockies" ni safu ndefu ya milima katika Amerika ya Kaskazini ambayo ni sehemu ya milima inayofuatana na pwani la Pasifiki kuanzia Alaska hadi Meksiko. Mara nyingi hutazamiwa kuanza katika jimbo la British Columbia upande wa magharibi wa Kanada huelekea kusini hadi jimbo la New Mexico la Marekani. Urefu wa safu hii ni takriban kilomita 4,800. Mara nyingi hata milima ya Alaska na pia ya Meksiko ya kaskazini huhesabiwa kuwa sehemu za nje za Rockies.
Kijiolojia Rockies zimejitokeza kutokana kwa kugongana kwa mabamba ya gandunia yaani bamba la Pasifiki na bamba la Amerika ya Kaskazini. Mshtuko wa kugongana au kusukumana kwa mabamba haya yamekunja uso wa ardhi na kuzaa safu hii ya milima.
|Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Rocky Mountains kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:dba797d8-321a-4468-86f1-07aae430141d>
|
{
"date": "2014-04-25T06:21:52Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223210034.18/warc/CC-MAIN-20140423032010-00200-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9947854280471802,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 81,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9947854280471802}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Rocky_Mountains"
}
|
Gustav Vasa
Gustav Vasa, pia Gustav I na Gösta, alizaliwa kama Gustav Eriksson, alikuwa wafalme katika Uswidi. Alizaliwa 12 Mei 1496 na alifariki 29 Septemba 1560. Alikuwa wafalme tangu 1523 hadi kifo chake. Yeye ilianzisha ukiritimba na yeye ni kufikiriwa mwanzilishi wa kisasa Uswidi. Basi, siku wakati akawa wafalme ni Siku ya Taifa ya Uswidi.
|Makala hii kuhusu mtu bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Gustav Vasa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:f3d7dfcc-a421-456c-bad0-4682f4ffe015>
|
{
"date": "2014-04-16T10:10:28Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609523265.25/warc/CC-MAIN-20140416005203-00024-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9840848445892334,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 92,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9840848445892334, \"swc_Latn_score\": 0.013256579637527466}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Gustav_Vasa"
}
|
Demokrasia
Demokrasia (ni neno kutoka lugha ya Kigiriki, demokratia maana yake utawala wa watu) ni aina ya serikali. Kwenye demokrasia, watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao. Kuna njia nyingi za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kikawaida huitwa kushikilia uchaguzi.
Vyama vya kisiasa] uhusika na masuala ya kisiasa. Yaonekana kwamba yaweza kuwa rahisi kuwa na chama cha kisiasa. Chama kitakachoshinda uchaguzi watamchagua kiongozi wanayemtaka.
|
<urn:uuid:a0c5ca7e-d522-40c7-9f4c-893cc7f60492>
|
{
"date": "2014-04-17T22:16:18Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609532128.44/warc/CC-MAIN-20140416005212-00056-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9921817779541016,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 35,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9921817779541016}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Demokrasia"
}
|
David Baltimore
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
David Baltimore (amezaliwa 7 Machi 1938) ni daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhusiano kati ya virusi na jeni. Mwaka wa 1975, pamoja na Howard Temin na Renato Dulbecco alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
|Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu David Baltimore kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:a6302492-982a-4a75-b387-33125aa4a79f>
|
{
"date": "2014-04-19T04:26:22Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609535775.35/warc/CC-MAIN-20140416005215-00088-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9875884652137756,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 63,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9875884652137756, \"swc_Latn_score\": 0.010397575795650482}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/David_Baltimore"
}
|
Kisonono
Ingawa kwa makisio maambukizi 360,000 ya kisonono huripotiwa kila mwaka nchini Marekani, wataalamu wamekisia kuwa watu karibia 650,000 huambukizwa kwa mwaka.
Kama ilivyo klamidia, kisonono nayo huwa haionyeshi dalili. Kisonono ikiwepo huwa na dalili kama zile za klamidia ambazo huhusisha mauvimu wakati wa kukojoa na kutokwa kwa maji yanayonuka au usaha katika uke au uume.
Kisonono huonekana kwa urahisi kwa wanaume ambao hutoa usaha kutoka katika mfereji wa mkojo (urethra). Huanza kidogo, lakini huongezeka na huwa mwingi na kusababisha kusikia haja ya kukojoa mara kwa mara huku kukiwa na maumivu.
Kisonono ikisambaa na kufikia tezi kibofu, mfereji wa mkojo huziba kwa kiasi fulani. Kwa wanawake maambuki hutokea katika urethra, uke au mlango wa uzazi (cervix). Ingawa mwasho unaotokana na majimaji katika uke unaweza kuwa mkubwa, mara nyingi dalili hizi huwa ni chache au hamna kabisa katika hatua za awali.
Kisonono isiyotibiwa inaweza kusababisha PID kwa wanawake. Watoto wanaozaliwa na mama wenye kisonono huwa na hatari ya kuambukizwa wakati wa kuzaliwa; maambukizo haya yanaweza kusababisha magonjwa ya meno kwa wachanga.
Uchunguzi wa ugonjwa hufanywa kwa kuchungunza usaha kutoka katika uke au uume au mkojo kwa uwepo wa Neisseria gonorrhoeae.
Kisonono iliongezeka kwa kiasi kikubwa Marekani mnamo miaka ya 1970 na mwanzoni mwa miaka ya 1980, hadi kukaribia kufikia kiwango cha magonjwa ya mlipuko (epidemic proportions) kwa vijana wanaobalehe na watu wa umri wa kati.
Kisonono hutibiwa kwa antibiotiki kadhaa, ingawa maambukizi yamekuwa na ukinzani juu ya tiba ya baadhi ya madawa katika miongo ya nyuma. Moja kati ya mambo magumu katika kupambana na kisonono ni kutafuta mahusiano yote ya kimapenzi ya nyuma ya aliyeambukizwa ili kuweza kuzuia usambaaji zaidi wa ugonjwa.
|
<urn:uuid:0fd19fe5-e03b-43d4-b2a8-e90106da1889>
|
{
"date": "2014-04-19T04:20:42Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609535775.35/warc/CC-MAIN-20140416005215-00088-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9966369867324829,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 90,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9966369867324829}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Kisonono"
}
|
Ufalme
Ufalme ni mfumo wa utawala ambako mfalme, malkia au mtu mwingine aliyerithi cheo chake ni mkuu wa dola. Vyeo vingine vya mkuu katika ufalme ni pamoja na kaisari, shah, tenno, sultani, amiri au mtemi. Kwa kawaida mfalme amerithi cheo chake kutoka kwa babake au mamake kwa hiyo alizaliwa kama mfalme mteule na ataendelea kuwa na cheo hiki hadi kifo chake. Lakini kama mfalme aliyetangulia hakuwa na mrithi inawezekana ya kwamba mfalme mpya amechaguliwa. Mfano wa dola lenye mfumo wa ufalme ambako mkuu anachaguliwa mara kwa mara ni Vatikani ambao Papa ni mkuu wa dola.
Kiwango cha madaraka cha mfalme huwa na tofauti kubwa. Leo hii karibu wafalme wengi wako chini ya katiba ya nchi na mara nyingi wana madaraka machache; nafasi yao ni ya heshima na desturi. Lakini kuna falme kadhaa ambako mfalme bado ana madaraka makubwa habanwi na katiba wala bunge wala serikali kama vile Omani au Saudia.
Yaliyomo
Tofauti ya ufalme na jamhuri[hariri | hariri chanzo]
Kinyume cha ufalme ni jamhuri inayoongozwa na mkuu, mara nyingi kwa cheo rais au katika nchi kadhaa na kamati ya watu wanaochaguliwa na kwa kawaida kwa kipindi fulani. Mara nyingi rais wa nchi huchaguliwa kwa kipindi cha miaka 4-6 na katika nchi nyingi kuna uwezekano ya kwamba anarudi tena kwa kipindi cha ziada. Kuna jamhuri ambako vongozi wanalenga kuhakikisha ya kwamba mtoto wao anaendelea na cheo cha mkuu wakiacha kutawala lakini hii kwa kawaida si utaratibu wa kisheria katika jamhuri; mfano wa kisasa ni Korea Kaskazini ambayo ni jamhuri inayotawaliwa na familia Kim katika kizazi cha pili ilhali mtoto wa kiongozi Kim Jong Il anateuliwa kumfuata baba.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Sababu za kuanzishwa kwa ufalme[hariri | hariri chanzo]
Ufalme ni muundo wa kale sana lakini haikuwa mfumo wa kwanza wa serikali. Wataalamu huona ya kwamba chanzo chake ni azimio la kabila au kundi dogo la watu kumruhusu mtoto wa kiongozi mwenye nguvu na uwezo kuendelea na shughuli za baba. Kuna mifano ya kwamba watu walioishi na viongozi wa muda tu waliamua kuwa na mfalme wakati wa vita wakiona uongozi mwenye nguvu ni lazima. Kulitokea pia ya kwamba kiongozi aliyeteuliwa kwa kipindi cha matatizo au vita alionekana kuwa na uwezo akaendelea hadi kifo na kumpatia mtoto wake nafasi ya mrithi wakati bado alikuwa na nguvu.
Historia ya Biblia kama mfano wa kuanzishwa kwa ufalme[hariri | hariri chanzo]
Biblia inasimulia mfano jinsi gani watu wa Israeli ya Kale walioongozwa kila mahali na wazee lakini kama walipata matatizo makubwa viongozi walijitokeza walioitwa "maamuzi" na kuwa na jukumu za kijeshi pamoja na kisheria. Kitabu cha Maamuzi 8#22 kinaonyesha pia jinsi gani swali la ufalme lilikua na ugumu; mwamuzi Gideon alipoombwa na watu kuwa mfalme alikataa na kudokeza ya kwamba Mungu pekee anastahili kuwa na cheo hiki. Baadaye Sauli alijitokeza kama kiongozi dhidi ya tishio la Waamoni alipowashinda vitani watu walimfanya Sauli mfalme wao wa kwanza. Mataifa mengi walipata ufalme kwa njia zilizofanana na Israeli ya Kale yaani wakati wa vita ambako wengi walikubali haja la kiongozi mwenye nguvu.
Kupinduliwa kwa wafalme au kubanwa kwa madaraka yao[hariri | hariri chanzo]
Mfano mashuhuri wa kinyume ni historia ya Athens au Roma ya Kale ambao zilitawaliwa zamani na wafalme lakini viongozi wa miji hii walifukuza wafalme baada ya kuona tabia za kidikteta na upuuzi wa haki za watu na kuanzisha jamhuri zilizoteuliwa na viongozi waliochaguliwa kwa muda tu. Lakini Roma ya Kale ilirudi kwa mfumo wa ufalme tangu Kaisari Augusto ingawa kwa jina iliendelea kama jamhuri hadi mwisho.
Mara nyingi wafalme waliunganisha nafasi za mkuu wa serikali na kiongozi wa jeshi na jaji mkuu. Mataifa mbalimbali walimjua mfalme pia katika nafasi ya kidini kama kuhani mkuu au kama mkuu anayeshika nafasi ya Mungu duniani.
Mamlaka makubwa ya wafalme yalisababisha mara nyingi jitihada za kubana madaraka yao. Mfano mashuhuri ni Uingereza ambako wafalme walipaswa kushauriana na bunge ya wakubwa na wawakilishi wa miji kabla ya kukusanya kodi kwa ajili ya vita au kwa shughuli maalumu. Jmabo kama hili halikutokea katika Uingereza pekee lakini katika nchi hii bunge lilikuwa taasisi ya kudumu isiyofutwa tena na hivyo kuwa chanzo kwa muundo wa ufalme wa kikatiba ambako mamlaka ya mfalme yako chini ya sheria fulani.
Tangu uhuru wa Uholanzi, Marekani na baadaye mapinduzi ya Kifaransa nafasi ya ufalme ilianza kupungua katika Ulaya na kutoka hapa pia katika sehemu nyingine za dunia. Hasa baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia falme muhimu kama Ujerumani, Austria-Hungaria, Urusi na Milki ya Osmani zilibadilisha mfumo wa utawala zikawa jamhuri.
Ukoloni na ufalme[hariri | hariri chanzo]
Ukoloni wa karne ya 19 ulisababisha kupotea kwafalme nyingi dunani. Mwanzoni wakoloni walitumia mara nyingi wafalme na watemi waliokuwepo kama makala wa utawala wao ndani za koloni. Lakini kadri walivyounganisha falme mbalimali za kale ndani ya maeneo mapya makubwa yaliyoendelea kuwa mataifa mapya walidhoofisha pia nafasi ya ufalme wa kieneo. Nchi za Afrika zilipopata uhuru mara nyingi zilijitangaza kuwa jamhuri na kwa njia hii falme za kale za Afrika ama zilifutwa au kupoteza madaraka za kiutawala na kubaki kwa jina tu kama taasisi za kiutamaduni.
Ufalme leo[hariri | hariri chanzo]
Kuna nchi 44 dunaini zilizoendela na mfumo wa ufalme hadi karne ya 21. (lnganisha jedwali). Ufalme wa kale ni Japani ambako kuna wafalme tangu zaidi ya miaka 2000. ni United Kingdom,where the present line of Kings and Queens has been around for nearly 1,000 years, Denmark where the royal line has remained unbroken for almost 1,200 years, and Japan, which has records showing a line of Emperors dating back even farther.
|Nchi||
|
Aina ya ufalme
|
|
Cheo
|
|
Jina
|
|
Maelezo
|Japan||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Tenno||Akihito||Tenno hana madaraka ya kisiasa. Tangu 1945 ni mwakilishi wa taifa pekee. Japani ni ufalme wa kale duniani tangu zaidi ya miaka 2500. Cheo cha tenno chamaanisha „mtawala wa kimbingu“|
|Antigua na Barbuda[1]||Ufalme wa kikatiba - chini ya usimamizi wa bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Australia[1]||—|
|Bahamas[1]||—|
|Bahrain||Ufalme wa kikatiba||Mfalme||Hamad ibn Isa Al Khalifa||Hadi 2002 Emirati, baadaye ufalme; tangu mabadiliko ya kisiasa imekuwa ufalme wa kikatiba||—|
|Barbados[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge-||Malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Ubelgiji||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Mfalme||Albert II||—|
|Belize[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Bhutan||Ufalme wa kikatiba||Mfalme||Jigme Khesar Namgyel Wangchuck||[[ 1907 hadi 18 Julai 2008 ufalme bila masharti, tangu 2008 ufalme wa kikatiba||—|
|Denmark||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Margrethe II||Mfalme / malkia wa Denmark ni pia mkuu wa nchi ya Greenland na ya Visiwa vya Faroe.||—|
|Grenada[1]||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Jamaika[1]||—|
|Jordan||Ufalme wa kikatiba||Mfalme||Abdullah II||nchi ilianzishwa 1921 na Ufalme wa Maungano||—|
|Kambodia||Norodom Sihamoni||hadi 1955 na tangu 1993 ufalme||—|
|Kanada[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Ufalme wa Nchi za Chini (Uholanzi)||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Beatrix I||Ufalme unajumlisha Uholanzi katika Ulaya na majimbo ya kujitawala katima Amerika ya Kati Aruba, Curaçao na Sint Maarten.||—|
|Lesotho||Mfalme||Letsie III||Mfalme aliitwa hadi 1965 „Mtemi Mkuu“. Mfalme hana madaraka ya kiserikali wala hatungi sheria||—|
|Malaysia||Mizan Zainal Abidin||Ufalme wa uchaguzi - Malaysia ina majimbo 13 na kati ya hizi usultani 9; mfalme huchaguliwa kila baada ya miaka 5 masultani 9 kati yao kwa njia ya kubadilishana nafasi; cheo cha mfalme ni Yang di-Pertuan Agong „mtawala mkuu“||—|
|Moroko||Ufalme wa kikatiba||Mohammed VI||—|
|New Zealand[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Norwei||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Mfalme||Harald V||Ufalme wa kujitegema tangu 1905.||—|
|Papua Guinea Mpya[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Visiwa vya Solomon[1]||—|
|Uarabuni wa Saudia||Ufalme bila masharti||Mfalme||ʿAbd Allah ibn ʿAbd al-ʿAziz||Ufalme wa Kiislamu uliounganshwa 1931|
|Uswidi||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Carl XVI Gustaf|
|Hispania||Juan Carlos I||Ufalme hadi 1931; tena tangu 1947 chini ya dikteta Franco bila mfalme na tangu 1975 chini ya mfalme Juan Carlos|
|St. Kitts na Nevis[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|St. Lucia[1]||—|
|Saint Vincent na Grenadini[1]||—|
|Uswazi||Ufalme bila masharti||Mfalme||Mswati III.||Harakati ya kidemokrasia iko njiani|
|Uthai||Ufalme wa kikatiba||Bhumibol Adulyadej (Rama IX)|
|Tonga||George Tupou V|
|Tuvalu[1]||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||malkia||Elizabeth II wa Uingereza||—|
|Ufalme wa Maungano||Malkia wa Uingereza ni pia mkuu wa nchi kwa „maeneo chini ya taji la Uingereza“ ambayo ni Guernsey, Jersey, Isle of Man halafu kwa maeneo ya ng’ambo ya Ufalme wa Maungano kama vile:, Anguilla, Bermuda, Visiwa vya Virgin vya Uingereza, Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi, Visiwa vya Cayman, Visiwa vya Falkland, Gibraltar, Montserrat, Visiwa vya Pitcairn, Saint Helena, Visiwa vya South Georgia na South Sandwich na Visiwa vya Turks-na Caicos.|
|Utemi|
|Luxemburg||Ufalme wa Kikatiba – chini ya mamlaka ya bunge||Mtemi Mkubwa||Henri I|
|Andorra||Ufalme wa kikatiba - mamlaka ya bunge||Watawala wa pamoja||Askofu Joan Enric Vives i Sicília||Andorra ina watawala wawili wenye madaraka na heshima ya pamoja ambayo ni askofu wa Urgel (Hispania) na Rais wa Ufaransa|
|Nicolas Sarkozy|
|Liechtenstein||Ufalme wa kikatiba||Mtemi||Hans Adam II||—|
|Monaco||Albert II||—|
|Usultani na Emirati|
|Brunei||Ufalme bila masharti||Sultani||Hassanal Bolkiah||—|
|Oman||Qabus ibn Said||—|
|Katar||Ufalme bila masharti||Emir||Hamad bin Chalifa Al Thani||—|
|Kuwait||Ufalme wa kikatiba||Sabah al-Ahmad al-Dschabir as-Sabah||Hadi 1991 ufalme bila masharti, tangu 1996 ina bunge|
|Falme za Kiarabu||Shirikisho-Ufalme wa kikatiba||Rais||Chalifa bin Zayid Al Nahyan||Ufalme wa uchaguzi: kuna emirati 7; kila emir angeweza kuchaguliwa kuwa rais wa shirikisho lakini hadi sasa ni Emir wa Abu Dhabi ambayo ni sehemu kubwa na tajiri aliyechaguliwa kila safari.|
|Eneo la Vatikani|
|Vatikani||Ufalme bila masharti||Papa||Benedikto_XVI||Ufalme bila masharti wa mwisho katika Ulaya; Papa huchaguliwa na mkutano wa mkardinali|
|
<urn:uuid:ed6857dc-a27c-409c-b301-276501dcf7da>
|
{
"date": "2014-04-20T10:49:39Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609538423.10/warc/CC-MAIN-20140416005218-00120-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.982339084148407,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 72,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.982339084148407}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Ufalme"
}
|
Wafanyabiashara wakubwa wa madini na vito wameafiki mpango wa serikali kununua bidhaa hizo ndani ya nchi badala ya kununua kwa njia ya panya baada ya serikali kupata hati ya uasilia ya madini na vito.
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, alisema hayo wakati akifungua maonyesho ya kimataifa ya madini na vito yanayoendelea jijini hapa.
Maonyesho hayo yamewaleta wafanyabishara wakubwa zaidi ya 100 wa madini na vito kutoka Marekani, India, Ulaya na Afrika Kusini.
Alisema hatua ya wafanyabiashara hao kukubali kununua madini na vito moja kwa moja hapa nchini, itaiwezesha serikali kupata mapato makubwa zaidi, wazawa kupata ajira na hivyo kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla kwa kuwa yatakuwa yanaongezwa thamani hapa hapa nchini.
Alisema hatua hiyo pia itazuia wafanyabiashara wanaotumia njia za panya kununua madini na vito washindwe kwa kuyauza kwa sababu hayatakubaliwa katika masomo ya dunia kwa vile hayatakuwa na hati asilia.
Pia alisema itasaidia kudhibiti biashara ya fedha haramu ambazo zinafadhili ugaidi na mapigano ya nchi kwa nchi au wenyewe kwa wenyewe.
“Maonyesho haya ni fursa kwa sisi kuwafikishia ujumbe wanunuzi wakubwa hapa Tanzania kuwa tumepata cheti cha uhalisia wa madini na vito...wamekubali kutuunga mkono, na wamesema kuwa hawatanunua madini na vito kwa njia za panya, isipokuwa watakuja moja kwa moja kununua hapa,” alisema.
Alisema dhamira hiyo ya serikali imepokelewa vizuri na wamepata nafasi ya kutangaza vito na madini yaliyopo nchini.
Alisema maonyesho hayo yalikuwa yakifanyika miaka ya 90 lakini yalisimama kwa muda na kwa sasa serikali imeamua kuyafufua na kwamba yatakuwa yakifanyika kila mwaka.
|
<urn:uuid:f7d1799e-9f79-4419-94f7-d80a6c8c94db>
|
{
"date": "2014-04-20T12:09:30Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609538423.10/warc/CC-MAIN-20140416005218-00120-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9880682826042175,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 204,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9880682826042175}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/hl=23tion=com_content.com/nd/x.phpkw/s/function.fopen?l=40957"
}
|
Ugonjwa wa Corona waibuka Mashariki ya katiKusikiliza /
Shirika la afya ulimwenguni WHO limefahamishwa kuhusiana kuzuka kwa ugonjwa wa matatizo ya kupumua unaosababishwa na virusi vya Corona ambao umeikumba nchi ya Qatar.
Tayari mtu mmoja mwenye umri wa miaka 61 ambaye amekubwa na tatizo hilo amelazwa katika hospitali moja tangu Oktoba 11 akipatiwa matibabu ya karibu.
Vipimo vilivyochukuliwa na baadaye kujaribiwa katika maabara huko nchini Uingereza vimethibitisha juu ya tatizo hilo.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa mtu huyo hajawahi kutoka nje ya Qatar katika kipindi cha wiki mbili zilizopita kabla hajaanza kuugua.
Mgonjwa huyo anamiliki shamba kwamba na kutokana na mazingira ya kazi yake atasadikika atakuwa amekutana na mifugo ikiwemo ngamia, kondoo na kuku.
|
<urn:uuid:ae3bcb22-cc96-42a5-a87a-61a0701f3568>
|
{
"date": "2014-04-23T07:34:44Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223201753.19/warc/CC-MAIN-20140423032001-00152-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9921497702598572,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9921497702598572}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/10/ugonjwa-wa-corona-waibuka-mashariki-ya-kati/"
}
|
Bendera ya Jamhuri ya Kongo
Ilianzishwa Agosti mwaka 1958 Kongo ilipopata madaraka ya kujitawala ndani ya Umoja wa Kifaransa ikaendelea kuwa bendera ya taifa baada ya uhuru kamili mwaka 1960.
Mwaka 1970 wakati wa Jamhuri ya Watu wa Kongo bendera ilibadilishwa kuwa bendera nyekundu yenye nyota na jembe pamoja na nyundo za njano halafu majani ya mnazi ya kijani.
Wakati wa kuporomoka kwa itikadi ya kikomunisti na kisoshalisti serikali ya rais Denis Sassou-Nguesso ilirudisha bendera ya zamani mwaka 1991.
|
|
|
<urn:uuid:201bdb88-da4c-4a49-aea6-d37db6890169>
|
{
"date": "2014-04-23T08:15:26Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223201753.19/warc/CC-MAIN-20140423032001-00152-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9903611540794373,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 57,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9903611540794373}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Bendera_ya_Jamhuri_ya_Kongo"
}
|
Fort Worth, Texas
|Jiji la Fort Worth|
|Anwani ya kijiografia:|
|Nchi||Marekani|
|Jimbo||Texas|
|Wilaya||Tarrant
|
Denton
Parker
Wise
|Idadi ya wakazi|
|-||720,250|
|Tovuti: www.fortworthgov.org|
Fort Worth ni mji wa tano kwa ukubwa katika Texas na ni mji wa 18 kwa ukubwa katika orodha ya miji ya Marekani. Mjii huu umepata kuwa mkubwa kuliko hadi kutuhubutu hata kuuingilia mji mwingine mkubwa wa Dallas, Texas. Kwa kigezo hicho, mara nyingi maeneo hayo hufupishwa na kuitwa kama Dallas/Ft. Worth, au DFW.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- City Government Website
- Convention & Visitors Bureau
- Fort Worth Chamber of Commerce
- Vision FW
- Fort Worth Star-Telegram
- Fort Worth Business Press
- Fort Worth Architecture
- The Jack White Collection of Historic Fort Worth Photos
- Fort Worth Sister Cities
- Sundance Square
- Fort Worthology
- West And Clear
- Fort Worth, Texas from the Handbook of Texas Online
|Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Fort Worth, Texas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:43e5221b-a0cb-4098-a2a7-1bb1341e3150>
|
{
"date": "2014-04-24T13:42:52Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223206147.1/warc/CC-MAIN-20140423032006-00184-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9920709133148193,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 70,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9920709133148193}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Fort_Worth,_Texas"
}
|
Papa Julius II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Julius II (5 Desemba 1443 – 21 Februari 1513) alikuwa papa kuanzia 1 Novemba 1503 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giuliano della Rovere. Alimfuata Papa Pius III akafuatwa na Papa Leo X.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
|Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Papa Julius II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:10031f0a-7c43-4076-a729-2e8f1ba6ef0b>
|
{
"date": "2014-04-24T13:40:18Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223206147.1/warc/CC-MAIN-20140423032006-00184-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9909706711769104,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 9,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9909706711769104}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Papa_Julius_II"
}
|
|1|
|2|
|3|
|4|
|5|
|6|
|7|
|8|
|9|
|10|
Added by dalbanz on April 17, 2014
MISSY TEMEKE
Missy Temeke wa kwetu fashion,siyo jina geni kwenye tasnia ya urembo na
fashion.ni Mwanadada mrembo aishie nchini Marekani
anayejihusisha zaidi na ubunifu wa mavazi yenye mwonekano wa
kitanzania na kiafrika chini ya label yake ya KWETU FASHION.
.ametoa collection mpya ya vazi Lenye mwonekano wa kiafrica..…
Wajumbe mbalimbali kwenye bunge la katiba wameendelea kuwasha vipaza sauti vyao kuchangia, kutoa ya moyoni kwa kujadili sura ya kwanza na ya sita huku ishu ya serikali mbili au tatu ikizimiliki headlines zaidi.
Zifuatazo ni kauli za mjumbe Mh. Joseph Mbilinyi ambae pia ni mbunge wa Mbeya mjini April 15 2014
1. ‘Wabunge Wakristo hii ni kwaresma, ni kipindi cha toba… mnatumia kipindi hiki kufanya unafiki mbele ya Wananchi mtakuja kuhukumiwa siku itakapofika, wameharibu mchakato wakati tumeshatumia mabilioni mengi ya hela’
2. ‘Ukarabati tu wa jengo la bunge hili ili sisi tukae zimetumika BILIONI 8.2 alafu leo kwa sababu ya hotuba moja tu ya Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wote wamegeuka, wanaharibu kabisa tunashindwa…
JUZI tasnia ya muziki nchini ilipata pigo kufuatia kuondokewa na mwanamuziki wake mkongwe na mahiri, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo ambaye alifariki dunia saa 9 alasiri kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Wadi ya Mwaisela alikokuwa amelazwa.…
Morning Africa,...SIKU YA LEO UPATAPO NAFASI,HEBU JARIBU KUFANYA MOJA YA HAYA NA UTAKUWA UMEBADILISHA MAISHA YA MTU FLANI.
-Una mlinzi?instead ya kumfokea,Hebu leo kumbuka kumsalimu na kumtakia siku njema huytu mtu anayekesha getini kulinda nyumba yako,bila shaka wengi hawafanyi hili
1:shiriki bure sehemu ya chakula chako na yeyote mwenye njaa na kuhitaji
2:Shiriki nyimbo nzuri kwa mtu mwenye huzuni ama anye feel down
3:Mfundishe mtu ,jambo analotamani kulifaham na halifaham na ni wewe pekee unafahamu
4:Una nguo ama chochote usichokihitaji tena?hapana usikitupe,mpatie yule mwenye kuhitaji
5:Una rafiki ama jamaa mpweke na pengine hana mtu wa karibu wa kushare nae yanayomsibu,make a call am text kwake,mfanye ajiskie hayupo peke yake,kwani kuna siku nawe utakuwa mpweke na…
LOGO DEVELOPMENT CRITERIA:
Clarity
We need the LOGO that will help people understand our organization, it has to be designed to help, include the beneficiaries of our services.
Intent
The LOGO should tell the purpose of our Organization.
Verification
Be sure that the LOGO you are considering are not taken from the secondary source.
This will help us to…
|
<urn:uuid:2ff24dd5-a21f-40f7-bea2-c5f7bf0adc8a>
|
{
"date": "2014-04-21T04:31:30Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609539493.17/warc/CC-MAIN-20140416005219-00472-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9682552814483643,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 14,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9682552814483643, \"swc_Latn_score\": 0.01821458339691162, \"ssw_Latn_score\": 0.010844580829143524}",
"url": "http://teamtz.com/"
}
|
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita nilijadili ujumbe wa simu ambao mume aliunasa kwenye simu ya mkewe.
Ujumbe ule ukisomeka hivi: Nilinukuu maneno ya ujumbe huo kama ifuatavyo; “Nimetoka nje ya ndoa yangu nikitegemea kupata faraja lakini ikawa tofauti nimeachwa kwenye mataa nikiwa mkiwa’’.
Mama huyo alipatwa na butwa baada ya kuulizwa na mumewe kuwa ujumbe huo alikuwa amemtumia nani, naye alisita kutaja lakini baada ya kibano kikali alikubali kuwa aliyemtumia ujumbe huo alikuwa na mahusiano kabla ya kuoana na hivi sasa wameamua kuendeleza mapenzi yao.
Mpenzi msomaji, wakati bado tunasubiri maoni kuhusu makala ile, hebu nikumegee kituko kingine nilichonasa wiki hii kuhusu meseji zinavyoendelea kutesa ndoa. Nyumba zingine hakukaliki ni moto mbele kwa mbele. Naam. Hebu msikie jamaa huyu aliyenitafuta tukakaa kitako akisimulia mtafaruku wa dadake.
Dada wa rafiki yangu aliolewa ndoa nzuri tu lakini takriban miaka miwili mumewe akamzingua mwishowe wakaachana kabisa. Hakuna cha mahakama wala nini. Kilichofanya waachane ni kwamba alimfumania ‘live’.
Wakati bado nikiwa natafakari tatizo hilo, nami yakanikuta ambapo dadangu naye ndoa yake inawaka moto. Kisa dada alifuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mumewe(shemeji). Suala hili limemchanganya sana dadangu.
Yule dada wa rafiki yangu niliyedokeza awali, baada ya kumfumania mumewe, aliamua kuondoka kisha kikao kikafanyika kujadili mgogoro huo lakini bibie hakutaka tena mahusiano ya bwana yule, wakaachana moja kwa moja hadi leo hii kutokana na kuvunja uaminifu.
Naam. Dadangu yeye alimpenda sana mumewe. Na mume alipoulizwa kuhusu malalamiko ya dada kuhusiana na meseji, mengine alikiri mengine hakukiri.
Shemeji huyu mara tu baada ya dada kujifungua mtoto wa kwanza, ndio akaanza vitimbwi, mara anarudi saa nane za usiku mara alifajiri. Akiulizwa anajibu mkato au hajibu kabisa.
Siku moja akaja amelewa chakari. Mke akamvizia akachukua simu yake moja na kufungua meseji, aliyoyakuta alistaajabu. Alichofanya akachukua namba ya zile meseji, lakini kabla ya kumpigia aliyetuma meseji, akamuuliza mumewe. Kuulizwa akakiri na mengine kukataa. Kisha kesho yake dadangu akampigia yule mwanamke.
Yule mwanamke akakiri ni kweli ana mahusiano na mumewe na kwamba yeye ang’ang’ane na ndoa wakati wenzako(huyo kimada) tunafaidi. Mume aliporudi nyumbani akamuuliza akaona aibu akatulia kama siku tatu, nne hivi, baada ya hapo mchezo ule ule wa kurudi majogoo ukaendelea.
Baada ya hapo mume huyu akajua dada kamshtukia kwenye simu, akaamua kununua simu mpya zile za ku-slid vidole ambazo dada hajui kuzitumia. Na isitoshe, kila alalapo anaziweka chini ya mto usawa wa kichwa ili mtu akigusa hapo ajue.
Mkewe alipombana kuhusu huyo hawara yake akajitetea kuwa ni mfanyakazi mwenzake tena bosi. Naye akamwambia kama ni bosi wako basi nitakwenda kumuuliza. Kusikia vile akamwambia hakuna kwenda usije kuniharibia kazi tukose hela ya kula. Kumbe hiyo ni geresha tu.
Huyo bwana taarifa zilipofika kwa wazazi wake akaitwa lakini akagoma. Huko aliitwa ikiwa ni pamoja na kula sikukuu ya Pasaka. Mamake akataka aende na mkewe lakini huyo jamaa hakumjibu mamake(mkwe) ikabidi awasiliane na mkamwana(mke wa jamaa). Naye akawa anamwambia mama mkwe kwamba hataweza kuja. Ndipo mamamkwe akajua kuna tatizo hapo.
Ikabidi upande wa mwanamke ukaandaa kikao na upande wa jamaa ili kujua kulikoni. Na kweli pande zote zikaitwa mambo yote yakawekwa hadharani na upande wa mwanamke ukaamua binti yao maadam alishakamata vidhibiti na bwana akakiri kuwa na mahusiano nje ya ndoa, akae kando wakati taratibu za talaka zinaandaliwa. Hakika Maisha Ndivyo Yalivyo.
Mpenzi msomaji, si unajua ndoa za siku hizi nyingi ni mfano wa mchezo wa kuigiza? Watu wanataka umaarufu kwamba nilioa au niliolea baada ya hapo mchezo umekwisha. Kwa mtu ambaye ndio kwanza amefunga ndoa, akabahatika kupata mtoto mmoja, kwanini aanze vituko ikiwa ni pamoja na kulala kona na washikaji wengine?
Hili ni tatizo kubwa sana. Na mara nyingi inakuwa kwamba yule aliyeoa au kuolewa kisha akaendelea kuchepuka kona, maana yake penzi haliko pale ndani liko huko vichochoroni. Au siyo?
Mfumo huu wa maisha ndio umechangia ndoa nyingi kuvunjika na kama bado zipo basi hazina amani na ndio maana pia maradhi yanazidi kuteketeza familia kwa kuwa maradhi yale husombwa huko nje ya ndoa.
Watu mmepima virusi, mkaoana kwa raha zenu lakini kutokana na tamaa mnasomba maradhi toka nje mnakandamiziana. Kwanini? Kile kiapo cha ndoa kiko wapi? Hivi tunamdanyanya Mungu madhabahuni?
Ndio maana kwa wale wasiotaka usumbufu, baada ya mwenzake kuonyesha makucha na rangi za tabia, huamua kutengana au kutalikiana mapema ili kila mtu akafe kivyake. Yupo rafiki yangu aliwahi kuniambia “Kuliko mwanaume aniletee virusi au mimi nimletee afadhali tuachane ili kila mmoja akafe kivyake kuepuka aibu ndani ya ndoa”.
Tulikuwa tunazungumzia wale wanaowaacha wake zao wazuri au waume zao, kisha kwenda kujikumbusha na wachuchu(marafiki) wa zamani, bila kujali kuwa ni wazima au walishajeruhiwa. Utasikia wanajipa moyo eti ‘mavi ya kale hayanuki’, ebo! Labda huko zamani, lakini siku hizi usidanganyike, yananuka tena uvundo usioisha. Au siyo msomaji wangu? Maisha Ndivyo Yalivyo, kaa chonjo!
Upo ushahidi ambao umethibitika kwa baadhi ya ndoa zenye mtikisiko kwamba kwa upande wa wanaume wanaotoka nje ya ndoa na kisha kunyanyasa wake zao, wakati mwingine siyo makosa yao.
Kule nje kama ni mtu mwenye kazi na fedha za kutosha, akakutana na mwanamke shangingi anayejua vichochoro vya waganga, basi ajue amekwisha. Hakuna wanawake wabaya kama walioegemea ushirikina, watampumbaza mwanaume hata kufikia hatua ya kuhamia kwake mzima mzima.
Wanaume wa aina hii ndio wale utasikia anamfanyia visa mkewe ili amtibue ahame nyumba kisha amlete huyo dungaembe anayemzuzua huko nje. Matokeo yake analeta msononeko ndani ya familia kama ambavyo tumeona hapo juu.
Waliofanya kituko kama hiki wamejikuta katika majuto na wakati mwingine hata yule aliyeletwa naye huamua kutimua kwa nyumba kumshinda hasa akijua kuwa ilikuwa ni nyumba ya mwanamke mwenzake. Mwisho wa siku lijamaa linabaki lenyewe na kuanza tena kutafuta njia ya kumrejesha mkewe aliyeondoka bila mafanikio.
Mpenzi msomaji, kama mtu ameamua kuingia kwenye ndoa(labda awe alilazimishwa) kwa hiari yake, kwanini aanze vituko ikiwa ni pamoja na kutafuta mahusiano ya nje? Hata kama zipo kasoro baada ya wawili kuingia kwenye mkataba wa ndoa, ni vema zikajadiliwa ili kama ni kuachana ijulikane lakini siyo kufanya visa kumtibua mwenzako kwa tamaa za fisi.
Msomaji wangu, kwa leo niishie hapa upate nawe kuchangia maoni. Ukiwa tayari kuwa huru kuwasiliana nami kwa kutuma ujumbe mfupi kupitia simu ya ofisi namba 0774268581(usipige), au barua pepe; fwingia@gmail.com
Kumbuka kama hutapenda jina au simu yako itajwe gazetini tamka hivyo na hilo litaheshimiwa.
Wasalaam.
|
<urn:uuid:d741f932-8970-43bc-a400-3d587ea93493>
|
{
"date": "2014-04-24T02:40:58Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223204388.12/warc/CC-MAIN-20140423032004-00504-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9698725938796997,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 50,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9698725938796997, \"swc_Latn_score\": 0.020935505628585815}",
"url": "http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/hl=23tion=com_content.com/29rontend/ph/inccontent=com_cont_5t.com/css/function.fopen?l=40561"
}
|
Tamko la Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda 20/06/2013 juu wa watu wanaoandamana bila idhini ya serikali wakidai matakwa yao yasikilizwe ni la kushangaza!
Pinda alisema “Wapigwe tu maana tumechoka” ni jambo la kushangaza sana kuona kiongozi anasema “wamechoka!” kama wamechoka waachie madaraka wachukue wasiochoka! ndiyo maana nchi inaenda vibaya, wachungaji wanauawa serikali kama haipo, kumbe viongozi wamechoka! serikali itambue kwamba kama wao wamechoka basi wananchi wamechoka zaidi! Mingu atusaidie!
|
<urn:uuid:858de980-b6e8-4964-b5dd-c6535a6e5867>
|
{
"date": "2014-04-25T02:23:57Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223207985.17/warc/CC-MAIN-20140423032007-00207-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9080197215080261,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 39,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9080197215080261, \"swc_Latn_score\": 0.089083731174469}",
"url": "http://mosespk.wordpress.com/2013/06/22/kauli-ya-waziri-mkuu-wa-tanzania-dhidi-ya-watu-wanaoandamana-kudai-kile-wanachokiita-haki-zao-ni-la-kushangaza/"
}
|
Maelezo mafupi juu ya Kampuni
Kampuni la TshwaneDJe linatayarisha zana mbalimbali za hali ya juu kwa ajili ya kushughulikia lugha na matini. Mfumo wake TshwaneLex wa kuandalia kamusi ("TshwaneLex Dictionary Production System") unazidi kwa kasi kuwa zana ya kiwango cha kielelezo kwa ajili ya kuhariria kamusi za aina mbalimbali.
Miongoni mwa wateja yakiwemo makampuni ya Oxford University Press, Pearson, Longman, Macmillan, Van Dale, Le Robert, Spanish Royal National Academy of Medicine, Grupo Clarín (Argentina), Baraza la Lugha ya Welsh, Wizara ya Sheria (Kanada), Taasisi ya Lugha na Fasihi ya Malaysia, Taasisi ya Leksikolojia ya Kiholanzi (Uholanzi), na mengine zaidi.
Usitawi wa kampuni umepatikana kwa kukazania sana lengo la utaalamu, ubora wa mafanikio ya kazi, na utoaji wa faida kubwa katika uwekezaji kwa wateja.
Zana na huduma nyingine zikiwa ni pamoja na programu za kushughulikia istilahi, vifaa kwa watafsiri, mbinu za kugeuza data, mwega na mafunzo, na tlDatabase, ambayo ni kihariri cha hifadhidata iliyo rahisi kutumia.
Mfumo wa TshwaneLex wa Kuandalia Kamusi
TshwaneLex ni programu ya kitaaluma, rahisi ya kutumia, inayoweza kukaidishwa kikamilifu kadiri ya uhitaji wa mteja kwa ajili ya kuhariria kamusi za aina zote. Programu hii inakusaidia kupunguza muda wa uandaaji wa kamusi, pamoja na kuongeza ubora na upatanifu wa kamusi yako.
Mambo yake muhimu ni mfumo fungamano wa ulizo wa korpasi, hakiki ya muda-halisi, mitindo ya hali ya juu, "marejeo-mtambuko nadhifu", upinduaji unaojiendesha wa ingizo, uingizaji namba na upangaji unaojiendesha, uhamishaji kwenye MS Word, InDesign na Quark, na mwega wa wateja anuwai kwa ajili ya usimamizi wa timu. TshwaneLex ina uwezo wa kutumiwa kwa lugha zote za dunia, nayo ina misingi katika kiwango cha viwanda cha XML.
Mfumo wa Kielektroniki wa Kuhariria Kamusi
Zana hiyo, iliyo kamili, iwezayo kukaidishwa na yenye bei ndogo kulingana na ufanisi wake, ni bora kwa ajili ya kuhariria kamusi yako katika diski-ROM au kama kifaa cha kupakuliwa, ikiwa ni pamoja na vitendea kazi vyote vya Kamusi ya Kielektroniki ya kisasa, iliyo rahisi kutumia. Inaweza kukaidishwa kabisa kadiri ya taswira ya ‘look and feel’ inayopendelewa, nembo, yaliyomo katika kamusi na lugha za kamusi yako.
Mambo yake muhimu ni pamoja na fungamano na MS Word, kusano ya mtumiaji katika lugha nyingi, mbinu za kuzuilia uharamia, mwega kwa ajili ya sauti na picha.
Mfumo wa Kuhariria Kamusi Mkondoni
Mfumo huu huweza kutumiwa katika kuhariri kamusi mbalimbali au orodha za istilahi kwenye Wavu wa Intaneti, na hivyo kuruhusu watumiaji kuuliza kamusi kutoka katika kivinjari chao cha Wavu. Huduma hii inaweza kuwa "all-inclusive" hadi kuweza kuhusu pia – kwa hiari ya mteja – huduma ya kutia kamusi mkondoni kwa niaba yako, kuisimamia na kuisasisha kamusi ya Wavuni, na kupangisha tovuti.
Kati ya maambo yake muhimu kuna mfumo staarabu wa usajili utafutaji ambao unazinza takwimu zenye maana kwa ajili ya mtunzi wa kamusi, kama vile maulizo yaliyotafutwa mara nyingi bila kuweza kutoa majibu.
tlTerm: Programu ya Kushughulikia Istilahi na Tafsiri
tlTerm ni programu iliyo rahisi ya kutumia, upesi katika kazi, inayoweza kukaidishwa kadiri ya uhitaji wa mteja, kwa ajili ya kuhariria na kushughulikia orodha za istilahi.
Mambo yake muhimu ni uwezo wa kutumiwa kwa karibu lugha zozote, mfumo fungamano wa kuuliza karpasi, ulizo/utafutaji pevu, modi ya watumiaji-anuwai au ya mtumiaji-peke, mwega kwa TBX na TMX, na mwingiliano na Microsoft Word.
tlDatabase: Programu ya Hifadhidata iliyo Rahisi ya Kutumiwa
tlDatabase ni kihariri cha hifadhidata iliyo rahisi kutumia, inayokuwezesha kuunda maudhui kimuundo ya aina yoyote.
Mambo yake muhimu ni pamoja na ‘templeti za kuanzia’ zinazokusaidia kuweza kuanzisha na kuendesha programu mara moja, kuwa na uwezo wa kukaidishwa kikamilifu, mfumo wa watumiaji anuwai pamoja na aina za nyadhifa, mfumo wa Mitindo wa hali ya juu, na lugha iliyofungamana ya skripti. tlDatabase huweza kushika taarifa zote za kimataifa, nayo ina misingi katika XML.
|
<urn:uuid:4031f03a-91d2-4a20-b224-11004aaa93db>
|
{
"date": "2014-04-18T00:13:06Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609532374.24/warc/CC-MAIN-20140416005212-00392-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9514139294624329,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9514139294624329, \"swc_Latn_score\": 0.04199002683162689}",
"url": "http://tshwanedje.com/swa/"
}
|
Utata wa mpaka baina ya Guyana na Venezuela kupata suluhuKusikiliza /
Tarehe 17 mwezi huu mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa kwa ajili ya utata wa mpaka baina ya Guyana na Venezuela Bwana Norman Girvan amekuwa na mikutano tofauti na mawaziri wa mamabo ya nje wa Guyana na Venezuela.
Mawaziri hao wamesisitiza kwamba kuna mahusiano mazuri ambayo yanaendelea baina ya mataifa hayo mawili. Wakikumbushia hatua zilizopigwa na ofisi zao siku za nyuma mawaziri hao wamekaribisha mapendekezo ya mwakilishi huyo maalumu ya kuchukua hatua zaidi kushughulikia utata wa suala la mpaka.
Hatua hizo zitajumuisha mlolongo wa mikutano kusukuma mbele mchakato katika miezi ijayo. Mwakilishi huyo amesema ametiwa moyo na nia ya pande zote mbili kujitahidi kupata suluhu chini ya mwamvuli wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
|
<urn:uuid:e14e24cf-ae9a-4280-8efc-8df1c589ccab>
|
{
"date": "2014-04-18T00:23:49Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609532374.24/warc/CC-MAIN-20140416005212-00392-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9908596277236938,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9908596277236938}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/10/utata-wa-mpaka-baiana-ya-guyana-na-venezuela-kupata-suluhu/"
}
|
KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC) na waandishi wa habari wote mkoani Iringa na nchini kwa ujumla wamepokea kwa mshutuko na masikitiko makubwa kifo cha Mwenyekiti wa IPC, Daudi Mwangosi.
Mwangosi ambaye pia ni Mwandishi wa Habari wa Channel Ten, alifariki jana majira ya saa 10 jioni baada ya kupigwa bomu katika vurugu za wafuasi wa Chadema waliokuwa wakitawanywa na jeshi la Polisi.
Utata wa nani anahusika na tukio hilo umeendelea kugubika huku jeshi la Polisi likitoa tamko linalodhihirisha dhahiri kwamba wanataka kujiondoa katika kosa hilo kabla uchunguzi haujafanyika.
Katika taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa na Polisi hii leo imedai kwamba bomu linalodaiwa kumuuawa mwandishi huyo lilitoka katika kundi la wafuasi wa Chadema, wakati Mwangosi akitafuta msaada wa kujinusuru kwa askari waliokuwepo katika eneo hilo.
Lakini wakati jeshi hilo likitoa taarifa hiyo inayokinzana yenyewe, limeshindwa kueleza ni kwasababu gani bomu lililorushwa kutoka katika kundi la wafuasi hao likamdhuru na kumuua mwandishi huyo pekee yake wakati alikuwa ameshikiliwa na mmoja wa askari wa jeshi hilo baada ya kupigwa virungu alipotaka kujua sababu ya kukamtwa kwa mwandishi mwingine Godfrey Mushi aliyekuwa akipiga picha tukio hilo.
Uchunguzi wa awali wa IPC unapingana kwa asilimia zote na taarifa ya jeshi hilo kwa kuzingatia taarifa zilizotolewa na baadhi ya waandishi waliokuwepo katika tukio hilo na zile zilizoandikwa na kurushwa na vyombo mbalimbali vya habari toka jana.
Taarifa kutoka katika vyanzo vyetu zinaonesha kwamba Mwangosi alipigwa kwa virungu kabla ya kulipuliwa na bomu hilo ambalo kwa vyovyote vile muhusika wake mkuu anaweza kuwa jeshi hilo.
Ili taarifa hiyo potofu isiendelee kuugubika umma, IPC imeamua kutoa tamko linalolenga kuviarifu vyombo huru viiingilie kati katika uchunguzi huo.
Na kwa kuzingatia mazingira hayo, IPC kwa kushirikiana na waandishi wote wanaofanya kazi mkoani Iringa, kuanzia leo wanatangaza rasmi kusitisha ushirikiano wa kikazi baina yao na jeshi hilo mpaka pale taarifa au majibu sahihi kutoka kwa vyombo huru vitakavyolifanyia kazi suala hilo yatakapotolewa.
Kazi hizo ni pamoja na kuwataarifu waandishi wa habari kusitisha mara moja kwenda katika Ofisi ya RPC kwa ajili ya kupata taarifa za matukio mbalimbali ya uhalifu yanayotokea kila siku.
Aidha IPC inawataka wanachama au viongozi wake waliokuwa wajumbe wa kamati zozote zile zinazolihusu jeshi hilo ikiwemo ile ya maandalizi ya wiki ya usalama barabarani kujitoa kwenye kamati hizo.
IPC inawaomba waandishi wa habari kushikamana katika kipindi hiki kigumu kwa kuzingatia kwamba yaliyomkuta ndugu yetu Mwangosi yanaelekea kumkuta mwandishi yoyote Yule nchini.
Tukio hilo linadhihirisha jinsi uhuru wa habari na vyombo vya habari unavyozidi kukandamizwa hasa katika kipindi hiki ambacho watanzania kwa ujumla wao wanatakiwa kushiriki kikamilifu kuandika Katiba Mpya wanaoitaka.
Tukio hilo haliwezi kuvumiliwa na kwa msimamo huu, IPC inaomba waandishi wote wawe na wimbo mmoja utakaowezesha muhusika wa mauaji hayo akamatwe na kushitakiwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
Pamoja na kukamwata kwa muhusika, IPC inataka kuona jeshi la Polisi ambalo kimsingi halipo juu ya sheria linatimiza wajibu wake kwa kuzingatia sheria kama ilivyo kwa taasisi zingine.
Aidha kwa sasa wanahabari mkoa wa Iringa tunatangaza rasmi kusitisha mahusiano yetu na jeshi la polisi kwa kuandika habari za polisi .
Pia tunatambua kuwa wakati Mwangosi akikamatwa alikuwa katika kutimiza wajibu wake kama mwanahabari hivyo hata kama alikosa kwa kufika hapo hukumu yake haikuwa kuuwawa .
Hivyo kutokana na tukio hilo kubwa ambalo halikuwa na chembe ya siasa kwa mwanahabari huyo kwa kuwa hakuwa ni kiongozi wa chama cha Siasa IPC na Chanel Ten kama mwajiri wake na familia tunachukua dhamana ya kusimamia mazishi hayo bila huku tukiviomba vyama vya siasa kutovuruga taswira ya Tasnia hii ambayo kamwe haifungamani ya chama chochote cha Siasa .
Na tunalitaka jeshi la Polisi litoe ushirikiano kwa kutoa taarifa sahihi na za kweli kwa makundi huru yanayoendelea kulichunguza suala hilo.
Kifo cha Mwangosi kimetufanya wanahabari kote nchini kujipanga upya katika kutathimini upya mahusiano yetu na jeshi la polisi .
Mungu ailaze mahali pema roho ya Marehemu Daud Mwangosi. Amin
Francis Godwin
katibu msaidizi IPC
|
<urn:uuid:f4b974dc-e66f-4060-83a7-62971a2b28a3>
|
{
"date": "2014-04-20T13:30:29Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609538787.31/warc/CC-MAIN-20140416005218-00456-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9897870421409607,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9897870421409607}",
"url": "http://www.matukiotz.com/2012/09/tamko-la-klabu-ya-waandishi-wa-habari.html"
}
|
Maswali na Majibu yanayo husiana na...
GGN
+–Ni nini Global Grace News (GGN)?
GGN (Habari za Neema Ulimwenguni) ni msaada wa mafundisho kwa wahuduma na makanisa duniani kote.Sisi tuna tangaza injili ya neema ya Yesu Kristo; neema pekee , imani pekee, Yesu pekee. Kazi ya ukombozi iliyo malizika ya Kristo ndiye toleo la pekee kwa wokovu, baraka, na huduma. Makusudi ni mawili, ni kusaidia kanisa kutambua tena Yesu na kupeleka huu ujumbe duniani kote.
+–Kwa nini sasa?
Wahudumu na waamini duniani kote wanatambuwa kwamba kuna nguvu kuu dhidi ya injili leo hii; elimu ya dini, hekima ya mwanadamu na sheria zina potosha watu kutoka kwa uwazi na urahisi wa injili. GGN inataka kuwapa mafundisho, kuwa na uhusiano, na mafundisho, na kusaidia kanisa na ulimwengu kutambua yale Yesu ametupa sisi. Makusudi yetu siye yale tusiyo kuwa nayo, ila ni yale tuliyo nayo katika Kristo. Imani yetu ina tenda kazi kwa kukubali kila tendo jema katika Kristo (Phili v7).
+–Je kunayo hatari ya kusisitiza zaidi kuhusu neema juu ya ukumavu wa rohoni na utakatifu wa kibinafsi?
Ufunao wa neema ni ufunuo wa Yesu na hakuna hatari ya kusisitiza ziadi juu ya Yesu. Maandiko yapo wazi waumini hutawala maishani kwa “ utele wa neema “ (Waru 5:17) na tena hiyo neema inayo tuokoa inatufundisha kuishi katika uungu (Tito 2:12). Iwapo tunataka watu waishi katika utakatifu, lazima tufunue neema ya Yesu, kwa sababu neema ndiye inazalisha utakatifu na ukomavu wa rohoni. Wale wana sumbukana na kusisitizwa kwa neema, wao huona neema ya Yesu kama kichwa cha somo lingine. Walakini, ufunuo wa neema ni ufunuo wa Yesu Mwenyewe na utakatifu wa kweli unajitokesha wakati Yesu anapoishi ndani mwetu.
+–Je kuna gharama gani kupokea mafundisho haya?
Haya mafundisho yaliyopo katika mtandao wetu ni bure kwa wote. Tena unaweza kujiandikisha ili upokee barua ya habari njema ya kila mwezi iliyo bure, na tuta tuma kwa barua pepe unayo jizajili nayo. Iwapo umebarikiwa na mafundisho na unataka kuwa mshirika pamoja nasi kuendelesha mafundisho haya duniani kote, basi umekaribishwa kuwa mfadhali, yaani wa kipawa cha fedha cha wakati mmoja na hata kwa mwaka vita pokelewa na shukurani.
+–Je unaona nini kwa ajili ya siku za usoni?
Tuna tarajia mapinduzi ya injili duniani kote .Ujumbe ulio hubiriwa na mitume kuhusu Yesu lazima uje mbele na nyuma na hata katikati. Kila uamsho wa kweli wa rohoni lazima uletwe na Yesu. Yesu ndiye atakaye kuwa mwongozo wa mavuno kuu yaliyo mbele zetu. Yeye ndiye “Shauku la mataifa yote” na mataifa watamjia Yeye. Makusudi ya Shetani ni kutupotosha kutoka urahisi wauliyopo ndani mwa Kristo ( 2 Wakori11:3) Huu uwongo wa Shetani huja katika mifano za ujanja chini ya kifuniko cha mambo ya rohoni na elimu ya dini. Kuna mtizamo mkubwa juu ya juhudi zetu, ina onekana kanisa lime ongezeka katika kutizama yale tunapaswa kufanya kuliko “Yale Kristo Yesu amefanya” GGN inayo nia njema kwa wahuduma na makanisa, wanao taka kanisa na ulimwengu kutambua Yesu na ukamilifu wa Kazi ya Ukombozi Wake.
|
<urn:uuid:b6e10b2d-965f-40d2-91ed-0e4be160ba51>
|
{
"date": "2014-04-17T12:29:45Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609530131.27/warc/CC-MAIN-20140416005210-00049-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9413747787475586,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 39,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9413747787475586, \"swc_Latn_score\": 0.04105546697974205, \"ssw_Latn_score\": 0.012769334949553013}",
"url": "http://globalgracenews.org/sw/global/questions_and_answers/5/"
}
|
Bara la Afrika laungana kudhibiti majanga ya asiliKusikiliza /
Wawakilishi kutoka nchi 40 za Afrika wanakutana huko Arusha, Tanzania kujadili njia za kuzuia na kupunguza athari za za majanga wakati huu ambapo ulimwengu unaoendea kuathiriwa na mabadiliko ya tabianchi, ukame, mafuriko , kupanda kwa joto, moto wa misistuni na majanga mengine ya kiasili.
Kulingana na makadirio kutoka kituo cha utafiti wa hali ya hewa na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na kupunguza athari za majanga, UNSDR, ni kwamba watu milioni 18 waliathiriwa na ukame mwaka uliopita huku milioni 8.8 wakiathiriwa na mafuriko katika eneo la kusini mwa jangwa la sahara. Hasara iliyopatikana kutokana na majanga hayo kwa muda wa miaka miwili ilikuwa ni gharama ya dola bilioni 1.3. Jason Nyakundi na taarifa kamili.
|
<urn:uuid:8ee19c54-1cf7-454f-b78d-812f6c79c258>
|
{
"date": "2014-04-18T21:27:42Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609535095.9/warc/CC-MAIN-20140416005215-00081-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9954661130905151,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 30,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9954661130905151}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/02/bara-la-afrika-laungana-kudhibiti-majanga-ya-asili/"
}
|
Tuchukue hatua mapema kudhibiti ugonjwa wa Kisukari: BanKusikiliza /
Novemba 14 kila mwaka ni siku ya Kisukari duniani ambapo katika salamu zake kwa mwaka huu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon amehadharisha juu ya ongezeko la idadi ya wagonjwa hususan watoto, vijana na watu maskini. Amesema takribani watu Milioni 350 duniani waugua Kisukari na licha ya kwamba watu wako hatarini kurithi ugonjwa kwenye ukoo lakini chagizo kikubwa ni mfumo wa maisha ikiwemo kutokufanya mazoezi na milo isiyo na afya. Amesema ni jambo la kustaajabisha katika ulimwengu huu uliosheheni vyakula, bado kuna watu wanashindwa kupata mlo bora. Ametaja hatua za kuchukuakamavile kuwezesha wagonjwa kupata tiba, serikali kuwa na sera za kuhakikisha kilimo na upatikanaji wa vyakula bora na watu kuchunguza afya zao mapema kufahamu iwapo wana Kisukari au la, kwani uchunguzi wa mapema unapunguza madhara makubwa ya kiafya baadaye.
|
<urn:uuid:9d1bf6a6-93b1-46da-9ef0-49fb84021f6e>
|
{
"date": "2014-04-20T03:40:37Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609537864.21/warc/CC-MAIN-20140416005217-00113-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.99061518907547,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.99061518907547}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/11/tuchukue-hatua-mapema-kudhibiti-ugonjwa-wa-kisukari-ban/"
}
|
At-Tathuwibi ni neno la Kiarabu litokanalo na kitenzi Thaba - Yathubu: Linaweza kuwa na maana ya kurejea, hivyo katika adhana litamaanisha kurejea kwenye amri kwa kuharakisha kuelekea kwenye Sala. Hivyo muadhini akisema: Njooni kwenye Sala atakuwa kawaita waelekee kwenye Sala, hivyo akisema tena: Sala ni bora kuliko usingizi atakuwa karejea katika maneno ambayo maana yake ni kuharakisha kwenda kwenye Sala. Mwandishi wa kamusi iitwayo: Al-Qamusi amefasiri kwa maana mbalimbali kati ya hizo maana ni: Kuomba waelekee kwenye Sala. Na ile hali ya kurudia mara mbili mbili ni ombi. Na pia kusema katika adhana ya alfajiri: Sala ni bora kuliko usingizi mara mbili - ni ombi.
Na amesema ndani ya kitabu Al-Magharibi kuwa: At-Tathuwibi ya zamani ilikuwa ni ile kauli aisemayo muadhini katika adhana ya asubuhi: Sala ni bora kuliko usingizi - mara mbili - Na hivi sasa At- Tathuwibi ni kusema: Sala Sala, imesimama 1
Dhahiri ni kuwa tathuwibi inatumika sana kwa maimam wa hadithi wakimaanisha ile kauli inayotajwa ndani ya adhana. Pia huenda ikatumika kumaanisha wito wowote unaokuja baada ya wito wa mwanzo hivyo hujumuisha wito wowote autoawo muadhini baada ya kumaliza adhana kwa kutamka tamko lolote alipendalo lenye maana ya wito wenye kuelekeza kwenye Sala.
As-Sanadiy amesema katika maelezo yake ya ziada ndani ya kitabu Sunanin-Nasai kuwa: Tathuwibi maana yake ni kurudia tangazo baada ya tangazo, Hivyo kauli ya muadhini: Sala ni bora kuliko usingizi ni sawa na hali hiyo hiyo, hivyo ikaitwa tathuwibi.2
Makusudio ya sehemu hii ni kutaka kudhihirisha hukumu ya kauli ya muadhini ndani ya adhana ya Sala ya alfajiri: Sala ni bora kuliko usingizi. Je ni kauli ya kisheria au ni bidaa iliyozushwa baada ya Mtume kutokana na pendekezo la baadhi ya watu walioona kuwa ni vizuri iwekwe kwenye adhana. Hiyo ni sawa iwe ndani ya adhana au hata baada ya adhana kwa wito wowote unaoelekeza kwenye Sala. Sawa iwe kwa tamko hili au lingine.
Hivyo tunasema kuwa tathuwibi kwa maana hii (Sala ni bora kuliko usingizi) imepatikana ndani ya hadithi za kisa cha ndoto ya adhana, na imepatikana tena katika hadithi nyingine. Ama katika fungu la kwanza imepatikana katika riwaya zifuatazo:
1. Riwaya aliyoipokea Ibnu Majah (Riwaya ya nne) na tayari umeshasikia maelezo ya As-Shaukaniy jinsi ilivyodhoofika3
2. Riwaya aliyoipokea Imam Ahmad nayo umeshajua udhaifu wa njia yake kwani yumo Muhammad bin Is’haqa na Abdallah bin Zaid bin Abdurabah4 . Riwaya aliyoipokea Saad katika kitabu chake At-Twabaqat. Katika njia yake yumo Muslim bin Khalid bin Qarqarat. Udhaifu wake tayari umeshaujua5.
Ama katika fungu la pili yaani tathuwibi katika hadithi zisizo za kisa cha ndoto ya adhana ni kwamba hadithi hizo zimenukuliwa na waandishi wa vitabu sita, na yafuatayo ni maelezo yao:
Alitusimulia Abu Bakr bin Shaybati kuwa: Alitusimulia Muhammad bin Abdallah Al-Asadiy toka kwa Abi Izraili toka kwa Al-Hakamu toka kwa Abdurahmani bin Layli toka kwa Bilal amesema kuwa: Mtume aliniamrisha nihimize (Sala ni bora kuliko usingizi ) katika Sala ya Asubuhi na akanikataza katika Sala ya Isha6.
Katika riwaya hii kuna dalili inayoonyesha kuwa katika kuhimiza unaweza kutumia wito wowote unaoelekeza kwenye Sala hata kama si tamko la: Sala ni bora kuliko usingizi. Dalili juu ya hilo ni kile kitendo cha kukataza kuhimiza katika Sala ya isha kwa sababu huwezi kuhimiza katika Sala hii isipokuwa kwa tamko lingine, mfano wa: Salat jamia, au imesimama Sala, au tamko lingine.
5-Ametusimulia Umar bin Rafi kuwa: Ametusimulia Abdallah bin Al- Mubarak toka kwa Maamari toka kwa Az-Zahariy toka kwa Saidi bin Al- Musayab toka kwa Bilal kuwa: Alikuja kumuadhinia Mtume kwa ajili ya sala ya asubuhi akaambiwa amelala, hapo akasema: Sala ni bora kuliko usingizi, Sala ni bora kuliko usingizi, basi ikaidhinishwa iwekwe kwenye adhana ya Sala ya alfajiri. Basi kwa namna hiyo jambo hilo likathibiti7. Njia zote mbili za upokezi ni pungufu.
Kwanza: Ibnu Abi Layli amezaliwa mwaka wa 17 na Bilal kafariki mwaka wa 20 au 21 huko Sham. Na Bilal alikuwa huko Sham tangu Shamu ilipofunguliwa hivyo Bilal ni mkazi wa Sham na Ibnu Abi Layli ni mkazi wa Kufa, hivyo itakuwaje asikie toka kwa Bilal ilhali kiumri yeye ni mdogo sana kwa Bilal na kimakazi yuko mbali na Bilal8.
Na Tirmidhi kapokea kama hivyo lakini kwa tofauti katika njia (sanad) asema: Hadithi ya Bilal hatuijui isipokuwa kupitia hadithi ya Abi Israii Al- Mlai, na huyu Abi Israili hajaisikia hadithi hii toka kwa Al-Hakamu (Ibnu Utayba).
Akasema: Hakika yeye aliipokea toka kwa Al-Hasani bin Amarat toka kwa Al-Hakam. Na Abu Israili jina lake ni Ismail bin Abi Is.haqa, na yeye kwa watu wa hadithi ni dhaifu9
Pili: ni kuwa Ibnu Majah amenukuu maneno toka kwa Az-zawaidi kwa kusema: Wapokezi wake ni wakweli isipokuwa njia yake ni pungufu kwa sababu Said bin Al-Musayabu hakuisikia toka kwa Bilal10 .
Alitupa habari Suwayd bin Nasri kuwa: Alitupa habari Abdallah toka kwa Sufiani toka kwa Jafari toka kwa Abi Salmani toka kwa Abi Mahdhurat amesema kuwa: Nilikuwa nikimuadhinia Mtume wa Mwenyezi Mungu na nilikuwa nikisema katika adhana ya Alfajiri ya mwanzo: (Njooni kwenye ushindi, Sala ni bora kuliko usingizi, Sala ni bora kuliko usingizi, Allah mkubwa Allah mkubwa, hapana mola wa haki isipokuwa Allah)11 .
Katika Sunan ya Al-Bayhaqiy12 na Subulu Salama13 sehemu ya jina Abi Salmani lipo jina Abi Sulaymani. Al-Bayhaqiy amesema: Na Abu Sulaymani jina lake ni Hamamul-muadhin, wala katika vitabu vyote tulivyonavyo vya wasifu wa wapokezi hakuna wasifu wa Hamamul- Muadhini hivyo Adh-Dhahabiy hakumtaja ndani ya kitabu chake (Mwenendo wa wasomi wema). Wala Al-Mazriy hakumtaja ndani ya Tahdhibil-Kimal na huyu Hamamu ni mtu asiyefahamika.
Ama Abu Mahdhurat yeye ni kati ya swahaba lakini mchache wa riwaya kwani riwaya alizopokea hazizidi kumi na alikuwa muadhini wa Mtume mwaka wa nane wakati wa vita vya Hunayni14 .
Katika kitabu chake (Sunan) kuna njia inayokomea kwa Abi Qadamat toka kwa Muhammad bin Abdul-Malik bin Abi Mahdhurat toka kwa baba yake toka kwa babu yake kuwa amesema: Nilisema: Ewe Mtume wa Allah, nifundishe sunna ya adhana. Akasimulia hadithi husika, na katika maelezo yake Mtume akasema:
حي علي الصلاة حي علي الصلاة
(Njooni kwenye Sala njooni kwenye Sala), ikiwa ni sala ya Asubuhi sema:
الصلاة خيرمن النوم
(Sala ni bora kuliko usingizi, Sala ni bora kuliko usingizi).
8. Pia kapokea kwa njia inayokomea kwa Uthman bin Al-Saibu: Alinipa habari baba yangu na mama wa Abdul-Maliki bin Abi Mahdhurat toka kwa Abi Mahdhurat toka kwa Mtume. Mfano wa riwaya iliyopita15. Umeshajua hali ya Muhammad bin Abdul-Malik. Na Uthman bin Al-Saibu ni mtoto na mzazi wasiyojulikana hawana riwaya isipokuwa hiyo moja tu16
Amepokea kwa njia inayokomea kwa Al-Harith bin Ubaydi toka kwa Muhammad bin Abdul-Malik toka kwa baba yake toka kwa babu yake amesema kuwa: Nilisema: Ewe Mtume wa Allah nifundishe sunna ya adhana. Akaendelea mpaka akasema: Kama ni Sala ya asubuhi utasema: (Sala ni bora kuliko usingizi Sala ni bora kuliko usingizi)17.
Njia hii imemjumuisha Muhammad bin Abdul-Malik. Amesema Ibnu Hajari kuwa: Amesema Abdul-haqi kuwa: Njia hii si hoja. Na Ibnu Qaytani akasema: Huyu hajulikani, hatumjui aliyopokea toka kwake isipokuwa Al- Harith18. Na Amesema Al-Shaukani kuhusu Muhammad bin Abdul-Malik bin Abi Mahdhurat kuwa wasifu wake haujulikani. Na Al-Harith bin Ubaydi na yeye ana maelezo yake 19.
10-Pia amepokea kwa njia inayokomea kwa Uthman bin Saibu: Alinijulisha baba yangu na mama wa Muhammad binAbdul-Malik bin Abi Mahdhurat toka kwa baba Mahdhurat toka kwa Mtume Mfano wa habari hii20. Tayari umeshajua udhaifu wa njia hii.
11. Pia amepokea kwa njia inayokomea kwa Ibrahim bin Ismail bin Muhammad bin Abdul-Malik bin Abi Mahdhurat amesema kuwa: Nilimsikia babu yangu Abdul-Malik bin Abi Mahdhurat akisema kuwa alimsikia Abi Mahdhurat akisema kuwa: Mtume alinifundisha adhana herufi baada ya herufi - mpaka akasema: Alikuwa akisema katika Sala ya Alfajiri:
الصلاة خيرمن النوم
(Sala ni bora kuliko usingizi).21
Na Ibrahim bin Ismail ana riwaya moja tu na ukweli wake haujathibitishwa 22. Zaidi ya hapo huenda njia hii ni pungufu.
Nayo yamegawanyika:
12. Zipo riwaya zinazoonyesha kuwa ni sunna ndani ya adhana, amezipokea toka kwa Anas na Umar bila kuzinasibisha kwa Mtume nazo ni hadithi tatu:23
13. Zinazoonyesha kuwa Mtume alimuamrisha Bilal kufanya hivyo, lakini njia hiyo ni pungufu. Amepokea Abdul-Rahman bin Abi Layli toka kwa Bilal24 huku njia yake ni dhaifu kwa kuwemo Abdur-rahmani bin Al- Hasan ambaye huitwa Abu Mas.udi Az-Zajaju.Na Abu Hatim kamuelezea kwa kusema: Yeye si hoja hata kama wengine wakimlainisha 25.
14. Zipo zinazoonyesha tangazo kabla ya adhana kwa namna yoyote ile. Na hilo liko nje ya mada. Na baadhi ya waliyomo katika mtiririko wa njia hii wameidhoofisha26.
15. Ad-Daramiy kapokea kwa njia inayokomea kwa Az-Zahariy toka kwa Hafsa bin Umar bin Suad Muadhini.Hafsa amesema: .Walinisimulia ndugu zangu kuwa Bilal alikwenda kumuadhinia Mtume kwa ajili ya Sala ya Asubuhi, wakamwambia Mtume amelala, hapo Bilal akanadi kwa sauti ya juu:
الصلاة خيرمن النوم
(Sala ni bora kuliko usingizi:, ndipo ikapitishwa na kuwekwa ndani ya adhana ya Sala ya Alfajiri27. Riwaya hii si hoja: Kwanza kwa kuwemo Az-Zahriy na Hafsa ambaye hana riwaya isipokuwa moja tu nayo ni hii28.
Zaidi ya hapo ni kuwa hajulikani ni nani asili aliyenukuu riwaya hii.
Ni kuwa muadhini alikwenda kumuadhinia Umar bin Al-Khatab kwa ajili ya Sala ya Asubuhi hivyo akamkuta amelala, muadhini akasema:
الصلاة خيرمن النوم
(Sala ni bora kuliko usingizi), ndipo Umar akaamrisha kipengele hicho kiwekwe ndani ya wito wa Sala ya Asubuhi29.
Hakika riwaya zinazoelezea kipengele cha kuhimiza (Sala ni bora kuliko usingizi) zinapingana sana huwezi kuzioanisha katika maana moja. Na vifuatavyo ni vifungu vyake:
1. Zipo zinazoonyesha kuwa Abdallah bin Zaid aliota usingizini kipengele cha (Sala ni bora kuliko usingizi) katika ndoto yake na ilikuwa ni sehemu ya adhana tangu mwanzo wa adhana.
2. Zipo zinazoonyesha kuwa Bilal aliongeza kipengele hicho ndani ya adhana, na Mtume akakipitisha na kumtaka Bilal akiweke kiwe sehemu ya adhana, na hilo ni kama ilivyo kwenye riwaya ya Ad-Daramiy.
3. Zipo zinazoonyesha kuwa Umar bin Al-Khatabi alimuamrisha muadhini akiweke ndani ya wito wa asubuhi, hilo ni kama alivyopokea Imam Malik.
4. Zipo zinazoonyesha kuwa Mtume wa Allah alimfundisha Abi Mahdhurat, hilo ni kama ilivyo katika riwaya ya Al-Bayhaqiy katika kitabu chake.
5. Dhahiri ni kuwa Bilal alikuwa akinadi asubuhi akisema: حي علي خيرالعمل (Njooni kwenye amali bora), hivyo Mtume akamwamrisha atoe kipengele hicho na sehemu yake aweke kipengele:
الصلاة خيرمن النوم
(Sala ni bora kuliko usingizi), na aache حي علي خيرالعمل (njooni kwenye amali bora.
Haya ni kama alivyopokea Al-Muttaqiy Al-Hindiy ndani ya kitabu chake Kanzu 8 / 345 namba 23188 ).
Kutokana na mgongano huu wa wazi hatuwezi kutegemea riwaya hizo. Na kwa kuwa jambo lenyewe lipo kati ya hali mbili: ima liwe ni sunna au bidaa basi tunapasa kuliacha kwa kuwa hatutoadhibiwa iwapo tutaliacha kinyume na litakapokuwa ni bidaa.
Upande wa swahaba na tabiina wapo wanaoona kuwa jambo hilo ni bidaa wala Mtume hakuliamrisha, na kuwa lilizuka baada ya Mtume. Yafuatayo ni maelezo yao:
1. Ibnu Jariri anasema: .Amr bin Hafsa alinipa habari kuwa Saad muadhini ndiye mtu wa kwanza aliyesema:
الصلاة خيرمن النوم
(Sala ni bora kuliko usingizi), ilikuwa wakati wa utawala wa Umar hivyo Umar akasema: Ni bidaa, kisha akamuacha na wala Bilal hakumuadhinia Umar.
2. Pia amepokea toka kwake kuwa: Alinipa habari Hasan Muslim kuwa kuna mtu alimuuliza Twausi: Ni lini ilianza: Arabic text (Sala ni bora kuliko usingizi)? Akajibu: .Haikutamkwa hii wakati wa Mtume lakini Bilal aliisikia zama za Abu Bakr baada ya kifo cha Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa ikitamkwa na mtu asiye muadhini, hivyo akaichukua toka kwake, kisha akaadhini kwa kipengele hicho, lakini toka wakati huo Abu Bakr hakuishi sana zikawa zimeingia zama za Umar. Akasema Umar: Tungemkataza Bilal kuhusu hili alilolizusha, utadhani kalisahau ameendelea kuwaadhinia watu kwa hili mpaka leo30.
3. Amepokea Abdur-Razaqi toka kwa Uyynati toka kwa Laythu toka kwa Mujahidu kuwa amasema: .Nilikuwa na Ibnu Umar akasikia mtu akihimiza (tathuwibi). Akasema: .Hebu twende zetu tutoke kwa mtu huyu wa bidaa31.
Kwa riwaya ya Abu Daud ndani ya Sunan yake, dhahiri ni kuwa mtu huyo alihimiza katika Sala ya adhuhuri na Sala ya Alasiri na si Sala ya Asubuhi32
4. Yaliyopokewa toka kwa Abu Hanifa kama ilivyo ndani ya Jamiul- Masanidi toka kwa Hamadi toka kwa Ibrahimu amesema: Nilimuuliza kuhusu tamko la himizo (tathuwibi) akasema: Hilo ni katika mambo yaliyozushwa na watu, nalo ni jambo zuri kati ya mambo waliyoyazusha. Kisha akaongeza kuwa: wao tamko hilo lilikuwa baada ya muadhini kumaliza adhana yake husema: Arabic text (Sala ni bora kuliko usingizi) . mara mbili.
Amesema: Riwaya hii ameitoa Imam Muhammad bin Al-Hasan (As- Shaybani) ndani ya kitabu chake Al-athar. Wao wawili wamepokea toka kwa Abu Hanifa. Kisha Muhammad akasema: Nayo ni kauli ya Abu Hanifa na ndio tunayoifuata33.
Riwaya hii inaonyesha kuwa kipengele hiki kilikuwa kinawekwa baada ya kumaliza adhana hizo ni zama za mtukufu Mtume au makhalifa na wala hakikuwa ni sehemu ya adhana bali muadhini alikitamka yeye mwenyewe kwa ajili ya kuamsha watu toka usingizin, kisha baadaye kikaingizwa ndani ya adhana.
5. As-Shaukani kanukuu toka kwenye Al-Bahri Al-Zakhari kuwa: Alikizua Omar. Mwanae akasema: .Hii ni bidaa. Imepokewa toka kwa Ali (a.s.) kuwa baada ya kusikia tamko hilo (tathuwibi) alisema: .Msizidishe ndani ya adhana kitu ambacho hakimo.. Kisha baada ya kutaja hadithi ya Abu Mahdhurat na Bilal akasema: .Tunasema ikiwa ni kwa sababu ya kukanushwa na Ali (as) na mwana wa Omar na Twausi basi tumekubali. Hivyo timeamrishwa kwa ajili ya kuhisisha hali na wala si kama sheria, hiyo ni ili tuoanishe kati ya riwaya hizo34.
6. Al-Amiru Al-Yamaniy As-Swinaiy (Aliyefariki mwaka 182) amesema: .Nilisema: Kutokana na haya ni kuwa kipengele hiki
الصلاة خيرمن النوم
(Sala ni bora kuliko usingizi) si miongoni mwa matamshi ya adhana iliyowekwa na sheria kwa ajili ya kuwaita watu waelekee kwenye Sala huku ikionyesha kuwa wakati wa Sala umeingia. Bali kipengele hiki ni kati ya matamshi ambayo yalianzishwa ili kumuamsha yule aliyelala, hivyo matamshi hayo ni sawa na ile tasbihi ya mwisho ambayo hivi sasa watu wameizoea hasa badala ya adhana ya kwanza.
Kisha akasema: Basi ukishalijua hili utakuwa mwepesi kwako mjadala uliyozoeleka kati ya wanazuoni kuhusiana na matamshi hayo, Je yenyewe ni sehemu ya matamshi ya adhana au siyo. Na je ni bidaa au siyo35
7. Ibnu Qaddama amenukuu toka kwa Is.haqa kuwa baada ya kunukuu riwaya ya Abi Mahdhurat alisema: Hili ni jambo walilolizua watu.
Abu Isa amesema: .Hiki ndio kipengele cha kuhimiza (tathuwibi) kilichochukiwa na wanazuoni, na ndicho kilichomsababisha mwana wa Umar atoke msikitini alipokisikia36.
8. Kwa sababu riwaya nyingi zilizotoka kwa Maimam wa Ahlul-Bait zinathibitisha kuwa ni bidaa. Amepokea Sheikh Tusiy kwa njia sahihi toka kwa Muawiya bin Wahabi alisema kuwa: Nilimuuliza Aba Abdullah kuhusu tamko la kuhimiza ambalo huwa kati ya adhana na iqama akasema: Hatulijui37
9. Jambo lililodhihiri kwangu baada ya kudurusu riwaya zinazozungumzia adhana ni kuwa: Familia mbili zilifuatilia kwa undani yale yaliyopokewa toka kwa babu yao Abdallah bin Zaid na Abi Mahdhurat, hivyo zikafanya makusudi kueneza yale yaliyonasibishwa kwa babu yao kwa sababu yanaonyesha fadhila kwa familia, kwani laiti ingekuwa si hivyo basi jambo hili la sheria ya adhana kuletwa kwa ndoto, na kuongezwa kipengele cha kuhimiza katika adhana ya Sala ya Asubuhi lisingeenea kwa mapana ya namna hii. Kwa ajili hiyo huenda mtu angeweza kuyatilia shaka yale yaliyonukuliwa toka kwa babu yao.
Tayari umeshajua kuwepo kwa wapokezi ambao wanaonasibishwa na familia hizi mbili katika njia ya upokezi wa riwaya hizi.
10. Hakika kifungu cha kwanza na cha pili kinathibitisha kuwa yeye Allah ndiye Mungu wa ulimwengu wote na kisicho Yeye ni sawa na si rabi hakina utawala wowote mbele ya Allah. Kifungu cha tatu kinathibitisha kuwa Muhammad (s.a.w.w.) ni Mtume wa Allah ambaye alimtuma kufikisha ujumbe wake na kutekeleza wito wake. Hivyo mwisho wa kifungu hicho tangazo na wito wake unabadilika toka katika uthibitisho mpaka kwenye wito wa kuelekeza kwenye Sala ambayo ameifaradhisha Mwenyezi Mungu na ambayo mwanadamu huitumia kuwasiliana na Mwenyezi Mungu, na kupitia Sala hiyo unyenyekevu wa mwanadamu huchanganyikana na utukufu wa muumba. Kisha hutoa wito kuelekea kwenye ushindi na uokovu na amali bora ambayo ndio lengo la Sala. Na baada ya kumaliza wito wa ushindi na amali bora hurudia tena kutaja ukweli halisi wa milele ambao ulitamkwa wazi wazi mwanzo wa vifungu vya adhana, hivyo husema:
الله اكبر الله اكبر لااله الا الله لااله الا الله
Allah Mkubwa Allah Mkubwa. Hapana mola wa haki isipokuwa Allah. Hapana mola wa haki isipokuwa Allah.
Hii ndio hali halisi ya adhana na muundo wake huku yote mawili yakiwa katika mtiririko mmoja ambao umehitimishwa na sheria ya Mwenyezi Mungu kwa ufanisi. Huku ukielezea ukweli halisi wa milele na kumzuwia mwanadamu asijifunge katika minyororo ya dunia na udanganyifu wake. Hii ndio hali halisi anayoihisi kila anayesikia adhana na kila mwenye kufatilia vifungu vya adhana na maana yake. Lakini hapa kuna ukweli ambao mimi au mwingine hawezi kuuficha (Iwapo tu mtu huyo atajiepusha na mtazamo wake wa mwanzo au ubinafsi wa kimadhehebu) nao ni kuwa: Muadhini anapotoka katika kifungu cha wito wa kuelekea kwenye Sala na ushindi na amali bora (katika adhana ya asubuhi) kisha akaingia kwenye tangazo la kuwa:
الصلاة خيرمن النوم
Sala ni bora kuliko usingizi, hapo anakuwa katoka kwenye kilele cha fasaha na kwenda kwenye maneno yasiyo fasaha. Kwani anakuwa anatangaza jambo ambalo linafahamika hata kwa watoto wadogo, kwani anapigia kelele jambo ambalo linafa- hamika kwa wote isipokuwa yule asiyefahamu mambo ya kiakili. Kwa sababu kule kutangaza kuwa sala ni bora kuliko usingizi ni sawa na mtu anayesimama katika mkusanyiko wa watu na kutangaza eti mbili ni nusu ya nne.
Hili ndilo nililolihisi pindi nilipozuru Nyumba tukufu ya Mwenyezi Mungu mwaka 1375 A.H. huku nikisikia adhana toka haramu mbili takatifu. Bado akili na ubongo wangu unaamini kuwa kifungu hiki si miongoni mwa maneno ya Allah, bali kilipandikizwa kati ya vifungu vya adhana kwa sababu maalumu. Na hilo ndilo lililonifanya nichambue maudhui hii na kuandika ujumbe huu.
|
<urn:uuid:ec82072a-e476-448b-bc28-b7bb07e90bf9>
|
{
"date": "2014-04-21T11:43:28Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609539705.42/warc/CC-MAIN-20140416005219-00145-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9924402832984924,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 58,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9924402832984924}",
"url": "http://www.al-islam.org/sw/adhana-kwa-mtazamo-wa-qurani-na-sunna/sehemu-ya-pili"
}
|
- MGOMO KUANZA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA.
- HATUA HII INAKUJA WAKATI MADAI YA MADAKTALI HAYAJAPATIWA UFUMBUZI.
- MSULUHISHI AMETOA CHETI CHA KUTHIBITISHA KUWA MGOGORO UMESHINDIKANA
- KUSULUHISHWA NA HIVYO HATUA ZA MGOMO SASA NI HALALI
CHAMA cha Walimu nchini (CWT) kiko katika hatua za mwisho kutangaza rasmi kuanza kwa mgomo wa walimu nchini, unaotarajiwa kutangazwa rasmi wakati wowote baada ya saa 48 kuanzia Ijumaa Julai 27 2012 asubuhi.
Rais wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba amesema mgomo huo sasa umeiva, baada ya mgogoro baina yao na Serikali uliodumu kwa siku 30 kumalizika bila kufikia suluhisho.
Msimamo huo wa CWT unatolewa wakati madai ya Madaktari yakiwa bado hayajapatiwa ufumbuzi wa kudumu na kusababisha kuzorota kwa huduma za afya katika hospitali za umma.
“Baada ya kushindwa kutatuliwa, zoezi la kupiga kura lilianza tangu Jumatano Julai 25 2012, na litaendelea hadi Ijumaa Julai 27 2012 saa 3 asubuhi, baada ya muda huo kupita, Chama kitakuwa na kazi ya kupokea matokeo ya upigaji kura kutoka kila Wilaya,” alisema Mukoba na kuongeza:
“Ikiwa walimu watakaounga mkono mgomo watakuwa wengi kuliko wale watakaoupinga, Baraza la Taifa la CWT litakutana kwa dharura kutangaza mgomo ambao utakuwa umeamuliwa na muda wa mgomo huo.
Rais huyo alifafanua kuwa baada ya uamuzi huo kufikiwa CWT itatoa notisi ya saa 48 kwa Katibu Mkuu Kiongozi ambaye ni Mkuu wa Utumishi wa Umma kumwarifu tarehe ya kuanza kwa mgomo ili alinde mali zake kama Sheria inavyoeleza.
Mukoba alisema, mgogoro na Serikali ulisajiliwa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi Juni 8 mwaka huu na kupewa namba CMA/DSM/ILA/369/12 na msuluhisi aliyeteuliwa na Tume hiyo Cosmas Msigwa kushindwa kuwasuluhisha.
“Siku 30 zilianza kuhesabiwa Juni 26 na kumalizika Julai 25 mwaka huu, kwa msuluhishi Msigwa kutoa Cheti cha kuthibitisha kuwa mgogoro umeshindikana kusuluhishwa kwa mjibu wa Sheria,” alisema Mukoba na kuongeza:
Ndani ya siku hizo 30 tumekutana kujadiliana kwa vikao vitatu lakini hakukuwa na dalili zozote za Serikali kuhakikisha inatatua matatizo yetu.
Rais huyo alisema, madai ya Serikali kushindwa kuyatatua ilisema ni kutokuwa na takwimu za walimu wangapi wanastahili kulipwa na huenda wengine wameshakufa.
“Hoja hii ilikuwa na nia ya kupotosha ukweli wa madai ya walimu kwa kuwa kikao cha Julai 10 mwaka huu, Serikali iliwasilisha taarifa kuwa ingetumia zaidi ya Sh4 trilioni kulipa mishahara ya walimu tu kama ikilipa mishahara kwa viwango vilivyowasilishwa na CWT iweje itake tena takwimu,” alihoji Mukoba.
Mukoba alisema Serikali ilikuwa haijui walimu wangapi wanafundisha masomo ya Sayansi na wangapi wanafundisha katika mazingira maguku kitendo ambacho walikipinga.
“Tulipinga hoja hizo kwa maelezo kwamba Serikali ndio yenye Shule za mchepuo wa Sayansi na inafahamu fika walimu wa Sayansi ni wangapi kwa kuwa takwimu hizo zilitolewa bungeni katika kipindi cha maswali na majibu” alisema Mukoba na kuongeza:
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mlugo aliliambia Bunge kuwa Serikali imetumia Sh22 bilioni kuwalipa walimu wanaofanya kazi katika mazingira magumu Sh500,000 mara moja tu wanapokwenda kuanza kazi, na kama imetambua hilo iweje isifahamu maeneo yenye kuhitaji posho ya mazingira magumu?”.
Kaimu Katibu Mkuu wa CWT, Ezekia Oluoch alitoa wito kwa wazazi na wanafunzi akiwataka kutowafikiria walimu vibaya wakati wakiwa katika mgomo huo na kitakachofanyika ni kudai maslahi yao.
“Tunawapenda sana wanafunzi, lakini watambue kiwango ambacho Serikali inatulipa ni kidogo ambacho hakiwezi kukidhi mahitaji yetu ndio maana tunaamua kugoma hivyo watuunge mkono,” alisema Oluoch.
|
<urn:uuid:665d2ed2-da83-48ad-9edb-128ee81c3b21>
|
{
"date": "2014-04-24T07:33:19Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223205375.6/warc/CC-MAIN-20140423032005-00177-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9739315509796143,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 56,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9739315509796143, \"swc_Latn_score\": 0.020985165610909462}",
"url": "http://community.co.tz/2012/07/27/madaktari-sasa-walimu-serikali-ya-kikwete-yazidi-kuteseka/"
}
|
Colima, Colima
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|Jiji la Colima|
|Nchi||Mexiko|
|Jimbo||Colima|
|Idadi ya wakazi|
|-||132,273|
|Tovuti: www.colima.gob.mx|
|Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Colima, Colima kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:a6e60b4a-e756-4852-a7fe-2597d03fd41f>
|
{
"date": "2014-04-24T06:25:14Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223205375.6/warc/CC-MAIN-20140423032005-00177-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9888051748275757,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 61,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9888051748275757}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Colima,_Colima"
}
|
|
|
Chapter 3
1 Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa Bwana uzidi kuenea
upesi na kupokelewa kwa heshima kama vile ulivyo kati yenu.
2 Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu na waovu,
maana si wote wanaoamini ujumbe huu.
3 Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na
yule Mwovu.
4 Naye
Bwana anatupatia tumaini kubwa juu yenu, na hatuna shaka kwamba mnafanya na
mtaendelea kufanya yale tuliyowaambieni.
5 Bwana aiongoze
mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo.
6 Ndugu,
tunawaamuru kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, mjiepushe na ndugu wote walio
wavivu na ambao hawafuati maagizo tuliyowapa.
7 Ninyi
wenyewe mnajua kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi
hatukuwa wavivu;
8 hatukula
chakula kwa mtu yeyote bila ya kumlipa. Tulifanya kazi kwa bidii na taabu
mchana na usiku ili tusiwe mzigo kwa mtu yeyote kati yenu.
9
Tulifanya hivyo si kwa kuwa hatuna haki ya kutaka msaada wenu, ila kwa sababu
tunataka kuwapeni mfano.
10
Tulipokuwa pamoja nanyi tulikuwa tukiwaambieni, "Mtu asiyefanya kazi,
asile."
11
Tunasema mambo hayo kwa sababu tumesikia kwamba wako baadhi yenu ambao ni
wavivu na ambao hawafanyi chochote, isipokuwa tu kujiingiza katika mambo ya
watu wengine.
12 Kwa
jina la Bwana wetu Yesu Kristo tunawaamuru na kuwaonya watu hao wawe na nidhamu
na kufanya kazi ili wajipatie maslahi yao wenyewe.
13 Lakini
ninyi ndugu, msichoke kutenda mema.
14 Huenda
kwamba huko kuna mtu ambaye hatautii huu ujumbe tunaowapelekeeni katika barua
hii. Ikiwa hivyo, basi, mfichueni mtu huyo na msiwe na uhusiano wowote naye
kusudi aone aibu.
15 Lakini
msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.
16 Bwana
mwenyewe ndiye chanzo cha amani, awajalieni amani siku zote kwa kila namna.
Bwana awe nanyi nyote.
17 Kwa
mkono wangu mwenyewe naandika hivi: Salamu kutoka kwa Paulo! Hivi ndivyo
ninavyotia sahihi kila barua; ndivyo ninavyoandika.
18
Tunawatakieni nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
|
<urn:uuid:300aa5fc-48b8-4ed1-b34a-85894772eca3>
|
{
"date": "2014-04-16T19:00:34Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609524644.38/warc/CC-MAIN-20140416005204-00032-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.8741612434387207,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 55,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.8741612434387207, \"ssw_Latn_score\": 0.10638677328824997, \"swc_Latn_score\": 0.01764179952442646}",
"url": "http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_P56.HTM"
}
|
Mkakati mpana wahitajika kudhibiti kauli za chuki: DiengKusikiliza /
Harakati zozote za kudhibiti kauli chochezi na za chuki zinazoweza kusababisha migogoro zinahitaji mpango mpana unaojumuisha pande nyingi.
Hiyo ni kauli ya Adama Dieng, Mshauri maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi ya kuzuia mauaji ya kimbari, kauli ambayo ameitoa wakati wa mkutano wa kujadili suala hilo mjini New York, Marekani.
Dieng amesema hilo ni suala mtambuka ambalo sheria pekee haiwezi kusaidia kutokana na kuwepo kwa uhuru wa mtu kujieleza.
Hata hivyo amewaeleza washirika kuwa ni vyema kukawepo mizania ya uhuru wa kujieleza na umuhimu wa kuzuia au kupiga marufuku matukio yanayovuka mpaka ya kauli za chuki.
Dieng amesema mpango mpana uhakikishe sheria inakwenda pamoja na kutokomeza vyanzo vya chuki kama vile ubaguzi kwa misingi mbali mbali kama rangi na ihusishe mashauriano kati ya serikali na taasisi za kiraia.
Ametolea mfano Kenya ambako mwezi ujao kunafanyika uchaguzi mkuu na sasa kuna hatua mbali mbali zinazochukuliwa kuepusha kauli chochezi na za chuki ili kuepusha ghasia kama zilizojitokeza baada ya uchaguzi mkuu mwaka 2007
|
<urn:uuid:5d89fa2c-e010-44f8-a12e-789b03dde512>
|
{
"date": "2014-04-18T05:40:13Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609532573.41/warc/CC-MAIN-20140416005212-00064-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9954217076301575,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 35,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9954217076301575}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/02/mkakati-mpana-wahitajika-kudhibiti-kauli-za-chuki-dieng/"
}
|
Friday, 28 November 2008
"Dada Dinah,ningeomba ushauri wako.
Nimekua na mpenzi wangu kwa zaidi ya miaka miwili ingawa alikua anaishi kwao lakini alikua akija kwangu na hata kushinda au kulala siku zingine. Sasa hivi majuzi mdogo wangu wa kiume alihamia kwangu baada ya chuo chao kufungwa ghafla na hivyo tukawa tukiishi nae.
Tatizo likaanzia hapo, siku moja nikarudi nakumpa mdogo wangu hela akanunue vitu kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, mpenzi wangu huyu akaanza kulalamika sana mpaka sasa bado hatujapata mwafaka.
Zaidi anadai kua kuwa atasitisha kuja kwangu kwani inaonekana amekua akikwaza ndugu zangu na pia anadai kua huyu mdogo wangu ham-respect na pia anaona kama yeye anamzibia uhuru wa kukaa nami kama ndugu yake.
Nilipokaa na mdogo wangu kumwuliza yeye alikana kabisa katu katu kwamba hana tatizo nae na pia anamheshimu sana kama shemeji yake. Niliporudi na kumueleza huyu mpenzi wangu akaruka akasema ni mnafiki na wala hamaanishi hivyo.
Cha ajabu nimemwambia niwakutanishe yeye na mdogo wangu amekataa akisema hawezi kukaa na kubisha na shemeji yake yeye atakachokifanya ni kutokuja kwangu. JE HAPO MIMI NIFANYEJE KWANI NIKO NJIA PANDA,nafikiria niachane nae au la kwani simwelewi anataka nini?
Jana nikawa nimempa hatima kua kama hawezi kuishi na ndugu zangu kwa upendo kama anaonipa mimi basi sioni sababu ya kuwa nae akanitumia msg kua NITAFUTE ATAKAE WEZA WAPENDA NDUGU ZANGU.Nimekua njia panda kwani kiukweli nilikua na malengo makubwa nae ila naona nashindwa. Je nifanyeje? Iteitei"
Jawabu: Pole kwa kuwekwa njia panda. Ningependa kufafanua kidogo tu hapa kabla sijaendelea. Hata siku moja Mpenzi wako hawezi kupenda ndugu zako kama anavyokupenda wewe! Husitegemee mpenzi wako kuwapenda ndugu zako, kwani halazimiki kufanya hivyo.
Yeye kukupenda wewe haina maana kuwa aipende familia yako nzima, ikitokea wanaelewana na wakampenda na yeye akawapenda kama ndugu zako (sio kama akupendavyo wewe) mshukuru Mungu, vinginevyo anapaswa kuwaheshimu (na wao wamheshimu pia) na sio kuwapenda. Kupenda ni hisia, hailazimishwi.
Ndugu wakati mwingine huwa wakorofi, baadhi huwa wanaamini kuwa unamaliza pesa kwa mwanamke na sio kwao kama ndugu zako. Wanasahau kuwa wewe sasa ni mtu mzima unastahili kuwa na maamuzi yako na kuendesha aina ya maisha utakayo au niseme kuwa na maisha yako.
Wewe umekuwa na mpenzi wako kwa muda wa miaka miwili na uhusiano wenu ni mzuri na wakaribu kiasi kwamba Binti huja kushinda na kulala kwako mara kwa mara. Katika hali halisi huyu binti alikwisha jiona yeye ndio mwanamke kwenye nyumba yako au hapo kwako, lazima alikuwa akijipa majukumu fulani kama "mwanamke" na jukumu moja wapo ni kufanya manunuzi kwa ajili ya matumizi hapo nyumbani.....huenda wewe ulikuwa hujui au hukutilia maanani kama mwanaume.
Sasa baada ya mdogo wako kuja hapo kwako, wewe ukahamisha jukumu moja la kufanya manunuzi kwa ajili ya matumizi hapo nyumbani ambalo labda kwake yeye mpenzi wako lilikuwa jukumu muhimu sana kama mwanamke wako au mwanamke ndani ya nyumba. Hakika hapo ndipo alipokwazika na kumempotezea kujiamini kwake.
Wewe kama mwanaume ulitakiwa kugundua hilo (alipokasirika) na kumrudishia jukumu hilo yeye, kwamba endelea kumpa pesa za manunuzi ya vitu yeye na sio Mgeni (mdogo wako). Huyu mpenzi wako aliposema kuwa anasitisha kuja hapo kwako kwa vile Mdogo wako hamheshimu na vilevile kuwapa uhuru ninyi kama ndugu, alitegemea wewe kuwa upande wake kama mpenzi wake.
Sio kwa kumuunga mkono na kwenda kumsakama mdogo wako bali kwa kumhakikishia kuwa unampenda na hakuna mtu atakaeingilia na kuharibu penzi lenu. Avumilie kwa sasa kwani mdogo wako yuko hapo kwa muda tu.
Kwasababu hukumuelewa (wanawake wengine husema hivi kumbe wanamaanisha vile), ndio maana amekataa kukutana na kupatanishwa, alichotaka huyu ni kuhakikishiwa nafasi yake kwako kama mpenzi na kurudishiwa jukumu ambalo labda alikuwa kalizoea kama mwanamke wako.
Uwepo wa mdogo wako hapo nyumbani inakuwa ni tishio kwake hasa kama hawakuwahi kukutana kabla, kwani baadhi ya wanawake hudhani kuwa ndugu wanaweza kuwa-feed wapenzi wao maneno ili watimuliwe.......sasa kwa vile Dogo ni mwanaume huenda hata muda mwingi unatumia nae kuliko kufanya hivyo na mpenzi wako hali inayoweza kumfanya ajishitukie....(asijiamini).
Nilichokiona hapa ni kuwa ninyi wawili mnapendana na wote hamjui mnataka nini kutoka kwenye uhusiano wenu na hivyo mnabaki kupigana mikwara, yeye hataki kuja kwako tena ili kukupa uhuru na ndugu yako.
Wewe unataka aishi na ndugu zako kwa upendo kama anaokupa wewe na akishindwa huoni sababu ya kuwa nae(sasa uko nae kwa ajili ya ndugu zako au kwa vile unampenda?)......kumbuka yeye hajatamka kuachana na wewe.....lakini kutokana na mkwara wako kakupa jibu zuri kabisa kuwa ukatafute mtu atakaependa ndugu zako kitu ambacho hakiwezekani!
Kuishi na ndugu na kuwapa upendo kama anaokupa wewe ni kitu ambacho hakiwezekani (rejea maelezo yangu ya awali), lakini kuishi nao kwa heshima ili kuboresha amani inawezekana.
Kosa-Ulishindwa kung'amua kuwa umemnyang'anya mpenzi wako jukumu ambalo lilikuwa muhimu, pia ulishindwa ku-handle the issue kama mwanaume na badala yake ukatoa lawama huku na kuzipeleka kwa Mdogo wako alafu tena kwa mpenzi wako na mbaya zaidi ukaegemea upande wa mdogo wako badala ya mpenzi wako ambae pengine angekuwa mkeo (una mipango mingi nae).
Nini cha kufanya-Mtafute Mpenzi wako, Omba msamaha kutokana na uamuzi wako(kama mwelevu na yeye pia atakuomba msamaha kwani alikosa pia kwa kusema vitu indirect) na kaeni chini mzungumzie hili suala kwa uwazi zaidi.
Kama kutakuwa na tatizo lolote au mpenzi wako anahisi kutojiamini mbele ya ndugu zako basi mhakikishie mapenzi yako juu yake, ni kiasi gani umeji-commite kwake na ungependa penzi lenu liende wapi kama ni uchumba alafu ndoa.....kama hivyo ndivyo basi ungependa yeye na ndugu zako kuheshimiana (sio kupendana).
Siku nyingine maneno maneno yakitokea usiende kuuliza upande wapili kabla hujapata ushahidi, "handle" kiutu uzima kwa kufanya uchunguzi, pata ushahidi kisha zungumza nao kwa nyakati tofauti na kuwapa onyo.
Hakuna sababu ya kumuacha Mpenzi wako kwani inaonyesha kuwa anakupenda, ila hajiamini. Kama na wewe unampenda na unamtaka basi mtafute, muelezane, msameheane, muonyeshane mapenzi na mrudiane.
Kila la kheri.
Thursday, 27 November 2008
Mimi ni msicha mwenye umri wa miaka 26, mwanafunzi wa moja kati ya vyuo hapa Tanzania. Shosti nahitaji sana ushauri maana maji yamenifika shingoni. Nilikuwa na Boyfriend kwa muda mrefu lakini kwa bahati mbaya mimi nikapata shule mbali kidogo na mkoa ninaoishi.
Boyfriend wangu alifurahi lakini nahisi haikua furaha ya kweli kwani baada ya kuondoka na kukaa miezi sita hapo shuleni tabia yake ilibadilika nikimpigia simu anashindwa kuongea nikimwambia nimemiss ananijibu kana kwamba kuna mtu anamuogopa.
Baada ya mwezi mmoja baadae alinitumia message na kuniambia ana msichana mwingine kwasababu hajaweza kuvumilia, I was so frustrared baada ya kusikia hivyo kwani nilikua nampenda lakini baadae nilifikiria nakugundua hakuna umuhimu wa kuendelea nae nikamjibu kama ameamua hivyo ni sawa.
Tatizo linakuja huyo boyfriend wangu alieniacha ana rafiki yake ambaye nasoma nae chuo na anajua uhusiano tuliokua nao, ila baada ya kujua kuwa rafiki yake siko nae tena ameanza kunitaka na mimi nampenda sana na napenda awe boyfriend wangu kwani nae hana msichana kwa sasa je Dinah NIMKUBALI huyu mwanaume because I real need a boyfriend au itakua vibaya kwasabau ni rafiki wa my X boyfriend?"
Jawabu:Wanawake wa magharibi wanaamini kuwa sio vema kutoka na mwanaume kutoka kwenye mzunguuko wa rafiki zake na ni mwiko kabisa kutoka na Ex mpenzi wa rafiki yako wa kike, lakini ndio wanaongoza sio kutembea nao bali ni kuwaiba kabisa!. Sasa kuna faida gani kujiwekea miiko wakati wanashindwa kuitekeleza?
Huyu bwana hana undugu na Rafiki yake, hivyo kama mnapendana kweli na mnania moja ya kuwa kwenye uhusiano go for it!
Lakini kama huna uhakika na hisia zako za kimapenzi lakini kwa vile unahitaji kuwa nae (kama ulivyosema) "I really need a boyfriend" basi ningekushauri usimkubali kwa sasa na badala yake usubiri kwanza mpaka utakapo kuwa "in love" ili uhusiano uwe extra special n avilevile usije ukaumizwa hisia tena.
Take it slow ili kujenga hisia halisi na za kweli za kimapenzi na kumbuka tu kuwa " You can never need a boyfriend, (they come and go)....you need Education (you will have it for the rest of your life).....we only want them.
Nakutakia kila lililojema.
Wednesday, 26 November 2008
Mi msichana mwenye umri wa miaka 29, sasa nimekuwa na uhusiano na mwanaume wa mtu takriban miaka mitano sasa na kipindi chote tulichowahi kukaa ananijali sana na kunitimizia mahitaji yote ninayohitaji ikiwa ni pamoja na mapenzi ya dhati mpaka ikafika kipindi mkewe akajua lakini baadae mwenyewe akasalimu amri na kutuacha tuendelee na penzi letu.
Sasa dada yangu kinachoniumiza kichwa familia yangu haitaki kumsikia kabisa huyu kaka na tumeshapanga mipango mingi ya kimaisha so niko kwenye "dilema" najiuliza nianzie wapi kwani nilishawahi kumgusia hiyo ishu tukagombana sana na akaishia kusema atakuwa mgeni wa nani kwa sababu mkewe ashamtenga hawajagongonoka miaka yote 5 wala kulala kitanda kimoja toka alipogungua mumewe ana uhusiano nje.
Na mimi pia kwa sasa naona ni mda wangu wa kumpata mume awe wangu peke yangu naomba ushauri wako dada nifanyeje na wadau wa blog hii nisaidieni kwasababu toka nimekuwa na huyu jamaa hajawahi kujitokeza mtu hata kusema nakupenda ya unafiki.
Kazi njema dada Dinah tunashukuru sana kutuelimisha kupita hii blog yako Mungu akubariki."
Jawabu: Aisee nimeshituka lakini nimefurahishwa na uwazi wako, ndio nia na madhumuni ya D'hicious watu kuwa wazi kwani sote tunajua haya mambo yapo na ya natokea, hapa tunasaidiana na kujifunza namna ya kukabiliana nayo kama sio kuyazuia yasitokee kabisa. Safi sana dada.
Unajua kuna mambo mengine unatakiwa kujigeuzia kibao kwanza upate picha ya itakavyokuwa kabla hujaamua kutenda......ingekuwa wewe ndio mkewe na akaamua kutoka na mwanamke mwingine ungefanya nini? ungejisikiaje?
Alafu mwenyewe hapo mwisho umesema kuwa unadhani kuwa sasa ni muda wako wa kuwa na mume wako peke yako, kutokana na maelezo yako ni wazi kuwa unaamini kuwa kila mke anapaswa kuwa na mume wake peke yake.
Lakini umesahau kuwa huyo mpenzi wako sio wako peke yako na hata akikuoa hatokuwa wako peke yako, hajawahi kuwa wako peke yako na basi hivyo hatokuwa wako peke yako.
Kutembea na Mume wa mtu ni kosa, hata siku moja usijaribu kulala na mume wa mwenzio ukijua kuwa ana mke wake nyumbani. Kumuiba mume wa mtu sio tu kwamba ulimuumiza mwanamke mwenzio na watoto ambao wamezaliwa ndani ndoa yake bali unachangia kwa kiasi kikubwa kufanya watu wasiheshimu ndoa tena.
Familia yako haitaki kumsikia kabisa Mpenzi wako kwa vile wanajua kuwa ni mume wa mtu mwingine, wanakupenda na wasingependa na wewe kwenda kupata matatizo ambayo mke wa huyo jamaa anayapata kwa sababu yako. Yaani wanahofia kuwa Jamaa akikuoa atakuacha na kwenda kutafuta mwanamke mwingine kama alivyokuja kwako.
Huyu bwana ni mnafiki na muongo, kama mkewe kamtenga kwa miaka yote Mitano jiulize kwa nini basi hakumpa Talaka? Hiyo pekee inakuambia kuwa jamaa anampenda mke wake na hayuko tayari kumuacha kwa ajili yako. Hilo moja.
Kitu kingine cha wewe kuzingatia ili kugundua kuwa huyu bwana hana mpango na wewe kama mkewe ni kuwa, kwa kawaida mwanaume aliyetulia kiakili, kimaisha (sio mwanafunzi) hawezi kukaa na wewe kwa muda wa miaka mitano bila kutangaza ndoa.....mwisho ni mwaka mmoja tu....anataliki na kukuoa wewe(kama anamke) na ikiwa hakuwahi kuoa basi inakuwa kama vile kutereza mahali pakavu....pili.
Tatu, inakuwaje awe ametengwa na wanalale vitanda tofauti lakini kila siku anakwenda kulala kwa mkewe? Oh well, anaweza kuzuga tu ili jamii isigundue uchafu wake au wasihisi kuwa yeye na mkwewe wanauhusiano wa ajabu (huenda wameelewana hivyo kwa vile mkewe hawezi kumpa ngono ya kutosha mumewe).
Kama nilivyogusia hapo juu, kuna uwezekano mkubwa kabisa wameelewana kuwa Mume akutumie wewe tu(asibadili wanawake kila leo) kwa ngono kwa vile yeye mkewe hawezi kumpa ngono mumewe kama ambavyo anahitaji.
Sasa ili kukufanya usimuache na kuwa na mwanaume mwingine (kutokana na maelewano na mkewe) hali inayoweza kuwaweka kwenye hatari ya kuambukizwa VVU......anajitahidi kukupa huduma zote unazohitaji.......usijiamini nakusema alisalim amri kumbe wawili hao wanajua walifanyalo.
Usikute wanapendana sana na wanafanya mapenzi kila wanapohitajiana lakini kwa vile anajua wazi kabisa akikuambia wewe hivyo hutofurahi hivyo ni heri kukuambia kile unachotaka kusikia.....(wanaume wengi husema kile wanawake wanapenda kusikia ili kuepuka mizozo au kuachwa).
Hakuna wakati wa kuwa na mume wala muda wa kuolewa unless unataka kufunda ndoa kwa sababu nyingine na sio mapenzi. Umri wako ni mdogo sana kuhofia muda wa kuolewa (hiyo kuolewa b4 hujafikisha miaka 30 waachieni wenye kuamini kuolewa ni bahati).
Lakini wewe Olewa unapokuwa na mpenzi mmoja (sio mpenzi wa mtu) mnapendana kwa dhati,wote mnania moja ya kuishi maisha yenu yote pamoja na mko tayari kwa wakati huo. Vinginevyo furahia maisha yako kama yanavyokuja.
Nini cha kufanya-Maliza uhusiano na mume huyo wa mwenzio, kufanya hivyo sio mwisho wa maisha yako bali ni mwanzo mpya wa maisha yako. Bado kijana na ninauhakika kabisa utapata mpenzi mpya ambae atakuwa mume wako peke yako.
Tangu umekuwa na uhusiano na mume wa mtu umedai kuwa hakutokea hata mwanaume mmoja aliyekutamkia kuwa anakupenda hata kwa kinafiki, ni kwa vile walikuwa wanakuiba hivyo hakukuwa na sababu ya wao kuji-commite kwako wakati wanajua kwamwe huwezi kuwa wao peke yako........wanaume hawapendi kuchangia, wanapenda kumiliki mwanamke wake peke yake.
Hivyo ukiachana na huyo Mume wa watu, utaona watakavyo miminika. Jitahidi tu kubadilisha mtindo wa maisha yako (soma makala hapo chini).
Kila la kheri.
Tuesday, 25 November 2008
Mie naomba nitafute ushauri kupitia kwa watuma comments nisikie watu na we Dinah unaishaurije hii Kesi?
Nina miaka 38, sina Mume kwa sasa(nimeachika). Kuna mwanamme amenichanganya sana.Tulipokuwawadogo tuliwahi kusoma pamoja na ilitokea tukapendana sana, lakini sikutaka kuwa na mahusiano ya ngono na shukuru hilo lilifanikwa kwani hatuwahi kutombana.
Mwenzangu huyo alibahatika kwenda Masomoni na mimi huku nikaolewa kwani kwa kipindi hicho kwa mila zetu huku hatukuwa tukichaguwa waume bali wazazi ndio waliokuwa wakipanga. Niliishi na Mume wangu vizuri na nilibahatika kupata kazi ya kuajiriwa. Kwa kuwa nilikua mtu wake wa karibu(huyo mwanaume)aliheshimu ndoa yangu.
Kwa bahati mbaya baada ya kurudi kutoka masomoni hakupata Kibarua kwa ulaini hivyo maisha yalimuwia magumu. Mie nikaamua kumsaidia kwakumpatia pesa mpaka pale alipopata kazi.
Akaamua kutafuta mke kitu ambacho aliniarifu na nikampongeza kwa hilo. Akabahatika kwenda masomoni tena kwa muda usiopungua miaka mitano. Akiwa masomoni huku nyuma ndoa yangu ikapata mtihani na kuharibika hivyo nikaachika. Huyu jamaa aliposikia nimeachika , akaanza kurejesha zile za nyuma (uhusiano wa kimapenzi) ingawa bado yuko masomoni.
Kwa kua tulipendana miaka hio na Dini ya kiisilamu inaruhusu kuoa zaidi ya mke mmoja haikua shida kwangu kumrudisha moyoni kwangu. Sikumpa jibu la moja kwa moja ,lakini, nikajikuta nimerudisha penzi na nimempenda sana, mawasiliano yalikuwa mzuri na hazikupita siku mbili bila Simu, Email, Chat za maneno matamu, I love you N.K ndio usiseme Dada Dinah.
Kwa hivyo nimeingia kikweli kweli na nilikua nasubiri arudi tu nimpe jibu la ndio. Kilichotokea dinah mpenzi, juzi nilikua naongea na rafiki yake wa karibu, natulikuwa tukiongea mambo ya kawaida tu. Yule rafiki yake ndio kuniambia kuwa jamaa (yule mwanaume nimpendae yuko masomoni) ana wake wawili tayari na kila mwanamke anamtoto mmoja.
Nikauliza kaoa lini? Nikaambiwa alienda conference nchi jirani ndio akakutana na huyo mke wa pili na kuoa. Kumpenda nampenda lakini ninamasuala mengi kichwani kuhusu huyu mtu kiasi cha kunichangaya na naomba wanablog wenzangu mnishauri nawe da Dinah.
Kwa nini mwazo wa mazungumzo yetu hakuniambia ana wake wawili? Kama ana moyo wa kuoa wake watau anatamaa huyu, ataongeza na 4 na 5 na hatimae atatupa ukimwi wote.
Nilimuomba dada yangu amuulize jamaa kijanja kama kweli ana wake wawili lakini hakumpa jibu na tokea siku hiyo kakata mawasiliano nami, hapigi simu, wala hachat tena. Mimi nimeamua nisiwasiliane nae, nijitahidi ili niweze kumtoa mawazoni mwangu.
Kwa kweli kipindi hiki nina hali ngumu kimawazo, naomba ushauri kwa yeyote, pale ambapo nimefanya sivyo pia mnikosowe ili nisirudie tena kosa.
Nashukuru sana"
Jawabu: Pole sana rafiki kwa kuumizwa hisia zako, hivi kuna nini kati ya uwazi na wanaume? Hali hii inatisha sana jamani. Wachangiaji wangu wengi hawakuelewa unataka ushauri juu ya nini? Kutokana na majibu yao nimegundua kuwa hawakukuelewa nilivyokuelewa mimi. Sasa nitaweka sawa hapa kidogo ili tuwe kwenye mstari alafu nitakupa ushauri wangu.
Huyu mdada sio kwamba anataka ushauri wa nini cha kufanya baada ya kugundua mpenzi wake alieyempenda kuwa ana mke zaidi ya moja tayari(Hawasiliani nae na anajitahidi kumuondoa moyoni mwake ili amsahau).
Yeye anaomba ushauri kwa kile alichokikosea (wapi kakosea), kama basi alikosea mkosoe na umwambie nini cha kufanya ili asirudie kosa (kama kuna mahali amekosea)......nadhani tuko kwenye mstari mmoja sasa.
Dada yangu mpendwa, kutokana na maelezo yako nimegundua kitu kimoja ambacho kwa mpenzi wako hakikuwa mapenzi bali huruma na "guilt" kutokana na msaada mkubwa uliompatia alipokuwa hana kazi.
Wapi ulikosea-Baada ya ndoa yako kuharibika yeye kama rafiki yako wa karibu alihisi kuwa anajukumu kubwa kukusaidia kwa namna yeyote ile kama ambavyo wewe ulifanya hapo awali.
Baada ya kuachana na mumeo ni wazi kuwa ulifanya uamuzi wa haraka kujiingiza kwenye ushusiano mpya (ni kosa kubwa hilo) kwa vile unapotoka kwenye uhusiano "serious" na wa muda mrefu mara zote unakuwa "Emotionaly vanurable" hivyo mtu akijitokeza na kuonyesha kukutaka/tamani au kukupa "attention" unaanza kujisikia poa na kuanza kujiamini tena kama mwanamke hali inayoweza kusababisha kuanzisha uhusiano na anae kutaka/kupa-attention na kuamini kuwa anakupenda, lakini katika hali halisi sio hivyo.
Sasa kutokana na historia yenu kama wapenzi mlipokuwa wadogo na kubaki marafiki wazuri kwa muda mrefu, ilikuwa rahisi kwako wewe kushawishika na kuamini kuwa kweli unapendwa......ulipaswa kujiuliza hili swali, "nimetoka kwenye ndoa na nilikuwa peke yangu (bila mke mwenza), je ilikuwa sahihi kuingia kwenye ndoa nyingine na kuwa mke wa pili? Kilichosababisha ndoa yangu kufa je hakitokea tena ikiwa nitafunga ndoa tena? Ni muda gani nahitaji kuwa tayari kuingia kwenye uhusiano mpya"?.......bikakabla hujauachia moyo na hisia zako juu ya huyu bwana.
Unapotoka kwenye ndoa au siku zote haishauriwi kuingilia ndoa ya mtu mwingine hata kama unampenda huyo mume au Imani ya Dini yako inaruhusu, hakikisha unajiingiza kwenye uhusiano wa kimapenzi ambao auhusishi mwanamke mwingine.
Kuna vijana wengi tu ambao hawana wapenzi, kuna wanaume wengi ambao wameachwa au kufiwa na wake zao na huwa wanatafuta kupenda tena na kufunga ndoa kwa mara ya pili. Hata kama walizaa na wake zao bado utakuwa hujaingilia uhusiano wa mwanamke mwenzio kwa vile mwanamke huyo hayupo kwenye maisha ya mwanaume husika.
Sio vema kumhukumu kuwa huyu jamaa ni Malaya kwani hatuna uhakika kama analala ovyo na wanawake tofauti kila kukicha na badala yake akipenda anafuata sheria ya Dini yake na kuoa. Ila kwako wewe dada yetu hakuwa na nia hiyo, alikuwa anajaribu kukuliwaza ki-emotionaly kupitia mawasiliano yenu ya Simu, Chat na Emails mara kwa mara na kama nilivyosema alikuwa akihisi "guilt" kutokana na msaada uliompa.
Hakutaka kuliweka wazi kwako kuwa tayari anawake wawili kwa vile hakutaka kukuumiza zaidi hisia zako za kimapenzi juu yake ambazo alikuwa na uhakika kuwa zimejengeka, kutokana na unavyozungumza nae mara kwa mara. Hilo ndio limemfanya aamue kuuchuna kwa vile hana mpango na wewe kama mke wake wa tatu au hata Kimada.
Nini cha kufanya-Chukulia yote yaliyotokea ni ya kawaida na ni mwanzo mzuri wa maisha yako mapya kama mwanamke. Ulikuwa binti wa Baba yako, ukawa mke wa mume wako huu ni wakati wa kuwa wewe kama wewe hivyo basi badili yote uliyokuwa ukiyafanya ulipokuwa mke wa.....na sasa ibua mikakati mipya ya maisha yako.
Kama unaweza basi, hama mahali ulipokuwa ukiishi au badilisha mpangilio wa vitu ndani ya nyumba yako, badili mtindo wa maisha yako kwa kuanza kufanya mazoezi.....hii itakusaidia sana kuondokana na mawazo na wakati huohuo kukufanya uwe "fit".
Badilisha mtindo wa mavazi yako uliyokuwa ukiyavaa ulipokuwa mke wa.....na sasa vaa kama mwanamke yeyote ambae ni kijana, "single", anajua anataka nini maishani na anaejiamini (kama unataka msaada kwenye hili nitafute).
Ibua "hobbie", anza kujichanganya na rafiki zako, ndugu na jamaa kila mwisho wa wiki. Epuka marafiki au ndugu ambao watakuwa na waume/wapenzi wao, hakikisha unasisitiza kuwa unataka mfurahie mwisho wa wiki mkiwa wanawake tu.
Kwa kufanya hayo machache niliyokueleza yatakusaidia sana kuvuka siku hadi siku na hatimae utajikuta mwaka umepita, huna mawazo tena na Ex mume wako wala rafiki, hutojilaumu tena kwa kosa ulilofanya na kubwa kabisa ni kuwa tayari kwa uhusiano mpya.
Kila la kheri.
Monday, 24 November 2008
Issue iko hivi, yeye na bf wake walikuwa wanapendana sana, sasa huyo kaka (bf wake) ni mfanya biashara akasafiri kwenda Dodoma kwa shughuli zake za biashara cha kushangaza best friend wa dada yangu naye akaenda Dodoma kikazi hiyo si issue lakini.
Siku moja dada yangu katika kupekua simu (ya bf wake) akiwa bafuni akakutana na msg hii "mpenzi joto ulilonipa Dom sitasahau, mtoto unajua mambo wewe. Ukija Dar nitafute haraka kabla hujaonana na rafiki yako(akataja jina na dada yangu hapo) nakupenda".
Sasa dada yangu amekasirika anataka kupasuka hajamwambia bado best wake wala bf wake kuwa kaona hiyo msg ila alichofanya aliji-text-ia hivyo ipo kwenye simu yake kwa ushahidi. Jamani mpeni msaada wa mawazo maana walikuwa kwenye mipango ya kufunga ndoa Dec hii 2008."
Jawabu: Mpe pole sana dada'ko kwa tukio hili la kuumiza hisia. Wakati mwingine kuwekeana mipaka kwenye mahusiano yetu hasa yale tulioji-commit ni muhimu sana kwani kwa kufanya hivyo kunasaidia kujua ni nani na nani wako kwenye mawasiliana na mwezio hasa kama unashindwa kumuamini kutokana na sababu mbali mbali ikiwa ni pamoja na "past" yako.
Dada'ko inaonyesha wazi kabisa alikuwa hamuamini mchumba wake na ndio maana akapekua simu na kuona alichokiona ambacho kwa bahati mbaya hakikuwa kizuri, au kilikuwa kama alivyotarajia lakini sio kumhusisha rafiki yake walioshibana(best).
Kutokana na maelezo hayo inaonyesha wazi kabisa kuwa hawa watu wawili (mpenzi na rafiki wa dada'ko) walikuwa wakionana mara kwa mara mara kabla ujumbe haujaonwa kwenye simu. Huenda siku zote alikuwa akizifuta haraka lakini siku hiyo hakufanya hivyo (Mungu anamakusudi yake) ili wewe ujue ukweli kwani alikuwa amefumbwa macho na mapenzi juu ya Jamaa kwa vile katangaza ndoa. Natambua kwa baadhi ya wanawake ndoa ndio kipimo cha mapenzi kitu ambacho sio kweli kwani watu wanafunga ndoa kwa sababu mbalimbali.
Vilevile inawezekana kabisa huyu bwana alifanya hivyo makusudi ili kuua uhusiano na mchumba wake ambae ndio dada'ko.
Kitu cha kwanza na muhimu kabisa baada ya yeye kutulia kiakili, yaani kuondoakana na mshituko wa kilichotokea ni kwenda kuangalia Damu ili ajue kama ana VVU au hana. Vyovyote itakavyo kuwa kuhusu majibu achukulie kuwa ni mwanzo mzuri wa maisha yake mapya.
Hakuna haja ya yeye kuwauliza hawa watu wawili ambao aliwaamini sana kwani ukweli anao, na badala yake awaadhibu kwa kujitoa kwenye uhusiano na mchumba wake (asing'ang'anie kwa vile tu walikuwa wakienda kufunga ndoa mwezi ujao) na bila kusahau auwe urafiki na huyo "best". Atakapokuwa aking'atuka kwenye uhusiano huo uliochafuliwa atumie sababu kuwa anadhani kuwa hayuko tayari kufunga ndoa na yeye (huyo mwanaume) kwa sasa.
Risiki yako?-Kama huyu bwana alikuwa akimpenda kweli na kwa dhati atamtafuta na kutaka kujua kitu gani hasa kimemfanya achukue uamuzi huo, na hapo ndio utakuwa wakati mzuri kwa dada yako kumuonyesha ushahidi wake aliotunza simuni mwake.
Kwa kawaida kitakachofuata ni maelezo ya wazi kutoka kwa mkosaji, kwanini ameruhusu kitu kama kile kutokea, yeye kama mwanamke amekosea wapi au kitu gani hana mpaka mpenzi aende nje yauhusiano wao (hii itamsaidia kujirekebisha ikiwa alijisahau), nini kifanyike(kama kipo) kwa kusaidiana ili asije kutereza tena na kadhalika.
Baada ya hapo huenda kukawa na msamaha na kama dada'ko ataamua kumsamehe na kujaribu tena uhusiano wao basi ahakikishe Njemba imeangaliwa afya yake na kama majibu yanafanana na yake itakuwa "bonus".
Lakini kabla anapaswa amuwekee au wawekeane mipaka kabla hajakubali kurudiana na kuendelea na uhusiano wao, Mipaka yenyewe inategemeana na watu husika.....Mf; kila mmoja wao kuwa huru kutumia/angalia simu ya mwenzie, kuwajua watu na namba zao wanaofanya mawasiliano nao, kutafuta uwezekano wa kubadili kazi au kuwa pamoja ikiwa safari ya kikazi itachukua muda mrefu n.k
Si Risiki- Ikiwa jamaa ataendelea na maisha yake bila kukutafuta na kujaribu kupigania penzi lake kwako basi utambue kuwa alifanya alichofanya makusudi ili uachane nae, kwani kumbuka si wanaume wote ambao wanaweza kukuambia moja kwa moja kuwa "sina mpango na wewe" au "sikutaki" na badala yake wanafanya jambo ambalo wanajua kabisa utagundua na kuondoka mwenywe bila kufukuzwa.
Nakutakia kila lilolo jema.
Baada ya Ndoa yenye kila aina ya mbwembwe, bwana ba bibi harusi waliondoka kwenda Zanzibar kwa ajili ya honey moon(fungate), tukabakia tukihadithiana hili na lile kuhusiana na harusi hiyo na wanaharusi.
Miezi mitatu sasa imepita, sikuwahi kuonana na bwana harusi huyu hadi jana aliponitembelea ofisini kwangu. Na kweli ndoa ina raha zake. Jamaa ambaye alikwuwa makeke na mwingi wa kuchangamkia mabibi, leo alikuwa kama mwanakondoo wa vitabuni. Lakini alionekana hana raha.
Kulikoni!`Vipi mwanakwetu, ndio mambo ya kuleana nini, hutaki hata kuja kutusabahi,nahisi mama watoto amekukumbatia kisawasawa’ tulimtania,tukitarajia ilemi michapo yake ya malovee ianze. Lakini haikuwa hivyo.
`Ndugu zanguni, mimi na nyie ni kitu kimoja,na walionishauri kuoa ni nyie, nawashukuni sana kwa hilo. Ila kuna kitu naombeni ushauri wenu….’
Hapa alisita kidogo akifikiria. Nahisi alichotaka kusema kilikuwa na usiri fulani,lakini alikuwa hana jinsi.`Unajua mimi ni huenda ni wale watu wachache wenye `hisia’ kali. Nilishawaeleza hili tatizo mkanishauri nioe, kwani huenda nikioa, nitaipunguza hii hali.
Lakini sivyo ilivyotokea. Imekuwa kama moto uliomwagiwa mafuta ya taa.Kabla sijaoa, sikuweza kumaliza siku bila kuwapitia wasichana zaidi ya watatu. Na bado nilijisikia kufanya na kufanya. Sio kwamba napenda, lakini hamu hainiishii.
Nashukuru kuwa sikuwahi kufanya tendo hilo bila kondomu, na siku nilipoambiwa sina ukimwi niliruka kwa mbwembwe zote. Simnajua jinsi nilivyokuwa nikiwabadilisha. Sijisifii, lakini sikuweza kustahimili.
Sasa wajamaa, nimenaswa kwenye mtego wa sintofahamu(akaionyesha pete yake juu). Mke wangu ni wale wanawake walio na hisia ndogo. Nafikiri mtafikiria nimeshindwa kuzipandisha hisia zake.
Mimi ninayajua mapenzi na ni mtaalamu wa kumweka sawa mwanamke lakini kwa tatizo nililonalo, na mke wangu haviendani kabisa. Miezi mitatu imekuwa ya shida kwangu, ili nitosheke nahitaji kutwa mara tatu kwa kujinyima.
Mke wangu anahitaji once per week, au labda mara moja kwa siku mbili kwa kumtesa. Sasa mnaona hiyo tofauti. Nimejaribu kila njia ninayoijua kumweka sawa, lakini nimegundua kuwa nina-mtesa badala ya kumsaidia.
Nawalaani sana hawa jamaa waliomuondolea sehemu nyeti kama ile. Simna waelewa hawa jamaa wa reli ya kati. Wabaya sana, tena sana. Lakini tatizo siomke wangu. Tatizo ni mimi.
Tatizo ni mimi kwasababu nina nyege zakufa mtu, simnajua over-hisia, basi mimi hisia zangu zimevuka mpaka.Baada ya kurusi honey moon, nimejaribu kujiheshimu, lakini tatizo pale ofisioni kwetu, mabinti wanavyovaa, nikiwaangalia tu, hali inakuwa sio shwari. Jamani nateseka, nisaidieani.
Najua wengine mtazani mimi ni mhuni, au ninaudhaifu wa kupenda uchi. Hapana, ila ni kitu nahisi nimezaliwa nacho. Sijui kama nitavumulia, mara moja kwa siku. Sijui na siwezi hiyo ndio hali halisi, labda kama kuna dawa ya kupunguza hii hisia mnisaidie. Nateseka sana.Hiyo ndio hali iliyomkuta rafiki yetu.
Tulipomshauri aoe, tulizani tabia yake yakupenda `down’ingeisha, lakini kumbe ndio tumechongea. Yeye ni mwanamichezo mzuri-mchezaji mpira wa hali ya juu, yeye kazi yake ni moja ya kazi ngumu, lakini anakuambia vyote hivyo akivifanya vinamuongezea hisia zaidi hutaamini.Je hii hali ni ugonjwa?Je watu kama hawa watasaidiwaje?
Na baya zaidi imani yake haimruhusu kuoa wake zaidi ya mmoja. Hapendi kuisaliti ndoa yake. Mimi hapo nilichemsha,kila nilichofikiria cha kumshauri kilionekana hakifai kwake. Tumsaidieje?miyeemu-three"
Jawabu: Shukurani M3, huyu bwana sio chini ya miaka 33? Huenda sio kwamba anauwezo mkubwa wa kungonoka, huyu bwana yuko "addicted" na ngono ya kuingiza uume (penetration) kuna tofauti kubwa sana hapa.
Mtu mwenyewe uwezo mkubwa wa kungonoka anaridhika na anaweza kabisa kujizuia na akishindwa basi hutafuta njia m-badala (ngono ya mdomo au kupigishwa nyeto na mkewe) ambazo zitasaidia yeye kukabiliana na hali hiyo bila kumsaliti mwenza wake.
"Addicted" huyu haridhiki na siku moja kupita bila kufanya ngono inakuwa ni adhabu, mtu mwenye tatizo hili hajali anapata ngono kwa nani as long as anamahali pa kuingizia uume basi kitu na box. Kama alivyosema mwenyewe kuwa bila kufanya na wanawake 3 kwa siku hakieleweki, which means kama siku hakutakuwa na wanawake (wamkatae wote) basi anaweza kubaka.
Ni kweli kabisa wapo watu (wake kwa waume) wenye uwezo mkubwa wa kungonoka, watu hawa bila angalau mara tano kwa siku basi wanahisi hawajafanya kwa wiki moja. Lakini hujaribu kujizuia ikiwa wenza wao hawana uwezo kama wao. Baadhi huwa wazi kwa wapenzi wao na hivyo wapenzi huwasaidia kwa kuwafanyia mambo mengine kama vile kazi ya mikono(nyeto) na mdomo.
Nadhani ninyi marafiki zake pia mlikosea kumshauri jamaa afunge ndoa ili aache tabia yake ya kungonoka kila wakati na mtu yeyote(bilakujua kuwa hiyo ni "addiction"), Kisaikolojia huyu bwana alichukulia kuwa akioa atakuwa akipata tendo kila wakati vile atakavyo kwa kuwa huyo mtu ni mke wake (anamiliki) kitu ambacho sio sahihi.
Katika hali halisi jamaa amefunga ndoa kwa ajili ya kupata ngono na sasa haipati kama alivyotarajia anakuwa na huzuni na kukosa raha hali inayoweza kupelekea mfumuko wa tatizo lingine....bora mngemshauri akajisajili kuwa mteja wa kudumu kwa wale wafanya biashara wa ngono.
Huyu Bwana ndoa amedai kuwa yeye anajua kuwaandaa wanawake vilivyo, ni wazi kuwa hajui kama wanawake tunatofautiana sana linapokuja suala la kuandaliwa au kuamshiwa hisia. Inawezekana kabisa utundu na mbinu zake zilifanya kazi kwa wale waliopita lakini sio huyu au wale walipoita walikuwa wakiigiza tu kuwa hisia zimewapanda ili usije wanyima senti.
Kabla hajamhukumu mkewe nakukata tamaa kuwa uwezo wake wa kungonoka ni mdogo anapswa kuzingatia na kuwa na uhakika na mambo muhimu yafuatayo:-
1-Usafi wake, huenda mdomo unanuka, nyeti zina shombo mbaya (ndio wanaume wanashombo wasipojiswafi vema )au anajasho kali sana la mwili. Hivi vitu vinamaliza kabisa hamu ya kufanya ngono huenda usiwezeka kabisa kupata hata nyege.
2-Kuusoma mwili wa mkewe na kuujua vema kwa kuwa wazi na kudadisi bila kusahau kuwa mtundu ili kujua vipele vya kumuamshia hisia viko wapi na ukivichezea vipi ana ashiria kuwa anafurahia (hakuna kanuni kuwa wanawake wote wanafurahia yaleyale).
3-Boresha ufanyaji wake wa mambo, mfano kutenga muda mrefu wa kufanya "romance", hakikisha unabadili kila mnapofanya hivyo,sio kila siku unafuata kanuni unaanza kubusu paji la uso, kisha pua, midomo, shingo, matiti n.k, unaweza kuanza moja kwa moja na denda au unaanza moja kwa moja chumvini vilevile unaweza ukaanza na katelelo(kama hana kisimi unaweza kucheza na mwanzo wa uke) alafu denda ikafuata n.k.
4-Mmfunze mpenzi wako namna ya kufurahia tena la ndoa/ngono. Ngono inaweza ikawa fun kama vile kucheza "Game", ngono inaweza ikawa sehemu ya mazoezi, ngono inaweza kuwa ni sehemu ya interest/hobbie yenu kama wapenzi vilevile ukiachilia mbali kuwafanya kuwa karibu zaidi na kujenga mizizi madhubuti ya uhusiano wenu.
5-Zingatia "timing", kwa baadhi ya wanawake wakimaliza (fika kileleni) kuendelea inakuwa mbinde, sasa basi hakikisha wewe mwenye uwezo mkubwa wa kungonoka unakuwa "active" hata kama umefika mara 3 tayari kwa mdomo ili uweze kumalizia na yeye.
Baada ya kugundua kua mkewe kweli hawezi basi ahakikishe kuwa mkewe huyo najua ukweli, iweni "sex addiction" au ni "high sex drive" ili aweze kupata ushirikiano na vilevile matibabu (kama ni "sex addiction") .
Kwa kumalizia tu napenda Bwana ndoa wetu atamue kuwa, Tunapoamua kufunga ndoa na mtu tunapaswa kuwa na mapenzi nae na yeye kuwa na mapenzi juu yatu, kwenye ndoa kuna mambo mengi ya kufanya na kufurahia zaidi ya ngono.
Vilevile unapompenda mtu unatakiwa kumaanisha kuwa kweli unampenda kwa kuwa tayari na uhakika wa kujitolea mhanga na kuishi na hitilafu/mapungufu yake.
Kila la kheri ktk kudumisha ndoa yako!
Thursday, 20 November 2008
Rafiki yangu aliolewa ndoa kabisa ya Kiislam, alijitoa na alimpenda sana Mumewe, ndie mwaname wake wa kwanza na hajaonja mboo nyingine. Alikua ni "hardworking" katika familia yao. Kwa maana hiyo, alifight na kufanya kazi za ziada hadi wakafanikiwa kujenga nyumba katika maeneo ya ma-Excetive kule Unguja.
Walinunua shamba na kwa kuwa anapenda kujishuhulisha sana aliweka-effort nyingi kuliendeleza sahmba hadi likawa la manufaa na mazao wakaanza kuvuna. Walifanikiwa kujenga kijijini kwa mumewe ili wakienda likizo akae kwenye nyumba yenye hadhi.
Na wamejaaliwa kupata watoto wawili, kilichotokea jirani yao (binti) alikua anafanya "tuition" za masomo humo nyumbani mwao. Mumewe siku ya siku ndio akawa ameoa, kwa kua sheria ya kiisilamu yaruhusu, hakupinga sana lakini baada ya ndoa kadiri siku zikenda mwanaume kazidi jeri na siku ya siku alimpa talaka na kumfukuza usiku wa siku hiyo.
Rafiki yangu yule aligoma kuondoka na ilivyofika asubuhi ndio akaanza kukusanya vitu vyake na kurudi kwao. Aliathirika sana Kisaikologia alikua analia sana kila wakati na alikua anamwona huyoX wake kama shetani.
Kwa kua ni mchapa kazi Mungu si Athumani, katika kipindi cha mwaka mmoja Mungu alimuwezesha kujenga nyumba, nzuri kuliko hile alio acha kwa X, akanunua shamba, na akajiandikisha shule na mwaka huu,Ame-graduate degree ya kwanza.
Kilichotokea sasa, yule X anataka warudiane kwa sasa, yeye bado ana hasira nae na hataki hata kumsikiliza. Watoto amewachukua mwanaume na hawaruhusu hata kuja kumsalimia mama yao, kwa kisingizio kua hataki kurudiana nae.
Ametuma ujumbe kwa wengi lakini Rafiki yangu inaonekana anahasira sana. Nahisi bado anampenda lakini yale machungu bado anayo.Ninaomba ushauri hapo, je ni sahihi kurudiana na huyu mwanaume aliyemtenda hivyo?
Au yul e mwanamme ameona hanamaendeleo katika kipindi alichomuacha ndio anataka kumchanganya tena?
Kidokezo: Yeye mwanamme toka afunge ndoa na yule binti "tuiton" na kumuacha mkewe ambae ndio rafiki yangu hajafanya kitu kinachoonekana kimaendeleo na zile mali walizo chuma hajamgawia hata senti tano.
Natanguliza shukurani da Dinah"
Jawabu: Sijambo, namshukuru Mungu.
Kabla sijaenda kwenye suala lenyewe napenda nidokeze kiasi kutokana na nilivyoelewa maelezo yako. Umesema rafiki yako "alijitoa" na kumpenda mumewe ambae alikuwa ndio mwanaume wake wa kwanza. Hapo ni wazi kuwa hakumpenda tangu awali bali alifanya kazi ya ziada ili kumpenda (ilimbidi kwani ndio mumewe na wanaishi pamoja), hili linawatokea wanawake wengi sana hasa maeneo ya pwani.
Inawezekana kabisa Rafiki yako alitumia "uchapakazi" ili ku-deal na hisia zake ambazo kwa kiasi kikubwa hazikuwa mapenzi juu ya Mumewe na huenda kufanya kwake kazi na kuweka maendeleo ilimsaidia kumkwepa mumewe, si wajua mwanamke bila mapenzi kungonoka inakuwa kama adhabu.
Vilevile Mwanaume anapoamua au kutaka kuoa mke wa pili huwa anatoa sababu kwa mkewe kwanini anataka kufanya hivyo, labda kwa vile Bi Mkubwa analemewa na kazi hivyo anahitaji msaidizi, au hapati tendo la ndoa kwa sababu nyingi tofauti ikiwa ni pamoja na kuugua kwa Bi mkubwa, Bi mkubwa hazai hivyo Bwana anataka mke wa pili amzalie watoto n.k.
Kwa kawaida kama unampenda mwenzio (mume/mke) anapokupa Talaka au hata kuua uhusiano bila sababu ya msingi, mara zote unapaswa kupigania penzi lako, huwezi ukamuacha mpenzi wako umpendae kwa dhati akuache tu bila kosa.
Utafanya juu chini kuhakikisha unasamehewa (hata kama yeye ndio kakosa) na unaikataa Talaka (kwa waislamu unashikishwa, hivyo ni rahisi kutoichukua na kuondoka mwenyewe ili kumpa mume muda) na baada ya hapo unakwenda kuonana na wazazi wako mbao watajaribu kutafuta muafaka.Lakini kwa vile rafiki yako hakupinga kuachwa, inahashiria kuwa hakuwa na mapango wa kuwa nae anyway!
Nini cha kufanya:
Ikiwa anahasira na Ex mume wake hakuna sababu ya kumlazimisha au kumshawishi arudiane nae bali mshauri ajiamini na kuwa tayari kwa ajili ya uhusiano mpya na mwanaume mwingine ambae atavutiwa nae na kumpenda kutoka moyoni bila "kujitoa".
Kwa sasa, mwambie rafiki yako akaonane na Washauri wa masuala ya Sheria ili kumsaidia kuifanya Talaka yao itambulike Kisheria kitu ambacho kitamsaidia kupata haki ya kuwaona au hata kuishi na watoto wake, kupata sehemu ya mali alizochuma na mumewe (alitengeneza akiwa ndani ya ndoa).
Rafiki yako ni mmoja kati ya wanawake wachache ambao wanajitegemea, kwamba haitaji mwanaume ili kuishi kwamba awepo au asiwepo yeye anaendesha maisha kama ifuatavyo kitu ambacho wanaume wengi hivi sasa ndio wanakitaka kutoka kwa mwanamke. Kwa maana ya kuwa na mwanamke ambae anaweza kusimama mwenyewe na kulea na kuendeleza watoto ikiwa yeye(mume) kwa bahati mbaya "anawahi kiwanja" (anakufa).
***Lakini akumbuke tu, pamoja na kuwa anajitegemea asipoteze Haiba yake kama mwanamke, asijenge kiburi kwa vile tu anauwezo wa kufanya kazi mara tatu ya mpenzi wake au kupata kipato mara 4 ya mpenzi wake, awe na heshima, asifanye maamuzi makubwa peke yake, ahakikishe anamshirikisha mwenzie na kumuachia maamuzi makubwa kuyafanya yeye ili kumlindia "Ego" yake kama mwanaume na mwisho kabisa asijisahau linapokuja suala la kufanya mapenzi kwa kisingizo cha "niko busy au nimechoka", wanaume wanapenda kuwa na pesa na maendeleo lakini ngono kwao ni muhimu kama ilivyo pesa.
Natambua kwa baadhi ya wanawake wanachukulia tendo hili kama wajibu, sehemu ya kazi kama mke au haki ya ndoa, hivyo mume asipotaka mwanamke hufurahi na hujisifia kuwa mumewe wala hamsumbui-sumbi......hilo likitokea ujue kuna mawili (1) Uwezo wake mdogo (2)Kuna mtu anakusaidia.........(incase anaamua kuwa na uhusiano tena).
Natumaini haya na yaliyosemwa na wasomaji wangu wapezni yatamsaidia rafiki yako kuendelea na maisha yake kwa amani na furaha.
Kila la kheri.
Wednesday, 19 November 2008
Tuesday, 18 November 2008
Sasa leo mimi nakuja nikitaka unisaidie hilii, mimi na mume wangu hatuishi pamoja kutokana na kazi zetu (tumeajiriwa mikoa miwili tofauti) na inaweza kupita hata miezi mitatu hatujaonana!Tatizo linakuja hivi, siku tukionana na kuanza kungonoka huwa napata maumivi sana akianza kuingiza mboo mpaka kipindi kingine huwa napiga kelele za maumivu!
Hivi hili tatizo linaletwa na nini? na kama kuniandaa huwa ananiandaa vyakutosha mpaka mimi mwenyewe naomba anitombe ila akianza tuu kasheshe! Nikijitahidi kuvumilia ikiingia yote mambo huwa safi ila tatizo jingine linakuja pale akitaka kumwaga pale anapoenda harakaharaka mie huku napata maumivu!
Chondee nisaidie mwenzio, mara nyingi huwa tunatumia Condom maana hatuko tayari kupata mtoto sasa."
Monday, 17 November 2008
Kwa maelezo yake kwangu ni kua, aliwahi kuwa na Mwanaume hapo awali na alimpenda sana, baadae alikuja kuachwa na huyo Mwanaume kwa ajili ya Mwanamke mwingine ambae alikuwa ni rafiki yake.
Kitu ambacho kilimuumiza sana mpaka kufikia kuwachukia wanamme wote kuwa si watu wa kuwaamini au kuwa nao kwenye mahusiano. Japokuwa hivi sasa tuko pamoja nilipata taabu kubwa ya kumshawishi mpaka akakubali.
Vilevile huyu mpenzi wangu alishuhudia uhusiano mbaya kati ya Mama na Baba yake baada ya baba'ke kumuacha mama'ke alipokuwa mdogo akisoma hivyo amelelewa na mama peke yake mpaka sasa anafanya kazi akiwa bado chini ya mama yake.
Mambo kama hayo anayajumuisha katika kuwachukia wanamme kitu ambacho simlaumu kwani kwa namna moja au nyingine naona yuko sawa. Sasa je? Mtu kama huyu ni kitu gani hasa naweza kufanya kwenye uhusiano wetu ili ile hali ya kisilani na hasira kwa wanamme iweze kumtoka au kupungua?
Kwasababu mim ini binaadamu kama wengine kwamba naweza kukosea, na huwa nakosea wakati mwingine nakua na shughuli nyingi na ninahindwa hata kupata nafasi ya kumpigia Simu au kwenda kwao.
Hayo na mengine yamekua ni makosa yanayonijumuisha kule alikotoka wakati mimi siko hivyo. Matarajio yetu ni kuoana as soon as mungu atapenda kwa vile mimi mambo yangu bado hayajawa sawa sana ndiyo maana sijamuweka tayari na wala sijamwambia ni lini tutaoana.
Hatua za mwanzo tulikwisha pima ukimwi na kuwa tuko safi kwa kua mume na mke lakini kuhusu wazazi bado hatujaliweka jambo hili wazi. Hapo ndipo nauliza ni vipi niwe mwanaume bora/mwema kwa mtu kama huyu ili ajue nampenda na kwamba si lazima samaki mmoja akioza lazima waoze wote!
Nasubiri ushauri wako,wenu washika dau".
Friday, 14 November 2008
Dada akaniambia/uliza "yaani we unatembea na Kaka" (tumuite Beka) akaanza kunitukana kwa kuniita "malaya mkubwa wewe hata baba yako mzazi utatembea nae na kuanzia sasa hivi nitakuwa na mchunga hata mume wangu".
Dada dinah nifanyaje? naumia kwa kutukanwa na dada yangu hasa kuniita hivyo, nisaidieni jamani? je nimuache huyo mtoto wa binamu wa mama yangu ambae ni mpenzi wanfu au nifanyaje? "
Jawabu: Pole sana kwa tatizo lingine lililojotokeza hivi sasa, Kuitwa Malaya mbona ni kawaida tu, wala huna haja ya kumia au kuwa na huzuni kutokana na kitu kidogo namna hiyo.
Lakini jamani, inakuwaje mtu mwingine achukue simu yako ya mkononi na kusoma msg au hata kupokea simu bila ruhusa yako? Hicho ni kitu binfasi na kinaweza kuwa na mambo mengi binafsi ambayo hayapaswi kuonwa, sikiwa, somwa na mtu mwingine unless ni mpenzi wako.
Baada ya ushauri uliotolewa hapa umeufanyia kazi au unaendelea kuufanyia kazi? Kama ungeufanyia kazi mapema hili suala la dada'ko kukutukana lisingekuwepo au lisingejitokeza. Mpenzi "Kaka" anasema nini kuhusu uhusiano wenu?
Wakati mwingine mwanadamu unapaswa kuwa a little bit selfish na kutojali kwa sana hawa ndugu ambao hivi sasa kila mtu anaendesha maisha yake kivyake. Dada yako anamaisha yake na mume wake na anapaswa ku-focus huko, Mama yako anamaisha yake na mume wake ambae ni baba'ko na anapaswa ku-focus huko na wewe una maisha yako kama binti mdogo lakini unataka kuwa na maisha yako kama wao kwa kuungana na mtu mwingine ambae mnapendana na atakuwa baba wa watoto wako na unapaswa ku-focus huko.
Pamoja na kusema hivyo sina maana kuwa uwadharau, hapana. Endelea kuwaheshimu, sikiliza ushauri wao na fanya maamuzi ya kuyafanyia kazi au kuyaacha pale pale kama yalivyowakilishwa kwako.
Ulisema kuwa wewe na mpenzi wako mnakwenda kufunga ndoa(Ikiwa nakumbuka vema, nitaangalia). Kama kweli mnapendana na mnania moja na huyo Ndugu yako wa jina (sio wa damu) basi kuweni "serious" na fungeni ndoa (sio lazima iwe kubwa na kushirikisha kila mtu, mnaweza kufanya ya kiserikali ili wewe na yeye kuishi pamoja na kihalali kama mke na mume) ili kumaliza kesi.
Fanya uamuzi wa busara kwa kuzingatia nani ni muhimu kwenye maisha yako kama mwanamke, mama ambae anamaisha yake? dada ambae anamaisha yake? au Mume wako ambae mnapendana na mnakwenda kuwa na maisha yenu pamoja?
Vinginevyo matatizo yatazidi kujitokeza juu ya matatizo mengine ambayo ukiyafuatilia kwa karibu utagundua ni kupotezeana mida tu.
Kila lililo jema!
Thursday, 13 November 2008
Lakini tangu nimeacha kupiga nyeto kuna tatizo limejitokeza kwangu nikikojowa natoka urenda na mara nyengine Manii yanatoka ila kubwa zaidi ambalo limeniumiza kichwa ni hili, juzi juzi hapa nimeenda "readlight"(mahali wanapotoa huduma ya ngono kwa malipo) wakati najiandaa yule msichana alipokuwa akinivisha condom na kuanza kuichezea mboo yangu kwa kuinyonya ili idise (kusimamisha uume)dakika tu hata haijadisa vizuri (uume haukusimama) nikishashitukia nimemwaga.
Akaanza kuinyonya tena ili idise(kusimamisha uume) dakika chache tu nikamwaga tena bila kudisa (kusimamisha uume)nikajishangaa sana. Nikazunguka tena nikiwa na mawazo baada ya muda nikaenda kwa demu mwengine hali ikawa ile ile.
Pia tangu kuacha punyeto nikiangalia film za X nadisa (simamisha uume)kama kawaida na baada ya kutoka readlight(mahali wanatoa huduma ya ngono kwa malipo) asubuhi yake nimedisa(nimesimamisha uume) kama kawaida kiufupi kila siku nadisa(nasimamisha uume) tu ila sielewi anti naomba ushauri".
****kidokezo-Kabla hujam-attack Mshikaji napenda utambue kuwa; Mwanaume single (hayuko kwenye uhusiano) akienda kununua huduma ya ngono (readlight) anakuwa salama zaidi (wanawake wauzaji hawakupi bila Condom) kuliko yule anaebadili wanawake mtaani.
Jawabu: Asante kwa kuwa wazi. Mimi binafsi sidhani kuwa umeathirika kutokana na kupiga kwako punyeto kwa muda mrefu, kitu ambacho ni kizuri kwenye kipindi cha mpito/ukuaji wako ambacho huwa ni kigumu hali kadhalika ni njia nzuri kabisa ya kujikinga na Magonjwa ya zinaa na vilevile husaidia kuimarisha misuli ya kiungo chako muhimu na kitamu kuliko viungo vyote vya mwanaume(hehehehe nimepitiliza ei! Usijali).
Ute unaokutoka ambao wewe umeuita "urenda" ni ute wa kawaida unaowatokea wanaume wote pale wanapokuwa "excited", ute huo huwa na radha ya chumvi, wakati mwingine ute huo hujitokeza kabla uume haujasimama vema, wakati mwingine uume unaweza kusimama lakini hakuna ute huo kwani inategemea na jinsi ulivyo-"excited".
Lakini ute huo au manii yanapojitokeza unapokojoa ni kwa vile mwili wako au niseme kiungo chako (uume) kilikuwa kimezoea kushikwa-shikwa (puchu/nyeto), sasa kwa vile umeacha Puchu/nyeto lakini kila unapokwenda kukojoa bado unashikilia uume wako.
Kisaikolojia tendo hilo ni sawa na kujikumbushia kitendo ulichokuwa ukikifanya sana hapo awali na ndipo mwili unapokanganyika(unakuwa -comfused) na kuchanganya matendo mawili tofauti ambayo ni kukojoa mkojo wa kawaida na kukojoa manii/ute kwani vyote vinatoka kwenye mrija mmoja (si ndio?).
Kitendo cha wewe kumwaga haraka unapokuwa na mwanamke kwa ajili ya ngono ni kawiada kutokana na maisha yako ya awali ambayo yalikuwa ni kujipa mkono labda kwa kuangalia picha au kumfikiria mtu amabe anakuvutia.
Wakati ukifanya hivyo hakukuwa na mwanamke halisi bali alikuwepo kimawazo/maono tu, hivyo ktk hali halisi wewe huna mazoea ya kuwa na mwanamke, uume wako haujawahi kushiwa au kuchezewa na mwanamke hivyo ni wazi kuwa kitendo cha kumuona mwanamke tu unaweza kumwaga manii, ukiona chuchu tu unaweza kumwaga manii......sasa ndio itakuwa kushikwa na kunyonywa!
Hali hiyo ya kumwaga kabla ya uume kuw amgumu vya kutosha inatokana na kuwa "too excited" kwa tendo ambalo hujawahi kulifanya, itakuchukua muda na baada ya kuwa na mwanamke mmoja tu umpendae utazoea na kuweza kujizuia.
Namna ya kujizuia basi unaweza kutembelea Makala ya nyuma iitwayo "one min man", au subiri nikuwekee link hapa.
Kila la kheri.
Tuesday, 11 November 2008
Unaweza kunipa maana ghalisi ya neno Kubemenda?
Nijuavyo mimi au nisema kama nilivyokuwa nikisikia, kubembenda mtoto ni kitendo cha baba na mama wa mtoto huyo kufanya mapenzi/ngono na watu tofauti kabla mtoto hajakua vya kutosha au hajatoka Arobaini. Inasemekama ktk kipindi hicho mama akifanya mapenzi basi mtoto anapata matatizo kiafya.
Matatizo yenyewe hujitokeza mtoto anapofikia umri wa kuanz akuropoka maneno, kutembea, kujaribu kusimama n.k. kwa kawaida ni kati ya miezi 6 na nane kwa watoto wengi lakini wengine huwahi au kuchelewa zaidi.
Matatizo hayo ambayo kama vile kuchelewa kufanya/anza hatu ahizo za mwanzo za ukuaji wake, mtoto anakuwa kama vile anautindio wa akili, anatokwa na udenda ovyo....yaani anakuwa mlemavu.
Endelea kuwepo basi........pia nitakupa maelezo muhimu yahusuyo ngono ya mdomo. Una nyege mpaka kwenye kope na mume anataka mpaka anatetemeka kama sio kulia lakini uke ndio uko"sore" unaamu kumpa mdomo na yeye akupe mdomo......si ndio? Nini kinafuata baada ya hapo basi?
Naja.....
Monday, 10 November 2008
Yaani huwezi amini kitendo cha kuwa na mpenzi wangu kinanifanya niumwe kwa kufikiria mimba tu. Nimekua muoga mchezo nautaka ila tatizo kuingia kwa mimba hivyo basi nakuomba chonde chonde unifafanulie jinsi ya kuzuia kwa kutumia tarehe tafadhali naomba."
Saturday, 8 November 2008
K ina majimaji sana mpaka sisikii raha ya kufanya mapenzi na mume wangu ameanza kwenda nje mara kwa mara nifanyeje ili nirudie hali ya zamaniTafadhali naomba unisaidie sana maana hali hii naona inahatarisha ndoa yangu..nitashukuru kama utanisaidia. Thanks in Advance"
Thursday, 6 November 2008
Wengine huazionea aibu, kuzianika hata kwa wapenzi wao.hasa akitaka kizamia hasa kama mwanga upo maanayake zipo kama ua, nyengine yale malabia ni marefu hadi yananinginia kama masikio ya tembo. wengine vinena kama mkate.
Tuekee Dinah please hii mada. Mimi ni mmoja ambae kuma yangu kimaumbile naiona mbaya, labia ni ndefu, na zinakaribia kufunika kisimi. mwanzo nilijua ni ugonjwa, nilimuona Dr akaniambia ni labia ndefu.
Sijiamini Dinah na sijiamini kua huru sana kumuonesha mwanaume maumbile yangu hayo, hata tukitaka kutombana mchana, mie inakua shuhuli, kwani naanza kuwazia huo uchi ulivyo. akitaka kuzamia /Kusoma kitabu, mie ndio sijisikiii kabisa, kwani naona maumbile hayo hayapendezi yana nipa aibu kwa kweli.
Pamoja na darasa lako kipenzi naomba ugusie jinsi ya kujiamini endapo unahisi kuma yako imeumbika vibaya kimaumbile ya nje. nakutakia kila la kheri best"
Jawabu: Wanaume wamekujibu vema kabisa, mimi binafsi najua aina za mboo tena kwa ku-imagine hehehehehe huwa naziona K za aina tofauti via Tv, hakika wazungu wanaongoza kwa kuwa na K za ajabu, mwingine unakuta kitu kimechanua kama uwa saa sita, wengine kisimi kama punje ya mtama, wengine hazifungi yaani kitu kimeashia ka' shimo la taka.......tuyaache hayo mambo ya TV.
Wanawake wengi hudhani au kuziona K zao mbaya na hivyo hata kuwapa nafasi wapenzi wao kuwashukia huwa ni mbinde. Katika hali halisi wewe kama mwanamke hupaswi kuipenda K yako na kuiona nzuri bali mwanaume ndio anapaswa kuiona hivyo (natumai umemsoma Simon, kafafanua vema kabisa).
Kule ninakotokea (Asili yangu) wanawake hutoga/toboa masiko mara 2 (moja katikati ya sikio), pua vitu ambavyo kwa wengi ni kawaida. Lakini vilevile kutoga ma shavu/midomo ya uke ilikuwa ni lazima ili kuvalisha "hereni" ila kabla ya kufanya hivyo mabinti (wali) hufundishwa kuzifanya "Labia" kuwa ndefu na kujitokeza ili kuifanya K kupendeza zaidi pale mwanaume anapoitazama na kuichezea....si waju sie wengine hutakiwa kusimama mbele ya bwana na kumchezea/burudisha ukiwa uchi, sasa hapo lazima uonyeshe ni mwanamke kamili mwenye kujua kuripamba/remba.....
Mwanaume anaweza kulalamika labda kuhusu upana wa K na sio "sura" yake, pamoja na kusema hivyo kama wewe mwanamke ni mtundu na mbunifu katika kuitumia K na mwili wako kama mwanamke hakika hutomsikia akilalama hata kama K iko kama (ashakum si matusi) karai.
Kama nilivyowahi kuesma kwenye swali ka "kibamia/tango" kuwa unapompenda mtu au kuvutia huoni alichoficha kule chini bali yeye kama yeye hivyo basi utakachokutana nacho huko ni suala lingine na kama kweli umefika bei basi unachukua jumla "pakeji" yote.
Wanaume ndio wanajua aina gani ya K wanapenda zaidi (hasa players kwani hawajui hata kupenda ni nini acha wanataka nini kutoka kwa mwanamke) lakini wale waliotulia kumkichwa huwa hawajali kwani mwanamke ni zaidi ya Uke.
Ndio maana huwa nashauri watu kuwa na uhakika kuwa mwanaume anakupenda au wewe unampenda kabla hujaamua kumpa mwili wako, ukikimbilia kumpa mwanaume mwili wako ili akupende bila kuwa na uhakika na hisia zake juu yako au zako juu yake unaweza kujilaumu baadae au kujiuliza maswali mengi mara baada ya Njemba kuingia mitini.
Kujiamini-Hili ni tatizo kubwa sana miongoni mwa wanawake wa Kibongo,Unaonaje tulifanye kama topic inayojitegemea? kwani maelezo yako ni marefu mno.
Baadae basi, na asante kwa ushirikiano wako.
Wednesday, 5 November 2008
Kweli kuna maneno uliyoandika hapo eti{NGONO BAADA YAKUJIFUNGUA}ZAA KIASILI. Kweli nimefurahi kwavile ulifafanuwa, bwana nasikia huko Africa ukimaliza kujifungua unaweza ukafunga nguo tumboni ili kwamba tumbo lirudi nyuma ila huku hawakubariani nahilo .
Sasa kwavile ilikuwa mara yangu ya kwanza kujifungua nilipata shida sana kwasababu nilikuwa sina wakuniongoza baada yakuzaa. Wazungu wanapuuzia sana njia za kiasili hata ukimwambia hawezi kukuelewa hivyo basi wanatowa mafuta yao ambapo ukisikia maumivu unapulizia huku ukeni eti na vidonge vyakupunguza maumivu. Kweli vidonge vyenyewe vinasaidia lakini hiyo dawa nyingine ya kupulizia haifanyi chochote huku wazungu hawajikandi kabisha.
Dada yangu nilikuwa sijui nifanye nini ili niweze kuepukana na maumivu hayo. Nilimpigia simu mama mmja mwelevu kama wewe basi akaniambia kama ulivyozungumzia hapo basi aliokowa maisha yangu niliingia bafuni nikafunguwa maji tena ya moto nikakanda na hasira siku tatu nilisikia kama nimerundi kwenye ujana wangu Dada kweli hata wewe utayaokowa maisha ya wengine endelea tu na Mungu akubariki.
Samahani endapo utaona nimekosea jaribu kusawazisha kwani kishwahili kinaanza kunipotea. Ubarikiwe naomba unijurishe endapo nitakuwa nimefaulu."
Tuesday, 4 November 2008
Swali lingine, nawezaje kupunguza maji maji mengi kwenye uke?Mie huwa na maji au ute kidogo lazima udondoke kwenye chupi kila siku. Inamaanisha nina maji mengi?"
Jawabu: Mambo nswano tu ndugu yangu, nafurahia kuimalizia siku yangu leo. Asante kwa mail yako. K mnato ni ile yenye uwezo wa kuvuta, kufyonza, kubana na kuachia uume unapokuwa unaingia na kutoka wakati wa kufanya mapenzi.
K inaweza isiwe na maji mengi na bado isiwe mnato, lakini kwa wale wenye maji mengi mara nyingi K zao ni kubwa na hivyo ile mnato unaisikia tu au kuisoma hapa japo kuwa unaweza kutumia misuli ya uke wako kubana nakuachia uume a.k.a kuEndiketa.Hilo mosi.
Maji maji mengi Ukeni
Kama unatumia dawa ya kuzia mimba utapaswa kuacha au nenda kamuone Daktari wako ili akubadilishie kwa kumuelezea tatizo lako. Kabla hajabadilisha atakufanyia vipimo kujua kama utokwaji wa maji hayo unasababishwa na maambukizo ukeni au la!
Kama hutumii dawa yeyote ya kuzuia mimba, hujawahi kuugua magonjwa ya zinaa au umepima na uko safi/salama lakini umewahi kuzaa basi nifahamishe ili nikupe njia asilia ya kupunguza majimaji mengi ukeni.
Monday, 3 November 2008
Epusha aibu ya kibamia tafadhali japo wewe ni mtaalamu wa K. Mkufunzi"
Jawabu: Mimi sio mtaalamu wa K bali naijua K kama mwanamke kwa vile ninayo. Shukurani Mkufunzi kwa kuniandikia na kwa uvumilivu wako.
Napenda tu kuweka wazi kidogo hapa kabla sijaingia kwa undani. Wanawake huwa tunatabia ya kuwadhihaki wanaume kwa kuwaambia wana-vibamia kwa vile tunajua kuwa inawapotezea hali ya kujiamini.
Kwa wanawake wengi hasa wa Kiafrika kwa vile wanaume wetu wengi mmejaaliwa na hamko chini ya Inchi nne, urefu huo unatosha kabisa kumliwaza mpenzi wako ikiwa unasimama kwa muda wa kutosha (angalau zaidi ya dk 20),unajua kuutumia na vilevile kucheza na mwili wa mpenzi wako bila kusahau utundu na ubunifu wake mwanamke (mpenzi wako).
Kufurahia ngono ni wewe mwenyewe na utundu wako tu hakuna uhusiano wa maumbile uliyonayo........Mwanamke anaelalamika kuwa wewe una uume mdogo ni wazi kuwa yeye ana uke mkubwa/mpana/mrefu sana au ni mvivu kama sio hajui namna ya kufurahia uumbaji wa miili yenu.
Hayati Bibi yangu alipokuwa akinifundisha namna ya kutoga na kuvaa hereni kwenye kisimi (I didn't though huh!) niling'aka na kuuliza maswali mengi ambayo aliyajibu na kumalizia sio lazima ufanye hivyo (thank God 4 that)....nikauliza kama wanawake wanatoga huko kisimini wanaume wanafanya nini?
Bibi alisema kuwa wanaume pia hutogwa kwenye uume lakini wao wanafanya hivyo baada ya kuoa na kugundua kuwa hawawezi kuwaridhisha wake zao.....hivyo sio lazima iwe kubwa wakati mwingine unavalisha hereni au pete pale kichwani na mambo yanakuwa mambo!
Huyu Kungwi wangu (Mungu amrehemu) akaniambia pia kuwa siku chache kabla ya Harusi(siku ya kutoa bikira) ambayo ndio ndoa kwa vile wengi wanaolewa wakiwa wameshazaa tayari hakuna harusi tena, anyway.....basi siku chache kabla ya siku kijana anapelekwa kichakani/polini kutafuta wadudu fulani (nimesahau jina lake, nitamuuliza Kaka yangu) na kuwapa uume wake wauume kisha unavimba na kuwa na ukubwa fulani hivi.
Vilevile kuna baadhi ya makabila mengi Africa huchonga sanamu (dildo) kwa kutumia aina fulani ya mti/chuma yenye tundu la kutosha kufunika/beba uume, na mwanaume alikuwa akivaa hilo dude ambalo linakamba ili kushikilia uume na kuufanya ubaki kwenye eneo moja ili kuuvuta uume(angalia picha hapo juu).
Zaidi ya njia hizo asilia na nyingine ambazo baadhi ya wachangaiji wamegusia kama vile mazoezi n.k. unaweza ukafanyiwa upasuaji au kudungwa (chomwa) sindano kwenye uume yenye mafuta kutoka sehemu nyingine ya mwili wako ili kunenepesha uume.
Dada dinah nisaidie mwenzio cz huyu girlfriend wangu ana tatizo la kuruka hedhi zake ila ya mwisho imeniacha na mawazo mengi mpaka sasa maana siku ya mwisho amepata period ni mwezi wa saba mwaka huu mpaka sasa tumesubiria lakini hatujaona dalili zozote naogapa mpaka nikampeleka mwenyewe kupima mimba lakini hamna maana nilihofu ana mimba lakini wapi.
Sasa nikamshauri aende kwa Daktari anasema amemuulizia rafiki yake amemwambia huwa inatokea kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa stress na n.k lakini naona imezidi na ananipa wakati mgumu kwani sijui ni kwa nini iwe ivyo maana nataka kumuoa ila kama ndo ivi tutaweza kupata mtoto kama mungu atatusaidia kuoana naye? Naomba msaada wako wa kina dada pls tusaidie wana jamii.
Mdau, Kahama. "
Jawabu: Kukosa hedhi kunaweza kusababishwa na vitu mbalimbali pamoja na hali ya hewa ambayo inaweza kuhoroganya/kanganya Homono, mahangaiko ya akili yanayosababishwa na maisha(stress) pia inaweza kusababisha mwanamke kukosa hedhi.
Ni kweli kabisa kuwa "stress" na hali ya hewa inaweza kuwa sababu. Kama mpenzi wako amehamia huko mliko hivi sasa for the past 12months basi mmpe muda ili mwili wake uzoee.
Ikiwa mpenzi wako anatumia madawa ya kuzuia mimba hakika anaweza kuwa anaruka sana siku zake, kuna baadhi hupata Hedhi mara tatu kwa mwaka, wengine mara nne nakadhalika inategemea aina gani ya kinga ya mimba unatumia.
Kwa vile mpenzi wako anapata damu yake mara fulani fulani sio kwamba anakosa kabisa ana kwa mwaka anakwenda mara tatu basi sidhani kama anaweza kupata matatizo ya kushikamimba ya hatimae kujifungua.
Suala muhimu kwake na kwako wewe ni kufuatilia terehe zake kila mwenzi hasa miezi ile ambayo anaona damu yake(hedhi). Mtakapo funga ndoa na mkaamua kuwa ni wakati muafaka wa kujaribu kwa ajili ya mtoto (kushika mimba) basi mfanye hivyo kwenye zile siku ambazo yai liko tayari kurutubishwa yaani limepevuka na linasubiri kushuka.
Ili kujua siku hizo mpenzi wako anaweza akatumia kalenda(tarehe) na vilevile anaweza kutumia njia za kiasili kama vile kuangalia na kufuatilia mabadiliko ya mwili wake.
Nitakueleza mabadiliko hayo ya mwili mara baada ya masaa machache.....
Bofya hapa kusoma maelezo ambayo ni majibu ya swali kuhusu kuruka hedhi
Saturday, 1 November 2008
Na pia nina tatizo kuwa mzito mauno siyawezi au ndo tatizo liliokuwa linamsabisha asifurahie tunapotiana?Nisaidie dada Dinah"
Jawabu: Shukurani kwa ushirikiano wako. Huenda alikuwa haguni au kutoa sauti zamani lakini nina uhakika alikuwa akitoa "mihemo" fulani kuonyesha kuwa anafurahia/sikilizia/hisi kile mnachokuwa mikikifanya.
** Mume wangu aliposoma swali lako akasema kuwa Jamaa anataka "kukuibia" kwa vile labda huonyeshi dalili ya kuji-commite kwake na kuwa mkewe, au kuna kitu anataka kutoka kwako kwa vile wewe mambo yako safi!
Kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake, sio wanaume wote wenye kutoa sauti au miguno wakati wa kungonoana kuonyesha kuwa wanafurahi mambo unayowapa au kile mnachokifanya kama wapenzi.
Pamoja nakusema hivyo inawezekana kabisa kuwa awali ulikuwa hujui "kona" au "vipele" vinavyomfanya ajisikie raha zaidi na hatiame utamu, lakini sasa labda kutokana na kusoma D'hicious (Inawezekana kabisa eti? hehehehe) umejaribu na sasa unampatia hivyo anashindwa kujizua na kukupa sifa, kuonyesha shukurani na hakika anahaki ya kusema kuwa wewe ni mtamu.
Natambua kuwa unajua kuwa wanaume wako tofauti (kama tulivyo sisi wanawake), sio ulichokuwa ukimfanyia Ayubu na kukifurahia basi na Alfan atakifurahia au kumpa raha....La hasha! (hakuna kanuni kwa vile tumeumbwa tofauti).
Ufurahiaji wa kufanya mapenzi wa mtu unategemea zaidi mapenzi na wewe kuujua mwili wake vema (vipele vyake vilipo) na vilevile kufahamu namna ya kucheza na mwili wake huo. Ili kufanikisha hili basi wewe na mpenzi wako mnapaswa kuwa wazi mnataka mfanyiane nini ili kufurahi uumbaji wake Mungu kuliko kubahatisha-bahatisha.
Bofya hapa kujifunza namna ya kukata kiuno.
Kila la kheri.
|
<urn:uuid:4468cc24-a573-47e3-b024-b2569794a934>
|
{
"date": "2014-04-19T12:02:10Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609537186.46/warc/CC-MAIN-20140416005217-00096-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9722524881362915,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 16,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9722524881362915, \"swc_Latn_score\": 0.021217815577983856}",
"url": "http://dinahicious.blogspot.com/2008_11_01_archive.html"
}
|
Yerevan
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yerevan (pia: Erevan, Erivan; Kiarmenia: Երեւան au Երևան) ni mji mkuu na pia mji mkubwa wa Armenia. Idadi ya wakazi ni juu ya milioni moja (mwaka 2004). Iko kando la mto Hrazdan na kutazama mlima Ararat ambao ni mlima mtakatifu wa Waarmenia.
|Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Yerevan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:e8cc080c-8221-4dca-a26e-1f2ad7ab23a9>
|
{
"date": "2014-04-19T12:04:33Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609537186.46/warc/CC-MAIN-20140416005217-00096-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9979509711265564,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 44,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9979509711265564}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Yerevan"
}
|
Marekani iheshimu maisha na haki za wafungwa Guantanamo:UMKusikiliza /
Marekani ni lazima iheshimu na kuwahakikisha maisha, afya na hadhi ya wafungwa wanaoshikiliwa kwenye kituo cha Guantanamo hususani katika hali inayoendelea sasa ya mgomo wa kula.
Hayo yamesemwa na kundi la wataalamu wa kimataifa wa haki za binadamu kuhusu masuala ya utesaji, mahabusu, vita dhidi ya ugaidi na afya.
Wataalamu hao wanasema wamepokea taarifa kuhusu athari za kiafya na kiakili kwa wafungwa kufuatia sintofahamu ya hatima yao, kwa mfano kutojua endapo wafikishwa mahakamani au wataachiliwa na lini, au kama wataziona familia zao tena.
Rupert Colville ni msemaji wa ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa akifafanua kuhusu mgomo wa kula na mustakhbali wa kituo cha Guantanamo
(SAUTI YA RUPERT COLVILLE)
|
<urn:uuid:81cf2642-cd83-42ac-911b-f7ea6373ac4e>
|
{
"date": "2014-04-23T15:13:43Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223202774.3/warc/CC-MAIN-20140423032002-00160-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9935099482536316,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9935099482536316}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/05/marekani-iheshimu-maisha-na-haki-za-wafungwa-guantamoum/"
}
|
Idris I wa Libya
Jina lake la kiraia lilikuwa Muhamad Idris bin as-Sayyid ibn Muhamad as-Senussi (kiar.: محمد إدريس بن السيد المهدي ابن محمد السنوسي ). Alikuwa mjukuu wa Muhamad ibn Ali as-Senussi aliyeanzisha jumuiya ya Wasufi wa Senussi. Muhamad alirithi cheo cha babu yake. Alikubaliwa kama Emir wa Cyrenaika na Uingereza na Italia baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Baada ya Italia kuvamia Libya aliongoza vita ya porini.
|
<urn:uuid:39703bdd-d090-42de-8768-71e8752183e2>
|
{
"date": "2014-04-24T23:13:11Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223206770.7/warc/CC-MAIN-20140423032006-00192-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.997917890548706,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 42,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.997917890548706}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Idris_I_wa_Libya"
}
|
Walter Rodney
|This article relies largely or entirely upon a single source. Please help improve this article by introducing appropriate citations to additional sources. (Februari 2009)|
Baada ya kuzaliwa katika familia ya darasa la kazi, Rodney alikuwa mwanafunzi wa mwerevu,na aliweza kuhudhuria Chuo cha Queen's katika Guyana na kisha kuhudhuria kwa udhamini chuo kikuu katika Chuo Kikuu cha West Indies katika Jamaika,na kufuzu mwaka wa 1963.
Yaliyomo
Kazi[hariri | hariri chanzo]
Walter Rodney aliweza kupataPhD yake mwaka 1966 katika Shule ya Oriental and African Studies mjiniLondon, Uingereza. Leng biashara ya watumwa kwenye pwani Guinea ghorofani. Jarida lilitolewa mwaka wa 1970 chini ya jina, A History of the Upper Guinea , Coast, 1545-1800 na ilipendekezawa sana kwa changamoto lake kwa hekima ya kawaida kwenye eneo hilo.
Alisafiri sana na akawa anajulikana sana kote duniani kama mwanaharakati na mwanachuoni. Yeye alifundisha kwa muda nchini Tanzania baada ya kufuzu, na baadaye katika Jamaika katika alma mater yake - UWI Mona. Rodney alikuwa na kina katika kiwango chakatikatikwa jukumu lake katika uhuru post-Caribbean. Yeye pia hakupendelea kiubinafsi na alipendekeza mfumo wa maendeleo ya Kijamii . [1] Wakati serikali ya Jamaika, ikiongozwa na waziri mkuu Hugh Shearer, ilimpiga marufuku , katika Oktoba 1968, kurejea nchini, kwa sababu ya utetezi wake kwa maskini wanaofanya kazi katika nchi hiyo, maandamano yalitokea, hatimaye kudai maisha ya watu kadhaa na kusababisha mamilioni ya dola katika uharibifu. Haya maandamano, ambayo yalianza tarehe 16 Oktoba 1968, kwa sasa yanajulikana kama Rodney maandamano, na yalisababisha ongezeko katika mwamko wa kisiasa katika Caribbean, hasa miongoni mwa Rastafarian Afrocentric sekta ya Jamaika, kumbukumbu katika kitabu chake, The groundings with my brothers .
Rodney aliweza kuwa Mwafrika, mashuhuri na alikuwa muhimu katika harakati za Uongozi wa watu Weusi katika Caribbean na Amerika Kaskazini. Wakati alipoishi jijini Dar es Salaam alikuwa na ushawishi mkubwa katika kuendeleza kituo kipya cha Afrika cha kujifunza na majadiliano.
Umaarufu Katika Elimu[hariri | hariri chanzo]
Kitabu mashuhurizaidi cha Rodney Jinsi Ulaya ilichangia maendeleo duni ya Afrika, kilichochapishwa mwaka 1972. Katika kitabu hiki alielezea jinsi Afrika ambayo imetumiwa kwa njia mbaya na Ulaya na kusababishakukosekana kwa maendeleo ya kisasa katika pande nyingi za bara. Kitabu kilikuwa mashuhuri na vilevile kilileta utata.
Miaka ya baadaye na kuuawa[hariri | hariri chanzo]
Katika mwaka wa 1974 Rodney alirejea Guyana kutoka Tanzania. Ilitakiwa yeye kuchukua nafasi kama profesa katika Chuo Kikuu cha Guyana lakini serikali ilizuia miadi yake. Aliendelea kushiriki katika siasa, na kutengeneza chama chaWorking People's Alliance, dhidi ya PNC ya serikali. Katika mwaka wa 1979 alikamatwa na kushtakiwa kwa Uharibufu baada kuchomwa kwa ofisi mbili za serikali.
Mwaka wa 1980, Rodney aliuawa kwa bomu katika gari yake wakati alipokuwa akigombea ofisi katika uchaguzi Guyana. Rodney aliishi na mke wake, Pat, na watoto wake watatu. Ndugu yake Walter, Donald, ambaye alijeruhiwa katika mlipuko, alisema kuwa afisa katika Jeshi la Guyana aitwaye Gregory Smith ndiye alimpa Rodney bomu iliyomuua. Smith alikimbilia Kifaransa Guiana baada ya mauaji, ambapo yeye alikufa mwaka wa 2002. [2]
Kifo cha Rodney kiliadhimisha kwa shairi na Martin Carter lililotungiwa Walter Rodney.
Mwaka wa 2004, mjane wake, Patricia, na watoto wake walichangia majarida kwa Robert L Woodruff Maktaba ya Chuo Kikuu .cha Atlanta Tangu mwaka wa 2004,kila mwaka kuna Kongamano la Walter Rodney linalofanyika kila 23 Machi (Siku ya kuzaliwa ya Rodney) katika Kituo chini ya udhamini wa Maktaba na Idara ya Sayansi ya Siasa chuo kikuu cha Atlanta katika , na chini ya familia yaRodney .
Kazi zake.[hariri | hariri chanzo]
- Walter Rodney akizungumza: Kutengeneza mwafrika mwenye Busara (1990)
- A Historia ya Waguyana Wanaofanya Kazi, 1881-1905 (1981)
- Marx katika Ukombozi wa Afrika (1981)
- Mashamba ya sukari ya Wanaguyana katika karne ya kumi na tisa : kielezo kutoka "Argosy" (1979)
- Vita vya Dunia Vya Pili na Uchumi wa Tanzania (1976)
- Jinsi Ulaya imechangia maendeleo duni Afrika (1972)
- Historia yapwani ya juu ya Guinea (1970)
- Mateso pamoja na kaka wangu (1969)
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Walter Rodney 25 Anniversary Kamati Commemoration
- Walter Rodney's uzushi na Neil Roberts.
- Rodney biography
- Ya "Walter Rodney Effect"
- Historia ya Afrika katika utumishi wa Black Ukombozi
- George Jackson: Black Mapinduzi
- Mitaani Speech
- Walter Rodney na Pan Africanism Leo na Horace Campbell
|
|
|
<urn:uuid:d0d2b9f3-59b6-4a99-b23c-206b03b57ca3>
|
{
"date": "2014-04-20T21:03:34Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1397609539230.18/warc/CC-MAIN-20140416005219-00464-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9943388104438782,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 55,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9943388104438782}",
"url": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Walter_Rodney"
}
|
Mto Hull
Ina chanzo katika Yorkshire Wolds. Unaweza kupitika kwanzi mkutano wake na Driffield Navigation katika Aike Beck, na inaendelea kupitia makutano na mtaro wa leven, Arram Beck na Beverley Beck. Inajiunga na mto Humber katikati ya Kingston juu ya Hull.
Mkondo wake umegawanyisha eneo la viwanda la mji, na madaraja kadhaa yamejengwa. Hizi zimeendelea kusababisha ucheleweshaji wa trafiki wakati mawimbi ya juu, ingawa trafiki katika mto zimepungua katika miaka ya karibuni.
Madaraja[hariri | hariri chanzo]
Haya ni madaraja katika eneo la Hull ambayo yanavuka mto Hull:
- Daraja ya Miguu kuelekea kina
- Daraja ya Myton katika barabara ya Garrison A63
- Daeaja ya Drypool
- Daraja ya kaskazini ilorodheshwa kama gradi II 1994
- Daraja aya Scott Street iliyoorodheshwa kama gradi II mwaka wa 1994 (iliyoundwa kwa ajili ya ya kutofanya kwa haidroliki za antiki)
- Daraja ya Sculcoates ilorodheshwa kama gradi II 1994(Daraja kongwe mjini huu )
- Daraja ya Wilmington Swing ilorodheshwa kama gradi II (zamani ilikuwa ya reli, sasa hutumika kwa miguu na baiskeli). Ilijengwa na Reli ya Kaskazini Mashariki katika mwaka wa 1907.
- Daraja la reli la mto Hull ilorodheshwa kama gradi II 1994.Lilijengwa na Shirika la reli ya Hull na Barnsleykatika 1885, bado inatumika na magari ya moshi ya mizigo .
- Madaraja ya Stoneferry
- Daraja la barabara ya Sutton
- Madaraja ya Ennerdale ya kuunganisha katika njia ya Raich Carter . Madaraja ya karibuni zaidi,kuchukua nafasi ya jaribio la kujenga njia chini ya mto.
Hifadhi ya picha[hariri | hariri chanzo]
Angalia Pia[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
|Makala East Riding of Yorkshire location bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari.|
|
<urn:uuid:e349bd1e-9b72-45b3-8fe3-6fd86e9b1040>
|
{
"date": "2014-04-23T19:01:18Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-15",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-15/segments/1398223203235.2/warc/CC-MAIN-20140423032003-00496-ip-10-147-4-33.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9975582957267761,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 66,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9975582957267761}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Mto_Hull"
}
|
IncrediMail Export ya Ujumbe kwa ajili ya Uhamiaji na MS Outlook
Jinsi gani unaweza kufanya IncrediMail-EML uongofu ya ujumbe barua pepe yako? Jinsi gani unaweza kuokoa ujumbe wako kwa ajili ya MS Outlook kutumia IncrediMail nje? majibu ya maswali haya ni kutolewa katika makala hii, ambayo inaelezea jinsi ya kutumia Outlook Import Wizard kama PST kuagiza chombo kwa ajili ya kuagiza ujumbe IncrediMail katika MS Outlook.
IncrediMail 2 Watumiaji, tafadhali soma:
Kumbuka: Incredimail wazalishaji yamebadilika format kuhifadhi katika matoleo mapya. Si mechi ya mailbox (.mbox) faili format tena. MBOX kwa EML Converter wanaweza kufanya kazi tu kwa ajili ya toleo la awali (1.0) ya. IMM files. Kama unataka kuagiza ujumbe kutoka IncrediMail (v 2.X) tafadhali tumia IncrediMail kwa Outlook Converter badala.
Bila shaka, IncrediMail ni ya kuvutia sana mail mteja, moja ambayo utangulizi wa mwanga kugusa mioyo-kwa shukrani elektroniki mawasiliano makala yake kwa kutumia graphics mbalimbali na athari za sauti katika barua pepe. Lakini kipengele-busara, IncrediMail ni kikubwa duni kwa wateja maarufu zaidi mail, kufanya watumiaji wengi kufikiria jinsi ya kufanya IncrediMail nje ya e-mail ujumbe kwa ajili ya Microsoft baadae Outlook kuagiza, na jinsi ya kufanya hivyo kwa kiwango cha chini ya muda na juhudi.
IncrediMail nje ya ujumbe wa MS Outlook kuagiza.
tatizo na kuhamisha pepe kutoka IncrediMail inatokana na ukweli kwamba mpango inakosa kujengwa katika makala ya kuuza nje ya ujumbe IncrediMail yoyote katika kiwango e-mail format kuhifadhi. Kuna hata yoyote kusaidia kwa ajili ya IncrediMail EML kuwasilisha nje. IncrediMail anatumia wamiliki .imm format kuhifadhi barua pepe, ambayo ni toleo lililoboreshwa la mailbox (.mbox, .mbx) format. Zaidi ya hayo, watengenezaji mara kwa mara kufanya mabadiliko ya muundo huu, kutokana na ambayo zilizopo uongofu mipango (kama vile IncrediConvert) hawawezi kubadilisha ujumbe kuhifadhiwa katika .imm format kutumika katika matoleo newest ya IncrediMail, kama vile kizazi cha pili cha IncrediMail (version 6 na ya juu ya mpango wa). Kazi hii inaweza kuwa rahisi kutatuliwa, hata hivyo, kutumia MBOX Extractor zima kubadilisha fedha, ambayo ni sehemu ya mpango wa ufungaji kwa ajili ya Outlook Import Wizard. Kutumia MBOX Extractor, inawezekana kwa dondoo ujumbe kutoka .imm files na kuwaokoa katika .eml format, kuruhusu MBOX Extractor ili kutoa ujumbe kutoka IncrediMail EML files.
Kwa kufanya hivyo, uzinduzi bure MBOX Extractor shirika na kuchagua .imm faili unataka mchakato. Kwa mfano, files kuhifadhi katika Windows XP ziko katika saraka: C:\Documents and Settings\ <username>\Local Settings\Application Data\IM\Identities\ <string of numbers>\Ujumbe wa Hifadhi (the name of the folder “;string of numbers”; ni tofauti kwenye kompyuta kila). majina ya .imm files yanahusiana na majina ya catalogs ndani ya IncrediMail: Inbox, Ilifutwa, Spam, nk. Baada ya MBOX Extractor ni kosa, una seti ya .eml files ambayo ni bora kwa MS Outlook kuagiza kutumia Outlook Import Wizard, a PST kuagiza chombo kwa ajili ya kuhamisha ujumbe wa barua pepe. Hadi mwisho huu Outlook Import Wizard ina kipengele kwa ajili ya kujenga mpya Outlook PST file au kuongezea moja zilizopo.
Hivyo, kwa kutumia Outlook Import Wizard na MBOX Extractor seti ya vifaa, ni rahisi kutatua tatizo la IncrediMail nje ya ujumbe kwa kwanza kuchimba IncrediMail EML-formatted ujumbe na kisha kuhamisha yao ndani ya MS Outlook na PST kuagiza.
Ibara inaelezea jinsi ya kuuza nje ya ujumbe IncrediMail kutumia barua pepe mailbox bure Extractor na barua pepe kuagiza IncrediMail katika Outlook MS Outlook kwa msaada wa Import Wizard
|
<urn:uuid:bf7601e1-b474-45cf-8ad9-e932b9c825ad>
|
{
"date": "2014-07-28T12:21:05Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510259834.25/warc/CC-MAIN-20140728011739-00493-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.965183675289154,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 24,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.965183675289154, \"swc_Latn_score\": 0.029175013303756714}",
"url": "http://www.outlookimport.com/sw/incredimail-export-messages-migration-outlook/"
}
|
Ofisi ya haki za binadamu ya UM yaelezea mshangao wake na ghasia zinazoendelea nchini MisriKusikiliza /
Mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa Navi Pillay ameelezea wasi wasi wake kutoakana na kunelea kwa kizozo na mauaji kwenye maanbamano ya kupinga katiba nchini Misri ambayo inatarajiwa kuadhinishwa tarehe 15 mwezi huu.
Bi Pillay amekaribisha wito wa rais Muhammed Morsi wa kutaka kufanyika kwa mazungumzo lakini akajutia kwamba hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa kuhusiana na utata unaoikumba katiba. Msemaji kwenye ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa Rupert Colville amesema kuwa ofisi ya Umoja wa Mataifa imekuwa ikiyachambua yaliyo kwenye katiba hiyo na kufutia kwa karibu kuandikwa kwake.
|
<urn:uuid:44c0fbc0-7fdb-48b0-99f0-a84b382454b6>
|
{
"date": "2014-08-01T16:14:07Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510275111.45/warc/CC-MAIN-20140728011755-00140-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9881818890571594,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 29,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9881818890571594}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/12/ofisi-ya-haki-za-binadamu-ya-um-yaelezea-mshangao-wake-na-ghasia-zinazoendelea-nchini-misri/"
}
|
Sarin ilitumika Syria Je ni nani alitumia, haikuwa jukumu la Tume: BanKusikiliza /
Kiwango kikubwa cha kutisha cha kemikali aina ya Sarin kilitumika kwenye shambulio la tarehe 21 Agosti huko Ghouta, kwenye viunga ya mji mkuu wa Syria, Damascus, ni kauli ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon wakati akiwajulisha waandishi wa habari mjini New York, kile kilichomo kwenye ripoti ya uchunguzi Syria, ambayo aliwasilisha kwa Baraza la Usalama na Baraza kuu siku ya Jumatatu.
Bwana Ban amesema amesikitishwa sana na kitendo hicho ambacho amesema ni uhalifu mkubwa wa kivita ambao ni kinyume na itifaki ya mwaka 1925 na kanuni nyingine za kimataifa. Katibu Mkuu alipoulizwa kuhusu tume imebaini ni nani ametumia silaha hizo, alikuwa na haya ya kusema.
(Sauti ya Ban)
"Ujumbe ulioongozwa na Dokta Sellstrom umeweza kubaini pasi shaka kuwa Sarin ilitumika kwa kiasi kubwa. Kazi ya tume ilikuwa kubaini iwapo silaha za kemikali zimetumika na kwa kiasi gani, na siyo ni nani ametumia. Ni kwa wengine kuamua iwapo wachunguze zaidi kubaini nani anawajibika. Tunaweza kuwa na fikra zetu kuhusu hili lakini naweza kusema kuwa tukio hili lilikuwa ni uhalifu wa kutisha na wahusika wanapaswa wafikishwe mbele ya sheria haraka iwezekanavyo."
Bwana Ban amesema tume ya Dokta Sellstrom itarejea Syria kukamilisha majukumu yaliyosababisha iundwe mara baada ya Syria kutoa idhini.
|
<urn:uuid:c0e946fa-9880-49a6-840d-189bc235fc43>
|
{
"date": "2014-08-01T16:23:06Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510275111.45/warc/CC-MAIN-20140728011755-00140-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9940969944000244,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 26,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9940969944000244}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/09/sarin-ilitumika-syria-je-ni-nani-alitumia-haikuwa-jukumu-la-tume-ban/"
}
|
Msenge
Msenge ni neno la kutaja aina ya watu ambao hujiigiza, kujiskia, kujifikiria na kujiona tofauti na jinsia zao walizopewa tangu kuzaliwa. Neno hili kuna kipindi huitwa 'Shoga.' Kundi hili dogo hujumlisha watu wanaojamiiyana sawa na wengine yaani mume na mke, lakini wao ni dume kwa dume na kujisikia sawa na wenzao ilhali si sisawa na wenzao.
Wasenge wengi hupenda kujiita mashoga na kujiona kwamba jinsia walizopewa si sahihi. Kuna baadhi ya wasenge hujiingiza katika maswala ya kucheza filamu za ngono, ni hasa wasenge wa Mabara makubwa kama vile Ulaya, Asia, Amerika na kadhalika.
Pia kuna wale wanaoitwa Transsexual, hawa ni miongoni mwa watu waliozaliwa na jinsia ya kiume na akataka afanyiwe upasuaji ili awe mwanamke. Mara nyingi wanaume ndiyo hutaka kubadilishwa jinsia na kuwekewa ya kike.
|
<urn:uuid:ca667686-8a5a-4223-ba49-4fed0f33f896>
|
{
"date": "2014-07-22T23:59:39Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997869884.75/warc/CC-MAIN-20140722025749-00145-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9957392811775208,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 46,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9957392811775208}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Msenge"
}
|
Jina chuo cha maendeleo na usimamizi wa maji linaweza kuwa geni masikioni mwa watu, lakini chuo hichi ni moja kati ya vyuo vikongwe hapa nchini, kilianzishwa mwaka 1974 kikijulikana kama RWEGALULILA WATER RESOURCE INSTITUTE, dhumuni kubwa ikiwa ni wataalam katika fani mbalimbali zinazohusu MAJI.
Kubadilika kwa jina na kuwa WATER DEVELOPMENT AND MANADEMENT INSTITUTE, ilifanyika mwaka 2008, baada ya chuo kupewa hadhi ya kuwa wakala wa serikali yaani Agency, mpaka sasa chuo kinatoa kozi tano katika ngazi ya Diploma, WATER SUPPLY AND SANITATION ENGINEERING, HYDOGEOLOGY AND WATER WELL DRILLING. HYDROLOGY AND METROLOGY, WATER LABORATORY TECHNOLOGY na IRRIGATION ENGINEERING. Mipango ya degree kuanza imekamilika na muda wowote WATER RESOURCE AND IRRIGATION ENGINEERING itaanza, sasa kazi kwenu nyie wenye hamu ya kufanya kazi kwenye sekta ya maji, mnakaribishwa sana.
|
<urn:uuid:cf265eae-9e0f-48b7-a870-7b1e646f8f9f>
|
{
"date": "2014-07-24T10:39:38Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997888236.74/warc/CC-MAIN-20140722025808-00081-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9630661606788635,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 41,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9630661606788635, \"swc_Latn_score\": 0.023420283570885658}",
"url": "http://skulliz.blogspot.com/2011/11/chuo-cha-maendeleo-na-usimamizi-wa-maji.html"
}
|
Na-Maelezo Zanzibar 14/11/2012
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuwa jamii inahitaji kuelimishwa zaidi juu ya umuhimu wa uzazi wa mpango kwa maendeleo ya nchi sambamba na kutunza afya ya jamii hasa kwa akina mama na watoto.
Kauli hiyo imetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad katika hafla ya uzinduzi wa Ripoti ya Idadi ya Watu Duniani ya mwaka 2012 iliyofanyika katika viwanja vya skuli ya Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unguja, ambako alimuwakilisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohd Shein.
Amesema jamii bado haijatoa umuhimu unaostahiki katika matumizi ya njia za uzazi wa mpango, hali inayopelekea kuwepo kwa ongezeko kubwa la watu ambalo huathiri harakati za maendeleo na afya ya jamii.
“Taarifa zinaonesha kwamba Zanzibar hivi sasa inakadiriwa kuwa na idadi ya watu 1.3 milioni, wanaoongezeka kwa kasi ya asilimia 3.1 kwa mwaka ambapo idadi ya watu katika kila kilomita moja ya mraba imefikia watu 496 mwaka 2011”, ilieleza sehemu ya hotuba hiyo ya Dkt. Shein iliyosomwa na Makamu wa Kwanza wa Rais.
Amefahamisha kuwa bado vifo vya mama wajawazito viko juu duniani lakini vimepungua kwa upande wa Tanzania na Zanzibar hasa kwa kina mama wenye umri mdogo na wanaokabiliwa na tatizo la umaskini.
“Kwa Tanzania katika mwaka 2004/05 idadi ya vifo ilikuwa 578 kwa kila akina mama waja wazito 100,000 na kupungua kidogo hadi kufikia vifo 454 mwaka 2010. Hata hivyo kwa Zanzibar vifo vya akina mama vimepungua kutoka vifo 473 mwaka 2006 hadi vifo 281 mwaka 2011, kwa kila kina mama 100,000 kwa takwimu za hospitali”, alifafanua.
Amesema mafanikio hayo yametokana na juhudi za serikali katika kuimarisha huduma za afya kwa jamii ikiwa ni pamoja na kutoa chanjo za pepopunda na shurua, sambamba na kuimarisha huduma za afya ya uzazi katika hospitali mbali mbali.
Ametoa wito maalum kwa Wazazi kuwaozesha watoto zao kuanzia umri wa miaka 20 na kuendelea ili wamalize masomo yao kwani elimu ni ufunguo wa Maisha.
Kwa upande wao wawakilishi wa Umoja wa Mataifa wameipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuona umuhimu wa huduma ya uzazi na kuamua kutoa huduma hiyo bila ya malipo.
Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Idadi ya watu (UNFPA) Tanzania bibi Mariam Khan amesema bado suala la uzazi wa mpango linakabiliwa na changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na wanajamii kuona ugumu juu ya matumizi ya njia za uzazi wa mpango.
Amesisitiza kuwa Mashirika ya Kimataifa ya UN na UNFPA yataendelea kuziunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali ya Muungano na ile ya Mapinduzi ya Zanzibar ili kuhakikisha jamii inapata uelewa na kudumisha uzazi wa mpango.
Amefahamisha kuwa uzazi wa mpango ni muhimu katika kusaidia kukuza kipato cha wanafamilia, sambamba na kuwaendeleza watoto katika makuzi bora, na wito kwa jamii kutoa fursa zinazostahiki kwa akina mama na watoto ili kusaidia harakati za maendeleo kwa jamii.
Kwa upande wake Waziri wa Afya Mhe. Juma Duni Haji amesema wameamua kufanya uzinduzi huo katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, ili kutoa uelewa zaidi kwa wakaazi wa Mkoa huo ambao ni miongoni mwa mikoa inayofanya vibaya katika suala la uzazi wa mpango.
Amesema akinamama na watoto wanahitaji kulindwa kiafya, na kuwataka wazazi hasa wa kiume kushirikiana kikamilifu katika suala la malezi na makuzi ya watoto wao.
Mapema akitoa muhtasari wa ripoti hiyo, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo Khamis Mussa amesema kimsingi ripoti hiyo imeelezea juu ya changamoto, faida na haki za binadamu katika uzazi wa mpango.
Amesema uzazi wa mpango ni miongoni kwa haki za binadamu lakini imeelekezwa zaidi kwenye haki za kifamilia, ili wanafamilia waweze kupanga juu ya idadi na umri wa kupishana kwa watoto, ili kuepuka mimba zisizotarajiwa.
“Inakisiwa kuwa kiasi cha mimba milioni 80 zinapatikana bila ya kutarajiwa duniani, huku nusu ya mimba hizo zikitolewa, jambo ambalo ni hatari katika uzazi”. Alidokeza Katibu Mkuu huyo.
|
<urn:uuid:0a45a5ae-9986-4638-ac8b-41c6b2404c35>
|
{
"date": "2014-07-30T02:57:39Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510268533.31/warc/CC-MAIN-20140728011748-00050-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9951996803283691,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 32,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9951996803283691}",
"url": "http://jamiiblog.co.tz/2012/11/15/uzinduzi-wa-ripoti-ya-idadi-ya-watu-mwaka-2012-zanzibar/"
}
|
Majina ya wanafunzi ambao hawajachaguliwa kujiunga na vyuo, Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi orodha ya waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti mwaka wa masomo 2012/2013 m. Be best in best hope ™: majina yote ya waliochaguliwa, Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi orodha ya waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti mwaka wa masomo 2012/2013 m. Majina ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano na vyuo, Pls wizara kuweni ogranise mpaka muda huu hatujapata form zaq wanafunzi mliowapangia shule kwa kujiunga na kidato cha tano kama shule ya songwa girl secondary(musoma.
Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano, vyuo, Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano, vyuo ufundi na chuo cha 'manegement' na maendeleo ya maji wanafunzi kuripoti katika shule walizopangwa muhula wa. Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano na vyuo, Wanafunzi waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti kwenye shule walizopangiwa kuanzia tarehe 10 julai 2014 na mwisho wa kuripoti ni tarehe 30 julai 2014.. Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu dodoma, Bofya hapa kupata matokeo kidato cha nne 2013 bofya hapa kupata matokeo ya qt 2013 baraza la mitihani tanzania (necta) limetoa.
Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya, Maelekezo muhimu: wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu mwaka wa masomo 2013/2014 wanatakiwa kuripoti katika vyuo walivyopangiwa tarehe 15. Jambo tz: angalia waliochaguliwa kujiunga na kidato cha, Askofu na nabii george david ‘geordavie’ wa kanisa la geordavie ministry ‘ngurumo ya upako’ lililoko jijini arusha na kawe, dar hivi kari. Demasho: wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha, Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa kidato cha tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza mwezi julai. wanafunzi wamepangwa katika shule zenye miundombinu na walimu.
|
<urn:uuid:1ed9f622-1a11-4c29-b975-a84d5a75dee1>
|
{
"date": "2014-08-02T01:16:38Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510275463.39/warc/CC-MAIN-20140728011755-00146-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9597285389900208,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 1,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9597285389900208, \"swc_Latn_score\": 0.034901730716228485}",
"url": "http://duoliphotography.com/duoli-photo/waliochaguliwa-kujiunga-na-vyuo-vikuu-tanzania-2014.html"
}
|
UM yatoa nyongeza ya dola Milioni 23 kutokomeza Kipindupindu HaitiKusikiliza /
Ugonjwa wa Kipindupindu umeendelea kuwa tishio nchini Haiti hali iliyolazimu Umoja wa Mataifa kutoa nyongeza ya dola Milioni 23 zaidi kusaidia vita dhidi ya ugonjwa huo.
Nyongeza hiyo inajazia kiasi cha dola Milioni 118 ambazo Umoja wa Mataifa umeshatumia hadi sasa kwa ajili ya kupambana na ugonjwa huo nchini Haiti.
Nigel Fisher ni Naibu mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Haiti.
(SAUTI YA NIGEL FISHER)
Haiti inahitaji karibu dola Milioni 500 kwa kipindi cha miaka miwili ijayo kusaidia mpango wake wa kitaifa wa kujikwamua kutoka katika majanga yaliyoikumba ikiwemo ukame na vimbunga.
|
<urn:uuid:552bf0a6-60de-4d5f-92ea-aece7dfbfc89>
|
{
"date": "2014-07-24T20:22:43Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997891176.68/warc/CC-MAIN-20140722025811-00049-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9918863773345947,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 31,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9918863773345947}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/12/um-yatoa-nyongeza-ya-dola-milioni-23-kutokomeza-kipindupindu-haiti/"
}
|
Tuesday, May 7, 2013
VIDEO YA KILICHOTOKEA KATI YA CHIDI NA PINA NDANI YA MAISHA CLUB NA ALICHOKISEMA CHIDI BENZ
"mimi jana nilienda maisha mida flani kama ya saa tisa hivi sawa, nikamuona yule Nikki mbishi, halafu nikaona aaah sijawahi kumpa sapoti hafu mbali ya hiyo, namsikiaga kuna mtu anatutukanaga, anamtukanaga Nikki Mbishi yule mtoto ananitukanaga na mimi unanielewa, kwahiyo nikasema anyway for the support, na yule ni kama mdogo wangu, mi natokea pale kwenye stage, i know kwa kawaida mi nikitokea sehem lazima watu washangilie sana na watu wameshangilia sana ile club maisha, so nia yangu ilikua mimi pale ni kuchukua ile mic, ki ukweli hata nilikua sijui ni show ya nani, nachojua nikwamba nilimuona Nikki nikazunguka halafu kutoka VIP kwa nia moja yaani kabisa kwamba namfata yule Nikki pale nikitokea stage najua watu watapiga yowe nampa sapoti pale nachana nini bana sapoti kwa Nikki Mbishi nini halafu mimi najikata, nikachukua mic kwa zilla ni kwamba watu wameshangilia nikapiga verse kidogo pale watu wakashangilia, nikataka kusema bwana shout out kwa nikki mbishi nimependa show yake anavyofanya..........
kumbe ile show ni ya kina Pina na wala hakuna ubaya mimi kupanda stage na kutaka pale kutoa shout out eidha kwa Nikki au kwa yeye Kala Pina au msanii yoyote yule ambae namzuka nao kwa hiyo pina na wenzie wametokea kwa nyuma mmoja akanisukuma pina ye akanipiga ngumi, nilikua namsikia mtu kama anasema asiehusika na hii show ashuke, sikujua kama ni kala pina, ningejua kama ni yeye ningejua ni ize yeye ni msanii wa hiphop na mi ni msanii wa hiphop.
kumpiga mtu ni hali ya wewe na yeye mpigane puuuh puuuh puuuh mtu mbili halafu ukanipiga, ndio uwaambie watu umempiga Chidi Benz, sio nyie mmetokea kwa nyuma, mgongoni kwangu huku mmekuja mkanisukuma mmoja kanipiga ngumi, mpo ishirini sijui wangapi show yenu kumbe maisha club, mnasema mmenipiga???? we unaonge mtu umempiga
hakuna mtu ambae hajui, hakuna msanii ambae hajui, zamanai nilikua nagombana na kina pina kwasababu walikuwa wanawaonea wasanii, walishawaonea wakina mangwea, o ten, mimi nipo na kina FA namkimbiza pina na kundi lake mimi, yeye na anajua, so mi hapa hajawa hata mara moja kunichengua, wao wameshawahi kufanya ugomvi na mimi msasani club, mimi peke yangu wao kibao na wakanishindwa umenielewa sijui, kwa hiyo pina sio kwamba mimi ananiweza yule ni jitu tu na manyama yake kibao"
at 5:29 AM
|
<urn:uuid:489e3d43-f703-40ea-b5b1-598a5a98cd81>
|
{
"date": "2014-07-26T15:09:37Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997902579.5/warc/CC-MAIN-20140722025822-00237-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9820021390914917,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 25,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9820021390914917, \"ssw_Latn_score\": 0.010089278221130371}",
"url": "http://www.djfettytz.com/2013/05/video-ya-kilichotokea-kati-ya-chidi-na.html"
}
|
Gulf News
|Aina||Gazeti la Kila Siku|
|Mmiliki||Al Nisr Publishing|
|Mhariri||Abdulhamid Ahmad|
|Ilianzishwa||1978|
|Makao Makuu||Makao Makuu ya Gulf News
|
Barabara ya Sheikh Zayed
Dubai, UAE
|Uenezeshaji||115,366 Kila Siku|
|Tovitu Rasmi||gulfnews.com|
Gulf News ni gazeti la kila siku ya lugha ya Kiingereza inayochapishwa kutoka Dubai, katika Falme za Kiarabu lililo na wasomaji zaidi ya 115.000 kulingana na takwimu zilizokusanywa na BPA mwaka 2008. [1] Gazeti hili lilishinda tuzo la Asia - Pacific la uzalishaji bora zaidi wa gazetti mwezi Julai 1990.
Yaliyomo
Historia ya awali[hariri | hariri chanzo]
Gulf News ilizinduliwa mara ya kwanza katika muundo wa tabloid tarehe 30 Septemba 1978 na mfanyabiashara maarufu wa UAE, Abdul Wahab Galadari; ofisi zake zilikuwa kwenye barabara ya Airport Road, Dubai. Mnamo Novemba 1984, wafanyabiashara watatu mashuhuri wa UAE, waliinunua kampuni na wakaunda kampuni ya Al Nisr Publishing. Wamiliki wapya wa jarida walikuwa Obaid Humaid Al Tayer, Abdullah Al Rostamani na Juma Al Majid. Kufuatia kifo cha Abdullah Al Rostamani mwaka 2006, nafasi yake katika bodi inashikiliwa na mchaguliwa wa familia yake wakati wakurugenzi wengine walibaki.
Chini ya umiliki mpya, Gulf News ilizinduliwa upya tarehe 10 Desemba 1985 na ilikuwa bure kwa umma. Kuanzia Februari 1986, umma ulilipishwa Dirham moja (dola senti 27) kwa paketi ya Gulf News ambayo ilikuwa na gazeti lenyewe na sehemu ndogo ya burudani iitwayo Tabloid, ambayo ilikuwa pia na matangazo.
Baada ya kuhamia makao mapya mwaka 1986, Gulf News ilianza kusambazwa katika nchi zingine za GCC: Bahrain kuanzia Septemba 1987; Oman kuanzia Aprili 1989; Saudi Arabia Machi 1989; na Qatar kuanzia Aprili 1989. Pia ikawa inapatikana nchini Pakistan kuanzia Agosti 1988. Mnamo Novemba 1995 upana wa majikaratasi ya jarida ulipunguzwa kwa sentimita nne, ili kuipa upana mpya wa kimataifa wa sentimita 38.
Ofisi za Kigeni[hariri | hariri chanzo]
Ili kutoa huduma bora kwa wasomaji wake, Gulf News ilifungua ofisi mbalimbali kote United Arab Emirates, GCC na bara-ngogo yake. Ofisi ya Abu Dhabi ilifunguliwa mwaka 1982; ofisi ya Bahrain mwezi Januari 1988; ofisi ya Oman mwaka 1989; ofisi ya Manila mwezi Agosti 1990; ofisi ya Al Ain mwaka 1994; ofisi ya Sharjah mwezi Mei 1995; na ofisi ya New Delhi mwezi Novemba 1995.
Toleo la kwanza la Gulf News kwenye tovuti lilizinduliwa tarehe 1 Septemba 1996.
Gulf News walihamia kwenye makao yao makuu ya sasa katika Barabara ya Sheikh Zayed tarehe Aprili 2000. Makao makuu ya sasa yako na vifaa vya kisasa kila mahali, pamoja na mtandao wa fiber-optic na moja ya vituo vya uchapishaji vyenye teknolojia ya hali ya juu kabisa katika Mashariki ya Kati.
Udhamini & Uendelezaji[hariri | hariri chanzo]
Gulf News ilikuwa gazeti la kwanza katika kanda kuendeleza sanaa, utamaduni, muziki na michezo kupitia udhamini wa matukio. Mnamo Machi 1989 Gulf News ilianza Ghuba Business Awards kwa kushirikiana na DHL kwa CEO bora zaidi na mfanyibiashara. Mradi huu ulikomeshwa mwaka 1996.
Tukio maarufu la News Fun Drive ulianza Machi 1986. Tukio la Fun Drive la 26 lilifanyika mwezi Desemba 2006 na uliona magari 750 na zaidi ya washiriki 2800.
Tukio lingine kubwa ni Mashindano ya kombe la Dunia ya Farasiya dola milioni 6, ambalo hujumuisha mashindano saba bora na hujumuisha shindano la farasi wa Waarabu 'Purebred'. Gulf News linadhamini shindano la dola milioni 2 la Dubai Golden Shaheen, mbio za kikundi cha kwanza ambalo ni vutio kuu, katika mkutano. Gulf News pia hudhamini shindano nzima la jioni la farasi huko Nad Al Sheba, na kila mbio hupewa jina baada ya gazeti yao moja.
Jarida pia hudhamini idadi ya matukio ya michezo nyingine kubwa katika UAE, vilevile semina na mikutano. Maarufu kati ya haya ni Mkutano wa Mikakati ya Kiarabu, ambapo viongozi katika sekta ya siasa hukusanyika kujadili matukio yanayoathiri kanda.
Jukumu katika Kupigwa marufuku kwa Orkut[hariri | hariri chanzo]
Tarehe 3 Julai 2007, Gulf News walirejerea suala la "shughuli zisizo na maadili" za jamii za Orkut, makichapisha malalamiko kutoka kwa wanachama wa jumuiya ya umma dhidi ya jamii za Orkut kama "Dubai Sex", na kuleta malalamiko rasmi kwa shirika la mtandao la Etisalat [1]. Hofu ya maadili iliyofuata ilifanya kupigwa marufuku upya ka tovuti hiyo na Etisalat tarehe 4 Julai 2007 [2]
Makanushi ya Holocaust[hariri | hariri chanzo]
Tarehe 4 Januari 2009, makala iliyochapishwa na Dr Muhammad Abdullah Al Mutawa, wa sosholojia katika Chuo Kikuu cha Al Ain UAE ambayo ilisema kwamba Nazi "Holocaust ilikuwa uwongo tu uliokuwa uumebuniwa na Zionists ili kusaliti ubinadamu." Iliendelea "Ni dhahiri kwamba ilikuwa ni njama iliyopangwa na Zionists na Nazis, na watu wengi wasio na hatia walitoa maisha yao kutokana na njama hii ya unyama." Wahariri baadaye walisema ilikuwa utafsiri mbaya kutoka Kiarabu.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- [2] ^ Orkut.com 'yatumiwa kwa shughuli zisizo na maadili' Gulf News 3 Julai 2007
- [3] ^ Orkut.com kupigwa marufuku katika UAE Gulf News 4 Julai 2007
|
<urn:uuid:975d5283-d4a0-45c0-a9f6-0bb08c8a7efd>
|
{
"date": "2014-07-29T10:59:24Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510267075.55/warc/CC-MAIN-20140728011747-00026-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9961493611335754,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 68,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9961493611335754}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Gulf_News"
}
|
Ziwa Kyoga
|Ziwa Kyoga|
|
|
|Mahali||{{{mahali}}}|
|Nchi zinazopakana||{{{nchi}}}|
|Eneo la maji||{{{eneo}}}|
|Kina ya chini||{{{kina}}}|
|Mito inayoingia||{{{mito inayoingia}}}|
|Mito inayotoka||{{{mito inayotoka}}}|
|Kimo cha uwiano wa maji juu ya UB||{{{kimo}}}|
|Miji mikubwa ufukoni||{{{miji}}}|
Ziwa Kyoga (pia huandikwa Kioga) ni ziwa kubwa na kina kifupi katika Uganda, karibu 1,720 km ² katika eneo na mwinuko wa 914 m Viktoria Nile hupitia katika ziwa hili katika njia yake kutoka Ziwa Victoria na kuelekea Ziwa Albert. Chanzo kuu kutoka Ziwa Victoria hudhibitiwa na Kituo cha stima cha Nalubaale katika Jinja. Chanzo kingine cha maji ni kanda ya Mlima Elgon kwenye mpaka kati ya Uganda na Kenya. Hata kama Ziwa Kyoga ni sehemu ya mfumo wa Maziwa Makuu, haichukuliwi kama Ziwa kuu. Ziwa Kwania iko karibu.
Upeo wa kina cha Ziwa huwa karibu mita 5.7, nakaribu lote huwa chini ya 4 m . Maeneo chini 3 m huwa na mimea ya maji , wakati eneo kubwa la pwani kinamasi huwa na papyrus na mimea ya majini. Mimea hii pia huunda visiwa vinavyootea ambavyo husonga katikati ya visiwa vidogo vya kudumu. Maeneo yaliyo na maji ambayo hutoa maji kutoka mito huzunguka ziwa hili . Ziwa Kwania ni ziwa ndogo lakini lenye kina kirefu.
Mvua zaidi ya El Ninokatika 1997-1998 ulisababisha ngazi za juu za maji,na kuzidisha ukuaji wa papyrus na mimea ya majini`ambayo iliunda mikeka na kufunga mdomo wa Victoria Nile. Kufungana huku kulisababisha ngazi ya maji kupanda juu zaidi, mafuriko karibu 580 km ² za ardhi iliyozunguka eneo hili(DWD 2002) na kusababisha watu kukimbia makazi yao na uharibifu wa uchumi. Mwaka wa 2004, serikali ya Misri ilitunza Uganda dola milioni 13 kurekebisha mtiririko wa mto Nile katika Ziwa Kyoga. As of 2005[update] mdomo huu bado umefungwa.[onesha uthibitisho]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- DWD (2002) Utayarishaji wa El Nino katika Ziwa Kyoga na maeneo mengine yanayofurika nchini Uganda. Kurugenzi ya Maji na Maendeleo. Wizara ya Maji, Ardhi na Mazingira, Entebbe, Uganda.
- Ilm (2004) kusaidia katika Usimamizi wa k Sudd katika Ziwa Kyoga. Iliyotolewa na Mradi wa Mazingira ya Ziwa na Kituo cha Mazingira cha Finland, EIA Ltd (Toleo la PDF kwenye mtandao)
- Twongo, T. (2001) uvuvi na mazingira ya Maziwa ya Kyoga . Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (FIRRI), Jinja, Uganda.
- Kumbukumbu ya Maziwa Duniani kiingilio cha Ziwa Kyoga
|
<urn:uuid:a6f80fdf-6800-434b-b103-64cfde500341>
|
{
"date": "2014-07-30T19:17:55Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510271648.4/warc/CC-MAIN-20140728011751-00074-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9978657364845276,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 44,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9978657364845276}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Ziwa_Kyoga"
}
|
IJUE AFYA YAKO
Je, unaweza kupona bila dawa?
MAGONJWA mengi hayahitaji tiba. Miili ina njia mbalimbali za kukinga maradhi. Njia hizi ni bora zaidi kuliko kutumia dawa.
Magonjwa mengi, kama vile mafua na fluu hupona bila ya dawa.
Ili kusaidia kukinga na kishinda maradhi ni lazima kujimudu katika hali hizi;
- kujiweka katika hali ya usafi.
- Kula chakula bora.
- Kupumzika vya kutosha
- Kufanya kazi na mazoezi
Hata kama ugonjwa ni wa kutisha na unahitaji dawa, mwili unaopambana na ugonjwa, dawa huwa zinasaidia tu. Jambo la muhimu ni usafi, kupumzika na kula chakula bora.
Huduma za kiafya hazitegemei dawa.
Hata kama unaishi sehemu ambazo hazina dawa za kigeni, kuna mengi unayoweza kufanya ili ukinge na kutibu magonjwa mengi mradi tu, uelewe namna ya kufanya.
Magonjwa mengi yanaweza kukingwa na kutibiwa bila ya kutumia dawa.
Kama watu wanaelewa namna ya kutumia maji vizuri, itakuwa njia nzuri ya kinga na kuponyesha magonjwa bila ya kutumia dawa.
Kuponya kwa maji
Wengi tunaishi bila ya kutumia dawa lakini, hakuna hata mmoja anayeweza kuishi bila maji. Ukweli ni kwamba, zaidi ya asilimia 57 ya mwili wa mwanadamu, ni maji.
Kama kila aishiye vijijini angeweza kutumia maji vizuri, basi magonjwa na vifo hasa kwa watoto wadogo yangepungua sana.
Kwa mfano, matumizi mazuri ya maji ni msingi wa kuzuia na kutibu ugonjwa wa kuharisha. Kuharisha ni ugonjwa mkubwa na wenye kuleta vifo kwa watoto wadogo katika sehemu nyingi ulimwengu. Maji machafu husababisha ugonjwa huu pia.
Njia mojawapo muhimu ya kuepuka ugonjwa huu wa kuharisha ni kuchemsha maji ya kunywa na kupikia hasa kwa ajili ya watoto wachanga.
Chupa ya maziwa na vyombo vingine vya mtoto mchanga, vinabidi pia vichemshwe kabla na baada ya kutumiwa.
Mikono lazima ioshwe kwa sabuni baada ya kutoka msalani, kabla ya kula chakula.
Ukosefu wa maji mwilini ni sababu kubwa ya vifo kwa watoto wenye ugonjwa wa kuharisha.
Kama mtoto anapewa maji mengi yenye chumvi na sukari na asali kidogo, hii itakinga na hata kutibu upungufu wa maji mwilini.
Kumpa mtoto mwenye kuharisha maji mengi, itamfaa zaidi kuliko dawa. Ukweli ni kuwa umpapo maji ya kutosha hutahitaji kumpa dawa yoyote ya kutibu kuharisha.
Nyakati ambazo matumizi mazuri ya maji yanasaidia zaidi kuliko dawa.
Kuhara, minyoo, ugonjwa wa tumbo namna ya kukinga, tumia maji, chemsha maji ya kunywa, osha mikono.
- Ugonjwa wa ngozi
- Oga kila siku
- Vidonda vyenye usaha, pepopunda; osha vidonda kwa maji na sabuni
Kutibu:
Kuharisha na upungufu wa maji mwilini, tumia maji, kunywa maji mengi.
-Homa; Osha kiwiliwili na maji baridi
-Homa kali
-Ogesha kiwiliwili kwa maji baridi
-Mkojo mchafu (hasa kwa akinamama)
-Kunywa maji mengi
-Kukohoa, pumu, nimonia, kifaduro - kunywa maji mengi na fukiza mvuke wa maji ya moto.
-Vidonda, baka la ngozi au kichwa na chunusi
-Sugua kwa maji ya sabuni.
-Madonda ya vijidudu yanayochonota - kanda kwa maji ya moto.
-Maumivu ya misuli na viungo
-Kanda kwa maji moto
-Kuwashwa na malengelenge ya ngozi
-Kanda kwa maji baridi.
Kuungua moto kidogo
- Paweke ndani ya maji baridi.
- Magogore au mafindofindo(sore throat au tonsillitis)
- Sukutua maji moto ya chumvi.
- Esidi au takataka iliyoingia jichoni - osha upesi kwa maji baridi.
Mafua - vuta maji ya chumvi
-Kuvimbiwa na kupata choo kigumu
-Kunywa maji mengi, pia kuinika ni bora kuliko dawa za kulainisha choo. Usitumie mara kwa mara).
Kwa kila mfano uliotolewa awali,(isipokuwa nimonia), inaonesha kwamba kama maji yatatumiwa vizuri mara nyingi, dawa hazitahitajika.
Somo hili litapanua mawazo mbalimbali ya kuweza kuponyesa bila kutumia dawa. Tumia dawa tu, kama zinahitajika kweli.
Matumizi mazuri na mabaya ya madawa ya kisasa
Baadhi ya madawa yanayouzwa na mkemia au maduka ya vijijini, husaidia sana.
Watu wengine wana tabia ya kutumia dawa nzuri vibaya na hii humuumiza mgonjwa ili dawa iweze kufanya kazi yake ni lazima itumiwe vizuri.
Watu wengi wakiwemo madaktari na waganga, hutoa dawa nyingi kuliko inavyotakiwa na kufanya hivyo, huzidisha magonjwa na vifo.
Kuna hatari katika matumizi ya madawa.
Dawa fulani zina hatari zaidi kuliko nyingine. Lakini, watu wengine hutumia dawa zenye hatari kwa magonjwa madogo madogo tu.
Watoto wengi wamekuwa wakipoteza maisha kwa sababu mama yake alimpa dawa ya hatari "Chlorophenical" eti kutibu mafua tu. Usitumie dawa yenye hatari kwa ugonjwa mdogo.
Mwongozo wa kutumia dawa:
- Tumia dawa tu, ikiwa ni lazima.
- Kila dawa uitumiayo, ni lazima ufahamu matumizi yake barabara na namna ya kujihadhari.
- Hakikisha unatumia kipimo kamili.
- Kama dawa haisaidii au inaleta matatizo, usiitumie tena
- Kama huna hakika, muone mganga.
Hatari za kutumia dawa vibaya
Hii ni orodha ya makosa ya kawaida tunayofanya tunapotumia madawa ya kisasa. Matumizi mabaya ya madawa yafuatayo yanaleta vifo kila mwaka, kuwa mwangalifu Chloramphenical (chloromycetin) - Kwa bahati mbaya, dawa hii hupendelewa sana kutumiwa kwa magonjwa madogo madogo kama vile kuharisha. Hii, ni hatari sana.
- Dawa hii inatumika kutibu magonjwa kama vile homa ya matumbo. Isitolewe kwa watoto wachanga.
- Oxtocin(pitocin) pituitrin na Ergonovine (Ergotrate) - kwa bahati mbaya wakunga hutumia dawa hizo kuharakisha kuzaliwa kwa mtoto au kumpa nguvu mzazi wakati akiwa na uchungu wa kujifungua.
Matumizi ya namna hii yana hatari sana. Unaweza kumwua mama au mtoto. Zitumie tu, kwa kuzuia kutoka damu baada ya mtoto kuzaliwa.
- Sindano za dawa: Imani kuwa sindano ni bora kuliko vidonge si ya kweli. Mara nyingi dawa za kunywa zinafanya kazi vizuri zaidi kupita sindano. Pia, dawa nyingi zitolewazo kwa sindano huhatarisha maisha kuliko za kunywa. Matumizi ya sindano lazima yapunguzwe.
- Penisilini: Penisilini hufanya kazi kwa magonjwa fulani ya kuambukiza. Ni makosa kutumia dawa hii kwa shida za kustuka misuli, kujiponda, aina yoyote ya maumivu au homa.
Kwa kawaida, majeraha yoyote ambayo hayakuchubua ngozi, ijapokuwa kuna uvimbe mkubwa ni vigumu vijidudu kuingia kwa hivyo hakuna haja ya kutumia penisilini au dawa nyingine yoyote ya kuua wadudu.
Penisilini ina hatari kwa watu wengine. Kabla ya kuitumia lazima ufahamu hatari zake na namna ya kuzizuia.
- Sindano za Penisilini na Streptomisini (zina majina mengine mengi)- Dawa hizi hutumika sana na mara nyingi kwa magonjwa yasiyohusika. Dawa hizi zisitumiwe kwa mtu aliye na mafua kwa sababu haziponyeshi ugonjwa wa mafua au fluu, zinaweza kusababisha matiti makubwa wakati mwingine, kuzimia au kifo, zikizidi kutumiwa ovyo ovyo, zitafanya magonjwa kama kifua kikuu na magonjwa mengine ya hatari yasiyoweza kuponyeka.
Vitamini B12; Dawa hii haisaidii kutibu ukosefu wa damu au udhaifu isipokuwa kwa wagonjwa wachache tu. Inaweza kutumika tu, kama mganga ndiye karuhusu baada ya vipimo vya damu. Karibu magonjwa mengi ya damu yanatibiwa kwa kutumia vidonge vya madini ya chuma (Ferrous Sulphate).
Vitamini Nyinginezo: Kwa kawaida, usidunge sindano za vitamini. Sindano hizo zina hatari, ni ghali na hazifanyi kazi yake vizuri kama vidonge.
Bahati mbaya, watu wengi hupoteza fedha zao kwa kununua dawa za maji ambazo zinasemekana zina vitamini. Ukweli ni kwamba nyingi kati ya dawa hizo hazina vitamini. Hata kama zingekuwa navyo ni afadhali kununua chakula kingi na kilicho bora.
Kujenga na kuhifadhi mwili kunahitaji vyakula kama mayai, nyama, matunda, mboga za majani na nafaka; ambavyo vyote vina vitamini na nguvu za kukuza mwili. Mtu mwembamba na aliyedhoofika akipewa chakula bora mara kwa mara, kitamsaidia sana kuliko kumpa vitamini na chumvi chumvi.
Mtu anayekula vizuri hahitaji nyongeza ya vitamini.
Njia bora ya kupata vitamini.
Kumbuka:
Waganga na madaktari wengine, hutoa dawa wakati hazihitajiki mara kwa mara ni kwa sababu wanafikiri kuwa, wagonjwa wanatazamia kupata dawa na hawataridhika kama hawatapewa.
Ni vizuri kuwaomba daktari au mganga wako dawa wakati unapohitaji tu, la sivyo, unaweza kuharibu afya yako.
Tumia dawa ukiwa na hakika kuwa inahitajika na ukiwa na huku ikiwa na uhakika namna ya kuitumia.
Kalsium
Kuna hatari kubwa sana kumpiga mgonjwa sindano ya Kalsium kwa kutumia mshipa wa damu. Kama njia hii inatumika, ni lazima dawa inyunyizwe taratibu sana. La sivyo, itaua mara moja. Ukipiga matakoni, inaweza kusababisha jipu.
Usipige sindano ya kalsium kabla hujapata ushauri kutoka kwa mganga.
Kumbuka:
Huko Mexico na katika nchi nyingine ambako watu hutumia sana mahindi au vyakula vilivyotayarishwa na kuchanganywa na chokaa, haifai kutumia sindano, au vidonge vya kalsium (kwani mara nyingi hutolewa ili kurejesha nguvu ya mwili au kusaidia kukua kwa mtoto).
Mwili hupata kalsium inayohitajika kutokana na chokaa.
Kulisha kwa kutumia mishipa ya damu
Katika sehemu nyingine, watu walio na ukosefu wa damu au wadhaifu sana, hutumia fedha zao hadi senti ya mwisho kwa ajili ya kuwekewa dawa za maji katika mishipa yao ya damu.
Wanaamini kuwa kufanyiwa hivyo, kutawafanya wawe na nguvu za kuwa na damu safi. Lakini, wanajidanganya.
Hakuna kitu chochote katika dawa hii inayotolewa kupitia katika mshipa wa damu isipokuwa, ni maji matupu pamoja na chumvi chumvi au sukari. Haiongezi nguvu kuliko kipande kikubwa cha pipi na inafanya damu iwe nyepesi na sio nzito kama vile wanavyofikiria.
Haiponyeshi upungufu wa damu wala kumfanya mnyonge kuwa mwenye nguvu.
Na kama inatolewa na mtu asiye na ujuzi, kuna hatari ya kuingia vijidudu vibaya katika damu, na hii inaweza kumwua mgonjwa.
Dawa hii itumike tu, kwa mtu ambaye hawezi au haruhusiwi kula au ana ukosefu mkubwa wa maji mwilini.
Kama mgonjwa anaweza kumeza, mpe maji yaliyochanganywa na sukari pamoja na chumvi kiasi kipatacho painti mbili(tazama vinywaji vya kurudisha maji) - Dehydration drink, itamsaidia sana kuliko ukimpa kwa kupitisha katika mshipa wa damu.
Kwa wale ambao wanaweza kula, wanaweza kupata nguvu za kutosha kwa kula chakula bora kuliko kutumia aina yoyote ya dawa za maji zinazolishiwa kwa njia ya mishipa ya damu.
Kama mgonjwa anaweza kumeza na kuyahifadhi maji tumboni
Dawa za kuharisha na kulainisha tumbo
Wakati wowote kuna hatari ikiwa utampa mtoto au mtu mzima aliye mdhaifu mwenye ukosefu wa maji mwilini au mwenye tumbo la kusokota, dawa ya kuharisha au kulainisha tumbo.
Kwa bahati mbaya, watu wengi wana imani kuwa dawa ya kuharisha inamrudishia mtu afya nzuri au inasafisha vitu vyote mwilini. Sura ya kwanza imeelezea kuwa dawa za kuharisha au dawa za kulainisha tumbo, zinaleta matatizo zaidi kuliko inavyotegemewa.
Ni Wakati gani dawa zisitumike?
Watu wengi wanaamini kuwa kuna vitu ambavyo hawawezi kufanya au kula wakati wanapotumia dawa.
Kwa sababu hii, wanaweza kuacha kutumia dawa ambazo inabidi watumie.
Ukweli ni kwamba hakuna dawa ambayo inaweza kuleta madhara eti kwa sababu imenywewa wakati wa kula chakula fulani- hata kama iwe ni nyama ya nguruwe, pilipili, mapera, machungwa au chakula cha aina yeyote.
Lakini, vyakula vyenye mafuta au viungo, vinaweza kukuletea tatizo la tumbo hata kama hukumeza dawa. Kuna dawa nyingine zinaweza kudhuru iwapo mtu atakunywa pombe.
Kuna nyakati ambapo si vizuri kutumia dawa, kwa mfano:
- Mjamzito au mama mwenye kunyonyesha, hana budi kuepuka dawa ambazo si lazima atumie (lakini anaweza kutumia vitamini na vidonge vya damu bila kudhuru chochote).
- Kwa upande wa watoto wachanga ni vizuri kuwa mwangalifu sana kwa kuwapa dawa.
Ikiwezekana na afadhali upate ushauri wa waganga kabla ya kuwapa dawa yoyote.
Hakikisha huzidishi kipimo.
- Mtu yeyote ambaye amekwisha pata matatizo kama kuvimba, kuwashwa, na kadhalika, baada ya kutumia penisilini, Ampisilini, Sulfonamide au dawa nyingine zozote, inambidi aache kabisa kutumia dawa hiyo kwa muda wa maisha yake yote kwa sababu inaweza kumletea hatari kubwa.
- Kuna dawa maalumu ambazo ukizitumia, zinadhuru wakati ukiwa na ugonjwa fulani kwa mfano mtu mwenye ugonjwa wa ini, hatibiwi na dawa za kuua vijidudu au dawa zozote kali, kwa sababu ini halifanyi kazi hivyo, dawa hizo zinaweza kudhuru mwili.
- Watu ambao wamepungukiwa maji ya mwili au wana ugonjwa wa figo, ni lazima wawe waangalifu wa dawa wanazotumia.
Usitoe zaidi ya kipimo kimoja cha dawa ambayo inaweza kudhuru mwili mpaka uwe na uhakika kama mgonjwa anakwenda haja ndogo kama kawaida.
Ubinafsi katika jamii ni nini?
lLakini kwanini upo
Na Erasto Duwe, Songea
UBINAFSI ni neno linalofahamika na kutumiwa na watu wengi katika maisha ya kila siku.
Ubinafsi ni ile hali ya mtu mmoja au kundi la watu fulani kumiliki, au kuhodhi kitu au mali ya jumuiya kwa manufaa yao binafsi.
Kwa mali ya jumuiya, inabidi itumike kwa manufaa na maendeleo ya jumuiya nzima inayohusika ikiwa kinyume chake, basi huo ndio tunaoita, UBINAFSI au UMIMI.
Ladha ya ubinafsi
Ubinafsi kwake afanyaye mali ya jumuiya kuwa ni yake, ni mtamu sana kushinda utamu wa sukari, kwani ubinafsi huo humletea mbinafsi manufaa katika nafsi yake kadiri ya matakwa yake.
Kwa upande mwingine, ubinafsi huo huo, ni jambo linalosababisha maumivu makali kwake au kwao wanaotendewa hivyo na hivyo, kukosewa haki zao. Tena si kwao tu, bali hata kwa wakereketwa wa haki na usawa wa binadamu.
Ubinafsi na hali halisi ya maisha
Ubinafsi kwa wenyewe, sio jambo zuri kwani unakosea haki za binadamu. Matatizo mengi yaliyopo katika jamii na yanayoendelea kutokea, chanzo chake kikubwa ni ubinafsi.
Mathalani, mafarakano na msambaratiko wa watu katika jamii hutokana na ubinafsi wa pande fulani za watu. Tatizo sugu la rushwa linalozidi kushamiri na kukita mizizi yake katika jamii, sababu yake kubwa ni ubinafsi.
Watu huzifikiria kwanza nafsi zao badala ya kutoa misaada kwa wahitaji, bila "kitu kidogo", huduma haipatikani.
Jamii zetu zinakosa maendeleo na kuzidi kudidimia tu, kwa sababu ya "umimi.
Tatizo sugu la vita vinavyotokea kati ya mataifa, ukichunguza kwa undani na kufuatilia, utagundua kuwa, chanzo kikubwa ni ubinafsi.
Hakuna anayetaka kujishusha mbele ya mwenziye kila mmoja anataka aoneshe "ubabe" wake mbele ya mwenzake.
Matokeo yake, ndiyo migongano kadha wa kadha katika jamii.
Ubinafsi na Maandiko Matakatifu.
Maandiko Matakatifu yanapinga ubinafsi na hata kuonesha wazi adhabu yake.
Yanatudai, kutusihi na hata kutuomba kuwa na amani, upendano na ushirikiano kati yetu.
Katika kitabu cha MATENDO YA MITUME tunasoma hivi, "Jumuiya yote ya waamini ilikuwa na moyo na roho moja. Hakuna mmoja aliyekuwa na kitu chochote akikiweka kuwa mali yake binafsi ila, waligawana vyote walivyokuwa navyo..." (Mdo 4:32-36).
Katika fasuli ya tano ya kitabu hichohicho, tunaona kuwa, waliotenda dhambi ya ubinafsi na kumdanganya Roho Mtakatifu, wanapata adhabu ya kifo.
Hao ndio anania na Safira.
Twamsikia Petro akiuliza, "Anania, mbona shetani ameuingia moyo wako na kukufanya udanganye Roho Mtakatifu kwa kujiwekea sehemu ya fedha ulizopata kutokana na lile shamba?... Anania aliposikia hayo alianguka chini akafa..." ndiyo mambo yalivyokuwa kwa Safira mkewe.
Soma(Mdo 5:1-11). Zipo sura nyingi za Maandiko Matakatifu zinazoelezea kosa hili la ubinafsi na mapato yake ambayo daima ni mahangaiko.
Hali halisi na ushauri nasaha.
Ubinafsi sio jambo zuri, ni kinyume kabisa na haki za binadamu. Tena, ni kinyume kabisa na Amri Kuu ya Mapendo, inayotusihi kuwapenda wenzetu kama tunavyojipenda sisi wenyewe au kama tunavyozipenda nafsi zetu.
Ubinafsi unarudisha nyuma maendeleo ya kimwili na kiroho(rejea Anania na Safira) Tena, ubinafsi huo hatima yake ni mahangaiko makubwa. Ubinafsi huzua mitafaruku, mafarakano na misambaratiko.
Katika wenzetu, tuuone uso wa Mungu na hivi tuishi kwa mapendo kidogo kiwacho na kikubwa kitumike kwa ajili ya manufaa ya jumuiya nzima na sio kwa manufaa ya mmoja au wachache.
Changamoto la Utamadunisho Barani Afrika
Na John Mbonde
UTAMADUNI ni dhana pana ikiwa ni pamoja na kukua na kukomaa kwa akili na mwili wa binadamu kutokana na mafunzo au uzoefu wa kutenda kazi.
Utamaduni unaoanisha mfumo mzima wa maisha kwa kadiri ya mila, desturi na mapokeo ya mang’amuzi ya jamii.
Kwa hiyo, utamaduni unagusa nyanja mbalimbali za maisha ya kila siku ya binadamu kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine.
Mathalani, utamaduni wa mavazi, chakula, kazi, malazi, ndoa, malezi ya watoto na urithishaji wa tunu mbalimbali za koo na makabila ya jamii. Tunu hizo ni pamoja na imani(dini) na miiko na mistakabali yao.
Suala la utamadunisho katika uenezai wa Habari Njema, lilipewa msukumo mpya na wa pekee wakati wa sinodi ya Afrika.
Papa Yohane Paulo wa II katika kuiwasilisha Sinodi nyumbani yaani barani Afrika, pamoja na mambo mengine, alitilia mkazo suala la umuhimu wa utamaduni.
"Utamadunisho ni mwendo wa kuelekea kwa uenezaji Injili kamili. Unatafuta kuandaa watu kupokea ujumbe wa Yesu Kristo kwa jumla. Unawagusa kibinafsi, kijamii, kitamaduni, kiuchumi na kisiasa; ndipo waishi maisha ya utakatifu kwa muungano na Mungu Baba kupitia tendo la Roho Mtakatifu." (Na. 62 Kanisa Barani Afrika uk. 47).
Hivi karibuni timu maalumu ya wataalamu wawili ya Kamati ya Kuhamasisha Roho ya Umisionari(MAC), iliendesha semina mbili moja mjini Moshi na nyingine mjini Arusha ambayo ilihudhuriwa na waseminari wanaojifunza falsafa na Mashirika ya Kitawa saba tofauti.
Awali semina iliyofanyika kwenye Chuo cha Don Bosco cha Wasalesiani huko Moshi. Washiriki wake walikuwa wakitoka katika nchi za Nigeria, Ghana, Siera Leone, Kenya, Uganda, Sudan na Tanzania.
Hapa palikuwa na mchanganyiko mkubwa wa tamaduni tofauti za Afrika Magharibi, Kati na Mashariki.
Kule Arusha, chini ya uongozi wa Seminari Kuu ya Spiritani, iliyopo Njiro, jumla ya washiriki 122 watawa wa kiume na wa kike, walihudhuria na kupata changamoto mintarafu mada zile zile.
-Fasihi Simulizi ya Kiafrika ni chemichemi tajiri ya Falsafa na Teolojia ya Kiafrika.
-Teolojia simulizi ya Kiafrika kutoka methali, misemo, hadithi na nyimbo.
-Tofauti na msingi juu ya mwito na haiba, ujumbe, kanisa la mahali utamadunisho na wajibu wake barani Afrika.
-Tathmini ya utekelezaji wa maadhimisho ya Jubilei Kuu ya mwaka 2000 jimboni Moshi.
-Athari ya vyombo vya kisasa vya habari katika suala la Uinjilishaji.
-Jubilei Kuu ya mwaka 2000 ujumbe wake na jinsi unavyoenda sambamba na mwanzo wa Karne ya 21.
-Misemo ya vijana wa mijini katika Afrika Mashariki
-Makongamano ya kimisionari na maadhimisho yaliyofanyika mjini Roma, Italia Okotba 2000.
Wanasemina kwa mvuvumko na mwamko wa pekee, walijadili maeneo muhimu ya utamaduni ambayo yangeweza kutamadunishwa hatua kwa hatua ili kuleta ari mpya ya kumpokea, kumfuasa, kumtangaza na kumuishi Yesu Kristo.
Walibaini kuwa katika fasihi simulizi ya Kiafrika, kulijaa hazina kubwa ya kuboresha na kuimarisha maisha ya Kikristo.
Hata hivyo, wanasemina walisisitiza kwamba, Kanisa la mahali lisifanye pupa au kutamadunisha kwa mitindo wa zimamoto, bali ufanyike utafiti wa kina na kwa makini zaidi, ili kuchuja na kupembua kabla ya kutekeleza.
Wakinukuu maelezo kutoka kitabu 'Kanisa Barani Afrika', bila ya kupuuza mapokeo halisi ya Kanisa la Mashariki au Magharibi, utamadunisho wa Liturujia, mradi tu haubadilishi vipengele maalumu, ufanywe ili waamini waweze kuelewa na kuishi maadhimisho ya liturujia.
Kwa kuyakumbuka haya, Sinodi ilionesha tumaini kwamba mabaraza ya maaskofu yatashirikiana na Vyuo Vikuu na Vyuo vya Elimu ya Kikatoliki, wangebuni kamati za utafiti wa mambo yanayohusu ndoa, matambiko na ulimwengu wa mambo ya kiroho ili kuchunguza kwa undani sehemu zote za utamaduni na shida kulingana na maoni ya kiteolojia, kisakramenti, kiliturujia na Sheria za Kanisa’ (Uk 48-49).
Katika vikundi vya majadiliano wanasemina walizingatia kuwa suala la umisionari ni la wabatizwa wote. Je, upi ni wajibu wa wamisionari na mashirika ya kitawa iwapo suala la utamadunisho wajibu wa waamini wazawa (wahusika wakuu na wakala) wa kanisa la mahali?
Uchambuzi na uhakiki , fasihi ya Kiswahili(2)
Tamthiliya hii, USHUHUDA WA MIFUPA, ilipata ushindi wa kwanza miongoni mwa miswada 160 iliyoshindanishwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mwaka 1989 baada ya jopo maalumu kuzichambua kwa kina chake.
Mwandishi hana budi kupongezwa kwa ubunifu wake wa wahusika wa USHUHUDA WA MIFUPA maana wanasawiri barabara hali halisi kama ilivyo katika jamii. Wahusika ni hai siyo vivuli. Mathalani, Ngariba, Mtambaji, Meneja, Dokoa, Toza, Makalikiti, Korido-Dokta, n.k. yote yanatanabaisha kwa namna moja au nyingine jinsi kila mhusika anavyomhusu awaye katika nafasi yake katika jamii.
Hali kadhalika, uhai wa mchezo umeongezewa msisimko kwa matumizi ya ngoma na muziki kama kichocheo licha ya lugha ya picha aliyotumia.
Amekuwa hodari na makini katika kujenga taswira kwa ustadi wa aina ya pekee toka mwanzo wa tamthiliya hadi mwisho wake. Igizo la aina hii, lingekuwa gumu sana kuoneshwa katika mchanganyiko wa wazazi na watoto lakini, inawezakena kwa jinsi mtunzi alivyotumia mtungo wa kitasifida kwa kupunguza makali lakini bila ya kumficha ukweli.
DHAMIRA
Dhamira kuu hasa ni kuutanabaisha umma kuhusu tishio la ugonjwa huu sugu wa UKIMWI (AIDS).
Kutokana na dhamira hii kuu, kumeibuika vijidhamira tata ambavyo vinahusisha UKWIMI :
- Uchawi na Ushirikina (Jujuoloji)
- Siasa kali (Marekani dhidi ya Cuba na Urusi)
- Suala la ndoa na mapenzi
- Mgongano wa fikra na sera potofu
- Ustaarabu wa mfumo mpya wa maisha baada ya kuingia UKIMWI.
Dhamira kuu na kuzungukwa na vijidhamira hivyo, hutoshelezana katika kuufikisha ujumbe kwa wahusika.
UCHAMBUZI
Tofauti na tamthiliya nyingine nyingi, tamthiliya USHUHUDA WA MIFUPA ina onesho moja la mfululizo ambalo lina vijisehemu fulani fulani kadiri wahusika wanavyoingia na kutoka jukwaani.
Muundo wake ni wa moja kwa moja unaozingatia dhamira moja. Mathalani, chanzo cha UKIMWI; Njia za kuambukiza; Hisia potofu dhidi ya chanzo na njia zinazosambaza ugonjwa huo; majina mbalimbali ya UKIMWI n.k.
WAHUSIKA
Wahusika katika tamthiliya USHUHUDA WA MIFUPA, wangeweza kuitwa kwa majina ya nchi wanayowakilisha. Kwa mfano, Marekani, Afrika, Cuba, Russia n.k.
Hata hivyo, wahusika wamepewa majina ya jumla kama vile: Mfupa, Mtambaji, Mtu, Mtu 1-5, Muuguzi, Daktari, Korido Dokta, Ngariba, Makalikiti, Toza, Meneja Dokoa, Mtani, wote n.k.
Baadhi ya majina ya jumla ya wahusika hao yanaelezea tabia yao. Kwa mfano, ngariba ni mtu mwenye ujuzi wa kutahiri katika jando: Korido - Dokta limetoholewa kutoka Kiingereza , "Corridor-Doctor" likimaanisha daktari wa mitaani au vichochoroni. Makalikiti limetokana na wanawake wanaotumia mikorogo ili kubadilisha nywele zao (Curlykit).
Meneja Dokoa ni sawasawa na Meneja mwizi. Aidha, wahusika Mtu 1-5 wanaweza kushika nafasi mbalimbali tofauti katika tamthiliya hii.
(I) Mfupa(mfu):
Wako wahusika watano (I-V) ambao wanatumia jina Mfupa. Wahusika hao wanashirikiana katika kujadili chanzo cha UKIMWI na njia za kuambukiza. Mgogoro huo wenye utata, ni tishio la angamizo la binadamu. Na wahusika wote hujulikana kwa jina, MFUPA.
(ii) Mtambaji:
Mhusika huyu anakuwa ndiye anayeongoza mdahalo baina ya Mmarekani, Mwafrika, Mkyuba na Mrusi. Baadaye, kuanzia uk. wa 11, anashiriki mazungumzo.
(iii) Mtu:
Kuna wahusika sita wenye kutumia jina mtu (I-VI). Bindamu hai tofauti na wahusika vivuli "Mfupa"
a) Mtu 2
Anawakilisha Marekani, ambaye anadai wamefanya utafiti na kugundua kile kiitwacho upungufu wa kinga mwilini (Acquired Immune Deficiency Syndorme =AIDS)
b) Mtu 3
Ni Mwafrika. Ana hasira. "Wewe Marekani msenge nini?" (uk 4). Pia Mtu 3 anaitwa Bwana Jujumani, na Mtu 2 (Marekani) "Wamezoea hawa Marekani, kila kitu kibaya ni cha Mwafrika. Maaluni hawa! Mabaradhuli wakubwa!" uk 4. Mt 3 (Mwafrika) anaonesha ujasiri wake bila woga, "Ninyi hamjui jujuoloji!" (uk.5)
c) Mtu 4
Ni Mkyuba. "Wamezoea. Wapashe! Sisi Wakyuba tumewachoka," (uk 4).
Mkyuba huyo ni Fidel Castro "Acha ubishi wa kijinga Madevu", uk 4 . (Rais Fidel Castro ana madevu).
d) Mtu 5
Ni Mrusi. Anadharau utafiti wa Marekani. Anawashuku Marekani kuwa ndio waliozalisha virusi katika maabara vimesambaa kutoka kwenye maabara.
Wauguzi wawili
e) Muuguzi I.
Ana utovu wa uwajibikaji, maana yampasa kujua mapema mahitaji yote ya matibabu badala ya kulaumu zahanati: "Ah! Hili stovu halina mafuta hata tone!" (uk. 6) Mpumbavu hana mpangilio wa kazi.
f) Daktari:
Mtaalamu na ana uzoefu, "Lo! Mgonjwa mwenyewe huyu anahitaji kuwekewa damu mara moja". Tofauti ya Daktari Vs Dokta.
g) Korido-Dokta:
Dokta wa vichochoroni, mitaani.
Hana maadili ya udaktari, ingawa amespeshelaizi ng’ambo. Ana uroho wa pesa. Anatembea na zana na dawa katika begi. "Basi kila mtu mahali pake. Na mimi mahali pangu ni kwenye begi hii. Begi hii ina kila kitu..."
h) Ngariba
Mhusika huyu huwakilisha waganga wanaofanya kazi ya kutahiri, kutoga masikio, pua, kukata vimeo.
I) Makalikiti
Mhusika Makalikiti ni mwanamke ambaye ametumia mikorogo kwa ajili ya kulainisha nywele zake. Ni malaya. Amejirembesha kwa mavazi na marembo ili kuwa chambo kwa wateja.
Anasoma kidato cha sita. Hujinadi haraka kwa wateja. Anaposifiwa na Meneja "Hupendelea dogodogo za shule kama wewe," Makalikiti hujibu "Uwongo tu".
j) Toza:
Mhusika mwanamume anayegeuza sauti ya kike. Ni kuhadi, malaya.
k) Meneja: Meneja anajulikana kwa jina, Dokoa.
Dokoa, jina hili linahusiana na tabia yake ya udokozi (wizi, hujuma). Ni meneja wa Kampuni ya Kondomu. ana majivuno. "Ha! Ha! Ha! Ni mtu mkubwa kidogo, anajisifia" uk. 12.
Ana majivuno na mpenda sifa. Kwa mfano, anapoongea na Mtamkaji, Meneja Dokoa anajitamba, "Oh! Kumbe unanifahamu... er Ndiyo. Jina langu ni Meneja Dokoa... Lakini siku hizi nimepata uwaziri mdogo kwenye Wizara mpya ya Kondomu. Kwani bado hujasikia...? (uk. 14)
l) Mtani: Mhusika ambaye katika mila na desturi za makabila mengi, ni kiungo katika tambiko, ugonjwa, sherehe na hasa kifo (msiba).
Wahusika wengine huingia kama vitu, sauti, ngoma, Sokwe, n.k.
Matumizi ya Lugha
Lugha iliyotumika ni nyepesi, fasaha na sanifu. Kwa matumizi ya lugha ya kawaida, inaiwezesha tamthiliya hii kueleweka moja kwa moja na watu wa kawaida mijini na vijijini.
Matumizi ya Lugha na Fani:
Ana hakika, msanii Ibrahim Ngozi, amefaulu sana katika kuuelimisha umma mintarafu chanzo na athari za UKIMWI kwa lugha nyepesi lakini iliyojaa ufasaha, hekima na busara.
Kwa kutumia misemo, misimu na lugha ya mitaani inapatikana. Tamthiliya hii ina umuhimu wa pekee na kwa wakati muafaka ambapo usugu wa UKIMWI unaangamiza maelfu ya watu kila siku itokayo kwa Mungu na iendayo kwa Mungu.
Fauko ya umuhimu huo, kasi ya uambukizaji UKIMWI yadai mbinu na mikakati madhubuti zaidi. Lugha ya mitaani(kifo kazini; Acha Iniue Dawa Sina (AIDS); simufiti; eidesi; Acha Iniue Dogodogo Siachi uk. 15).
Majina hayo ya UKIMWI ingawa yanatolewa katika lugha ya mitaani kama kichekesho, yanaashiria juu ya ugumu wa kuwaelimisha watu kuchukua tahadhari.
Pia lugha ya Kiingereza imetumika hapa na pale ili kusisitizia maana ya kina kwa kutumia lugha ya kisayansi. (Acquired Immune Defeciency Syndrome (AIDS) uk 4); Shit! uk 5; emergency cases uk 7; Oh! No! My God uk 14).
Pia matumizi ya Kiingereza ni kuwajengea uhalali wahusika wasomi wenye kuweza kuelezea jambo kwa kuchanganya lugha mbili au zaidi.
Kwa upande mwingine kuna maneno mengi sana yaliyotoholewa ilivyo na isivyo: (kuspeshalaizi uk 7; manesi uk 7; grupu uk 7; Korido-Dokta uk 7; jujuoloji uk 5; shenzi taipu uk 5; konfyusheni uk 19).
Matumizi ya Mbinu za Kisanaa
Mtunzi Ibrahim Ngoji amefauli sana katika kuiwekea tamthiliya hii mawanda ya kisanaa na kuifanya kuwa iliyojaa drama na kuweza kuigizwa barabara kwa uhakika hata bila ya kuwa na jukwaa wala ulazima wa pazia. Kwa maneno mengine, USHUHDA WA MIFUPA ni tamthiliya iliyofika kwa wakati mwafaka.
Tamthiliya hii imetumia mbinu ya kuielimisha jamii na kuipatia taswira sahihi kuhusu mustakabali wa maisha hasa kwa vijana.
Kwa kuwapambanisha wahusika wenye msimamo tofauti, kama vile Marekani dhidi ya Waafrika (masokwe), Mkyuba dhidi ya Marekani, Mrusi dhidi ya Marekani; ("Sisi Marekani tumefanya utafiti... Tumeridhika kabisa viini (Virus) visivyokuwa na dawa. Tunakijua changzo cha Virusi - HIV. Kutoka Masokwe. Masokwe yapo Afrika uk 4).
Kwa mbinu ya kujitetea na kukataa kuonelewa Mwafrika anakana dai hilo (Wewe Marekani msenge nini...? Sisi tuliingiliana na hao masokwe ndiyo tukaupata?
... Wamezoea hawa Marekani kila kitu kibaya ni cha Mwafrika. Maaluni hawa! hata huko kwenye mwezi watakakokwenda siku wakikuta mavi watasema sisi ndiyo tuliokunya huko. Mabaradhuli wakubwa!"
Mdahalo wenye mvuvumko na wa kusisimua uliyojaa drama huipatia tamthiliya uhai hata kumfanya mtu aendelee kusoma, kutazama na kusikiliza toka mwanzo hadi mwisho.
Mbinu nyingine aliyoifumua ni kuwa na sentensi fupi fupi kwa kila mhusika. Sentensi zilizojaa kejeli, dhihaka na kusababisha watu kupasuka vicheko, ("Viini hivi vilisambaa kutoka maabara moja huko Marekani" uk 5).
Ndipo mhusika anayetetea Marekani anajibu kwa ghadhabu, ("Shenzi taipu. Majungu matupu! uk 5).
Halafu mtu 4 mtetezi wa Mrusi anaingilia kati (utafiti wa Mrusi kiboko: Heko Bwana Vodka heko zako" uk 5).
naye mtetezi wa Afrika anafika juu, ("Msitutishe! Na sisi Waafrika tumetazamia. ... Ninyi hamjui jujuoloji... uk5).
Baada ya Mwafrika kutukanwa ‘Shenzi’ na Marekani anahamaki na kulipiza kisasi, ("Shenzi mwenyewe...! Nitakuroga, nikugeuze fisi, mahamri we! uk 5).
Mbinu nyingine aliyotumia mtunzi ni kuingiza sauti ya kilio (Vilio vinayidi).
(Mtambaji: Wakati wanabishana, watu wanaendelea kupukutika katika mji... (vilio) uk 5).
Mbinu nyingine inayofanya tamthiliya hii kuvutia ingawa ujumbe wenyewe ni tishio la vifo, ni matumizi ya lugha ya picha, ("Msinikodolee macho kama vyura! Waone macho! uk 5).
Anapofukuzwa Mtani hunatokea drama, ("Toka hapo afriti mkubwa. Sisi tunaumwa halafu wewe unatupigia makelele! Yala kichomi... Yalaa... Nani anisaidie nakufa mie jama ee," uk 19).
Matumizi ya Tamathali za Semi, Misemo, Methali n.k.
Kwa ufundi wa pekee mtunzi wa Tamthiliya USHUHUDA WA MIFUPA ametumia methali hapa na pale (Ama kweli kufa kufaana uk 18).
Takriri
Tamathli ambayo hutumia mbinu ya kurudiarudia maneno, sentensi au kauli imetawala tamthiliya mzima. (Tumia mipira, ni kinga bora! Tumia mipira, ni kinga bora! Tumia mipira ni kinga bora! uk 18).
Tanakali - Santi
Tamathali inayoiga sauti ya kitendo imejitokeza mara nyingi katika USHUHUDA WA MIFUPA. (Eh! uk 16; Sssh! uk 11; Mh! uk 11; Aaa! uk 9; Anhaa! uk 15).
Udamisi
Tamathali inayotilia chumvi jambo au vitu kuwa na uwezo imejitokeza hapa na pale. (... akina mama wao mikono yao hutetema, yangu mikavu inatulia na imara kuzidi chuma uk 9).
Tasifida
Tamathali hii hutumia mbinu ya kuficha makali ya jambo, tendo kwa kutumia maneno tofauti (Basi nikaona nipunge upepo kidogo. Unajua tena dereva lazi awe na spea taya uk 8).
Dhihaka
Ni aina ya kejeli, ni tamathali ambayo ina ubeuzi mkali, jahili unaopenya ukweli. Basi katika tamthiliya hii kejeli na dhihaka zimejitokeza toka mwanzo hadi mwisho.
(Wewe Marekani msenge nini? uk 4; Shenzi taipu, Shit! Nitakuroga nikugeuze fisi uk 5; Kila mtu ajichimbie kaburi lake. Kila mtu avae sanda yake uk 20).
Tashibiha
Hii ni tamathali inayolinganisha vitu, watu au jambo kwa kutumia viungo: kama, mithili, mfano wa n.k. (... Imekuwa ngumu kama mawe uk 10; Usinitolee ulimi kama kenge uk 10).
Sitiari
Tamathali hii hufanana na ile ya tashibiha ila haitumii viungo vya maneno. (... Makalikiti alibaki ufito mtupu uk 14).
MAZOEZI
1. Wahusika wa tamthiliya USHUHUDA WA MIFUPA wanawakilisha watu wa marika yote katika jamii, na hasa vijana. Jadili kauli hii kwa kuwahusisha wahusika wawili tofauti.
2. Ingawa dhamira kuu ya tamthiliya USHUHUDA WA MIFUPA inalenga katika kuutahadharisha umma kuhusu athari za UKIMWI, lakini pia limejitokeza suala la kisiasa na la ushirikina. Bainisha kauli hiyo kwa kutoa mifano halisi kutoka katika tamthiliya hii.
3. Nafasi ya Mtambaji katika USHUHUDA WA MIFUPA inaweza kulinganishwa na nini katika maisha ya kila siku ya binadamu?
4. Jadili kufaulu au kutofaulu kwa mwandishi kwa kuzingatia matumizi ya lugha na tamathali za usemi.
5. Maudhui ya USHUHUDA WA MIFUPA yana umuhimu wa pekee katika jamii ya Tanzania. Jadili ukweli wa tamko hili.
6. Tamthiliya USHUHUDA WA MIFUPA inaonyesha falsafa gani?
7. Jadili masuluhisho ya tamthiliya KWENYE UKINGO WA THIM na yale USHUHUDA WA MIFUPA:
8. Kwa kutumia MORANI; USHUHUDA WA MIFUPA; KWENYE UKINGO WA THIM na KIVULI KINAISHI eleza jinsi waandishi hao, kila mmoja peke yake, alivyofaulu kuzingatia maudhui yake kuwa kielelezo cha jamii ya Tanzania.
9. "Uibushaji migogoro/migongano katika tamthiliya ni nyenzo muhimu ambayo huleta drama na ufanikishaji kwa upeo mkubwa". Kwa kutumia vitabu viwili kati ya MORANI; KWENYE UKINGO WA THIM; KIVULI KINAISHI; na USHUHUDA WA MIFUPA chambua na kubainisha kauli hii.
10. Jadili nafasi ya mwanamke jinsi ilivyojitokeza kwa pande zote mbili, chanya na hasi, katika tamthiliya mbili kati ya USHUHUDA WA MIFUPA; MORANI; KWENYE UKINGO WA THIM; na KIVULI KINAISHI.
Copyright J.P. Mbonde 1997
|
<urn:uuid:26074724-b515-47eb-abf6-62a8e3e53001>
|
{
"date": "2014-07-23T05:27:30Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997874283.19/warc/CC-MAIN-20140722025754-00137-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9891341924667358,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 40,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9891341924667358}",
"url": "http://kiongozi.tripod.com/K2001/makalajan.2.htm"
}
|
Tofauti za sera kati ya Marekani na Umoja wa Ulaya kuhusiana na mgogoro wa kisiasa nchini Ukraine zimebainika wazi baada ya kuibuka mazungumzo ya siri baina ya maafisa wawili wakuu wa kidiplomasia Kiev.
Mazungumzo yanayotajwa kuwa yalinaswa kisiri kati ya wanadiplomasia wawili wakuu wa Marekani wakizungumzia mstakabali wa Ukraine baada ya tandabelua la kisiasa yameiwacha marekani ikionekana Mshari.
Katika mazungumzo hayo yaliyonaswa kisiri naibu waziri wa wa mambo ya nje wa Marekani, Sauti ya Victoria Nuland, anasikika akimwambia balozi wa Marekani nchini Ukraine, Geoffrey Pyatt, kuwa hamtaki aliyekuwa mwanamasumbwi, Vitali Klitschko katika serikali ijayo badala yake anasikika akisema 'Yats', akiashiria Arseniy Yatsenyuk ndiye anayepaswa kuwa na usemi mkubwa kutokana na tajriba yake kuu ya kiuchumi na Utawala.
''Yats ndiye anayepaswa Kuingia serikalini na afanye mazungumzo na Klitschko mara nne kila juma''
Nuland anasikika akiitusi Umoja wa Ulaya na kusema kuwa Umoja wa Mataifa ndiyo unaopasawa kuwa na usemi kuhusiana na hali ilivyo Ukraine kwani Kulinga naye 'Umoja wa mataifa ndio unapaswa kusaidia makundi ya upinzani kushikamana ''
Msemaji katika wizara ya mashauri ya kigeni ya marekani Jen Psaki, hakupinga uhalali wa taarifa hizo.
Msemaji wa ikulu ya White House Jay Carney, amesema kuwa taarifa hizo ziliwekwa kwenye mtandao wa Twitter na afisa wa Urusi.
Kashfa hii ya kidiplomasia inatukia baada mshauri mkuu wa Rais Putin kulaumiwa na Marekani kwa kujiingiza katika siasa Ukraine.
Sergei Glazyev ameilaumu Marekani kwa kutoa mamilioni ya dola kwa vyama vya upinzani mbali na kuwakabidhi silaha.
Mshauri huyo wa Putina anasema hatua ya Marekani kuingilia maswala ya ndani ya Ukraine kimsingi inaipa Urusi uhuru na haki ya kuingilia kati.
Rais Putin anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenzake wa Ukraine Viktor Yanukovych wakati wa michezo ya olympiki ya msimu wa baridi huko in Sochi .
|
<urn:uuid:c214c115-b191-45db-91d3-c050ecfd648e>
|
{
"date": "2014-07-28T22:59:31Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510263423.17/warc/CC-MAIN-20140728011743-00008-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9964656829833984,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 3,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9964656829833984}",
"url": "http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2014/02/140206_nuland_ukraine.shtml"
}
|
PICHA chafu zinazomwonesha Miss Tanzania mwaka 2006, mwenye vituko kila kukicha Wema Isaac Sepetu, ambaye yuko katika uchumba na msanii wa Bongo Fleva Naseeb Abdul ‘Diamond’, zimenaswa ‘live’ katika moja ya mitandao ya kijamii
Picha hizo zinamuonesha mrembo huyo akiwa amelala kitandani katika staili mbalimbali huku kuanzia shingoni kwenda chini akiwa hana nguo.
Katika picha moja mlimbwende huyo wa Bongo anayesumbua katika filamu kwa sasa, ameweka kiganja cha mkono wenye kidole chenye pete ya uchumba aliyovishwa wiki kadhaa zilizopita.
Picha hizo zilisambaa kwa haraka Jumapili Novemba 6, mwaka huu kwenye Mtandao wa Kijamii wa Facebook, BMM huku wengine wakitumiana kwenye waraka pepe.
Kinachoonekana ni kwamba, baada ya picha hizo kusambaa, Wema alipata habari, akachukua picha moja na kuiweka kwenye mtandao wa Black Berry Messengers ‘BBM’ katika simu yake kisha akaandika:
“Kuweka waweke wengine, akiweka Wema tatizo, uzuri hii picha hata baby wangu (Diamond) anaijua.” Hapa alimaanisha kuwa ‘wabaya’ wake wanamfuatafuata kwa kuzianika picha zake mtandaoni.
|
<urn:uuid:8c0d3954-ca66-47eb-bf68-46e2ef68cdec>
|
{
"date": "2014-08-02T04:29:21Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510276353.59/warc/CC-MAIN-20140728011756-00152-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9800066947937012,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 44,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9800066947937012, \"swc_Latn_score\": 0.01611500419676304}",
"url": "http://www.mpekuzihuru.com/2011/11/picha-chafu-za-wema-sepetu-zasambaa.html"
}
|
Mhindi
|Mhindi (muhindi)
|
(Zea mays subsp. mays)
|
|
Mhindi
|Uainishaji wa kisayansi|
|
|
Mhindi (pia: muhindi) ni mmea wa familia ya manyasi katika ngeli ya monokotiledoni. Mbegu za mhindi ni mahindi ambayo ni chakula muhimu katika sehemu nyingi za dunia pamoja na Afrika ya Mashariki na Afrika ya Kusini.
Asili ya muhindi[hariri | hariri chanzo]
Mhindi ni kati ya nafaka ya kwanza kulimwa kama chakula cha binadamu. Asili yake ni Amerika ya Kati ulipogundiliwa na Maindio. Wahispania walipeleka nafaka hii Ulaya; taarifa za kwanza za mashamba ya muhindi katika Hispania zilipatikana mwaka 1525 yaani miaka michache tu baada ya safari ya Kolumbus.
Katika Afrika mmea huu ulifika kupitia Wareno. Jina la muhindi/mhindi ni kumbukumbu ya imani ya Wazungu ya kuwa Kolumbus alifika Uhindini ya Asia na Wahispania pamoja na Wareno waliendelea kuita nchi mpya "India" kwa miaka mingi. Hivyo nafaka kutoka "India" ile iliingia katika Kiswahili kwa jina lililolingana na imani ya Wareno kuhusu asili yake. Jina hili ni sawa na jina la Kifaransa "froment des Indes" (ngano ya Uhindi). Lakini katika nchi nyingi jina la Kihispania la "maiz" limeenea kutoka neno la Kiindio "mahiz" katika lugha ya taino kwenye kisiwa cha Haiti.
Tabia[hariri | hariri chanzo]
Muhindi ni nafaka inayolimwa kwa wingi zaidi duniani. Mavuno ya dunia ya mwaka 2005 yalileta matokeo yafuatayo: mahindi tani milioni 710.3; mchele tani milioni 628.5 na ngano tani milioni 620.0.
Sababu ya kupendelea muhindi ni kivuno kikubwa. Dunia muhindi inaleta kwa wastani mahindi tani 47.5 kwa hektari moja. Hii inashinda mpunga unaoleta mchele wastani tani 40/ha na ngano yenye tani 29/ha.
Kwa jumla kuna tofauti katika matumizi: - nchi za viwanda hulima muhindi hasa kama chakula cha wanyama; hapa mhindi wote huvunwa ukitumiwa kama sileji. - nchi zinazoendelea hutumia zaidi mahindi yaani nafaka yake kama chakula cha kibinadamu.
|Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Mhindi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:452381c9-1c70-498d-95f1-922e15bf8123>
|
{
"date": "2014-07-22T09:18:50Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997857714.64/warc/CC-MAIN-20140722025737-00169-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9967326521873474,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 28,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9967326521873474}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Mhindi"
}
|
Queens
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Queens ni moja kati ya sehemu za mji wa New York City.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
|Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
|
Je unajua kitu kuhusu Queens kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:28fb0569-cb22-4d4b-a6d1-08423cf201da>
|
{
"date": "2014-07-22T09:18:40Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997857714.64/warc/CC-MAIN-20140722025737-00169-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9908879399299622,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 95,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9908879399299622}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Queens"
}
|
Mpango wa Uendeshaji Shughuli za Serikali kwa Uwazi(OGP) ni juhudi ya kimataifa inayolenga kuhimiza uwazi, kuwawezesha wananchi, kupambana dhidi ya rushwa na kuhimiza kutumia teknolojia mpya na kuboresha utawala. OGP ilizinduliwa rasmi tarehe 20 Septemba 2011 mjini New York na nchi 8 wanachama waanzilishi za Brazili, Indonesia, Mexico, Norway, Philippines, Afrika Kusini, Uingereza na Marekani. OGP inasimamaiwa na Kamati ya Uendeshaji ya Kimataifa ya wadau mbalimbali yenye wawakilishi wa serikali na asasi za kiraia. Miongoni mwa manufaa ya OGP ni kuboresha utoaji wa huduma na kufanya serikali ziwe na majukumu na kuwajibika zaidi kwa raia wao. Kutokana na manufaa ya juhudi hizi, Tanzania ilionyesha nia yake ya kujiunga na OGP wakati wa mkutano wa uzinduzi. Uamuzi wa kujiunga na OGP ni hatua muhimu ya kusaidia juhudi za sasa za serikali kuhamasisha utawala bora kwenye sekta zote.
Mpango wa Uendeshaji Shughuli za Serikali kwa Uwazi ni nini ?
Data na maoni mbalimbali
Video za OGP
Dhamira za OGP
-
Uwazi
i. Establishment of three Parliamentary Watchdog C..
-
Kuhusisha Wananchi
Citizen engagement ensures community involvement in deci..
-
Teknolojia na Ubunifu
i. Approval of the National Information and Commun..
-
Uwajibikaji na Uaminifu
While inaugurating the new Parliament in 2005, Pre..
Matukio Yajayo
Thursday 1st May 2014
|
<urn:uuid:198a50f8-e4d3-4c46-9e12-04f8eddfa481>
|
{
"date": "2014-07-24T22:58:33Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997892557.70/warc/CC-MAIN-20140722025812-00041-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9953597187995911,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 47,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9953597187995911}",
"url": "http://www.opengov.go.tz/"
}
|
Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza kiitwacho, Anecdotes. Sisi tumekiita, Visa vya Kweli. Kitabu hiki kime- andikwa na Sayyid Ali Akbar Sadaaqat. Kitabu cha Visa vya Kweli kimekusanya simulizi za visa vya kweli vilivyosimuliwa katika Qur’aniTukufu, hadithi na riwaya na vyanzo vingine sahihi. Kwa kweli, visa hivi hufundisha maadili mema kwa wanadamu, hivyo, kitabu hiki tunaweza kukiita kuwa ni cha maadili kwa kuwa visa vilivyoelezewa humu ni vya kimaadili.
|
<urn:uuid:14e36299-ecb8-4161-9a46-1448c832661f>
|
{
"date": "2014-07-28T05:24:30Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510256737.1/warc/CC-MAIN-20140728011736-00481-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9625234603881836,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 238,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9625234603881836, \"swc_Latn_score\": 0.028763243928551674}",
"url": "http://www.al-islam.org/pt/node/24971"
}
|
Louis Neel
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Louis Eugene Felix Néel (22 Novemba 1904 – 17 Novemba 2000) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza sifa za usumaku. Mwaka wa 1970, pamoja na Hannes Alfven alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
|Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
|
Je, unajua kitu kuhusu Louis Neel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
<urn:uuid:5401aeb6-de4d-42f1-8327-074886f6663b>
|
{
"date": "2014-07-23T08:04:06Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997877670.44/warc/CC-MAIN-20140722025757-00129-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9725514054298401,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 62,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9725514054298401, \"swc_Latn_score\": 0.024722257629036903}",
"url": "http://sw.wikipedia.org/wiki/Louis_Neel"
}
|
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
Kitabu kilichoko mikononi mwako, ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabu, kwa jina la: Al-Hijab Saa'datun laa shiqaaun, kilichoandikwa na, Sheikh Muhammad Ibrahim El-Qazwiniy
Kitabu hiki kinahusu vazi la Hijabu: vazi ambalo ni rasimi kwa wanawake wa kiislamu kwa ajili ya kustiri maungo yao. Maadui wa Uislamu wanalibeza sana vazi hili kiasi cha kutaka kuwakatisha tamaa wavaaji wake ambao ni wanawake wa kiIslamu. Mazingira ya sasa tayari yanaonesha kwamba, azma ya maadui hawa wa Uislamu kiasi fulani inafanikiwa. Kwani sasa hivi katika miji yetu asili mia kubwa ya wanawake wanatembea nusu uchi, na hali ni mbaya sana. Hivyo tulipo kiona kitabu hiki, tukaona ni wakati muafaka tukitoe kwa lugha ya kiswahili, kwa kutekeleza amri ile ya Mwenyezi Mungu ya, "kuamrisha mema na kukataza maovu."
Mwandishi wa kitabu hiki ameelezea kwa ufasaha sana falsafa na hekima ya vazi hili, na kuvunja hoja za wale wote wanaolipinga. Katika kufanya hivyo ametumia elimu, akili na hoja zenye mantiki.
Tunamshukuru ndugu yetu, Sheikh Msabah S. Mapinda kwa kukubali kwake kuchukuwa jukumu hili la kutarjum kitabu hiki, kutoka lugha yake ya asili ya Kiarabu kwenda lugha ya Kiswahili. Halikadhalika tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwa kitabu hiki.
Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa ni chenye manufaa kwa wasomaji wetu, hususan wanawake wa kiislamu na kuiokoa jamii yetu kutokana na maovu.
|
<urn:uuid:b0a1a4d8-0dbd-4f05-bdaf-66335854de5b>
|
{
"date": "2014-07-26T02:15:38Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997894931.59/warc/CC-MAIN-20140722025814-00001-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9842776656150818,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 42,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9842776656150818}",
"url": "http://www.al-islam.org/sw/print/book/export/html/23317"
}
|
Kikao cha 68 cha Baraza Kuu chafunguliwa rasmiKusikiliza /
Kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kimefunguliwa rasmi hii leo.
Ni sauti ya rais mpya wa Baraza Kuu, John William Ashe, raia wa Antigua naBarbuda, ambaye atakiongoza Kikao cha 68. Kikao hicho kinaanza kwa mikutano mbali mbali, ambayo kilele chake kitakuwa ni mkutano mkuu wa viongozi wa nchi wanachama mnamo wiki ijayo. Akizungumza wakati wa kukifungua Kikao hicho, Bwana Ashe amesema kauli mbiu ya kikao hicho itakuwa ni: kuandaa jukwaa la ajenda ya maendeleo baada ya mwaka 2015. Mwaka ujao utajitokeza kuwa muhimu kwa Baraza Kuu, wakati likijaribu kutambua vipimo vya ajenda ya maendeleo baada ya mwaka 2015.
Ukubwa wa kazi ilioko mbele yetu, itahitaji hatua za dhati na ushirikiano wa hali ya juu. Ni lazima tudhihirishe kuwa juhudi zetu zinalingana na kazi hiyo. Ili kuandaa jukwaa hilo la ajenda ya maendeleo, natarajia kuandaa mijadala mitatu ya ngazi ya juu, ikiwemo mchango wa wanawake, vijana na mashirika ya umma, mchango wa haki za binadamu na uongozi wa kisheria, pamoja na mchango wa mataifa ya Kusini mwa dunia na teknolojia ya mawasiliano katika ajenda ya maendeleo baada ya mwaka 2015.
Akiongea wakati wa ufunguzi wa Kikao hicho cha 68, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, amesema matarajio katika kipindi cha Kikao cha 68 ni mengi, akiongeza kuwa la kuzingatiwa kwanza ni kuongeza kasi ya kufikia malengo ya maendeleo ya milenia, MDGs, wakati ukomo wake ukikaribia mnamo mwaka 2015.
Jumuiya ya wafanyabiashara, mashirika ya umma na mashirika ya kibinadamu yatakuja pamoja kuonyesha ufanisi wa MDGs. Tutaongeza kasi ya juhudi za kubuni ajenda ya maendeleo baada ya mwaka 2015, pamoja na fungu la malengo ya maendeleo endelevu ambayo tunatarajia kuwa yatakabiliana na changamoto kanganishi za nyakati hizi, na kusisimua mawazo ya watu kote duniani, jinsi malengo ya maendeleo ya milenia yalivyofanya.
Bwana Ban amesema wakati wa Kikao cha 68, maandalizi ya kongamano la mwaka 2014 kuhusu Mataifa Madogo ya Visiwani yanayoendelea, pamoja na mikutano ya Baraza Kuu kuhusu watu wenye ulemavu na uhamiaji, na pia kuangazia changamoto za dharura za amani na usalama, likiwemo suala la Syria.
|
<urn:uuid:90dade40-eab5-4959-a7d2-d7969cf5a3a6>
|
{
"date": "2014-07-26T01:22:44Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1405997894931.59/warc/CC-MAIN-20140722025814-00001-ip-10-33-131-23.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9887109994888306,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 32,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9887109994888306}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/09/kikao-cha-68-cha-baraza-kuu-chafunguliwa-rasmi/"
}
|
Usindikaji vyakula umekuwa bora baada ya kupata mafunzo: Wajasiriamali wanawake TanzaniaKusikiliza /
Usaidizi huo uliohusisha pia mfuko wa mitaji wa Umoja wa Mataifa (UNCDF) na serikali ya Tanzania umefanyika kupitia mfuko wa umoja wa udhamini wa wanawake wasindikaji wa vyakula Tanzania, TWFPT.
Katika mahojiano haya mwenyekiti wa mfuko huo Emmy Kiula anamweleza Stephanie Raison wa UN-Women Tanzania kile wanachofanya na manufaa waliyopata bila kusahau changamoto.
|
<urn:uuid:bce78f03-7b4b-426d-9d00-67736bec45c8>
|
{
"date": "2014-07-30T11:26:26Z",
"dump": "CC-MAIN-2014-23",
"file_path": "s3://commoncrawl/crawl-data/CC-MAIN-2014-23/segments/1406510270399.7/warc/CC-MAIN-20140728011750-00062-ip-10-146-231-18.ec2.internal.warc.gz",
"language": "swh",
"language_score": 0.9973868131637573,
"language_script": "Latn",
"minhash_cluster_size": 27,
"top_langs": "{\"swh_Latn_score\": 0.9973868131637573}",
"url": "http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/06/usindikaji-vyakula-umekuwa-bora-baada-ya-kupata-mafunzo-wajasiriamali-wanawake-tanzania/"
}
|
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.